Nakumbuka mbali sana huzuni na raha vyote kwa pamoja miaka inakwenda kasi nakumbuka miaka ya 80 mwisho na early 90s,mungu ni mwema bado nipo
@MohamedChilllo-ru8vg
4 ай бұрын
Nakumbuka mbali sana kipindi hicho Tanzania ikiwa na maadili ya kutosha ,mtoto ni wa wote yaani ni wa Jamii yote akikosa yeyote anamkataza na kumchapa ,kipindi wazazi wanatoa malezi bora kwa wototo siyo leo hii wazazi wanatoa matunzo kwa watoto
@henrychaula1174
3 күн бұрын
Wazazi sisi tujirekebishe
@fadhiliakida8609
4 жыл бұрын
Sijui nini kiliusibu muziki huu wa dansi wa aina hii mpaka kufa dah naumia mwenzenuu
@omaniwomen7563
4 жыл бұрын
Daaaa namkumbuka sana marehemu baba yang alikuwa anaimba hadi rahaa huku mm nikiwa nacheza ewe mola wangu mpunguzie adhabu za kabrii baba yngu na wote walotangulia mbele za haki amiin amiin
@julithamuhale7271
3 жыл бұрын
Kweli Sasa nimekua naona shida nyingi duniani! Wakati kazi yangu ilikuwa kucheza na kupika ugali wa tope! Asante Sana Maquis original!
@ochiengokoth1097
Жыл бұрын
Those days life was good yawa
@kennedyangaya8497
5 жыл бұрын
Miziki hii huwa yanikumbusha mbali saaaaaaana. Enzi ambazo maisha yalikuwa ya gharama ndogo, ugaidi ulikuwa nadra saaana na watu walikuwa na umoja saaana.
@hurumagideon173
Жыл бұрын
😢
@alphoncealmack9240
8 ай бұрын
True kabisa my friend
@newtonsimba7930
8 ай бұрын
Kweli. Mambo yalibadilika. Shida tu.
@claudmwakisole1255
5 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana nikisikiliza nyimbo hizi maisha yametufanya tupotezane na Jamaa tuliokuwa nao pale kijini ndugu tuliokula pamoja sahanimoja kulala pamoja kwenye mkeka nakumbuka sana Nyumbani
@Baba-JJ
4 жыл бұрын
Nani mwingine anasikiliza mwaka 2019? Huu ndo muziki, nakumbuka miaka ya 80 tulikuwa tunakaa maeneo ya Mafiga, Morogoro. Mara nyingi ilikuwa tukimaliza kucheza kombolela, jioni tunaanza kushindana kuimba nyimbo hizi. Udogo, raha sana! Stress free
@abbassalum1864
2 жыл бұрын
Yeah Old is Gold🥇
@fatmahussein6085
3 жыл бұрын
My father made me addicted with such kind of songs☺️😊 any body at 2020?😅😅 hiz nyimbo zina rakha yake buana😍
@daglaskiberenge106
2 жыл бұрын
Wewee am 1 of them on my 40s!.
@elizabethmburu2210
2 жыл бұрын
Yaani nikisijiliza hizi nyimbo Zazamanni na mwona babangu na wazee waeika yake wakidance kweli hunipeleka nbali
@mwinyikadhi5708
6 жыл бұрын
Machozi yananitoka Jaman nikiwakumbuka mrehemu wazazi wangu. Mungu aweke mahali pema na kuwasamehe mazambi yao.. Mm nimekua kiongoz wa familia dah Dunia kweli mapito
@henrychaula1174
4 жыл бұрын
Pole Mwinyi Kadhi
@timmusumba5846
Жыл бұрын
"Hata Baba Mungu pia aliumba dunia, binadamu na viumbe vingine, alifanya kazi"
@egnokinunda4539
11 ай бұрын
❤❤❤
@henrychaula1174
4 жыл бұрын
Kweli ningekuwa mdogo nisingejua hata tatizo la COVID - 19, Mungu awabariki popote kina Nguza, Kitima na wengine
@selemanmadege8829
4 жыл бұрын
Namkumbuka JULIUS NYAISANGA (UNCLE J)na kipindi cha MISAKATO akitoa nyimbo mpya zilizochezwa hadi soksi kuvuka na kiatu kubaki palepale
@PamelaMakwesa
3 ай бұрын
Wakati nikiwa mdogo sikuwa na jali shida wala raha hizi nyimbo unaweza kuishia kulia ..aloot of memories......
