Ww fuata sheria lkn UTOPOLO wataipeleka timu uwanjani na kipigo July 3 kinawahusu
@qassimhussein269
3 жыл бұрын
Hao hawana fadhila kaka hata unayo yaongea Yanapitilizia Matakoni hawajielewi
@Ba63828
3 жыл бұрын
Mchambuzi mahili kabisa huoni kwamba TFF wanakakiwa kutupa sababu ya kuarisha match KABLA ya kuchezwa 3/7/2021?
@brezhnevthadey1969
3 жыл бұрын
Sisi yanga tumeamua hivyo kama tifuatifua walivyoamua vyao kutuminya miaka yao
@hidayahassan8014
3 жыл бұрын
Nakuelewa
@georgemgalega2388
3 жыл бұрын
ipo wazi kuwa ni lazima mfumo ubadilike, yaani Yanga wanaamini manji awe mmoja kati ya mfumio mpya maana aliomba mfumo mpya
@kosovoawadh1771
3 жыл бұрын
Wanaogopa
@mikidadimuhando2315
3 жыл бұрын
Oscar Oscar umesema vema mwana,mwenye kuelewa kaelewa, wabishi waache na ubishi wao.
@mwinukafundibombanjombe
3 жыл бұрын
Point
@makamehamad2406
3 жыл бұрын
Wee oscar katafute shughuli ufanye tuachie yanga yetu hata tukishushwa madaraja 100 kwani wewe inakuhusu na nini.
@rajabungomoi7940
3 жыл бұрын
Yanga wanahitaji maombi hawajui mana ya michezo
@yustinomohamed8940
3 жыл бұрын
Wdhamini wa ligi haswa tv wataathirika na maneno ya bumbuli
@emanuelkamaghe2647
3 жыл бұрын
Uko sawa kabisa Kwan yanga hakili zao sijui wanawaza nn
@kosovoawadh1771
3 жыл бұрын
Gsm waoga
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Wabongo kwa longolongo!!
@OS-pf6op
3 жыл бұрын
Kilaza
@kosovoawadh1771
3 жыл бұрын
Sisi tunabiga 3 bila utake usitake
@cuthbertzillale6136
3 жыл бұрын
Wewe ni shabiki wa Simba acha hizo
@williamwilifred6563
3 жыл бұрын
Jielewen wabongo unaposema serekali haipaswikujiusisha namichezo waziriwamichezoyupokwa abiyann da mbonahamjielew
@oscarhaonga4106
3 жыл бұрын
ukweli mtupu oscar wa jina
@omarmkumba3547
3 жыл бұрын
Acha uongo babu
@silvamsophe4392
3 жыл бұрын
Utopolo hawajielewe kabisa waambie ukweli
@ramsonmpulule6264
Жыл бұрын
Muongo
@husseinawadh4009
3 жыл бұрын
Sasa kama serikali ndio mpango mzima mpaka mchezo ukabadilishwa na kuchezwa saa moja na yanga wakaondoka na simba wakatii na kuingiza timu uwanjani kwa nini tff wasiangalii kanuni zinasemaje watoe hukumu na badala yake tff wanaendelea kuwabembeleza yanga. Wewe oscar kama ni simba subiri ujionee yanga hawatii timu na mwakani jiandaeni kuizungumzia simba ikiwa inacheza ligi daraja la pili. Yanga wapo serious kwa hili
@kazembally6032
3 жыл бұрын
mm cjamcikia wazir wamichezo akitoa sababu za msingi zakubadilisha muda wa mechi Ile.osca ukimsikiliza manara kwenye Ile clip unajua tu kwamba kuna hujuma ilikuwa inafanywa il kuwaaribu yanga kiseikorojia tff ni Simba b
@suleimanalawy8512
3 жыл бұрын
Endelea kuota
@saidhamis1124
3 жыл бұрын
Ukweli mumeupata huo utopolo ??
@issakilasa6165
3 жыл бұрын
Wewe Ni matako.
@mikidadiwadary1512
3 жыл бұрын
Sasa unatukana nyenye hajuwi soka mnajua vurugu tu
@bwatobwato5999
3 жыл бұрын
Wanadangaya simba ibweteke wamechelewa
@kosovoawadh1771
3 жыл бұрын
Uongozi mbovu
@Khaleed5767
3 жыл бұрын
MIMI HUWA NASEMA KILA SIKU .., UTOPOLO NA MASHABIKI WAO HAWANA AKILI ...NA DAIMA ABADAN HAWATAKUWA NA AKILI
@hamzalyawa7981
3 жыл бұрын
Kaoxhe mtako😂😂😂
@kitomondo
3 жыл бұрын
Mpira na serikali ni vitu tofauti na serikali haitakiwi iingilie mpira. Mpira siyo Mali ya serikali. Huo ni uongo na siyo professional.
@kitomondo
3 жыл бұрын
@Mtanzania Halisi Ndiyo maana mpira wetu hauwezi liendelee hata siku Moja. Kwa watu kama nyinyi mnaona ni sawa Ila itabidi ifike mahali kanuni zisimamiwe.
@onesmongenzi3471
3 жыл бұрын
Serikali ikisema msitumie uwanja wa Taifa mtachezea wapi???. Ukiwa maskini hautakiwi kuleta jeuri
@kitomondo
3 жыл бұрын
@@onesmongenzi3471 Uwanja wa taifa huwa tunacheza bure? Yanga ilikuwa na Uwanja wake kabla ya timu yeyote Africa. Ulio na mageti na majukwaa.... Ni upuuzi wa watu kama hawa ndio unaorudisha mpira nyuma.
@onesmongenzi3471
3 жыл бұрын
Issue iliyopo siku ya tarehe 8 waliomba mechi ipelekwe saa 1 jioni ni Serikali na ndio maana baadae Waziri Mkuu alitoa maelekezo bungeni. Hata kama Serikali haihusiki kwenye mpira ukigomea utakuwa unaonyeshana mabavu na Serikali. Pia, kumbuka Serikali inaweza kuamua kufuta mpira wa miguu nchini na asiwepo wakupinga. Sheria kweli zipo lakini ukizing'ng'ania sana utagombana na viongozi wa Serikali hata kama makosa niyao
@kitomondo
3 жыл бұрын
@@onesmongenzi3471 Unarudi palepale. Serikali iondoke kwenye mpira. Hiyo siyo kazi yake kusimamia na kuratibu football. Ukishaanza kukubali hilo, unawajengea watoto wetu mazingira ya kushindwa. Kuna kanuni, na kama walivyotumia kanuni kufungia na kutoza faini wachezaji, viongozi na makocha basi watumie kanuni hizohizo kuipa Yanga ushindi. Wanamichezo wote tusimamie hilo.
@mustafakara1361
3 жыл бұрын
You are not a professional at all. Ungekuwa west na hizo post unazozipost. Ungekuwa deported. Hata kama unakuwa huna la kupost unaandika nonsense ili mradi uandike. Be professional
Пікірлер: 51