Twapanda Mapema
1. Twapanda mapema, na mchana kutwa, Mbegu za fadhili, hata jioni, Twangojea sasa, siku za kuvuna, Tutashangilia, wenye mavuno.
Kiitikio:
Wenye mavuno, wenye mavuno, Tutashangilia, wenye mavuno, Wenye mavuno, wenye mavuno, Tutashangilia, wenye mavuno.
2. Twapanda mwangani, na kwenye kivuli, Tusishindwe na baridi na pepo; Punde itakwisha, kazi yetu hapa, Tutashangilia, wenye mavuno.
3. Twapanda kwa Bwana, mbegu kila siku, Tujapoona taabu na huzuni, Tuishapo shinda, atatupokea, Tutashangilia, wenye mavuno.
Негізгі бет Nyimbo za kristo. No. 55 SDA hymnal. Twapanda mapema/ Wenye mavuno. Apex Media Kenya.
Пікірлер: 24