@Blandina249
3 жыл бұрын
Timeless one. Takes me back to the days of Billy Omalla of then VoK. He always played this song and we sat back to enjoy it. May his soul rest in peace.
@greenlifetrees
Жыл бұрын
I'll forever miss my late father. Whenever I hear this I see him.
@mwinyikadhi5708
6 жыл бұрын
Namkumbuka marehemu mama yangu asia darueshi alikua akiimba bend hii mungu amsamehe makosa yake na amuweke mahali pema amin
@mbarukhamad7780
4 жыл бұрын
Mwinyi Kadhi amiin
@happybalo5188
4 жыл бұрын
Ameen
@magrethurembo1834
4 жыл бұрын
@@happybalo5188 Amen duh dunia mapito ndugu yangu
@henrychaula1174
3 жыл бұрын
Nzuri sana, inanikumbushana mbali sana, Mungu wabariki wanamuziki hawa popote walipo.
@rankzkate
5 жыл бұрын
I remember the days my Father used to listen to such songs on his Philips radio .Now he is dancing with the angels.You are greatly missed dear Dad
@andrewmaranga2335
3 жыл бұрын
memories
@mikeboyo128
2 жыл бұрын
Don't say more my sister. I can relate to this like it was yesterday. Phillips 📻 was the word. Rest with the angels to our dads
@noahkoech5507
2 жыл бұрын
Their was a a radio station called Rwanda- Burundi playing this songs.,.that was in1979.….my father had redio sanyo chui.
@jacksongathura7664
2 жыл бұрын
@@andrewmaranga2335ama Look
@isabellamigwi
2 жыл бұрын
2022 still bado inavuma
@henrychaula1174
3 жыл бұрын
It is 9th January,2021, 16 years since I got a very bad bus accident but survived and listening to this golden old music of Marquis Original 80's. It reminds me the primary school life.
@davidrandu3642
3 ай бұрын
Ndugu sote tunaozikumbuka nyimbo hizi tumushukuru sana Mungu,kwani wenzetu wengi ulishatangulia.
@mamarhodah9018
5 жыл бұрын
This is the best music ever, when I'm down I switch on to this kind of stuff and it brings back my whole self. Old is gold.!!!
@erickmwiti1263
4 жыл бұрын
Memories, are made of this when radio was the only entertainment
@collinsopiyo9699
4 жыл бұрын
Erick Mwiti ....ni mimi wenu Omuga Kabisae...nikiwaletea muziki wa adhuhuri....nostalgia bro!
@engineervictorvudinda5944
2 жыл бұрын
@@collinsopiyo9699 Muziki wa adhuhuri, I miss those programs.
@meleniafrancis9462
4 жыл бұрын
Mungu awaweke mahali pema peponi amina
@godffreyolali5084
6 жыл бұрын
Reminds me of Voice of Kenya (VOK) in the 80s. Watangazaji waliobobea zama hizo kama akina Sophie Clay, Gladys Erude, Amina Faki, Elizabeth Obege, Eddy Fondo, Anunda Sakwa na wengine
@bintuweel
6 жыл бұрын
GODFFREY OLALI nilikuwa nasikiliza sana Radio Kenya KBC umenikumbusha mbali na majina hayo. Best ya muziki imekwisha sasa ni kelele na matusi .
