Mtumishi Jacktan Msafiri Huduma yako ni njema mno. Mungu azidi kukutumia
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
Ameen
@glorytoGod639
4 жыл бұрын
Asnte ubarikiwe mno mmi huwa naongeza sana kitu kwa safari yangu ya mbinguni kwa hizi shuhuda,Amen
@queenesther8505
Жыл бұрын
Asante mtumishi kila kitu anayosema ni 💯%Mwenyezi Mungu akufiche chini ya uvuli wake.❤🎉
@horemow9832
4 жыл бұрын
Amen napenda sana jinzi anavyo quote scriptures barikiwa sana i say hapo kuna makelele sana
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Ni karibu na msikiti ,mjini unajua tena,pole
@kennedynjoroge8742
3 жыл бұрын
Awesome message but hiyo kelele ya back ground inachukiza
@tulibumisalu8812
4 жыл бұрын
Mungu atusaidie sana tusiwe walokole wa asilimia arobaini
@miltonjohn1402
2 жыл бұрын
Tanzania kuna wachawi Sana sijui KWA nn! Hawa ni wachache wanaoamuwa kuja Kwa yesu, lkn wapo maelfu ambao hawataki kuokoka wakiwemo ile dini nyingine ambao wanaamini wapo sahihi kumbe wao ndio wamepotea kupita maelezo.
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Bado nguvu ya giza inawavuta
@sadikimtega4135
4 жыл бұрын
Ushuda mzuri ila tunaomba muenaangalia mda amabao no tulivu. Hizo kelele zinasumbua masikio
@barakamanu1514
4 жыл бұрын
Baba yetu aliyeumba vyote akubariki na akulinde, nabarikiwa sana na shuhuda zako. Nipo Mombasa, Kenya
@gloriamichael7935
Жыл бұрын
Uzuri wake huwa mnatuambia ukweli tupu asante. Mwenye masikio na asikie
@bettynino7354
3 жыл бұрын
God bless you presenter, you are doing a great job
@davidmatthew1715
4 жыл бұрын
Wakamshinda shetani kwa nguvu ya damu ya Yesu na ushuhuda wao.
@nizaelluka627
4 жыл бұрын
Mtumishi
@ahmedyally3088
4 жыл бұрын
Dah ushuhuda mzuri ila iyo adhana imeharibu
@mamanchuchu7969
2 жыл бұрын
MUNGU nimwema sanakwetu ubarikiwe sana baba
@hamisiali8494
4 жыл бұрын
Mimi huwa nafurahia ushuhuda na nko Kenya Mombasa mungu akubariki
@rahabnkya8276
2 жыл бұрын
JACTAN UKO VIZURI KUKUSANYA SHUHUDA ZA UKWELI NA UWAZI SEMA MB HAZITOSHI HADI MWISHO TENGEZA BASI VITABU TUSOME WAKATI WOTE. UNAYO NGUVU NA FEDHA ZITUMIE HIVYO JACKTAN. ASANTE SAAAANA MTUMISHI
@tigerchristmas5491
4 жыл бұрын
Kweli Mungu Roho mtakatifu anazungumza nasi kuptia ushuhuda huu" Nanyi mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru" Lipo kusudi kubwa sana la Mungu juu ya huyu mtumishi
@f.alovely6419
4 жыл бұрын
From Kenya🇰🇪
@LOGOSNew
4 жыл бұрын
Mungu asaidie watu wake! Huwa wanafurika kwenye miujiza bila kufikiria.
@cartassenga3515
3 жыл бұрын
Barikiwa sana
@FamousBerry139
4 жыл бұрын
Watching from Kenya
@hashimuchambuso9741
4 жыл бұрын
Dah.... iko haja ya kurudia kurekodi hii. Msikiti umeharibu usikivu.
@anethynyirenda9231
4 жыл бұрын
Ninainuliwa kiroho kupitia huu ushuhuda.mungu baba nnakshkr
@millicentayangokunting3728
4 жыл бұрын
Ufunuo nzuri sana👏👏👏👏👏
@tevercaretv2479
3 жыл бұрын
Jamani wakati mwingine jaribu kuboresha tukio LA kurekodo....tafuta mahali tulivu
@thehopetv6299
4 жыл бұрын
Aiseee
@Star-qf7ls
2 жыл бұрын
Too much noise at the background
@mackynicky5832
4 жыл бұрын
Kweli Mungu akikusudia anakuokoa hata uwe umefanya mambo mengi mabaya kiasi gani
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Ila ni Kwa Neema
@allandonna_2640
4 жыл бұрын
mtumishi mimi nashauri siku moja uwatafte watu kama hawa watatu au zaidi tulinganishe nawatwambie wakati mwingine walikuwaga wanakutana...?
