Mungu awasaidie sana hawa mapacha 😢😢😢😢 daah kweli walimwengu siyo wa kuwapa nafasi
@abubakarimsere
Ай бұрын
Kila mmoja angaalie maisha yeke muziki umewashinda😢😢
@melanialeonard4031
Ай бұрын
Kabisa
@allahisone6386
Ай бұрын
💯%🤝
@IbrahimShan-qu3um
Ай бұрын
Shida 1 Mr p mungu kampa kipaji Cha kuproduse na kuchezea ila rude boy anajua sana mziki Sasa iyo so nzuri kunichukia ndugu yako mnaefanana kila k2 mungu akupi vyote rude boy msanii mzurii🙌
@franccoz94
Ай бұрын
Ndugu wakigombanaa chukua jembe ukalimee
@Young_boys24609
22 күн бұрын
Very good 👍❤
@Its_Goodluck
Ай бұрын
Mapacha huwa ni kawaida kutofautiana ila huwa wanapendana sana
@user-vy2bc6xg3i
Ай бұрын
Sio bure kuna mtu anawachanganya hawa watoto. Kuna mtu yupo nyuma anawachanganya hawa watu na huenda hatoki mbali huenda wako nae karibu
@missp1814
Ай бұрын
Inawezekana mtu akachangia kuwavuruga ila shida kubwa ni wao kuruhusu.....itakuwa mahusiano baina Yao yalikuwa sio mazuri tu ndo maana inakuwa mtu mwingine kuwagombanisha....Ndugu wanaopendana wamekuwa wote wanajuana vizuri hata mtu akitaka kuwavuruga mnashtuka mapema,ila sio hao p square wanashida
@kwzjkwz3532
28 күн бұрын
kuna kaka yao anaitwa Juda
@ashurajengela3926
Ай бұрын
Hawa nao utafikiri sio ndugu ?! 😢😢 Mbona hawapendani sana
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Walipo OA tu shida zikaanza
@user-fl1xz3ln3c
Ай бұрын
Pesa ni noma
@mfalmekaitaba2425
Ай бұрын
Mm ni shabiki mkubwa sana wa #Rudeboy🎉🎉🎉 jamaa anahandika sana
@fasterwalker1464
Ай бұрын
Kbs tangu wapo psquare yaan
@kevo_da_clever
Ай бұрын
Hawa jamaa watauana
@Qqambaa
Ай бұрын
Nikipata subs ata mmoja nitafurahi tanzania ni majirani wazuri nawapenda sana tunaishi nao mombasa vzr 2
@salimjumaa8180
Ай бұрын
Subs?
@Qqambaa
Ай бұрын
@@salimjumaa8180 subscribers
@user-bw2qo6bg1n
Ай бұрын
Heeeeee😢😢
@lovirinaa
Ай бұрын
I feel sorry for them jmn ndugu tena mapacha wana gombana kisa money/music so sad I wonder her the mother is feelin
@davidtentacion3104
Ай бұрын
😂😂ila mr pesa ni muharibifu sana kwa kila idara
@DjMswati
Ай бұрын
pesa haina ndugu niliongea na RUDE BOY aliniambia yote😊😂😂
@marthyporteah
Ай бұрын
acha uongo 😅
@DjMswati
Ай бұрын
@@marthyporteah kwel😂😂
@RayChausa
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Producer wake ndio wewe😂😂
@DjMswati
Ай бұрын
@@RayChausa 😂😂🤣
@ngoniempire2181
26 күн бұрын
Peter mpambanaji sana aisee namkubali, huyu Poul bishoo
@user-lk9rh5xp4u
Ай бұрын
Pesa ni fitna sana
@worldhappiness1181
Ай бұрын
