Shukran sheikh wetu kwa mawaidha mazuri unayo tupatia tunamuomba Allah atujaalie tuwe wenye kusikiliza mawaidha na kuyafanyia kazi
@mohamednizar2361
5 жыл бұрын
Shukran sana sheikh wetu allah akujazi kila kheri na akuhifadhi na mabaya yote
@jamilatemu1322
5 жыл бұрын
Mashallah mola atuogozee
@habibahmatano1815
5 жыл бұрын
Ma sha Allah
@faizabaishe5172
5 жыл бұрын
MaashAllah Alhamdulilah Allah atuongeze katika njia ilonyoka na atuepushe na moto 🤲 shukran Sana napenda Sana darassa yako Allah akupe kila la Heri na kuifadhi.
Пікірлер: 15