SubhanaLlah tazama dhulma ya wazi huyu sheikh hata Allah hamuogopi msikiti unaviongozi wake walochaguliwa na waumini na wanasimamia mali za msikiti vizuri bakwata wamekuja kuchukua msikiti kwa nguvu
@abumaryam6909
Жыл бұрын
Allah (s.w) ajalie moto kwenye matumbo yenu yenye chanjaa hapa duniani na akhera aamin
@mnibomnibo5312
Жыл бұрын
Bakwata mnasababisha migogoro ndani ya miskiti Allah atawadhibu kwa hiki mnacho fanya
@amerwelder7786
11 ай бұрын
Allah atunusuru Sisi wa zenji na Sisi miskiti yetu isijechukuliwa na ofisi ya mufti
@anselmoonolius
Жыл бұрын
Ushauri wangu ndugu zangu waislam, mpeni BWANA YESU maisha Yesu ayatawale maisha yenu awatue na hyo mizigo ✝️🙏
@mbaraktaher4911
Жыл бұрын
Bwnaa yesu mwenyewe alikuwa muislam we chizi kweli
Mm nawapenda sana Al shaabab kwasababu huyo bakwata angekatwa kichwa tu.hapo hapo.
@bobdeobobdeo8026
Жыл бұрын
Safi sana mashekh inatakiwa muige kama hivi. Maana haka kadhehebu kaloingia kamasalafi kanagawa sana uislamu bila kujielewa. Kwamm huwa nasema ni makufar hawa
@anwaraliakrabi554
Жыл бұрын
Nakuhurumia hujui chochote na usimhukumu mtu kuffar ,ni kosa kwa muislamu kuhukumu hivyo , sada huyu shekhe wako alikuja akitaka apewe nyumba 2 aliponyimwa ndipo akaja kufanya fujo hili na hakufanikiwa ,angekuwa na akili angekwenda mahakamani na angesubiri apewe mali hizo na mahakama siyo kuchukua sheria mkononi, na mwisho tukutane mahakamani .
@myonlineteacheracademy8207
Жыл бұрын
Allah akuoongoze. Usalafiy ndo njia ya sawa
@juliuscheleza5464
Жыл бұрын
Njooni kwa Yesu huku hatuongeagi kwa jaziba
@kaluluu2011
Жыл бұрын
Duh .dhulma iyo
@abuuabdirrahmaan4132
Жыл бұрын
Allaah amewavika udhalili kwa sababu ya kuikimbilia dunia
@fatumasukwaju226
11 ай бұрын
Kebeke wengi wa waislam tunakuchukia sana.kwa kuwa huna lugha nzuri.Naamin hata Mwenyezi mungu umpendezeshi kwa jeur uliyonayo.Vyote tutaviacha.ni vya kupita tuu.Ishi duniani kwa Wema.kataa kuwa chambo.
@allysaid6742
Жыл бұрын
Kiongozi na katibu wa bakwata wa mkuoa ambao huo ambao mumetoa maelezo hapo kwakweli kumefeli na hamfai kua viongozi, jeuri, majigambo, kibri hayapo kwenye dini, ili uwe kiongozi mzuri lazima uwe na hekima pale unapoongoza. (ELIMU INAHITAJIKA KWENU)
@msakuzikondo536
Жыл бұрын
Aibu Aibu tu
@adamsilumbe8356
Жыл бұрын
Sheikh wa mkoa wa mwanza walianza vzr kwa kusema msikiti uko chini ya baraza kuu la waisilamu ila muumini aliesima nae kaongea point yake kwa haiwezekani mtoke huko mtokako msindwe kuongea na viongozi wa msikiti huo nakisha kuvunja uongozi mzima pasipo na waumini kukubaliana. Hapo kiongozi wa bakwata mwanza unamakosa
@ziadamtebwa3712
Жыл бұрын
Haki lpo Kwa mungu mtaikuta Allah atawauliza
@Mauya23
Жыл бұрын
Kwa ufupi Bakwata mjue waislamu hatuna imani na nyinyi wala hatuwakubali, mlichobaki nacho ni mabavu na kutumia dola pekee, jueni hilo kama hamjui
@zariadunia6328
Жыл бұрын
Huyu sheikh wa mkoa kwa hapa amekosea sana hii ni inyanganyi ambao haustqhili hata kidogo analitia baraza baraza linakuwa kama waporaji Mh Muft anamiangalia tu huyu kijana hatabkama anaaokoto anampelekea lkn huyu kijana lwq habari nilizozisikia mwanza waislam wa mwanza wanasononeka sanna utawalq wake halafu yeye ni mgeni katoka kigoma lkn wenyeji hawana la kusema wameshasema wanamuachia mungu
@JabirBakar-ys8dw
Жыл бұрын
takbiiir allahu akbar alhamdulillah misiskiti imerudi kwa waislamu
@mwajumamohd7930
Жыл бұрын
Kwani ilikuwa kwa wanaswala au? Sijakuelewa,kiufupi sisi tunaojua,ni kwamba msikiti umetoka kwa waislamu umeenda kwa wanasiasa,bakwata hamna dini pale ni siasa na mambo ya serikali
@ibinmgeta2406
Жыл бұрын
We ni juha kwaiyo ulikuwa kwa makafili.