@sarahmichael7538
4 жыл бұрын
Tunashukuru Mungu kwa yote anayoyaruhusu ili sisi tulio wafuasi wa Kristo tupate kitu cha kujifunza na kupata kuwa na maarifa ya rohoni
@dicksondavid9897
3 жыл бұрын
Barikiwa san
@costacarlosgomes1387
4 жыл бұрын
Asante kwa hushunda
@tevercaretv2479
3 жыл бұрын
Surely makelele ya msikiti hamngetafuta maeneo fasaha jamani
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Asante, ndio maana tukaomba radhi kwa maandishi, kama haujaona tunaomba radhi kwa hilo🙏.Unaweza kufuata link hii ili utazame toleo ambalo halina tatizo hilo kzitem.info/door/PLhesxBGiXy1_TP6_tY7GSowYnWRY1n-7q
@patricklochoto-bx1sr
Жыл бұрын
Ushuhuda wako umenijuza mengi
@susansenga754
4 жыл бұрын
Vp mbona azana ???????
@josphatfondo6499
3 жыл бұрын
Jina la bwana lipewe sifa
@diphinahnanjala7584
3 жыл бұрын
Mtumishi wangu ihiyo ni ulimwengu wa Visa ama wa shetani sio wakiroho kabisa.
@PeninahMwendwa
Жыл бұрын
Ni marundio?
@giftielinganga3128
4 жыл бұрын
YESU ATUSAIDINAHILA ZASHETANI.
@andrewmajita6437
4 жыл бұрын
Jacktan ushuhuda mzuri tena unafundisha ila hizo sauti za msikiti
@rafaelolemoono6830
4 жыл бұрын
Damu ya wanawake inachukuliwaje? Na wachukua au wavuna damu unajikingaje dhidi yao?
@PastorPhilipMbaabu.
7 ай бұрын
Ask important questions. Example, anachukua damu za watu aje??
@neemamwalende304
4 жыл бұрын
Doctor wa roho tupe mwendelezo.
@forjesus1382
3 жыл бұрын
Hio kelele ya msikiti ishindwe
@salehfarid1003
4 жыл бұрын
Subhanallah jina la ALLAH NA QUR AN INASIKIKA
@estasage5506
4 жыл бұрын
Oh no. Ushuhuda Safi lakini hiyo background za pepo za ki islam katukwaza. Kwa nini ulichagua mazingira hayo?
@shenjamamzingi7950
4 жыл бұрын
"Wewe ndio Shetani na Pepo Mkubwa,chunga ulimi wako usije ukalaaniwa"
@estasage5506
4 жыл бұрын
@@shenjamamzingi7950 ikurudiliye laana wewe kwa jina la yesu kristo wa Nazarethi. Mimi Si pepo wala shetani. Nafichwa na damu takatifu ya Yesu Kristu wa Nazarethi. Sikutaja mtu, nilitaja mazingira. Kwa hiyo, laana hiyo irudi kwako 100%
@isakahissa4130
4 жыл бұрын
Naiman mbingun tutakuwa wote motoni, maana yesu halikua hamdhiaki mtu na Iman yake..ila halikua anatumia busara watu kumuamin...kwahio sidhan Kama hutakuwa kondoo wa kwer wa yesu maana mwenye damu ya yesu lazma afate nyayo zake sio Kama wwe una ngozi ya kondoo lkn sikondoo wa bwana, esta🙏
@monicabh1668
3 жыл бұрын
Kweli yaudhi kelele tuu na hizo nyimbo zao za kishetani wa kuzimu .
@brigithadidas5128
4 жыл бұрын
Vinafsi sipendagi kuona hizi picha za kutisha unazozitumiaga kwa nn usiache kutumia yan adi unastuka ukiwa umeshka sm
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
Tunaomba radhi kwa hilo,tutaziondoa
@paulinas.3631
4 жыл бұрын
Kweli usiweke hizo picha aisee, ila huduma yenu ni njema sana, kwa Yesu kuna uhakika
@bwikondefockas3726
Жыл бұрын
usiludi huko Ni hatar
@angelmtisi4611
4 жыл бұрын
Alikuwa akichukua damu kwa njia gani kwa kuwauwa watu au?
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Amesema zipo njia nyingi
@charleschisawillo464
4 жыл бұрын
SAUTI YA AZANA IMEHARIBU USIKIVU UWE UNAREKODIA SEHEMU YENYE UTULIVU
@estasage5506
4 жыл бұрын
Thanks, I was soo disappointed too.
@allyawadh8492
4 жыл бұрын
Harafu wakristo wengi wanaonekana wanapenda sana mambo ya majini na mambo ya kichawi sababu kila anaetoa shuhuda zake utamkuta baada ya kufundisha mambo ya mungu atakuwa anafundisha uchawi au habari za majini,Sasa mnapataga nafasi yakujifunza mambo ya mungu na uwezo wake kweli?tena kwa hadith hiyo anayoeleza hapo wakisto wanamuona anaelimu kubwa ataakiamua kujiita yeye ni mtume au nabii watamuamini huyo ni msanii tu hana lolote ni hadithi tu anazozitoa kichwani kwake na sio mafundisho ya mungu,huyo ni wakala wa shetani anatafuta kujiaminisha kwa wakristo ili apige hela.
