Tunakupenda sana kiongozi wetu muadilifu. Tunakukubali sana Allah atuvushe salama kwa mazalimu wanao tukalia kwa mabavu bila hiari yetu
@user-hu4sd7bg8n
3 ай бұрын
Allah jalia huyo ndio awe raisi wetu wazanzibari. Asimame na nchi yake kama hivyo. Tunakupenda sana makamo wetu ❤❤❤❤❤
@mullestv2680
Жыл бұрын
Jaalia huyo ndo raisi vichogo bye kudadeki tumechoka muungano wa kidhalimu. Hvi wanatutka nn watanganyika
@muhammedbakari2867
Жыл бұрын
Hongera sana kiongoz.. inshallah Allah atatuvusha kwenye nakama hii tuliofanyiwa sis Wazanzibar..
@kassimjigge4727
Жыл бұрын
Jamani watu walioelimika kama huyu kuwahadaa maskini hawa kisa tu hawajui kitu! Karume na baba zenu na mababu zenu walikuwa wajinga kuiingiza Zanzibar ktk muungano! Wafuufueni basis muwahoji badala ya Tanganyika Tanganyika muda wrote!
@salyali7807
Жыл бұрын
@@kassimjigge4727 na mimi nauliza suala kama hilo vipi Mwinyi very educated person anaeweza kupata kazi ikampa mahitaji yake bila ya wasisi vipi anaamua kuijaza mikono yake damu za watu just kupata cheo.. hili linanishangaza..
@jumamohamed3168
Жыл бұрын
@@kassimjigge4727 Karume mwenyewe waligombana na Nyerere kuhusu huu Muungano,na wakawa hawasemezani .
@AliJeff-ko8fo
Жыл бұрын
@@kassimjigge4727😅
@khamisjuma8501
Жыл бұрын
From USA 🇺🇸
@sadih5333
Жыл бұрын
From Canada 🇨🇦
@khamisjuma8501
Жыл бұрын
@@sadih5333 neworleans Louisiana
@fadhilahaji7929
Жыл бұрын
Mtaweza kuondoa utaratibu huu maanahaya mambo yashaota mizizi na wanaona kwamba wao niwao tu ni miliki yao wao wamepindiwa
@sultansallah8772
Жыл бұрын
Sasa ivi TANGANYIKA mzima wote wanahubir bandari ndo mahubir ya makanisani kote
@johnycavishe5207
Жыл бұрын
Wapen nchi yao jamn Tanzania viongoz wote wakubwa weziii
@derickcowly6681
Жыл бұрын
Majambazi kweli kweli
@derickcowly6681
Жыл бұрын
CCM waondoke kokote Muungano basi kweli ni bora uvunjike kwa gharama zote zile
@FLukwaro
Жыл бұрын
Uko sahihi Mhe. OMO. Kuhusu ZNZ kutopata fursa ya kumchagua rais wa JMT, tusaidieni kupaaza sauti tupate serikali ya Tanganyika kusudi mipaka ya mambo ya muungano yawekwe bayana. Serikali ya JMT iwe na utaratibu unaoeleweka ambapo sasa tutakuwa na usawa ktk kuchagua kiongozi na utaratibu bora wa kuiendesha
@ramsonramadhan4156
Жыл бұрын
❤
@nestor384
Жыл бұрын
Yaani Watanganyika wakidai Tanganyika yao wanaitwa wabaguzi, wazanzibar wawe ndani ya CCM au nje wakidai Zanzibar na maliasili za Zanzibar si wachochezi!.. Si bure watanganyika tumerogwa ndiyo maana leo bandari zetu zinaingiwa mkataba wa kihuni!
@saidabdillahi8107
Жыл бұрын
Tatizo watanganyika mnakumbuka Tanganyika yenu inapokuwa Rais wa Tanzania ni mzanzibari wakati sisi wazanzibari hatujawi kunyamaza kuidai zanzibar yetu kwa hiyo tumezoeleka kwa upande wenu munaonekani mumekuja na lugha ngeni masikioni mwa wengi
@sylvestercameo6263
Жыл бұрын
@@saidabdillahi8107 Umenena kwa usahihi, siyo kawaida kwa watu wanaojitambua nchi yao inaondolewa kwenye historia na ramani ya dunia halafu mnachekelea na kupiga makofi. Tunataka usawa katika serikali tatu, Tanganyika na Zanzibar kama wazazi na Tanzania kama uzao wa hao wazazi wawili. Sasa hivi Kuna mzazi mmoja na mtoto, mzazi wa Pili alienda wapi?
