Duh another sweet melody, hizi ni adimu sana asee nyegezi mzidi kubarikiwa kwa kukupa hii radha adim iliyobeba ujumbe mzito na mzuri
@einothlaizer7563
3 ай бұрын
Mungu awabariki Kwa kiwango Cha kujaa na kumwagika
@paulemanuel2951
7 ай бұрын
Mungu atukuzwe kwajili yenu…. Wimbo una ujumbe uoleta faraja na tumaini kwa watu wote🎉
@anastazianyambita5534
5 ай бұрын
Amina nimebarikiwa sana na huu wimbo....!
@onikedavidelifuraha1902
6 ай бұрын
MUNGU awabariki sana Nyegezi SDA choir... blessings over blessings tunapata apa🙏💕
@JaneOnyango-fb7li
7 ай бұрын
Mbarikiwe ila msijiinue msije mkashushwa chini
@pamelamshana6180
7 ай бұрын
Jina la Bwana lipewe sifa
@Avelina-cd5vs
6 ай бұрын
Amen❤🙏🙏🎺🎤
@user-ns4bf4ee7d
6 ай бұрын
Mungu apewe sifa from Ogembo
@NyegeziSDAChoirs
6 ай бұрын
Amen
@listonnewton6763
7 ай бұрын
Mbarikiwe sana
@shaniamoraisa
7 ай бұрын
So nice.....😁🤗😁🤗
@AsteriaJohn-zs3ti
4 ай бұрын
Be bless you guys
@adventistmusicbysevelynlui557
7 ай бұрын
Wonderfully sung. Ugunduzi wangu mfupi unaonyesha kuwa watunzi wengi wa nyimbo huwa wamebarikiwa kutunga nyimbo za mlengo (mafundisho na imani za msingi) fulani tu ni si kila imani iliyopo (kati ya zile imani za msingi 28) Huyu aliyetunga na kufanya Harmony hapa nadhani ni Mr F. Kirya. (Kutokana na music arrangement) Kiufupi amebarikiwa sana katika kutunga nyimbo za ukuu na Sifa kwa Mungu
@NyegeziSDAChoirs
7 ай бұрын
Amen
@hamenyayohanakasase5836
2 ай бұрын
Wewe ni mchambuzi makini wa nyimbo. Ulichosema kina asilimia nyingi za ukweli. Kwa kuongezea, siyo tu mwelekeo wa ujumbe, bali hata aina ya chodi za muziki. Asilimia kubwa ya walimu wanaopangilia nyimbp (song arrangement/harmonization) huwa wana aina ya chords wanazopendelea, na hiyo ni kutokana na sikio lake linavutiwa zaidi na aina ipi ya chord. Pia, kuna uhusiano kiasi fulani baina ya aina ya nyimbo au ujumbe na uzoefu au personal character ya mtunzi (mpole, mchangamfu, mnyonge, mwenye aliyesetwa na maisha, n.k.).
@adventistmusicbysevelynlui557
2 ай бұрын
Hakika
@muungwanafelix2462
6 ай бұрын
Ukiskliza huu wimbo vzur kweny headphone unapat Raha ya saut zilizopangliw vzur jamoon be blessed sn❤❤❤
@NyegeziSDAChoirs
6 ай бұрын
Barikiwa sana
@simonkasembe
7 ай бұрын
Mungu atukuzwe kupitia nyimbo zenu
@Mswahili_
7 ай бұрын
Wimbo mzuri!!! Ila tunawadai wimbo wa Taifa kama WATU WA YESU & SIKILIZENI NYOTE Kama mnao tutoleeni hata Audio visual
@erickvocalstraining
7 ай бұрын
Amen.. To God be the glory
@jamesmapenzi1319
7 ай бұрын
❤️❤️❤️
@juliusmuthee3221
7 ай бұрын
Mungu hazidi kuwabariki
@zaphanykaunda1949
6 ай бұрын
❤
@fredyj5909
7 ай бұрын
❤🎉🎉
@danielwangwe8621
7 ай бұрын
Haleluya❤❤
@paulinenyansaseria7162
7 ай бұрын
Mbarikiwe kwa kazi nzuri ya Bwana wetu.Hata leo mmwtubariki hapo Ogembo❤
@NyegeziSDAChoirs
7 ай бұрын
Barikiwa pia share na wengine mibaraka hii.
@revocatusvedastus8893
3 ай бұрын
nabarikiwa na kwaya nyegz sda kwaya
@emmanuelmatulanya9170
7 ай бұрын
Nyegezi kwaya mmepigaje hapo😂😂😂 Nabarikiwa sana na nyimbo zenu.Mpangilio wa sauti, mziki na Quality ya video zenu. May GOD be with you more and more
@NyegeziSDAChoirs
7 ай бұрын
😄😄😄 Barikiwa sana.
@florencechaz1714
7 ай бұрын
Amen
@victorgosso8451
7 ай бұрын
Wimbo mzuri! kazi nzuri sana na video kwa ujumla ipo pouwa, ila sound hapa imechemka kidogo ipo na mikwaruzo ya kelele haijatulia
Пікірлер: 36