@JabirBakar-ys8dw
Жыл бұрын
@@ibinmgeta2406 mzee kwan mm nimemtus mtu hapo matusi ya nn sasa au unategemea mm niujibu matusi sina huo muda
@JabirBakar-ys8dw
Жыл бұрын
@@mwajumamohd7930 hayo n mawazo yao kama yalivyo yale mawazo yangu
@bobdeobobdeo8026
Жыл бұрын
Masalafi so waislamu hata hawa wanaendeshwa na wamerekani tena kiongozi wao ni mwanamke.
@fardoshnassor7847
Жыл бұрын
Mashalla Allah
@sharaful-anaam138
Жыл бұрын
SubhanaAllah
@ayubuissacka5568
Жыл бұрын
Kwa hili mashekh mmetumia nguvu
@bakarijuma8697
Жыл бұрын
Hivi kweli haya niya kurusha mtandaoni na ninyie mashee wa BAKWATA KWELI HII INAIYONA IPOSAWA HAKIKA MOTO WA ALLAH UNASUBIRI ALLAH NDIYE HAKIMU
@AbumishAbu-cz9su
Жыл бұрын
Hawa watu ndio maangamivu ya dini imamu mjeuri au kiongozi mjinga hyu hafai kbisa kwenye dini
@kaluluu2011
Жыл бұрын
ZUBERI FUKUZA UYO SHEKH WA MKUU WA MWANZA HANA ELIMU ANA SHARI TU. CJUI MNAWATOA WAPI HAWA MASHEKH WAKUPEANA PEANA TU BILA ELIMU YA DINI NA UONGOZI
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
Mbona waislam wote wapo kimya awacheki awafurai awasemi chochote kwann
@chandeyusufu9570
11 ай бұрын
Mwizi mkubwa
@medimisi6930
Жыл бұрын
UITWE MASJID VITASA MWANZA,Au masjid majazi
@ShuaibuMsofe
Жыл бұрын
Rudishen msikiti jengen wenu.alaaa dai chako uonekane mbaya!!!
@anselmoonolius
Жыл бұрын
Kwa jinsi navyowaelewa waislam huu msikiti utakuja pigwa Moto🔥🔥 Niko pale, maana wanasemaga Wana Mungu lkn Mambo mado wao wanamsaidiaga Mungu wao wakiona anachelewa kutenda 🤣🤣🤣🤣
@HusenNdwata-yb6nw
Жыл бұрын
Dini nayo imeshaingiliw na siasa ni dunia ni mtihan san
@USTAZZAGHAWIYUSTAZZAGHAWIY
Жыл бұрын
MAA SHAA ALLAAH ! HAKUNA KUJILIZALIZA KILA MMOJA AMILIKI CHAKE SIO KUPORANA PORANA TU ! IBADA IENDELEE
@albertkuzilwa7442
Жыл бұрын
Mpokeeni Bwana yesu awe Bwana na mokozi wamaisha yenu😊
@ramadhanjuma610
Жыл бұрын
Acha porojo ww ata kwenu Kuna migogoro serekali yenyewe Ina migogoro mbwa ww
@kijitamfyomi5598
11 ай бұрын
Mnakimbilia mahakamani kwa kua mnajua mtalindwa na serikali
@mustaphampandi137
Жыл бұрын
haya ndiyo maendeleo ya dini yetu
@saidrashid2701
Жыл бұрын
Msikiti ni mali ya mwenyezi mungu hapo njaa ndiyo zinazosumbuwa mpaka wanagombana msikitini mwenyezi mungu hatupe mwisho mwema
@nurumvungi2210
Жыл бұрын
Bila bakwata kuondolewa waislam tutachelewa sana kuwa na ma hospital na vyuo vikuu kama wenzetu wakristo
@tanzaniaonmzamiloon8627
Жыл бұрын
Acha unafiki
@ramygichero1016
Жыл бұрын
Bwakata wakienda peponi mungu atakuwa si mwadilifu
@abuuabuudharri-vt2nd
Жыл бұрын
Innalillahi wainnailayhi rajiuun
@JosephBalebanga
Жыл бұрын
Ndugu yangu nimeshtuka Sana baada yakuona comment iyi hakuna mudilifu wakumzidi allah(swt)
@abuuamourmuhamed1934
Жыл бұрын
ALLAH nimuadilifu ila bakwata ni matatizo kwakweli
@Veni584
Жыл бұрын
Kwani wote si ndugu kwa nini wengine watolewe
@asiaali1124
Жыл бұрын
Apo Ni mambo ya siyasa tu sio mambo ya din
@AbumishAbu-cz9su
Жыл бұрын
Ila shekhe Zubair mufti hyu mtu hawafai anakuchafua kma kiongozi wa kidini
@ramadhanswalehedahpolesana7102
Жыл бұрын
Ushauri Wangu kwa waislamu waliotolewa hapo.MSIENDE KOKOTE JENGENI MSIKITI MWINGINE FANYENI MUENDELEE NA IBADA.