@davidmahende7576
5 жыл бұрын
Safi sana nakumbuka miaka ya 1980
@dominicmaluki5242
5 жыл бұрын
Exactly my thoughts.Thanks Godfrey
@jason2633
5 жыл бұрын
Wacha tuu
@jason2633
5 жыл бұрын
Kina sofi ikeye
@amanam2735
5 жыл бұрын
Ujumbe na ala. Sio leo mwendawazimu anaingia studio na kutoka na kitu kinachoitwa muziki
@mohdbesta
Жыл бұрын
What a time that was. I was a clueless innocent kid and my dad used to play these songs on his National Memory Q cassete player
@mwithigastephencontractor6997
4 жыл бұрын
Wakati nilikuwa mdogo sikujua kama kuna shinda wala sikujua kama kutakuwa na BBI.Reminds Mr M.D.J Eddy Fondo. Radio rhumba DJ
@henrychaula1174
Жыл бұрын
Power Nguzo, we thank you so much for taking us back to our childish memories, though now we are grown up we witness the reality. God bless you. However, if you can give us the list of those involved in preparation and production of this great work we will be thankful.
@sammylwendo1496
Жыл бұрын
Nakumbuka enzi hizo Njombe tunaishi maisha mepesi sana, so innocent!Tunakusanyana the whole family tunaisunguka radio kusikiliza these kind of musics!Nostalgic!If only I could turn back the hands of time…….!
@christineoumanabwire6438
Жыл бұрын
We played this song on that sad afternoon, on 6th March 2021, we had just laid dad to rest. I lost hope and felt unbearable grief, yet today I am still here. Learning to live with the loss and navigating a new life in the USA. Muziki wa zama unavuma.
@christineoumanabwire6438
Жыл бұрын
It's been two years.....na kuepuka siwezi..usinicheke...
@lizokoth6556
Жыл бұрын
Pole Christine
@henrychaula1174
Жыл бұрын
Pole sana jipe moyo mkui
@MosesAkungwi
4 күн бұрын
It's a great song
@MosesAkungwi
4 күн бұрын
Nabwire reminds me of a neighbour mumias
@engineervictorvudinda5944
3 жыл бұрын
2020 still hitting airwaves, dedication to my late father and elder brother, you made me addict to such music RIP
@pmulevu
2 жыл бұрын
when music was real
@ernestnjogholo1472
5 жыл бұрын
Utunzi uliosakafiwa kwa ufasaha, Madoido na mbinu za hali ya juu.
@benminabo2170
11 ай бұрын
This takes me back to the good old days when my father was alive,,with his Sanyo Box radio...when life was ❤❤❤
@rubamann
7 жыл бұрын
Kila nisikilizapo hizi nyimbo huwa nakumbuka Enzi zile tunatengeneza magari ya waya, matairi ya ndala. Enzi zile tunatengeneza mipira ya manailoni. Enzi zile tamu, Enzi zileeeee RTD is the big thing in town. Mungu wangu nasikia machozi yanakaribia kunichuruzika..
@omand1761
7 жыл бұрын
😂😂😂😂😉
@charlesnjau8252
7 жыл бұрын
Kweli kabisa hayo magari ya waya!
@cityofglorychurchinternati4635
6 жыл бұрын
Umesahau namalingi
@anclemshana661
6 жыл бұрын
John Lunyamila . Sana.lakini Mimi wakati huwo naishi Dar kinondoni mwaka 1992 nafanya Nazi ZAMCARGO
@abdi5146
6 жыл бұрын
Umesahau magari za mikebe pia,kandanda na mipira za nylon kweli umenirudisha miaka ya themanini.wazee hukumbuka.
