Mbarikiwe sana watu wa MUNGU maana niku nimeisubir kwa ham sana
@tobiasbarasa2927
3 жыл бұрын
Kaka kapitia makuu kweli.Kwa hakika asiye na ufahamu kuwa Mungu yupo basi kausikilize huu ushuhuda ya huyu kaka.Ni kipindi kizuri sana hiki.Ninawasikiliza na kuwatazama nikiwa Kenya.
@fredrickaman4289
4 жыл бұрын
Pole sana kijana endelea kumtumikia mungu ndo nguzo ktk maisha ya mwanadam
@user-re4iu4vu3b
10 ай бұрын
Mungu akumbuke ndugu zetu watanzani awaokoe kutokana uabuduo mashetani
@yushuaissa467
3 жыл бұрын
The story begins around 27:20 👍
@esthetbabu7481
4 жыл бұрын
God is good let's pray for him protect you
@user-il1bv6vs9q
4 жыл бұрын
Spiritual warfear between darkness and light I speak prophetic deliverance and healing in ur life. Any chain holding u spiritually be loosed and destroyed in Jesus mighty name Amen. Divine protection rest upon u now in Jesus mighty name Amen
@marchymaziku6234
4 жыл бұрын
Na dhani ungeongea kiswahili ungeeleweka zaid na watu wengi
@user-il1bv6vs9q
4 жыл бұрын
@@marchymaziku6234 I'm not speaking but praying. I reach out this prayer to him through help of holy spirit So am not here to please human What gain sure
@hebronsdaughter1661
3 жыл бұрын
Amen amen
@faithluande1867
2 жыл бұрын
God is the only way from msa kenya.mtu wa mungu wa kweli hayuko kwa vitu vya dunia kama fedha na venginevyo
@johnbernad6806
4 жыл бұрын
Kipindi hicho anakuja bony mwaitege nilikua huko na mimi
@abcdg1995
3 жыл бұрын
Noted Hey my Bwoyfured Iam a new subscribe here from Diaspora U.S. foreigner lands
@johnbernad6806
4 жыл бұрын
Tabora ni nyumbani huko
@mwambakakudji6288
4 жыл бұрын
Victor ni jina la utumwa....ma jina ya makaburu ya wazungu ni ma jina za utumwa.
@roselyimo3676
Жыл бұрын
Huu ndio ule mwisho tulioambiwa wa dunia Mungu yupo duniani na shetani anaanikwa na maovu yake. Mwenye macho haambiwi tazama. iweje leo haya yawekwe wazi? MUNGU AMERUDI DUNIANI
@joycemuhoja4729
Жыл бұрын
Magili Ni kwetu karibu na kanisa la Roma kwenye jiwe kote uko Unapotaja napafaham Pamoja Sana ndugu yangu naendelea kufatilia
@sarahogama9540
4 жыл бұрын
Waaa!!! ndio maana mm hua naogopa kuajiriwa heri nipambane kivyangu tu ,,,
@Andrebits83
3 жыл бұрын
Mungu alikuonesha kilakitu kaka (Yani Mungu alikujulisha mambo ingetokeya,yani mambo ilikuwa imepangwa kwa jili yako)
@Andrebits83
3 жыл бұрын
Ilikuwa Neema kwako
@awadhirajabu7754
4 жыл бұрын
Kumbe Kwenye Kona Za Mlango Noma Kila Mtu Alietolewa Msukule Anasema Alisimama Kwenye Kona Kila Mtu Kwenye Kona Mbona Izi Kona Zamlango Azifai Kabisa
@monicabh1668
3 жыл бұрын
Nikukemea tuu hizi nguvu za giza zishindwe katika jina la yesu.
@blessedlovedandfavoured4129
4 жыл бұрын
Shetani mkatili mwehu kweli.. Hii dunia bila yesu utaangamia
@hebronsdaughter1661
3 жыл бұрын
Mungu tu ndiye mtetezi,tuombe sana na kusimama imara na Mungu
@MumQueen
4 жыл бұрын
Jamani hivi ndivyo watu hufanya misukule? 🤔
@hopejohn6334
4 жыл бұрын
Aisee
@robsonsadiki
4 жыл бұрын
Ushuhuda unamjenga mtu kiroho
@hasnasaif1075
4 жыл бұрын
Uwiiii stori inasisimua kumbe wachawi c watu wazuri uwiii sijaimaliza ila usiii
@phineruge3480
4 жыл бұрын
Pole sn Kijana , Inauma sana kwakweli
@yukundapeter8200
Жыл бұрын
Hilo litajiri lilionanyota nxuri lingemtoa litoto lake.