@jemamhagama4978
Жыл бұрын
Kwani wametolewa au wamevuliwa madaraka.
@allysaid6742
Жыл бұрын
Upo sahihi
@samuelmuthui4699
Жыл бұрын
Ni kweli. Ujengwe msikiti mwingine na tuchangishwe watu wote wa Africa mashariki inshaAllah💚
@jemamhagama4978
Жыл бұрын
@@samuelmuthui4699 sio watu wote lazima? makanisa wanachangishana wenyewe.
@alexmalyango1405
Жыл бұрын
Wametolewa ila mngelikua mnatoaga sadaka ningenena ila hakuna sadaka magomvi ya Nini ? Eti wameuchukua mskiti hahaha wameendanao wapi sasa
@cidewashington670
Жыл бұрын
Bakwata yenyewe ilitengenezwa na nyerere 1975 Iringa ,misikiti ya Allah mnaacha kushughulikia uislamu mnagomembea misikiti tu mtihani mkubwaa
@leahmgunda4154
Жыл бұрын
Kwa hiyo Nyerere alikosea au? ??
@smitraminah6796
Жыл бұрын
Msikiti n nyumba ya mwenyezmungu sio wa bakwata muache uswahili
@muhayakizibaTV
Жыл бұрын
safi misikiti yote ni yaba kwata
@anwaraliakrabi554
Жыл бұрын
Hao unaowapigia debe hawana uwezo wa kusomesha watoto hapo madrasa hawana uwezo wa kulipa bila ya maji na umeme ,shida ya kabeke ni mali tu za msikiti ,misikiti yote walizopora zimezorota , kazi yao ni michango kila siku .
@abdallahmmary8591
Жыл бұрын
bakwata alieunda alifanya hibi kwa makusudi baada yakuuvunja African Muslim ivyo kwenye hili Wala sio chakushangaza hii dhulma mtaenda jibu huko mbele bakwata nikilio kikubwa was waislamu
@yusufuheri6524
Жыл бұрын
Ila dunia hii ina baadhi ya viongozi was bakwata waliomakini lakini inahuzunisha sana pale wanapokua na vichwa ambavyo hakuna mtu anafaidika nao isipokua vinyozi
@abdallahselemani6423
Жыл бұрын
Msikiti upo barabarani ndio maana wanagombana ungekuwa chochoroni nadhani yasingekuwa hayo
@MejjatScott-mf2vi
Жыл бұрын
He,Bola Mungu awabadilishie mada maana kwenye bandar wapumbav2.wasenge nyie mfiehukohuko mnaishi na shingo vichwa vpo madina
Ugomvi mnao ufanya misikitini niaibu kwetu waumini,mnagombanisha Aya naAya,Surah kwaHadithi ,Hadithi kwa Hadithi kiongozi wauislamu au muumini jitambue upokwenye dini kiushabiki tu!!ndio maana haya yana tokea na watu tunashangilia.Surah ni zilezile na hadithi ni zilezile .shida c bakwata tatizo waendesha bakwata watatue matatizo kama bakwata inavyotalajiwa na waislamu mfano elimu yake ya dini inaendeshwa kiholela piamasheikhe wenyeewe tena wabakwata mnatiwa magereza kama anaepelekwa machinjioni hii niini,vilivyo ndani moyo ni vingine na utendaji uko vingine kwanini ndiio ngumi fujo wakolofi hawana elimu haya yote haya bakwata wamebeba furushi hamtaki kuhamasisha kilicho ndani ya furushi hilo ndio maana mnaishia kugombani majengo ya ALLAH(S,W)
@kdloon2030
Жыл бұрын
Sheikh Mkuu hajaongea vizuri,kaongea kwa kujiamini na kama vile anawatisha watu,kama Sheikh mkuu alitakiwa aongee kwa busara,haoni Sheikh Walid Alhad alivyo ongea vyema na waumini wenzie na katuliza vurugu?
