Hallelujah Hallelujah 👏 miili yetu ni hekalu la Mungu. Tuangalie sana tunachokila, kuvaa, kupenda n.k tuangalie sana ni jambo gani tunalojishirikisha nalo hili roho wa Mungu asisinyae ndani yetu. Ubarikiwe sana kwa kuubariki moyo wangu asubuhi ya leo.
@martinahlighare6495
15 күн бұрын
Kwa mapenzi yako Mungu naomba, uniondolee madhabahu ya giza yaliyopo ndani yangu na uniweke nuruni. Niepushe na marafiki wa gizani ili nipate walio wa nuru na nitembee katika mwanga wako.
@zawadihassan4061
4 күн бұрын
Mungu akuinue sana mtumishi, ni kweli shetani a
@LucyMmboga
6 күн бұрын
Be blessed, the man of God
@fatumaminyeko1875
7 күн бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU napenda unavyo fudisha akika una fungo lako biguni
@MamaBambala
15 күн бұрын
Hizo sanamu wanazokuwekea hapo wakati unahubiri zisionyeshwe,Mungu amesemaUsijifanyie ,sanamu za kuchora,sanamu ya kuchonga nk,tusiziwekee matumaini,sasa hiyo misanamu niya nini mwanangu;Mifano haifai kabisa.Na ukikataa kuiweka utaona vishawishi vya kukukatalia maana Mungu hafananishwi na kitu chochote.Ubarikiwe.
@bonifasiemanueli21
15 күн бұрын
Niko Kigoma, Hakika wewe ñi sauti ya mtu aliày3 Nyikani 😅😅😅😅😅😅mimi ni mkatoliki mkalsmatic uñgekuwa hapa kwetu Kigoma ñiñgejiuñga ktk Kàñisa lako, 💯
@QueenMwaweya
13 күн бұрын
Ubarikiwe sawa mtumishi wa MUNGU aliye hai songa mbele hubiri kweli usijali wengine watasema nini
@starlily07
15 күн бұрын
Hata Mimi nilikomenti siku nilipoona huyu goodluck gozbert alipoenda kwa huyu Nabii mchafu jodevi, nilikomenti nikasema (kwisha habari yako goodluck) yaani siku alipokubali kukanyaga ile madhabahu ya kishetani na kupokea ile gari ndo siku aliyopoteza huduma yake ya uimbaji. Na kweli tangu hapo huyu kijana hajawahi kusikika tena , maskini goodluck gozbert Mungu amuhurumie.
@jacklinedeus6068
14 күн бұрын
Yani waimbaji wawe makini sana na madhabahu wanazokanyaga😢
@agnessnkugwe7939
15 күн бұрын
Ubarikiwe sana kaka.
@EsterAnyelwisye
13 күн бұрын
Amina amina . Mungu atusaidie kujua haya siai waimbaji
@user-ii1qk9xn9z
15 күн бұрын
Nionyeshe marafiki zako nami nitakwambia wewe ni nani? Marafiki wanatambulisha wewe ni mtu wa aina gani? Ni vyema sana kama wewe ni mkristo shirikiana sana na wakristo wenzako. Kwa hakika watumishi wengi, waimbaji wengi wameiacha kweli ya Kristo, wameuza uaminifu wa Mungu hawapo nuruni tena washamezwa na giza kwa kupenda mali ya dunia hii. Tamaa imefanya wengi kuibiwa kwa kutoshukuru na kutotosheka na kile Mungu amewapa. Asante kwa Neno linalotufunza kukaa mbali na mambo ya dunia hii. Mtumishi Mungu akubariki sana na akutunze milele.
@IsakaKiyalo-s3v
15 күн бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu Fanya ambalo mungu ambalo mungu amekutuma ulifanye usimuogope mtu na yesu tumwabuduye Yu pamoja nawewe mtumishi ubarikiwe katika jina la yesu kristo Alie hai
@ChristianJoseph-o8r
8 күн бұрын
Acheni kusema maisha ya watumishi wa mungu sanasana waombeeni tuh nyakati hiz ni nyakati za uovu mnasema mambo ya watu wengine nanyi indeep mnamambo yenu yanawasumbua
@fadhilimrope5134
15 күн бұрын
Aminaaa ubarikiwe mtumishi sana tena sana, na Mungu azidi kukutumia ili tupate kupona
@chonjoBoy-j2h
15 күн бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu..naomba utuweke wazi ipi siku sahihi ya kusali kati ya jumapili na jumamosi 🙏
@evbonifacemwakibango7419
15 күн бұрын
Siku zote ni za Bwana, hili utaliacha kulifatilia ikiwa umeachana na UDINI
@samsonmwano9203
15 күн бұрын
Umejibu vema mtumishi
@BenKabala
15 күн бұрын
Kwani siku ya kusali ndio tiketi ya mbinguni? Mbona Mafarisayo najuhidi zao zote hawakufaulu kuhitimu kwa mujibu wa Yesu?
@btsanime6138
15 күн бұрын
Siku ya kuomba Mungu ni siku yoyote kwa sababu Mungu hujibu maombi kwa siku yoyote hivyo sasa siku yoyote ni ya kuomba Mungu.