Hawapo siriaz hao mapacha. Wana hela, famous, wanapendwa, mahandsome, sasa wanataka nn na hao 😅
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
😂😂
@letisiamakonda3873
28 күн бұрын
Mitama
@AbdulMaeda
Ай бұрын
Rude ni 🔥
@MbalasaJRMwakabalile
Ай бұрын
Rude boy Genious sana
@mamy8220
Ай бұрын
Inauma 😢😢
@allymtunge5530
Ай бұрын
Mama kwenye maishaa nisiraha kubwa sana
@AFRICA_D669
Ай бұрын
Hawa jamaa walitikisa kwa vibao vyao moto moto, aise hawakua na mshindani ilikua sio pw
@tarickroshan
Ай бұрын
ulianza vizur ila mwishon umamaliza kama mtu asie kua na akili
@patrickmarco964
Ай бұрын
😢😢 kaz nayo
@jamilaathumani5481
Ай бұрын
Yan undugu na pesa nivitu viwili tofauti..naijua iyo
@Green_v4w
Ай бұрын
ila kwa mziki rudboy yupo vizuri
@Farajahelene23031
Ай бұрын
Paul okoye
@Mbisamazembe
Ай бұрын
Work hard guys
@RahmaAwadh-ul9yu
Ай бұрын
Imeshashindikana basi tena
@tomshiii485
Ай бұрын
Nilijitahidi sana kuwapatanisha lakini mke wa Mr P akutaka niwe nakanyaga kwake, mpaka sahiv nimeamua kuwaacha na mambo yao, japo wananiomba sana nizidi kuwapatanisha
@HENRYSILUNGWE-i1j
Ай бұрын
Aaah me niko nao apa kwa asley mihogo yaan wamegoma kabisa kula mihogo na samaki kwa pamoja ko imenibidi niwagawanishe sema Peter anazngua
@tiktokTviral
Ай бұрын
PESA SHKAMOO.!😂🤣😃😄
@user-nb6yh2bn9y
Ай бұрын
Marahaba 😂😂😂
@AFRICA_D669
Ай бұрын
Marahaba hujambo mwanangu
@King_Of_Everything
Ай бұрын
✌️👊👍.
@stevkaliona4107
Ай бұрын
Aiseeee bro@sky tumewachoka hawa jamaaaa mda wao umepita jamani ❤🎉gonga like kama wewe ni team@simulizi na sauti 🎉like zenu❤
@benjagaspar5304
Ай бұрын
Umepita kwako🤫
@hossalemanuel1968
Ай бұрын
Kwako ndo umepita
@user-hi8le2vb7z
Ай бұрын
watu wajifunze sasa....pesa hainaga adabu wala heshima😊....hao ndo tunaambiwa wametoka kifuko kimoja cha uzazi
@user-px3po9lt8g
Ай бұрын
Mr p anazingua jana kanipta kama hanijui mbezi
@user-ch3ku3yx2z
Ай бұрын
Mi mwenyewe mama mtoto ananiibia pesa kitu kingine
@DM_15
Ай бұрын
Kumbe raster man anakibunda kuliko Sharon boy,
@JohnRossan-pk5cl
Ай бұрын
Hawa jamaa sijui ni mapacha gani wasiopendana
@nickone8585
Ай бұрын
Kuna watu wanamtumia Mr P
@HamisimohamediChilumba-n4k
Ай бұрын
Wanazingua pesa ni nn
@user-wu8qe4fv4j
Ай бұрын
Wandugue wa damu awo Je watu Baki Pesa
@ClassicUsed-jg6ri
Ай бұрын
Hao jamaa naishi nao hapa Lagos Mr p anazingua sana hata kunisalimia hataki ... Sababu anajua naongea sana na rude boy. Jana nilikua nao studio walikua hawaongei
@Harmonizee
Ай бұрын
walikuja kwenye sherehe yangu ya kuzaliwa jana, hawakuzungumza hata Pamoja.