@wasongakowino6935
5 жыл бұрын
Pure gold. From the golden era of East African music 👏🏿👏🏿👏🏿🔥🔥🔥🔥🎺🎺🎺👌🏾👌🏾👌🏾👍🏾👍🏾👍🏾
@kiturselassie9693
4 жыл бұрын
Kwa vijana wa jana
@framur8668
3 жыл бұрын
When music was music
@tusekileambokile6397
5 жыл бұрын
Muziki moja mzuri sana. Mungu ilikuwa katikati yao hawa wataalam
@vicenthenry5647
4 жыл бұрын
Hongera sana
@judemuyoma4132
2 жыл бұрын
Seasons pass but such pieces survive for eternity
@jamesmatoke235
4 жыл бұрын
Am a parent now I used to like the music so much upto nowadays
@abbassalum1864
2 жыл бұрын
Saxophone🎷🎷 🎷 na trumpet 🎺🎺🎺 nazo zimeongea sana 🙌🙌🙌
@monicawanjiku3132
7 жыл бұрын
This was when music was music strong message and great voices
@aggreychoreh9937
Жыл бұрын
Them days, so emotional na mafunzo kibao
@maryamayitsa6181
3 жыл бұрын
wau mmziki ulio pelekwa shule, mziki umekomaa,
@monicapaulmarwa4546
6 жыл бұрын
Duniani tunapita,,tutawakumbuka daima,,utunzi ulijaa ukweli,nimekumbuka mbali sana miaka hiyo tukiwa tunaishi Mtibwa Sugar.......
@John-jq1wt
9 ай бұрын
Riminfs me of My late parents! Playing this song in aphilips kinanda!
@ahamadarashid8797
Жыл бұрын
WAKATI MUZIKI UNGALI MUZIKI..
@jeffnanume2404
6 жыл бұрын
This song win mind joy and it takes my memory back in early 90s nilikuwa namsikia mama yangu akiimba sana wimbo huu mara nyingi akiwa anajifanyia kazi zake. Baadae nikawa nausikia kwenye kipindi cha lala unono from RTD.
@bensonthuo8209
9 ай бұрын
My dad used to listen this song 🎵 when I was a young boy and interestingly I also loved it! But most of the children in todays life only 2% can recognise this as good music; but the fact remains.... old is good, and even gold sometimes 😂
@mainamunene2193
11 күн бұрын
Niko Kenya na nakumbuka huo wimbo nikiwa shule ya msingi na ni kweli sikuwa najali maana baba na mama walikuwa wananichunga. . .lakini sasa niko mzee wa miaka 57 na nimepitia mazito na ya kuvunja moyo lakini ni kawaida. Najikuta sasa nategemewa vile nilivyotegemea marehemu baba na mama. Tuliwapenda Marquis Original
@muokiken
Жыл бұрын
I think is one of best songs.
@roseosero463
Жыл бұрын
This song makes me cry.
@mwapiiddi3980
5 жыл бұрын
Zina ishi, maana alitunga kwa kuzingatia matukio halisi sio ya kufikiria kama sasa,wali beba uhusika ktk swala zima la utunzi na kigezo kikuu ni nidhamu kilihusika,vija wa sasa wame kosa ubunifu wame baki kuwa wakalilifu tu vya wenzao na uvivu wa kufikiri
@husseinomary4466
5 жыл бұрын
Nikisema dunia haipo Tena msinibishe
@alexanderayuoyi3571
4 жыл бұрын
RTD idhaa ya taifa, na idhaa ya biashara,. Heko kwenu
@nuruazizi9983
Жыл бұрын
Hii ni Maquis original na sikinde yaani kwa yaani kwa Dunia ya leo ni kama diamond na ally kiba waungane watoe kitu. haiwezekani.zamani lkn zamani iliwezekana kwa wazee wetu .
@harunmunala4091
4 жыл бұрын
utunzaji shupavu,wimbo wavuma na bado uko na ladha hadi wa leo
@kibasamohamedi8029
4 жыл бұрын
2020 mpoooo ?
@henrychaula1174
4 жыл бұрын
Tupo
@anipharajab3221
4 жыл бұрын
Aisee maisha yangekuwa yanarudi nyuma basi tu nakumbuka sana nilipokuja Naishi na babu yangu.
@kibasamohamedi8029
4 жыл бұрын
@@anipharajab3221 yaan we acha tuuu
@victorondu1855
3 жыл бұрын
Great composition, great vocals, great arrangement......
@masetomuhafiwa4546
Жыл бұрын
bongo music started long ago,that's why even today they are ahead!
@timmusumba5846
Жыл бұрын
Exactly! They must have got their skills from these golden songs of the past!