@mohdchuma78
Жыл бұрын
😂
@magaigwa4204
Жыл бұрын
Hivi huu muungano ni wa nini kama wazanzibar wenyewe hawautaki?
@zuzadomikano3765
Жыл бұрын
Wana CCM wao wadai Zanziba ni maliyao nawatafanya wakitakacho nandio ilaniyao ,wana CCM wanaona nivyema hivyo kweli ! Simuamke jamani !!!
@DeusiSetivin-ls9uz
Жыл бұрын
Tamaa na chuki zinawasumbua
@abdullaothman1064
Жыл бұрын
Hujitambui
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Wala msipate tabu hata sisi hatuwataki mnauza bandari zetu ziuzwe mchukueni huyo mama hatumtaki jamani
@emilbocco5895
11 ай бұрын
Na umeme huo wa zanzibar sasa hivi unatoka wapi? Jifananisheni na comoro sio Singapore ile si nchi ya kiislam
@emilbocco5895
11 ай бұрын
Na hao wabunge wa zanzibar ndio mawazir wanao ongoza mambo yasio ya muungano huku bara, kama ubhukuzi utalii,n.k na zanzibar inapokopa huko nje kwa kutumia dhamana ya muungano ambapo uchumu mkubwa ni wa bara
@naftalmero7309
Жыл бұрын
Nimeshiba! Kuna watu wenye mbongo. Watanzania kiweni macho.Huyu bwana ni kichwa. Twemde sasa kwenye bandari....
Muarobaini wa kumaliza matatizo yote hayo ni kuandika Katiba Mpya kuzingatia Rasimu ya Warioba itakayounda serikali ya Tanganyika na serikali ndogo ya muungano itakayozingatia usawa ktk kuendesha mambo ya muungano. Period. Short of this, malalamiko on both sides hayatakoma kamwe
@khalidibrahim4579
Жыл бұрын
Unawaona WaTanganyika sasa Raisi MZANZIBARI wa hishma na adabu hawamtaki Chuki za Ukirto Huyo Nyerere kapokelew Dar es Salam [ JINA LA KIARABU ) LIKATAENI NA WAISLAMU WAKAMKABIDHI CHAMA FADHILA ZA PUNDA MASHUZI
@emilbocco5895
11 ай бұрын
Nyerere alipokua anastahafu alita rais waTanzania atoke zanzibar na alipendekeza salim ahmed salim ,angekua mwarabu wa kwanza kuongoza Tanzania
@zuzadomikano3765
Жыл бұрын
NDIO MANA SHENI NASEIF ALI IDI WALIKUBALI KUUA WATU ILI IPOTEZWE KIBARIDI BARIDI ZANZIBA .
@imsimk.khamis574
Жыл бұрын
Allah atujaalie aubadilishe utawala mpya na chama kipya ktk Viwa vya Zanzibar. Lakini. 1.👉Reconciliation for all party. 2.👉 Resiliance to the borth party and its people. 3.👉 Responsibility kila mmoja awe na ychungu wa Nchi kwanza ndio chama. 4. 👉 Rebild the country for all. Allah atupe imani tuweze kuyafikia haya
@fadhilahaji7929
Жыл бұрын
Mh hayo mtayamaliza maana ni mengihaya madhila na dhulma kila upande
@hajiabdalla5772
Жыл бұрын
Nyote ndio wale wale.kuwstumilia skili za mijitu mivivu isiyojielewa kwa kuingiza pesa mifukoni mwenu
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Wala act yenyewe haina nguvu huko zanzibar umeshakubali maridhiano wewe kula kuku tu
@WeyaniTvonline
Жыл бұрын
😂😂Mage bwana, maneno yako kama vile unaijua hiyo Zanzibar yenyewe 🤔. Bara hamuijui Zanzibar na wala hao Wazanzibari wenyewe hamuwafahamu🙄
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
@@WeyaniTvonline mie mtanga nisiijue zanzibar wakati twenda kwa boti kwenda na kurudi kwetu Pangani vitu vyote twavipata kutoka huko na mombasa haya waniambia nini
@khatibal-zinjibari6956
Жыл бұрын
@margarethpolepole7438.Wala Hizbu Mapinduzi (Chama Cha Mapinduzi) hakina nguvu Zanzibar. Ndio maana majeshi hupelekwa kwa Mauwaji wa Waislam: 1) Kupunguza idadi ya Waislam. 2) Kuleta Watanganyika. 3) Kuimarisha Ukoloni. 4) Uhuru wa Kanisa. 5) Utawala wa Kipagani. 6) Uhuru wa Mila za Kimagharibi. 7) Kutekeleza NYEREREISM.
