Mungu anaendea kunibariki kupitia neno lake ubarikiwe sana.
@lilianachayo
11 ай бұрын
Aaaaammmeeennn, Asante mtimishi wa Mungu, umetumwa mweli kunifungua macho ya rohoni, haa nakutamani sana mama, sante zidi kuzaa ufunuo
@phylisjacob5701
Жыл бұрын
From Kenya I love you Mama, Thank you for this timely message am blessed.
@sarahshayo70
Жыл бұрын
Waoooh jaman nabarikiwa mnooo.nakupenda sana wewe mama..Mungu azidi kukuinua
@immamwashiuya8446
Жыл бұрын
Amina barikiwa sana!
@EdmundTemba-pz8ui
3 ай бұрын
Amin
@JonasMathayo-nl6vd
Жыл бұрын
Uko sahihi mteule wa Mungu
@NimethNdelwa-zc9zj
Жыл бұрын
Amina mama
@HappyMwaigwisya
Жыл бұрын
UBARIKIWE usichoke usiache kuhubiri dada Nyisake Chaula. Nakufuatilia tangu enzi zile unaonyeshwa maona mkiwa mabinti kumi ktk mkutano. Mpaka Leo umesimama na YESU. Ubarikiwe sana
@daviesskipesha1351
Жыл бұрын
Nimebarikiwa.
@OscarEmmanuel-tc5vn
Жыл бұрын
Hakika ni neno la wakati lakuifanyia kazi, Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.
@ecabelmwai3474
Жыл бұрын
Powerful woman of God
@nyisakechaula9433
Жыл бұрын
Maranatha
@sarahjerusalem6256
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu Nyisake Chaula
@RaheliNgeze
4 ай бұрын
Kwa hakika
@RahabWanjiru-e6d
11 ай бұрын
Mimi mama mutumishi umeni saidia sana mama nime juwa mambo mengi sana na shukuru mungu kuwa kuamusha manabi
@jeanapasuke
5 ай бұрын
Ile nikweli mungu wa binguni akubariki sana makanisa inabakia tu vitæ kanisani kama ukonakweli kanisani aunarafiki wa mushungaji kwasabu unatafuta hukweli sasa untuchuhuria Nini kwasababu tukomu vitæ via sana kanisani asante kwa hufunuo uhuu Sisi waombaji tuvita sana kanisani zaidi Sisi waombaji
@mwambakasile952
Жыл бұрын
Mama , Mama, Mama yangu Mtumishi wa MUNGU aliyehai ,Mungu akubariki sana sanaaaa.
@HappyMwaigwisya
Жыл бұрын
Mtumishi Nyisake umepewa ufunuo kabisa maana hata Mimi moyo Huwa unauma unakuta kweli chakula kinatolewa lakin sio kile Cha kusikia kutoka BWANA. Kwakweli kwakweli kwakweli YESU KRISTO WA NAZARETH atusaidie mnoooo. Watumishi tafadhali sikieni neno hili ambalo Roho Mtakatifu kalileta kupitia mtumishi Nyisake. Tafadhali kaa magotini mtumishi wa MUNGU usiwalishe watu chochote
@lightnessgamasa6039
Жыл бұрын
Aminaaa barikiwa sàna mtmish wamungu
@masweto
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi Kuna swali je kujichubua na kujimekapu na kuweka black kwenye nywele je Kuna kosa?
@benedictobucke9062
Жыл бұрын
Ni kosa, msihi Roho Mtakatifu atakufundisha
@nelphinemasinde
Жыл бұрын
God bless you so much
@ubunifu113
Жыл бұрын
Ujumbe wenye upako wa kiroho! Barikiwa sana mpendwa! Data zangu haziendi bure nikikusikiliza, Toka unapoanza mpaka unamaliza nahisi kabisa nguvu za Mungu zinaongezeka kwangu!! Endelea kutulisha neno mtumishi wa Mungu
@nyisakechaula9433
Жыл бұрын
Ubarikiwe na Bwana tusonge mbelle tu
@modestshikilana4610
Жыл бұрын
Umesema kweli mtumishi
@suzanjohn5834
Жыл бұрын
Amen mtumishi Mungu akubariki saana kwa kututia moyo kipindi hichi
@marianahermes6301
Жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu. Natamani utufundishe na kuhusu kupaka rangi au nywele au kupaka cream ni sawa au sio sawa? Maana hayo ni moja ya maandilizi kabla ya kuja kwa Yesu. Mtumishi wa BWANA kazi yako ni njema mno Mungu akubariki.
@pascalinamukui8400
Жыл бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi wa mungu shupavu ✋. Ni kweli ni nyakati za mwisho mungu wetu na roho mtakatifu atusaidie 🙏
@giselemwenge6225
Жыл бұрын
Amina
@ngendakumanaberchmans9573
Жыл бұрын
Na Burundi tuko hewani tunaamini huyo mama anafundisha vizuri
@lyn254
Жыл бұрын
Amen Asante.
@mussatete2618
Жыл бұрын
Tuwe makini na wale wenye viewers wengi kwenye you tube channel tunalishwa matango pori
@vumiliawambula1716
Жыл бұрын
Amen Amen barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
@vumiliawambula1716
Жыл бұрын
Amen mtumishi Sasa wenye awana nafasi wafanye je
@vumiliawambula1716
Жыл бұрын
sisi wengine atuna uduma yoyote tunaofanya Ee Yesu naomba uduma iliunikute panafasi
Пікірлер: 42