Kumtuza Kungwi Sabrina Mpesa Till Number: 5564875 Mpesa Number: +254115279481 Farzana Mohammed
@tahiraabdul1701
3 жыл бұрын
Waambie wataolewa wakiwatwa....
@sadickkalinga6000
3 жыл бұрын
Nicheck 0734043173
@sallygrace1495
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sis 🙌
@faried2888
3 жыл бұрын
Ya mpesa haija kamilika
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Ziko Sawa na kamili kuna till number na mpesa number
@margaret8940
3 жыл бұрын
100% wisdom, it's my prayer that women listen because it's very empowering. It takes a brave lady to offer such guidance to younger generations saving them from alot of suffering and shame. Tukisema waache wasivae adult diapers in their thirties wanasema tunaongea vibaya. Thank you and keep it up. 👏👏👏
@Mg-wd6id
3 жыл бұрын
Kiswahili kitamu good advice my sister .first time to watch your videos .you are very honest, a teacher and a comedian .keep up the good work.
@masoudyrashidy9041
3 жыл бұрын
Dada sabrina shukran sana kwa class zako Allah akuzidishie hekma Zaid nakupenda kwa ajili ya Allah Na nimependa baadhi ya kauli zako kama vile backdoor maneno yako ni yenye fact kabisa na hio hali ipo tumuombe Allah atulindie vizazi vyetu
@shanisigwa8910
3 жыл бұрын
Amina kaka anguu
@AliMusaMasha
3 жыл бұрын
This is a majestic enlightenment to our society. Keep the empowerment going Sabrina!!!
@saidswalehe2907
3 жыл бұрын
Sabrina wameshakusikia hao wa kutoa kwa mparange wakome kabisa
@oliwia5877
3 жыл бұрын
@@saidswalehe2907 hej
@BMboss108
3 жыл бұрын
Hahaha haina mabega😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@RaniyahAnwar
3 жыл бұрын
SubhanaAllah skuhzi Hatumuogopi Allah,tunaogopa tu watu watasemaje😑😑😑
@khatibally4362
3 жыл бұрын
Nikwel nduguyang mitihan sjui hata tunaelekea wap
@gomesamakota3294
3 жыл бұрын
Yes
@gomesamakota3294
3 жыл бұрын
Yes
@gomesamakota3294
3 жыл бұрын
Yes
@leilaalihenry9626
3 жыл бұрын
Yes public opinion matters kuliko madhambi !
@sallygrace1495
3 жыл бұрын
Kwanza Mkae Kujuwa Mtu Yoyoto Yule Anaye Kwenda Kinyume na Maumbile Ni Mkosi Mkubwa Sana!! Mikosi Yote ipo Huko Nyuma!! Ndio Maana Mungu Haja Kosea Kuumba Hivyo, Uchafu Wote Upo Nyuma!! Basi Tayari Umesha Mgeuka Mungu na Umemfata ( Shetani/ Devil ) GOD Have Mercy Upon This World.
@abdallahrunwa1886
3 жыл бұрын
Wewe sabrina elimu uliyotoa ni nzuri wenye hakiri ya kutambua mambo watakuelewa tu kawia ufike wenye halaka wataendelea kuvuna machungu huo ndiyo ukweli mama mkwe hongera kwa kuelimisha jamii Ahsante ...+
@anwarambar6141
3 жыл бұрын
Mche Allah. dadangu hayo uyasemayo hatafai mitandaoni. kujitoa mitandaoni si sawa.
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Sikukuita hapa koma huko
@shanisigwa8910
3 жыл бұрын
@@SABRINAWANGECI 😂😂😅😆
@phyllisplays3811
3 жыл бұрын
Thanks for talking about this, its been in my mind thro research i found few of my friends broke with Tanzanians guys here in South Africa, because they love to do it at the back, its so weird... That a curse...