@WillyWhiskey-hw7qy
5 ай бұрын
Akili kid 1:05
@samuelmnada5878
Жыл бұрын
Kuzimu hiyo alikua anaimanisha Wafu yaani walioko kabulini
@ellyitete938
4 жыл бұрын
Hiyo saut km mashambuliz ili tusisikie vzr
@robinsonsweetbert6063
4 жыл бұрын
h hhh kawaida
@nizaelluka627
4 жыл бұрын
Ko nihai huku dam yako inatumika kuzimu
@rahabnkya8276
2 жыл бұрын
Hizo kelele sauti za islamic why. Meaning what.
@godisgreat1845
4 жыл бұрын
Duuh!! Unapewa kazi usingizini
@hassankombo4475
4 жыл бұрын
Uyu mtumishi naisi kama namjua anatokea simike mbeya
@josephinemumbua159
4 жыл бұрын
Maelezo mazuri lakini sauti io usiweke kipindi kingine
@nizaelluka627
4 жыл бұрын
Usemage ulimwengu wa kuzimu, sio wa kiroho,
@queenesther8505
Жыл бұрын
Ulimwengu wa kuzimu ni wa kiroho
@paschalpaul5022
4 жыл бұрын
Naonba kuuliza kwanini watakatifu wanatofauitiana nguvu mwingine ndogo mwingine nyingi kwa nini na wote wameokoka
@kibalikikubwa804
4 жыл бұрын
Kinacholeta Nguvu zaidi za kiungu kwa mtu ni uhusiano kati ya mtu na Yesu. Kadiri unavyo tafuta kuwa karibu zaidi na Yesu ndivyo Nguvu zake zinavyo ongezeka ndani yako.
@paulmzamy3320
4 жыл бұрын
@@kibalikikubwa804 barikiwa na mungu
@hassankombo4475
4 жыл бұрын
Kumtafuta mungu ni pamoja na kufunga na kuomba mutumishi anaefunga sana na kuomba anakua na nguvu sana
@joylynenalija4795
4 жыл бұрын
Kadiri unavyoishi na kutenda sawa sawa na Neno,kufunga na kuomba,kufuata na kutii maagizo,sheria na amri za Mungu na kufanyazile kazi Yesu alifanya pamoja na kuishi maisha matakatifu yaan kukaa mbali na dhambi,hivi vyote ndivyo vinavyokupelekea kuwa na nguvu kubwa kiroho. Sasa unakuta mtu ameokoka lkn kwny uzinzi yumo, pombe anakunywa,kwny masengenyo yumo,anakopa halipi, kwa ujumla haishi maisha matakatifu huyu hawezi kuwa na nguvu kiroho,wachawi watamtesa tu maana ameokoka kimwili kiroho hajaokoka.
@joylynenalija4795
4 жыл бұрын
Mtu anasema ameokoka fungu la kumi hatoi, au km anatoa hatoi kwa ukamilifu anamwibia Mungu,na ibilis anawapenda sn hawa unakuta matatizo hayaishi magonjwa nk ukiingia rohon unakuta source ni 10%. Kaokoka anavaa nywele za bandia, kucha za bandia n other fake stufs,hafanyi maombi ya ucku. Kwa hyo lazima awe tofauti na yule aliyeamua kuwa mwaminifu kwa Mungu na kutimiza mapenzi ya Mungu. Shetan haogopi ww kuokoka,anaogopa maisha unayoishi baada ya kuokoka,maisha matakatifu,kujitenga mbali na dhambi. Neno linasema iweni watakatifu km mimi nilivyo mtakatifu. Afu Yesu akasema itakufaa nin kuupata ulimwengu huu wte kisha uukose uzima wa milele?. Ukitaka kumkomesha ibilis jitenge na mambo ya ulimwengu huu ndivyo unavyokuwa mtakatifu na ndivyo utakavyojitofautisha na walokole wengine walioamua kuuzoelea wokovu. Hope umepata mwanga kdgo🙏
@ChancyLuhasa
3 жыл бұрын
Kelele ni nyingi sana za nyimbo za kiarabu.
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Bonyeza link hii kusikiliza iliyo safi ALIYEKUWA WAKALA WA SHETANI KITENGO CHA DAMU: kzitem.info/door/PLhesxBGiXy1_TP6_tY7GSowYnWRY1n-7q
@harunigaitani2590
4 жыл бұрын
Aa
@hamisiismail2577
3 жыл бұрын
Mbn awa watu japo wameshatoka uko lkn utagunduwa kuwa kuna bahaz ya maneno awasemi..utasikia sehem frahn awatoe maekezo kwa kina
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Si kila kitiuu uweke wazi hata hivyo wanajitahidi,zamani nikimsikia hivyo siwezi kusikiliza mahubiri yake,nilikuwa siamini kama kaokoka kweli
@mwamvuamkovizuriahsantenih8358
4 жыл бұрын
Quran inanogesha uo ndoukweli ata mkichukia 🤣🤣
@جانيتكينيا
4 жыл бұрын
They are is the same building don't worry tumemsikia
Пікірлер: 105