@henrychaula1174
4 жыл бұрын
Power Nguzo nakushukuru sana jinsi unavyotuburudisha na kutukumbusha enzi zetu sisi wa 45+. Sasa nisaidie kutuwekea wimbo wa TOT Band (Achimenengule) chini ya marehemu Banza Stone,jina nimesahau ila walikuwa wanaimba "SINA UKOO MIMI SINA NDUGU WA DAMU WALA KABILA WALA UBINI ....."
@kibabumwenyewe
4 жыл бұрын
Udogo wangu miaka ya 80 hapo kizingo Mombasa baba alikuwa akifungulia RTD mwendo wa saa saba mchana baada ya Habari nyimbo ni hizi. Kweli walikuwa wanamuziki wa kweli.
@josiahmuthemba115
5 жыл бұрын
Wadungu wenzangu, kila wakati ninapo u sikia wimbo huu akili urundi reverse mpaka mwanzo wa maishani wakati nilikua mdongo. Haki nampa huyu Makumbele Lulembo marks mengi zaidi kwa utunzi wake kibao. Bado pia naulumbuka wimbo wake "Makumbele na pia Makumbele no 2 habao naupenda sana. Makumbele juu juu zaidi
@josiahmuthemba115
6 жыл бұрын
Basi huu ni utunzi wake Makumbele Lulembo baada ya kuhutunga wimbo makumbele. Kweli alikua hodari kwa hutunzi wa nyimbo. Basi kazi kwenu kwa kuzikiza
@davidmanyoni4651
4 жыл бұрын
majuto huja nyumae because you think when young depending others later you will also pay back either sorrows or happiness!!!!!
@williammarube5672
2 ай бұрын
Ukweli mtupu. Usinicheke ni wimbo una mawaidha ambayo yako valid even decade to come.
@chachamadini9372
6 жыл бұрын
Nikisikiza nyimbo hizi natamani kuvunja hii micd yahawa wendawazimu wasasa wanaimba matusi tu
@bintuweel
6 жыл бұрын
chacha Madini Kweli kabisa matusi yamezidi bila aibu utupu umezidi bila haya kelele tupu .
@shentembakivuvu488
5 жыл бұрын
chacha Madini kabisa nyimbo zilikua zamani
@irenekambi4705
5 жыл бұрын
Kweli kabisa siku hizi matusi tu
@ashrafabasi3950
Жыл бұрын
Daah nimekuja huku baada ya baba yangu kunambya nije kuiskiliza kwel nimekuwa sasa nayaona ya dunia
@rensonanyangu5709
5 жыл бұрын
wakati nilikuwa mdogo. those days growing up. the gmaes, the adventures and nothing to worry about. oh how time flies, machozi yananitoka
@mohammedkitumbi4970
5 жыл бұрын
Nakumbuka Lang'ata
@masakuuzubery9973
4 жыл бұрын
Hi
@charleskoech.k9725
4 жыл бұрын
Aaaah.Sauti nyororo.Maneno mazuri.Tulikua tukiskiza kwa KBC Radio.muziki kweli chenye nashika roho.!!!!! Siku hizo mungu alikua karibu nasii.Leo hii janga tupu.!!!!!
@robartvyumavyuma871
5 жыл бұрын
Jamani kweli siku hazigandi nikikumbuka enzi hizo weacha kabisa
@fredricketabale9377
3 жыл бұрын
Fanya mambo kulinga na nawakati
@waryobamahunyo4990
5 жыл бұрын
Kazi ni uhai kwa kila binadamu toka enzi na enzii eee !!!!! Mziki mtamu sana!