@davidmponda4221
2 жыл бұрын
Baba mungu mumbaji , akubariki maman Sabrina kwa mafundisho Mazuri umetupatia
@bammboomm7763
3 жыл бұрын
Umesema ya ukweli kuwafundisha wasichana na wake wakuu.jambo la kusikitisha kuwa mungu amelikataza lakini bado watu wayafanya bila kufikiria kuwa wanajidhuru na adhabu za mungu zawasubiri. Mungu awatie fahamu wanaume na wanawake washikilie dini kisawasawa.dunia ni mapito akhera ndio maisha ya milele
@azizawadh5973
3 жыл бұрын
Hawajui dini
@abdallahhalifa5860
2 күн бұрын
Mashallahu wallahi zipo nukta umeongea Fact Thnx soo much
@salimomarmkapa
3 жыл бұрын
Masha'Allah wape darsa dada Sabrina na Mwenyezi Mungu azidi kukusitiri. Watoto wa kike wa siku hizi hawajafundwa inabidi makungwi mtie bidii. Ila twakushukuru sana Dada Saby.
@luttumohamedfafara9630
3 жыл бұрын
Wee mwanamke unafundisha vijana wakipandwa na mzuka eti waende chooni? Kwa hiyo unawafundisha kujichuwa sio!!
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Kwani na huko kufira nyuma na wafundisha ni Mimi? Mtu mzima wewe jifunze kusikiza ujumbe vizuri nimesema ni afadhali kuliko kuwashawishi watoto wa kike
@salimomarmkapa
3 жыл бұрын
@@SABRINAWANGECI Pole inawezekana nikawa nimefungua 2 taps kwa browser yangu sasa nikaangalia video zako mbili kwa wakati mmoja afu ujumbe mmoja nikautuma mahala pasipo sahihi. Pole jamani sijakusudia wakati mwingine mtu hurukwa maana kujichanganya inawezeka kwa kila mwanadamu. Ila samahani. Dada Saby
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Apana namjibu huyu bwana luttu amecomment hapa
@salimomarmkapa
3 жыл бұрын
@@SABRINAWANGECI ooh nilishangaa huwenda nimecoment kimakosa. Haya we endelea kuwapa darsa, ila usivunjike moyo maana changamoto utakutana nazo kibao.
@alexkayere5078
3 жыл бұрын
Preach my dear sister, some young lady out here will heed your wisdom and take your advice. Keep up the good work 👌
@hamadmbarouk880
2 жыл бұрын
Good advice 👍 Darasa zuri sana...
@sulehassanshall6140
3 жыл бұрын
Barck dor.ninjia yashetani.Allah.Awaangamize wanaopenda back Dor..Allah.Awaadgirishe wote kina back dor.waadhirike Kila mmoja Awashuhudie wote ...Nawe wanaume wanao wachapa mpka wanaume back dor .Tunawaombea waadhirike wadhalilike...Wanaadam Tumejaza madhambi Duniani...Laana ya qaumu luti hio Wanaume Tuacheni Tunawadhalilisha sana wanawake...
@مستفيدابنالمفيد
3 жыл бұрын
ALLAAH akulipe dadake kwa kuliona hili tatizo na ukaamua kulikemea kwa mapana yake zaidi.
@fatmaali6571
3 жыл бұрын
Audhubillah min dhalik, Allah atuepushie sisi na vizazi vyetu
@mariamsaidaboud4959
3 жыл бұрын
AMEEN. AMEEN. AMEEN YAA RABBIL ALAMEEN
@mwanalikhamis9875
3 жыл бұрын
Amini amin mtihaani
@munirashughuli7224
3 жыл бұрын
Ameen ya Rabby
@issakawaya8315
3 жыл бұрын
Haaa
@issakawaya8315
3 жыл бұрын
Mashaallah
@a.856
3 жыл бұрын
Hahaha wambie Sab mana wanahisi ndio mapenz hayo kutowa nyuma kumbe unadhalilishwa na kutiwa maradhi😬
@sabraabdilnasir8826
3 жыл бұрын
Nimekupenda bure mumy ni ukweli mtupu allah avisitiri vizazi vyetu vyote
@mariamsaidaboud4959
3 жыл бұрын
Ameen
@sulehassanshall6140
3 жыл бұрын
Ciku hio wanao Cheza mchezo mchafu washetan siku hio tutayaona yale maovu Tulioyatenda Na Aibu nafedheha Tutaibika sana mble ya ulimwengu mzima ....
