Huyu Ahmed Abdallah yuko vizuri sana na ana busara na Saudi yake iko very very HUMBLE, kwani huwezi kumchoka kuendelea kumsikiliza. Kwangu mimi namwona ana mfanania sana na mtangazaji Charles Hilary wa AZAM.KEEP IT UP AHMED.
@msusasandali5833
Жыл бұрын
Interview ni nzuri lakini mngekuwa mnaweka part one & two inatosha kuliko kuweka vipande vingi...
@mchumiajuani1993
Жыл бұрын
Nakuunga mkono 100%
@zaddy7081
Жыл бұрын
Nakuuunga mkono
@godwinananias5358
Жыл бұрын
Agiz soda hapo ulipo mzee nitalipa 😅😅
@frankngoloka2589
Жыл бұрын
Ukiweka vipande vingi inachosha,utakuja kushindwa kuhoji cku nyingine
@hamisreegan3738
Жыл бұрын
Pater drury fundi sanaa a
@kitoilupembe8608
Жыл бұрын
Acheni ujinga wa kuweka viepsod vingi vinatuchosha
@ramadhandago9852
Жыл бұрын
Ahmed anajua sanaa kutangaza Ila ushabiki wa Liverpool umemkolea sana
@danieljs4285
Жыл бұрын
Ahmed ana voko Kali xana
@shodristvtv6121
Жыл бұрын
Wasafi
@subirajames9469
Жыл бұрын
Wasafi ✌️
@amouromar6943
Жыл бұрын
Juma hii kipindi ni one on one or one on on?
@fikirijames5765
Жыл бұрын
Typing errors alafu nakerwa na vipande vipande sijui kwa nn haweki interview yote mpaka akatekate
Пікірлер: 15