@chonjoBoy-j2h
15 күн бұрын
@@btsanime6138 hapana nilimaanisha siku ya Mungu Wapo wanaosema jumamosi wengine jumapili imekuwa gumzo kwelikwel
@hezekiamhapa7395
15 күн бұрын
Yaani huwa unanibariki sana kwa kweli haiwezi kupita siku bila kuingia you tube nisikilize MUNGU amesema Nini kupitia wewe
@MTEULEWAMUNGUTV
15 күн бұрын
Amina
@ChristianJoseph-o8r
8 күн бұрын
Wafanya biashara❤
@user-mk6pz2kt9m
14 күн бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@hasanygodda9242
7 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI PASTOR 🙏
@katedkambi5741
13 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@VeronikaMatheo
15 күн бұрын
mungu atsaidie Sana kaka mungu akubariki
@MTEULEWAMUNGUTV
15 күн бұрын
NI kweli kabisa,..mmoja wapo kwenye iyo picha nilifunuliwa kabisa juu yake,,,nilishangaa Sana,,,
@AncyMerci-un2nu
13 күн бұрын
MUNGU atusaidiye nakutushind1niya,ila maisha inatupeleka pabaya unapo ona kwenye familia yako wewe ndiyo unategemewa napale unataka ufike ili usaidiye familia inashindikana lazma ukimpata mtu wakukusaidiya na pesa hata awe mtu waku Zim hapo hatutaona tena kwasababu kile nilisho tafuta nimekipata ila Mungu atupiganiye kwa sababu shetani ametuvaamiya kwa njiya zote ameleta watu na vitu vya kila aina tena vyakushangaza lakini unakutana wengine wanavichukuliya poa tu wakati sisi wengine vinatuchangaza
@MikeWangu-r3c
9 күн бұрын
Ukweli kabisa ❤ Kwa mtumish wa Mungu
@AthonySaimon
4 күн бұрын
Tungepata akina pascal kama watano hv tz, haya manabii feki yangekoma😅😅😅
@user-vi6uf5zc1i
14 күн бұрын
AMINA ubarikiwe sana
@loosyloosy3634
14 күн бұрын
Mimi hata nyimbo zao sizithamini tena, , , wacha wasikie ujumbe wageukie Mungu
@ChristianJoseph-o8r
8 күн бұрын
Wewe sio mungu kuchambha dhambi za watu yesu mwenyewe alikuja kwa ajili ya wenye dhambi wewe fimbo za mungu zitakuja kugusa maisha yako unakata kwa upanga watu wa mungu na bwana hakukutuma kufanya hivyo unafanya kwa ufahamu wako ayubu 22:21😅😅😅
@lazarodoma6666
15 күн бұрын
😢😢very powerfully msg
@DANIELMWAKABUTA
14 күн бұрын
Kweli kabisa mtumishi amepoteza mvuto wa kumtukuza Mungu
@ChristianJoseph-o8r
8 күн бұрын
Wewe sio mungu kuchambha dhambi za watu yesu mwenyewe alikuja kwa ajili ya wenye dhambi wewe fimbo za mungu zitakuja kugusa maisha yako unakata kwa upanga watu wa mungu na bwana hakukutuma kufanya hivyo unafanya kwa ufahamu wako ayubu 22:21😅😅😅😅
@teachingtruthmission2140
15 күн бұрын
ELIMU YA KUZIMU INAHITAJIKA SAAANA LUKA 16 INATUELEZ vizuri saba
@HurryGiftOfficial
12 күн бұрын
Pastor Ubiri Neno Wachana Na Maneno,,,No One Is Allowed To Judge,,,,Wachia Mungu Kazi Yake Mwenyewe Ataifanya Wewe Auna Uwezo Wowote,,, Kesho Aijulikani
@atienomaurrine4336
11 күн бұрын
Ukiwa na usiano nzuri na Mungu uko na uwezo hata kuhukumu malaika
@Afolorunso
4 күн бұрын
Rubbish
@RubensaroSaro-ip6by
15 күн бұрын
MUNGU akutunze mtumishi
@prophetessmarylight434
15 күн бұрын
Gozbert siku hiyo halipotezwa
@SylvesterJoseph-cl6oe
14 күн бұрын
Ni kweli kila ukisemacho Pascal
@lilyg2134
13 күн бұрын
KWANZA KUNA MMOJA HAPO HAJAWAHI KUMTAJA YESU KATIKA NYIMBO ZAKE....KILA SIKU MUNGU MUNGU, HATA SHETANI NAE NI MUNGU KWA WENGINE....UKIMTYAJA YESU TAYARI UMEJITENGANISHA NA MATAIFA!
@cleartzboy
11 күн бұрын
Kwenye namba ya sadaka usahau mtumish
@AnaniaMtumishi
9 күн бұрын
JAMBO MUHIMU.. NI KUOMBA MWISHO MWEMA SANA
@esnathshop7780
14 күн бұрын
Amen
@eliethmwanguya7118
9 күн бұрын
KweliGeodavie ni mtumishi wa shetani, Eti tusome biblia ipi!!!!!!!! Ee Mungu tusaidie, na washirika wake wanachekelea kama mazuri. Mungu tusamehe jamani.
@ChristianJoseph-o8r
8 күн бұрын
Wafanya biashara
@user-es4jv6pb8x
13 күн бұрын
Mmm
@starlily07
15 күн бұрын
Christina shusho mwenyewe anapotea sasahivi, sio yule wa zamani
@pauldaniel6227
15 күн бұрын
Yea kila alieenda kule ndo bx ten
@rabiamenshoo1988
15 күн бұрын
Kuna mtu mmoja hapo umemsahau, umemsahau Paschal Cassian
@Pendopasilika
14 күн бұрын
MUNGU atusaidie
@ChristianJoseph-o8r
8 күн бұрын
Wewe sio mungu kuchambha dhambi za watu yesu mwenyewe alikuja kwa ajili ya wenye dhambi wewe fimbo za mungu zitakuja kugusa maisha yako unakata kwa upanga watu wa mungu na bwana hakukutuma kufanya hivyo unafanya kwa ufahamu wako ayubu 22:21😅😅😅😅
Пікірлер: 61