@abdulmalikabdulmalik5408
2 жыл бұрын
Sadaqta, umesema ukweli kabisa, Shukran kwa wasia wako! 👍
@qassimabalaqassimabala700
2 жыл бұрын
MashaAllah maneno mazuri dadangu kuwafuza watoto wetu wakike
@AhmedKijogoo
21 күн бұрын
Mashaalla mama toa elimu kwa jamii kwaabuba jamii yetu imeharibika leo kwa hio usisike aibu elimisha jamii hio mdio jamii yetu ya leo
@SABRINAWANGECI
19 күн бұрын
Asante
@antilopedelaltipiano1635
3 жыл бұрын
I don't know you but I just like you my sister in Islam!
@JosephAlex-m1k
3 ай бұрын
umekosa kazi wee Mama,, kaa nyumbani ulee watoto................
@SABRINAWANGECI
3 ай бұрын
Mama ni mamako alokuzaa na mkundu asouosha
@mataypanga5262
2 ай бұрын
Mbona una matusi😂@@SABRINAWANGECI
@ahmadfaki9597
3 жыл бұрын
Honger kwa nasah zko Allah atakulipa ila wke kuen makn Sana musijivunjie heshim kwakumstrehesha mme
@abdibile9685
3 жыл бұрын
MashaAllah kipenzi Allah akuhifadhi i learned a lesson ubarikiwe xnaa
@manoumichaels1666
3 жыл бұрын
Hahaaa hii imeenda viral man ina wanavyo penda matako wakwetuu 🥺mabasha kila uangaliapoo
@aminiahmad-i9q
Ай бұрын
Allah alie kuumba anakusikia kuna watu Allah amewanyima usemi wakawa mabubu wewe utumie ulimi wako vibaya muogope Allah
Hapo libaya lipi amesema yanayoendelea mtaani au nyie ndo mnafanya hivyo
@rozanmuthoni3927
3 жыл бұрын
Kizazi cha sasa hakisikii Wanataka kujaribu kila kitu Kw wakati moja...
@carolineakinyi2902
3 жыл бұрын
Umesema ukweli mtupu
@pascalovinda6563
3 жыл бұрын
Reality watu wengi wanaogopa kuongea... 👏👏👏👏
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
👊🏽👊🏽👊🏽
@salimsaid7200
3 жыл бұрын
Kweli Ni Elimu Mm Na Umri Wangu Nilikuwa Sijuwi Kama Wanawake Mkizaa Mnakunya.😁😁😁😁😁
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Umeonaeeeee 😂 Kuzaa ni kitu cha maajabu Sana subhanallah
@salimsaid7200
3 жыл бұрын
@@SABRINAWANGECI Subhanallah.