@khatibal-zinjibari6956
Жыл бұрын
@@margarethpolepole7438Baadhi ya watu wa Tanga ndio walopindua Serikali Halali ya Watu wa Zanzibar kufuata amri ya wa Wakiristo: 1) Julius Nyerere 2) Oscar Kambona 3) John Okello
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
@@khatibal-zinjibari6956hamna kitu hapo wakristu na waislamu tumezaliana sana achana na udini kabisa mana yake hayati Karume unamjua dini gani na kabila gani hujui historia umezaliwa juzi ndiyo maana hawa viongozi mahayati Mwalimu nyerere na Karume wakaleta muungano kutoa ukabila udini nk walioko bara wengi ni wanzanzibar kwenu ni kakisiwa tu kalikojaa watumwa wa kila kabila hamna hata lugha maalum zaidi ya kiswahili funga mdomo waki tujenge muungano
@juliusakilimali9424
Жыл бұрын
Zanzibar mna kitu gani?
@AliAli-lw9bj
Жыл бұрын
Zanzibar haina kitu. Mbona humukuungana na Kenya, na Rundwa.
@khatibal-zinjibari6956
Жыл бұрын
ZANZIBAR NA DINI YA KIISLAM @juliusakilimali9424.Zanzibar ina Uislam na ndio sababu ya Mkatoliki Julius Nyerere aliivamia kwa jina la Mapinduzi (Crusade), kuiteka kwa Ukoloni wa Tanganyika.
@sultansallah8772
Жыл бұрын
Kwan TANGANYIKA inann. Jinga kwli ww visiwa vina mafuta unaulz vna nn. Visiwa vna bahari kuu unauluza vina nn wakat TANGANYIKA haina bahari kuu meli zote haziwez kuingia kwenu bila kupita zanzibar
@Jal210
Жыл бұрын
@@sultansallah8772kwenda mpumbavu mmoja wewe na uzanzibar wako kaa nao huko visiwani kwenu.
@labunaabouna6122
Жыл бұрын
Nasie Tylor chelewaKuangalia pia
@sifakamwela6430
Жыл бұрын
Hakunaaaa , sisi wazanzibar hatutak kuvunja muungano , wee jamaa mamluk2 huna jipya elimu yenyewe ya madrasa hujui hata jz , historia hujui kabisa ,kalale
@abdullaothman1064
Жыл бұрын
Hatutaki kujua historia kwamba tuhitaji mwalimu mzuri wa historia . Tunakijambo chetu Kwa muda mrefu
@jumatheo5937
Жыл бұрын
BWA nzito upo!!?
@meshackbinde1944
Жыл бұрын
Hawa jamaa wameuchoka muungano huu!
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Huna jipya wewe umeshakubali maridhiano kitambi hicho acha kuwaongopea wenzio tishio alikuwa maalimu sefu wewe kama ni mti mpapai humuwezi Rais Hussein Mwinyi anachapa kazi inaendelea
@hbtv4169
Жыл бұрын
WEGENI WANAIJUWA ZANZIBAR KULIKO HATA SISI WAZANZIBAR WENYEWE YAANI UMEZALIWA ZANZIBAR UNA MIAKA HADI 30 UKO ZANZIBAR HUIJUWI SEHEMU YOYOTE ANAKUJA MGENI MWEZI TU ZANZIBAR YOTE ASHAIJUWA NA VILIVYOMOOO NDANI YAKE
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Tatizo nyie shule wote huko ni mazalia ya watumwa hamna hata kabila maalum watumwa wa waarabu kila kabila limejaa humo hamna lugha zaidi ya kiswahili
@hbtv4169
Жыл бұрын
@@margarethpolepole7438 tatzo si waarabu sisi tunajua kuwa waarabu hamuwapend watanganyika wala tatzo sio utumwa maan hata marekani kuna watumwa na wamezaliwa hukooo
@WeyaniTvonline
Жыл бұрын
Na huko kwenu kwenye makabila ndo mmepata nini? Hizo lugha zenu za makabila zinawasaidia nini? Shuleni mnafundishwa kwa lugha ya Muingereza ambayo hamuielewi ndo maana mnafeli tu. 😂Dada Mage kichwa chako bwanaa
@hbtv4169
Жыл бұрын
@@WeyaniTvonline mm kwenu kusiniii zanzbar hakuna makabila wa hatuongeii lugha za makabila tunaongea kiswhili cha kibantu asilii
@suleimanalkindy6502
Жыл бұрын
@@WeyaniTvonline Pamoja na Kiswahili anacho kipiga vita.😂😂😂😂.
