Tumsifu Yesu Kristu. Nilinyamazishwa na baba yangu nisikuwe mtawa nikanyamaza kwa kuwa sikujua kujitetea, watoto wangu wako na huo moyo wa upadre na utawa na ninawapea moyo. Sitawanyamazisha na Yesu awateende . Barikiwa sana padre nakufuatilia nikiwa Meru Kenya.
Пікірлер: 1