@allykhamis670
3 жыл бұрын
Ukweli mtupu congratulations dada
@AishaAli-lk7gh
3 жыл бұрын
asalaam aleikum shosty kweli kabisaa Mungu aongoze vizazi vyetu
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Waalaikum salam amin
@amirkeynan9455
3 жыл бұрын
Saw the topic nikaja mbio sana,sijui utamu uko wapy huko nyuma natamani nimmulize mwanamke,maana mi siwezi taka kutiwa
@MartinKarari
3 жыл бұрын
Nilogopa kusikiza lakini nkajaribu na una mawaidha si haba. Asante Wangeci
@Nicecalgarian
Жыл бұрын
👊🇨🇦💞 Sabrina you have hit the nail on the head. I enjoyed and laughed at the same time. When I dated it was the intention of getting married. Been married for 16 years 👊
@SABRINAWANGECI
Жыл бұрын
Welcome☺️
@hawalulaabdille4005
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂hata kabla kuwatch umenimaliza na haka msemo kako..😂😂😂😂😂ntho kwa babaa basi!kichwa tu haina mabega santaa 😁😁😁😁😁😁😁
@@swaumdodoma7591 si nimesema ukweli wangu sasa kama ana mtu atasema🤣🤣☺
@zahraabdi3799
3 жыл бұрын
Anza kujiheshimu wewe dada wewe ni mwislamu Swabirina kumbuka kuna kufa hii ni laana kubwa kwa mwanamke wa kiislamu kujieka hivi wazi kwa mitandao muogope Mungu dada
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Katombwe mbele huko sijakuita hapa we mwislamu mkubwa. Katafute darsa uskize
@kijanahodari2080
3 жыл бұрын
Dada #Zahra jua njia ya kumwambia mtu kw ustarabu na maneno mazuri kila kitu pole pole,wengi wanatamani kujiunga na uislam ila wanaogopa manena yasiyo kuwa na hekma kutoka kw baadhi ya waislamu
@sadickkalinga6000
3 жыл бұрын
Kwani yupo uchi hapo?
@leilaalihenry9626
3 жыл бұрын
Hm. Hawa ndio wale wajifanya religious and can’t talk about these things that are in society . Nana ndio maiblisi wakubwa ! If you don’t like the content get lost !
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Inamuhusu hii topic!
@husseinrashid5046
3 жыл бұрын
Sincerely speaking hapa I kudos you sister umeongea kama wanawake 100.🤙
@abdallaabdulrahman8319
2 жыл бұрын
I kudos
@praxedaandrewkato7472
3 жыл бұрын
Nimependa ushauli yako is the truth what your saying girls should be very careful my sister . And thanks to your wise
@kenyandamu
3 жыл бұрын
Watoto waende shuleni wasome ... Mambo ya kutongozana waachie watu wazima au sio.
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Kabisaaaaa 👊🏽
@H-moneybags
3 жыл бұрын
Na hao madada zetu wasiku hizi wako tayari kuzaa nje ya ndoa tena akipata mimba ndio yuwapost kusema yuwashukuru kupata mimba asema mom to be bila kuogopa mungu waongeleshe
@rashidrio
3 жыл бұрын
... pap... umebonga pOint... pap... New Subscriber
@norahtsakiris4355
17 күн бұрын
Nani kakwambia Kenya hawana mchezo huo? Kama hamuyajui bora kunyamaza kabisaa. Wao ndo wanapenda sana miaka na miaka bac si ya leo hayo, kwao ni kawaida hayo
@mugandjasaeed9613
3 жыл бұрын
Huyo ni ukweli, unaushauri mzuri sana
@omerakisum
3 жыл бұрын
Very attractive lady....mwah
@mrsawadh5716
3 жыл бұрын
Shosty u look good😍
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Asante 😍
@badrumbarouk3377
3 жыл бұрын
Hii yote ni sababu hatukutaka sheria ya Allah na hatutofanikiwa kwa hilo mzinifu mwanamke na mzinifu mwanaume wote wapigwe fimbo 100 wla isigusen huruma ila wanaadamu wamekuja na sheria zao unazan tutafanikiwa c kwel tumuogopen Allah nakufata sheria zake tutafanikiwa sio maneno tu niuwongo
@stefanogizzler
3 жыл бұрын
Very nice Sabrina, highly articulate, enlightening and sound content, keep it up!!
@rizikingala6399
3 жыл бұрын
Nakupenda bure mama kijacho huogop mummy duuuuuh so kwa ujasiri uo honey
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Nakupenda pia 😍 😂😂😂
@UmiRiyaan
3 жыл бұрын
Ukienda kuzaa unafaa ukunywe vitu vya liquid tu...usikule solid food before in labor pain.Jonde,mavi na mharo zote same.
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Utajuaje wenda kuzaa? Mtu gani wa mimba ata survive na liquid only? Kunya labor is almost normal but ukiwa na kazi mbovu ukisukuma na nyuma kwa toa upepo kama wavuzia moto wa kuni.