@kingkendrickk
4 жыл бұрын
Good job Jactan 👍
@masogangemasogange7835
4 жыл бұрын
Good job God bless you
@yushuaissa467
3 жыл бұрын
Life history ya nini? Straight to the point. 😒
@christinamsigwa804
2 жыл бұрын
Ni shuhuda za jactan pekee za uhahika na kuaminika wengine copy tu barikiwa jactan.
@africandarling6925
4 жыл бұрын
Eeeeeee pole sana
@mariamfritsi9761
4 жыл бұрын
Asante kwa simulizi.
@godisgreat1845
4 жыл бұрын
Hii imetokea wapi mbona hatujasikia ndugu wa Familia au walimuwa wanaogopa kusema wasije wakatolewa kafara ushuhuda wa atu wa kristo kiboko sanaaa ya I hadi raha
@user-il1bv6vs9q
4 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe A bigger Amen Amen Amen
@philipomedia4855
4 жыл бұрын
Kipindi kizuri but tuboreshe kwa baazi ya vitu, kwanza camera,taa na shots ili kuongeza content zaidi
@trophywilson7211
11 ай бұрын
pole sie tunaona raha tu na tuko nje ya nchi,kikubwa ujumbe utufikie
@mbughilangison2223
4 жыл бұрын
Mwendelezo tafadhali
@user-il1bv6vs9q
4 жыл бұрын
No,, i command ur spirit be awaken by holy spirit this night in Jesus mighty name Amen
@wemamanikana9791
4 жыл бұрын
Dah!!
@chumachadollar5917
4 жыл бұрын
Mungu wangu
@euniceoyula1938
4 жыл бұрын
Asante ndugu mafunzo hayo jameni part 2 twasubiri waah.
@joycegideon8224
4 жыл бұрын
Yesu Kristo anaweza
@salmashuffa3745
4 жыл бұрын
Hiyo story haina ukweli itakuaje kijana wa miaka 15 aone bibi tena story ana rudia rudia tu
@user-il1bv6vs9q
4 жыл бұрын
Repent Jesus fight for u ok .
@myself4128
4 жыл бұрын
Lakinane kwa mwaka???? Jamani watu wananyonya sana wenzao
@samludo5435
Жыл бұрын
Afu anamzungusha kumpa
@fei3668
4 жыл бұрын
asante jacktan👏party two baba
@fredymaimbo4314
3 жыл бұрын
Gudy ctor bro
@sedfajonh2544
3 жыл бұрын
Mabosi wenye mashine za kusaga wachawi sanaaa mimwenyewe yalinikutaaaaa mungu ni mkuu jaman waklisto tusali
@germainekahambu
4 жыл бұрын
Dunia hakika kwa leo imeharibika
@kahambitanu2459
4 жыл бұрын
Ok
@neemangrotha
4 жыл бұрын
Have a good
@kimsamespa8490
3 жыл бұрын
Jamani Yani Mimi siwezi ukinilipa siwezi kukurudishia kwani Sina mahitaji nazo
@johnbernad6806
4 жыл бұрын
Usagar napajua mimi nimtu wa igoko ndipo nilipo zaliwa nimekulia huko huko igoko kwaiyo kahama huko napajua sana kwa kina kapiga
@amerphone9527
3 жыл бұрын
Wachawi mungu anawaona mmeraaniwa
@trophywilson7211
11 ай бұрын
99 na leo ana miaka mingapi?mbona ni mbaba kabisa?
@peterlyimo6696
7 ай бұрын
Mbona Promover huulizi maswali? Yeye alikuwa ndani nyuma ya mlango, alikuwa anaonaje yanayoendelea kule kaburini?
@Katini_Mdari
9 ай бұрын
Part 2 ya huu ushuhuda Iko wapi
@PromovertvTz
9 ай бұрын
ALIYETOLEWA KAFARA NA BOSS: kzitem.info/door/PLXTmPgeqbJ0kACwjEpk36H7tyZmiQLV2u
@ibrahimrukundo3064
4 жыл бұрын
SUBHANALLAH michezo hiyooo.
@MteuleMabuku
4 жыл бұрын
Kwa Ubora wa Picha Ingependeza muwe na taa. Ingekuaa studio zingefungwa ofcn ila kwa sabb mnatoka huko na huko basi tafuta taa pia.
@salvatorykyakwe8606
4 жыл бұрын
Duuuh twafa twilola
@lizbeth4323
2 жыл бұрын
😔😔
@jennjaja1586
4 жыл бұрын
Ngai fafa Dunia inamambo😒
@joshuatalu9596
4 жыл бұрын
Kweli ...
@michaelmithamo778
4 жыл бұрын
Beatrice,,,, uguo niguo kuri mundu witu
@jennjaja1586
4 жыл бұрын
@@michaelmithamo778 Ngai ateithie ado ake.🙏
@michaelmithamo778
4 жыл бұрын
@@jennjaja1586 ke thi irathira,,,kwina maundu maingi muno ma!!!