@lucasmabula3909
Жыл бұрын
Ilikuwa raha sana enzi hizo
@totidatutadu1918
6 жыл бұрын
Sikia sauti zilivyotamu, vyombo vilivyopangika halafu ujumbe murua kabisa. Nilikuwa Sumbawanga miaka.hiyo kipindi km mchana mwema, jioni njema dah hizi zilikuwa golden days
@babyfrank8852
8 жыл бұрын
Yaaaani huu mziki Mungu auinue tena jaman walifaidi sana walioucheza wakati huo yani mama zetu ss japotulikuwa wadogo sana lakini mm hadi maini hunikatika nisikiapo nyimbo hizi haswaa marijaaaaaan mwana wa rajaaabu Acha tuiles,,,
@matiasimmanda7924
5 жыл бұрын
Baby Frank
@edsonalbert5380
5 жыл бұрын
luu
@rafaelsimba6429
6 ай бұрын
Gone are the days, back in 2003
@jaredonsare181
4 жыл бұрын
our good presenters in vok like, brother said ali matano, gladys erude, mdj eddy vondo, etl used to play these numbers especially during salamu za mchana.
@matunduraray1174
4 жыл бұрын
It reminds me of my late dad na ile radio yake ya mbao
@bekabakari7394
3 жыл бұрын
Radio 277
@lizokoth6556
Жыл бұрын
Pole Ray
@kiturselassie9693
4 жыл бұрын
Hii muziki dawa ya roho, moiben Eldoret Kenya , December 1989
@rotichphillip5407
6 жыл бұрын
mazee hii nyimbo inanikumbusha nikisoma nrb racecource primary 80s wakati wa eddie fondo maquis u make my day sisemi zaidi.
@TalibHamad-bf1sn
4 ай бұрын
Ama kweli sasa nimekuwa ndio naona shida nyingi duniani hawa Maquiz Waltona mbali
@petermwidima8357
7 жыл бұрын
miaka hiyo ya 80's nilikuwa biharamulo.mama yangu alikuwa anaipenda Sana hii nyimbo.
@mwengwamwengwa2633
5 жыл бұрын
Mimi nipo manyoni
@rashiditembo1574
Жыл бұрын
Mwenyezi mungu awapumzishe kwa amani wote
@gilukwayoegine3145
2 жыл бұрын
2022 bado ni my favorite song 🥰
@chachamadini9372
6 жыл бұрын
Mungu awapumzishe Kwa amani, muziki wenu unadumu msiwe na shaka wazee
@NeemaWilfred-hz3fx
Жыл бұрын
Nzuri sana hii nyimbo inanikumbusha mbali sanaa
@josephmwanzui4244
8 жыл бұрын
This is the real music when men were men and money was money
@mussamasoud3233
5 жыл бұрын
Unaweza kulia ukisikiliza hizi leo hawa vijana hawajui muziki kwa kweli hatupati hisia zozote yani
@bintuweel
6 жыл бұрын
Nawakumbu wakati wanakuja kutumbwiza Kibaha MAPUTO INN ilikuwa sikosi kila wakija nimo nilikuwa naishi jirani na MAPUTO INN.
@antonygama2150
3 жыл бұрын
Yah ni raha tupu nakumbuka Songea miaka ya 1980 nikiwa skuli tunaandaa chipukiz maonyesho ya sabasaba Ruvuma kwa Mara ya kwanza nilikutana na Kaka yangu mkubwa Abdallah Gama alipokuj songea na ddc mlimani park nilifurahi sana
@amossambu3053
Ай бұрын
Muziki wa adabu huu. Memories of childhood laid bear
@abdi5146
6 жыл бұрын
The great maquis in its days,when music was done by real musicians,good old days indeed.tribute to vumbi dekula,nguza vikings n the rest of the team
@watitwaisaac8410
Ай бұрын
I miss them days😢
@pamelauisso6484
7 жыл бұрын
Nyimbo zinakumbusha mbali sanasana...jmn napenda kuzisikiliza nyimbo hz.Dah walifanya kazi nzuri sn
@gosogoso5287
6 жыл бұрын
enzi zetu zilikwisha
@NellyIkholi
Ай бұрын
Wazazi wangu mpesa sahi sahi..😢
@leonardnewschannel2965
2 жыл бұрын
ORCHESTRE MARQUISORIGINAL. WAKATI NILIKUWA MDOGO
@elizabethmburu2210
2 жыл бұрын
MUNGU awape tuu nema kwa Uzuri huu wanafunzo kwani hakuna mziki nzuri ulio bakia wakufunza ulimwengu waleo
Пікірлер: 324