@msafirimfilinge8222
Жыл бұрын
Kweli elimu mhim sana
@medimisi6930
Жыл бұрын
bakwata sijui kaianzisha nani, hakuna shekhe hata mmoja hapo aliyesona dini ktk wapy waliochaguliwa, sijawahi kukielewa hiki chombo iv kwani mwanzo ulikua unasimamiwa na taasisi gn,
@issaibrahim5319
Жыл бұрын
Uislamu nimmoja kwanini mpigane
@binzubeir6510
Жыл бұрын
Hawa wengine huwa wavaa kanzu ila huwa si mashekhee.
@allymahaly8994
Жыл бұрын
Wenzetu wanajadili mambo ya msingi ss tunagombea msikiti ni aibu sana,
@andreauisso3225
Жыл бұрын
😂😂 TEC wamekaa pembeni wana waangalia tuuu shida yenu waisilamu amutaki kujifunza kwa wenzenu mume baki na chuki na kuwa itawenzenu makafiri nakujihesabia kuwa wenyehaki
@BahatiLewis
Жыл бұрын
Mbona wewe ukwenda huko kwenye vyombo vya ulinzi na usalama huyu shehk unasababisha mauwaji ngoja utawajua waislamu vizuri
@mastermacheni932
Жыл бұрын
Pumbavu bakwata
@abuuabdirrahmaan4132
Жыл бұрын
HATA SURA YA ELIMU HAYANA
@kijitamfyomi5598
11 ай бұрын
Sheikh mzima mwiislamu umekazana kwenda mahakamani ndivyo dini yako inavyokufundisha hivyo?
@jemamhagama4978
Жыл бұрын
Kuda dadeki! Nimekuelewa undava undava
@fatumasukwaju226
11 ай бұрын
Soma barua tusikie
@Abuu-vv2jt
Жыл бұрын
Mnauchezea moto shetan anawachezea
@adamhajiwamahuwa605
Жыл бұрын
Balaa kbsa km wabakwata aplk vielelez mahakaman
@fatmafatu1128
Жыл бұрын
Nyie niwana siasa sio viongozi wa dini itaqu llah mpaka unaongea kwa ujeuri hii dunia twapita
@halimahussein6792
Жыл бұрын
hao viongozi wenyewe wamechoka ndiye wale wanaopelekwa tu hawana elimu yyt
@Abuu-vv2jt
Жыл бұрын
Njaaa hiyo
@abdisalamjamal2128
Жыл бұрын
Na msikiti mwengine upon Tanga .msikiti wa Ijumaa ngamiani.
@mohamedkigwehe3561
Жыл бұрын
Dini hizi mnh?
@KingkajosiRuvumwa-it8dx
Жыл бұрын
Vizuri zaidi nikutwanggana magumi kwani misikiti ndiio mmegeuza uwanja mgumi(VITASA)ILI mpate pointi kwa waumin hiyo nisawa kweli,wali
@ramygichero1016
Жыл бұрын
Kuna laana ya mtume kwa umma huu maana kilasiku yana ibuka ugomvi na udhalili
@matevamusa2212
Жыл бұрын
Ntumie hatoi laana shekh
@uthmanmaluja7005
Жыл бұрын
Kila siku nawaambia kuwa bakwata sio chombo Cha waislaam... Bakwata ni chombo Cha serikali kinatekeleza maagizo ya serikali.kila msikiti wenye nyumba fremu kitega uchumi chochote lazima njaa itahamia kichwani tuh unasimamisha mizee ambayo Haina hata elimu ya dini inaenda kwa matamanio tuh eti katibu mwenyekiti hakuna kitu hapooo
@LucasMwijage-oc5nx
Жыл бұрын
USHAULI WANGU TUMIA HEKIMA! MNAJIABISHA MBELE YA JAMII.FANYA VITU VYA MAENDELEO.