@WilsonSonoko-qi5be
Ай бұрын
M mwenyewe nlimuona juz alikua anaendesha gar kidogo amgonge kakaake sema mwamba anazingua sana
@nancyg8664
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mpoje nyie
@ProsperSantos
Ай бұрын
Dah acha tu kaka juzi niliwaalika kwenye part lakini kila mtu alikua busy na mambo yake sema peter mkorofi sana ila ndawalekebisha mana ata mwenzie anataka aame lagos
@mansouromary9246
Ай бұрын
😂😂😂oyaaaaaaaaaaaaaa
@sund2553
Ай бұрын
MaPacha wasio pendana daaah kweli pesa ni shenani
@zclassicfashionz1573
Ай бұрын
Awa jamaa walipaza mbaali sana sauti ya mtu mweusi.
@jamilaathumani5481
Ай бұрын
Washatuchosha awo jamaa na maugomvi Yao..
@ShowdaddiKatuya-me2fp
Ай бұрын
Munauwakika Hawa ni mapacha kweli
@allyjumaally8353
Ай бұрын
Wana semaga mapacha wachawi walogane sasa
@FeisalKhatija
Ай бұрын
Awa mmoja inabid afe ili mambo yawe sawe kati ya Mr p na rude boy Inabid mmoja afe
@LatifaCharles
Ай бұрын
Kufa ww mwanga mkubwa ww
@queenofireland898
Ай бұрын
Pesa ni shetani munaweza kuvunja undugu kwa ajili ya pesa it's not good at all 😢
@abudoeugenio6903
Ай бұрын
Wasizinguwe watu. Tumewachoka.
@user-sw6uo6rv6j
Ай бұрын
Mr p ni yupi mm hata cwajui
@estherpaul3864
Ай бұрын
Mwenye Ako amenyoa
@Badvoice707
Ай бұрын
Hakuna binadamu yeyote duniani watakao kaa pamoja wasigombane hiyo haipo na haiwezi tokea kwa hiyo ni kawaida tu
@jdeoffspliny2594
25 күн бұрын
Hapo mchawi ni jude anaogopa wakiungana watakuwa na nguvu na kudai haki zao jude mpigaji tu mm aliwa nizurumu bhana
@user-xc7qj7ze7m
Ай бұрын
Muwe mnaleta habali kama mmeenda shule eti mapacha hagombanagi
@AllyMaritini
Ай бұрын
Hichoo ndio mnakiweza iv kwanin mnajifikilia nynyi tu iv nyie mnao endeshaa iz media niwatanzania kweli mmepumbazwa na pesa na sio masrahi ya taifa lenu nyie ni hasarah kwa taif wekeni hoja zinazo jengaa taifa UMOJA NI USHINDI
@CredoMatanga
Ай бұрын
Mond mabillboard 😂
@willtzee837
23 күн бұрын
Ukiwa na kaka anaitwa Jude (Juda Iskarioti) NI shida sanaa, badala ya kuwasaidia kutatua mzozo yeye anaegemea pande moja, boooonge moja la kiazi yaani kaka yao
@fiston-asifiwe
Ай бұрын
Nilikuwaga shabiki wao ila niliachaga baada ya kugundua kuwa ni mapacha wa mchongo tu
@mariamkibindo1741
Ай бұрын
Mmmh wamchongo kivip yaani kuwa sio tumbo Moja kwa mama mmoja,🤔
@fiston-asifiwe
Ай бұрын
@@mariamkibindo1741 tumezoea kuona mapacha wakiwa na ushirikiano mkubwa ila ao ugomvi mara kwa mara
@pendo8082
Ай бұрын
Ivi ww huoni wanavyo fanana
@LatifaCharles
Ай бұрын
Uyu mpuuzi shabiki andazi
@richkaja3317
Ай бұрын
Nyie wapumbavu tu
@mfalmekaitaba2425
Ай бұрын
Mm ni shabiki mkubwa sana wa #Rudeboy🎉🎉🎉 jamaa anahandika sana
Пікірлер: 105