@findinglela
3 жыл бұрын
She is so intelligent. Don't let her traditional look fool you.
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
#word
@vaxcraker99
3 жыл бұрын
Watu wa pwani au mwambao wanapenda sana mchezo huo. Nafikiri hii ni influence ya waliokuja kututawala East Africa. Sababu nyingine kubwa ni kulinda bikira, na sasa imekuwa janga kubwa.
@richardkaringuri5557
2 жыл бұрын
Kwa Mpalange ni tricky
@مستفيدابنالمفيد
3 жыл бұрын
Wadada wengi sana wameathirika na huo mchezo wa liwatwi. Nimeshuhudia dada mmoja kaachika kwa kumlazimisha mumewe kufanya liwatwi. Mume alikataa kabisa habari hiyo, na ikawa sababu ya kuachwa mdada huyo. Lakini ukweli ni kwamba, mabinti wengi huharibikia tangu mashuleni. Wakifanya liwatwi mashuleni kwa sana, eti kwa kuogopa kupata mimba. Ni hatari sana. Semina hizi zikiwafikia watoto wa mashuleni, naona zitakuwa zimefika pahala husika zaidi.
@zuhuraalhipha1449
3 жыл бұрын
Allah atunusuru
@xamael1989
2 жыл бұрын
Kwa mpalange kama kahawa paka futa piga dudu
@zulachama1067
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣tobaaaa,nyuma ntakupa mbele njoo kwa bbangu.sasa uko kwa mparange ndio hakuitaji kwa baba,mwataka haribu chumba tu kiwe kakibarani🤣🤣🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
@AhmedKijogoo
21 күн бұрын
Good work keep going up madame
@makamehamad8954
3 жыл бұрын
Oooooh ujumbe umefika lkn hao walionogea cjui km wataskiliza ujumbe huu
@@SABRINAWANGECI kweli kabisa huukukosea kbsaa ni ushoga 😆😆😆😆😆😆😆 hupenda roohoo yanguu 😂😂😂😂😂😂🌹
@SudyKamonongo
2 ай бұрын
@@nassiraly9993nichek inbox ili nikufanyie utakacho
@hnulu2912
3 жыл бұрын
Mungu akubariki na akupe afya uzidi kuelimisha watu.
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Amin In Shaa Allah
@mariamsaidaboud4959
3 жыл бұрын
Ameen yaa Rabbil Alameen
@baloz8974
3 жыл бұрын
Big sister
@antilopedelaltipiano1635
3 жыл бұрын
Nimekumiss Sabrina 😘 wapendeza mashaAllah
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
😍
@marhaban2012
3 жыл бұрын
Asante sana Sabrina, mungu ata hifadhu wa toto wako .
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Amin😍
@barkembarak9270
3 жыл бұрын
Ameen Ameen Ameen
@official_emranakakanumba5973
3 жыл бұрын
Swabrina Kama swabrina 🥰🥰🥰🥰
@abdulismael78
3 жыл бұрын
Mungu akueke ili upate kuwaambia ukweli wasio jijua wapate kujijua in sha Allah kher 👌
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
Amin 😍
@abdulismael78
3 жыл бұрын
Swabrina sisi ni Muslim na nyuma pia ni haram sana dada zetu waswahili ndio michezo yao
@ameryharoun7223
3 жыл бұрын
@@SABRINAWANGECI mashallah nakupenda buree my mungu yuko pmoja na ww
@mohamedkhamis3404
3 жыл бұрын
Mashallah ukweli mtupu congratulations.
@johngongana670
3 жыл бұрын
Shukran Sabrina....