@salumbinabed6906
Жыл бұрын
Simali yamungutena aka
@hamadfaki2503
Жыл бұрын
Ebwana wee!! ubabe upo
@muhammadmassoud3576
Жыл бұрын
Huo ni uhuni tu walafi wakubwa nyinyi
@ramadhanswalehedahpolesana7102
Жыл бұрын
Rudini katika QUR AAN NA SUNNA.ndio kuna haki sio POLICE. MBONA HAUJIELEWI
@habibuabuu9609
Жыл бұрын
Apo mpo kwaajili yamasilahi namungu atawaukum nabakwata yenu
@TuukhiAlfalaki
5 ай бұрын
Kwani mawahabi miskiti mingapi mmeipora kutoka kwa waislam wanyonge
@ramadhanhassan5285
Жыл бұрын
Mnamiliki dhulma eti mnasimamia dini din gani mnasimamia zaid ya matumbo yenu?hamuoni aibu miaka yote mnadulumu mali za waislam hata hospital hamna wala shule hamna hizo zote ni dhulma dhulma mbaya
@chandeyusufu9570
11 ай бұрын
Mnafkii tuu
@clementhiddi1486
Жыл бұрын
Very sad
@abdallahselemani6423
Жыл бұрын
Hapo ndipo tulipo baki waislamu KAZI yetu kugombea miskiti wezenu wana songa mbele kitaaluma sisi tunagombea miskiti hapo ndipo tulipo fika njaa zitawamaluza
@andreauisso3225
Жыл бұрын
Bora umejisemea ukweli wa moyoni bandari vip tubinafshe kwa sheria mbaya iloyopo au turekebishe
@binzubeir6510
Жыл бұрын
Aibu hii mskitini yanatokea hayo!!
@adamnguvu1020
Жыл бұрын
*Kuhusu Mambo yamisikiti siitaji uimamu Wala ufagiaji fitna zimejaa kuliko mioyo yawatu wanaojifanya wachamungu kwaasilikia 70*
@shaameshaame9721
Жыл бұрын
acha kutisha watu na hao viongozi wanajua dini au nao njaa tuu!!!
@ramermohamedy4344
Жыл бұрын
Kwa usenge huu ndio mshike dola
@hamadfaki2503
Жыл бұрын
Hili linalojiita sheikh wa mkoa ndo pumbavu kuliko watu wote waliomo msikitini
@abuuamourmuhamed1934
Жыл бұрын
Hahahaaaa
@frankchipasura1814
Жыл бұрын
😢poleni wasilamu
@Worldunite
Жыл бұрын
Wewe umechangia kitu gani???
@seifhamisa4596
Жыл бұрын
Huyo ni msanii kama konde boy muangaliye alichokifanya dakika kumi na nne na sekunde hamsini utajuwa
@derickcowly6681
Жыл бұрын
Upendo upendo jamani kuna maslai gani kwenye nyumba ya Mungu jamani tueshimu vyombo vya juu kwenye jumuiya zetu za Dini tusifike kubaya
@muajiribrahimuAllyMwombeki
Жыл бұрын
niko mwislamu ila niliamua kujinywea pombe kwa sababu ya kutokuwa na imani na dini yangu make kama kweli uislamu ni dini ya haki nini haya
@ZaidSeifSuleiman-q9w
11 ай бұрын
Hawa bakwata wanyanganyi wakubwa hakuna anaye wataka wa nategemea huruma ya serikali
@benson20301
Жыл бұрын
Hahahaha hongera gombaneni sana maajabu piganeni au yubadilishe iwe kanisa
@ShuaibuMsofe
Жыл бұрын
Imposible.
@Naw89
Жыл бұрын
Balaza la bakwata si ni taasisi nzuri lakin watu waliopo huko ni ndani ndio wabaya kama huyu sheikh hafai kabisa kua ndani ya bakwata Ni adui wa waislam kabisa Msikiti ni nyumba ya Allah na amani inapatikana msikitini sasa ukianzisha fujo msikitini wewe si muasi tu Allah anakutosha kwa hili ulilofanya unajiamini kwa madaraka uliyonayo umesahau unatumia pumzi za Allah bure kabisa
@khairatkhamis5845
Жыл бұрын
Tena na mashat ya ccm
@chandeyusufu9570
11 ай бұрын
Sipendi hata kusokikiza upuuzi mtupu mmejawa na dhuluma
@bongo39
Жыл бұрын
Sasa huyo aliesimama hapo anawatolea macho yeye ni nani ushajiona bora kuliko wengine
@abdalahgunda1319
Жыл бұрын
Ndio sisi waisilamu tulivyo mpaka tuweka ktk nguvu ya dollar bila hivyo hatuwezi kujiendeleza kujisimamia wenyewe dini lmeletwa na waarabu wakristo mara nyingi hawana ugonvi sisi laa shoda tupu
@SheeKolowa
Жыл бұрын
Msikiti. Ni. Wabakwata.. Tokea. Mwanzo.. Kamakweri. Wakomakini. Kwann. Ieo.waje.kusimika.uongozi.leo
Пікірлер: 186