@OmerSuley-gl7go
Жыл бұрын
Hawa CCM ipo siku Mungu atawapa laana ya milele maana wamezidi sasa sisi wazanzibari tumeshaamua kuwa hatuutaki Muungano usio na usawa kama haiwezekani na uvunjike tubaki kuwa majirani wema tu
@charlesmazigo8106
Жыл бұрын
Sisi wataganyika ndo tunapunjwa,hatuna serikali,hatuna nchi,hatuna bendera,hivyo vyote mnavyo,mnalalamikia Nini?
@OmerSuley-gl7go
Жыл бұрын
@@charlesmazigo8106 Nyinyi muna kila kitu acheni uzushi kikubwa ni jina limebadilika kutoka Tanganyika na kuwa Tanzania tuacheni unafiki bwana
@Jal210
Жыл бұрын
Wewe kama unaijua dini huwezi kutoa maana wewe mjinga mmoja
@OmerSuley-gl7go
Жыл бұрын
@@Jal210 Kudai haki zetu tumekuwa wajinga leo? Nimesema laana atatoa Mungu wala sio mm maana sina uwezo wa kutoa laana ww kama limekuuma kaa pembeni hii ni channels ya wazanzibari au hii habari inatuhusu wazanzibari na sio nyinyi watanganyika
@brightergermanus2163
Жыл бұрын
HAUNA JIPYA KAA KIMYAAAA MGOMBANISHI MKUBWA WEWE
@IbnuAlly-cg2gn
10 ай бұрын
Ugombanishi gan au kuna uongo
@mulhatramadhan1147
Жыл бұрын
Hamna jipyq
@hassanbakar
Жыл бұрын
Apewe mauwa yake Othuman massoud
@johnmahu5060
Жыл бұрын
Ccm ndo wezi waondoke bara na Zanzibar muungano uanze upya wkt huo bandari ya irudi
@khatibal-zinjibari6956
Жыл бұрын
WAAFRIKA KUTAWALA WAAFRIKA? Tanganyika, Kenya, Uganda na Zanzibar zote zilipata Uhuru kwa Muingereza. Kwa nini Tanganyika iliivamia Zanzibar kwa Ukoloni?
@Jal210
Жыл бұрын
ACT Njaa ya madaraka
@ZaitunAbdallah-ol1bb
Жыл бұрын
CCM wesha wamekaa kama mbwa anaekaribia kufa kwanza anapoteza kunusa na kushindwa kuta futa chakula pili kanashindwa kurudi kwao tatu kushindwa kuta futa mama mbwa ili aongeze familia
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Zaitun haya kama mwawrza ichukueni zanzibar aliyekuwa anaitisa ccm ni mwendazake maalim seif wengine hata hawaiwezi nyie mneshakubali maridhiano ritdhianeni tu nyie mwapiga kelele wenzenu wala huoni mitambo hiyo shuti wapanda mavx nyie act wazalendo ......... kwisha hamna kitu aliyekuwa anatikisa mwenye karama yake keshakuwa mwendazake hao wanakula rudhuku tu
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Zaituni acha matusi angalia zanzibar ilivyotengenezwa na Rais Hussein Mwinyi zanzibar ya juzi na jana ni sawa na ya leo mnyonge mnyongeni haki yake mpeni mama Samia na Hussein Mwinyi wanachapa kazi vizuri kutengeneza kwao wewe una mawazo finyu ni hamnazo wapeni waua yao
@jumamohamed3168
5 ай бұрын
Ukiwa na uwezo mdogo wa kutafakari mtu atakudhulumu pesa nyingi sana kisha atakupa fedha kidogo wewe utaona unanufaika ,kumbe unazofanyiwa hadaa ni nyingi zaidi kuliko pesa ulizopewa ndio yanayofayika sasa hivi.
Пікірлер: 82