@abdibashir8651
2 жыл бұрын
Asante dada ninakuuga sana nyuma kuwa mke subhaanallah siuowe hiyo ni tapia chafu sana ukiwa mume au mke hiyo Tabia muwache dada ni sina
@mariamhaji2907
3 жыл бұрын
Mtoto wangu Wata uyafanyao sio sawa
@paulmutuotakaruga250
2 жыл бұрын
Pure wisdom 💯
@SABRINAWANGECI
2 жыл бұрын
👊🏽👊🏽👊🏽
@nelsonkasambala6849
3 жыл бұрын
Ole wao wafiraji na wafilwaji.kwa maana hakikaka wataenda kwenye tanuru la moto
@abdikarukaru511
Ай бұрын
Good advice
@SABRINAWANGECI
19 күн бұрын
Asante
@princessluludamour2622
3 жыл бұрын
Napenda Huyu dada jamani 😘
@SABRINAWANGECI
3 жыл бұрын
😍😍😍
@utaani1
3 жыл бұрын
@@SABRINAWANGECI ila masha Allah na wewe umzuri sister mkali utadhani umeshushwa
@shirykokirimo5511
8 ай бұрын
Kiboyfireee ni kejeli sana,kitendo Cha kuingia bafuni na Vaseline pia ni haramu katika uislaam,alafu pia Vaa ninja usionekane sura ,mikono y'ako !
@khamisali6898
3 жыл бұрын
😂😂😂😂its funny hapa hakuna comments mingi za madem....😂😂 Nimependa kiboyfire na kizinda😂😂 great content tho
@swaumdodoma7591
2 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Imebidi nicoment chapo ya Kitambo miye kusikia kiboyfire mbavu Sina kizinda ndo kabisaaa mwanzo sikuelewa baada ya kuelewa nimecheka sana
@alifaabdhallah2324
3 жыл бұрын
Hongera kwa ibada mzito
@vikiiphoneparts2382
3 жыл бұрын
ushazoea kwa Mpalange tena umpeleke mbezi..Bado sana..huu Wimbo unachochea kugeuzana
@maryammohammed7472
3 жыл бұрын
Kabisa
@mohamedabdirahmanomar9211
2 жыл бұрын
Allah atunusuru
@makindukitana6636
3 жыл бұрын
Wakenya hawapendi huo mchezo wa mkundu. Huo ni mchezo wa wa Tanzania siku zote
@t.h.u.g934
3 жыл бұрын
Mombasa si ndo home ya hayo mambo
@shanisigwa8910
3 жыл бұрын
@@t.h.u.g934 asitisingizie TZ uyooo mwambie jmn
@shanisigwa8910
3 жыл бұрын
Muongo jmn
@ShariffOmar-p8g
Ай бұрын
Asante mgiriama wangu niandalie ugeni nakuja kuchukua mwari mmoja huko lamu😂
@SABRINAWANGECI
Ай бұрын
Ukifika lamu wasalimie
@amitalyall8846
3 жыл бұрын
Hi sister mi niko London I love to see your video Mungu akujaliwa
@mohammedbandomohammed5863
3 жыл бұрын
So wha if yr in uk what matters is yr life that doesn’t mean yr rich me to I live in b16 9na
@zebumsigala4125
3 жыл бұрын
Blash blash Zatia nimba jaman, mzuri hiyo ccteriii
@msabahkhamis9438
3 жыл бұрын
Afadhali hili mkiliongea nyinyi wenyewe wanawake mtaeleweka zaidi cc wanaume kwa hili hao wahucka wanatuona tunaporoja tu ujumbe mzito umefika saf sana mungu akulipe kher akupe mwisho mwema pia iwe somo hilo nisababu ya kueleweka ulimwenguni kote na iwe sababu ya kuokoka mm na ww mbele ya Allah
@machibyajeremia9650
2 жыл бұрын
Saprina upo vizuri kwa kutoa elimu hivi weye mtu wa wapi lamu au kiswahili yako laini
@SABRINAWANGECI
2 жыл бұрын
Asante sana! Mi ni mzaliwa wa malindi
@uwimanaissa8755
Жыл бұрын
Nipe simu ni kija Dar uni pee muschana wa kuoa yani naona we mtu mzuri wa dini
Пікірлер: 610