Hongera sana kwa kutimiza miaka 25 ya Upadre.Umechagua fungu lililo bora Padri William kazi unaiweza endelea kumtumainia Mungu. Asante sana kwa Mwaliko Mungu akipenda tutakuwa wote hiyo mwezi wa nane. Mungu akupe furaha na Amani wakati wote wa kumbukumbu hiyo nzuri. 🎉
@judithmboya9476
4 ай бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukuimarisha baba
@OscarJekapo-cu5rz
4 ай бұрын
Ongera sana padri mungu aendelelee kukulinda
@Emmagmayemba
3 ай бұрын
Mungu akutangulie uendelee kututunza Baba.
@germanabernardswai6162
4 ай бұрын
Hongera sana Baba Padre. Tunamshukuru pamoja nawe. Azidi kukutunza katika wako Mtakatifu.
Пікірлер: 7