@kimsamespa8490
3 жыл бұрын
Watu wengine ni raia kutoka kuzimu kweli Yani mtu achoke hivyo vyote akikufanyia kazi mwisho uchukue pesa yake Tena umchukue misukule
@maisa47tv28
4 жыл бұрын
Tunachangia mb kaka
@hasnasaif1075
4 жыл бұрын
Hahaaaa umeona ee
@marcntwari4012
3 жыл бұрын
Sukimucoma na moto ba chawi siowatu wa kuichi dunia
@marysteven605
3 жыл бұрын
Unaona ni nyingi aisée:
@lauriansaid5964
3 жыл бұрын
Sadaka ya nini
@maryamoman1370
4 жыл бұрын
Muendelezo pls
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
ALIYETOLEWA KAFARA NA BOSS: kzitem.info/door/PLXTmPgeqbJ0kACwjEpk36H7tyZmiQLV2u
@jimmymwashambwa3923
3 жыл бұрын
napata elimu tosha
@aliceuwera5984
4 жыл бұрын
Unasema ukiangaliya bose yako wakikuzika Wewe ulikuwa wapi?
@mkwabichacha6324
4 жыл бұрын
Pole Sana,Mtumishi,wa mungu
@obugobaraka141
3 жыл бұрын
Msikilize vzri
@youngmoon33
4 жыл бұрын
Mchawi hana dini
@abbyadams8691
4 жыл бұрын
Yaani kwenye kudai sadaka ndo unaharibu. Tunachangia MB haziwatoshi?
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
Siyo lazima mpendwa,ukiona inakukera ujue haikuhusu hiyo
@lizzynkifu4179
4 жыл бұрын
Kutoa ni moyo kwan unajua anatumia gharama ngap mpaka ww unapata uwezo wa kupata hizo habari za shuhuda
@hassankombo4475
4 жыл бұрын
Kwani yeye anafaidika na nini kwa mb zako kutoa sadaka ni ili uendelee kupata shuudah mbalimbali
@deelissa2746
4 жыл бұрын
Yani wachawi hawa mamae wangekuwa wanatumia hizo akili kutengeneza dawa ya korona ningewaelewa ila wanachojua wao ni ushuzi ushuzi tu 💩
@niaanthony9588
4 жыл бұрын
😀😀😀
@awadhirajabu7754
4 жыл бұрын
Tigo Engezeni MB 1000 Kwa GB1 Mana Airtel Mnara Kama Kahaba Wa Manzese Autulii Kabisa Wakati Niko Katikati Ya Jiji Kubwa Tanzania Ukicheki Kule Taifa Kule Muhimbili Uko Kigamboni Apo Posta Uko Kichogoni Manzese Minara Inawaka Dimu Kibao Nyekundu Kila Kona Ewani Jumba La Airtel Live Vodacom Live Tena Juu Mzunguko Na Mitandao Mingine Kwanini Uduma Aiwi Kama CD Ndani Ya DVD Jamani Airtel Vipi Tunataka
@EdwinJaphet
7 ай бұрын
Hapa tigo hawapo wafuate ofisini kwao ukawaambia
@EdwinJaphet
7 ай бұрын
Hapa tigo hawapo wafuate ofisini kwao ukawaambia
@awadhirajabu7754
4 жыл бұрын
We Video Iko Na Dakika 54 Inafunguka Kidogokidogo Hi Uduma Imetokea Wapi
@awadhirajabu7754
4 жыл бұрын
Akuna Kitu Spendi Nacheki Video Inagoma Uku Mimi Naipenda Stol Mtandao Wa Airtel Niwakichomvu Sana Na Hi KZitem Kimeo Sana
@hasnasaif1075
4 жыл бұрын
Hahaaaa nimecheka mie
@awadhirajabu7754
4 жыл бұрын
Nawaulizeni Watu Wa Ulaya Je Uko Iko Mitandao Mibovu Yenye Kusumbua Ivi Mana Inasumbua Uku Kwetu Video Iko Na Dakika 54 Inagomagoma Awajali Muda Awajali Ubola Wa Uduma Awajali Kueshim MB Awajali Ubola Wa Nchi Nchi Hi Niyakisasa Inatupasa Dunia Iwe Kiganjani Mwetu Airtel Na Hi KZitem Vipi Jamani
@salmadalaquimane2364
4 жыл бұрын
Sie tuko na Wi-Fi ndugu
@sarahogama9540
4 жыл бұрын
Wacha kuitazama ndugu ss tuko kwa free WiFi heeeeee!!!
@edigamashauri7443
2 жыл бұрын
nikweri uchawi upo
@vedastomtasha
3 жыл бұрын
Kijana nampata sana huyo alikuja na cster angu kutoka kuzimu duu noma sanaaaa kakaa sana kwa babu yangu lwanzari
Пікірлер: 106