Hongereni Eng. Benjamin Kasheku & Madam Consolatha Medard kwa kufunga ndoa takatifu siku ya leo, tarehe 06/01/2024, katika Parokia ya Bikira Maria Afya ya Wagonjwa, Sengerema, Jimbo Katoliki la Geita.
Mungu awajalie ndoa yenye Furaha, Amani na Mafanikio tele, Mkapate kupendana siku zote za maisha yenu, huku mkiendelea kushuhudia baraka zake Mungu zikimiminika ndani ya nyumba yenu!
Негізгі бет Pacha wangu - Benjamin's Friends: Composed by Paul Mike Msoka ( Official Video
Пікірлер: 34