Hongera Sana. Hakika Kwa Bwana Yesu kila goti litapigwa.
@helenbahati8038
4 жыл бұрын
Amen Amen Yesu ni BWANA Ametutengeneza Yesu, Yesu ni BWANA, ametubadilisha Yesu, Yesu ni BWANA, Hallelujah 🙌🙌🙌🙌
@نفيدونستفيد-ل3ث
4 жыл бұрын
Mungu Akubariki ulinzi wa Mungu uwe juu yako Amen
@carolmuchiri9921
4 жыл бұрын
Kaka Mussa Twa Shukuru, Una ponya Mwioyo nyingi Kwa Ushuda Wako, Stay bls'd always 🙏🏾🙏🏾👍👍❤️
@myself4128
4 жыл бұрын
Mioyo mingi sio wioyo nyingi
@baltazarleba9760
23 күн бұрын
Nimegundua huyu jamaa kuna uongo anauzungumza. ananjichanganya sana. hiyo ajali kuna clip nyingine alizungumza tofauti
@felisnelly42
4 жыл бұрын
Ninashukuru sana mungu kwa ushuhund wa mafunzo waaah
@lilianluhasi5053
4 жыл бұрын
Kweli kikulacho kinguoni mwako, na pia kwa Mungu hakuna lisilowezekana kwa jina la Yesu Kristo, damu ya Yesu Kristo izidi kukulinda
@yvettekyalika907
4 жыл бұрын
Jambo bwana Jacktan, aksanti sana nakazi uliofanya.. Barikiwe😊
@annamachaki3644
3 жыл бұрын
Duuuh Mungu ni mwema Mussa jmn
@Shalom2018
4 жыл бұрын
Mungu ni mwema sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu
@medadiissa324
3 жыл бұрын
Bishop chessa namfahamu kabisa
@NathanSanasio
8 ай бұрын
Namba Yako mtumishi
@graciew1780
4 жыл бұрын
Wewe no ushahidi tosha ati Yesu anaokoa
@evalineawary3604
4 жыл бұрын
Amen amen
@peninahmwangi5098
3 жыл бұрын
Mungu akubariki Musa🙏🙏🙏pastor penina mwangi
@peninahmwangi5098
3 жыл бұрын
naomba namba yako Musa pastor penina from Kenya eldoret
@maq4041
2 жыл бұрын
Hiyo account yake inaitwaje ?
@MartinSamweli-qv3ct
Жыл бұрын
Alikuja kwangu kunifanyia maombi ya familia na mali zangu nikijua ni kweli mtu wa mungu walahi sijui nilijiridhisha na nini Mussa kanitapeli milioni 30 loooo kumfuatilia Mussa alikataa katukatu ni mtumishi wa mungu yule aaisee kama bdo wanamwamini Mussa ni bora ukasalia nyumbani na familia yako
@lindajohn2156
4 жыл бұрын
Mwenzangu uandike kitabu nitanunua history nimejifunza kitu
@jacklinewambui9193
2 жыл бұрын
Lakini kwanza ulisema huyo askofu alikuonya utakufa ndipo ukakasirika Tena Sasa sielewi ni jamii yako
@eliarichard9218
4 жыл бұрын
Jesus is good.
@merykusekwa7755
4 жыл бұрын
Ila umejichubua ila mi nasematu usije kunifata lkn
@imanuelimikaeli4692
4 жыл бұрын
Mussa, una ushuhuda mkubwa sana! Lakini kuna vitu vingine unavizungumza kisha unavidondosha katikati ya stori. Mfano ile stori ya kazi uliyotumwa kwa mara ya kwanza kumchukua mtu msukule, uliiachia katikati.
@syprianlameck3565
4 жыл бұрын
Part ya 14 mbona haionekan
@PROMOVERTVLive
4 жыл бұрын
Bado
@graciew1780
4 жыл бұрын
Ùlirudisha watu wa familia yako misukule
@prophetwamburamagesa
Жыл бұрын
Mussa acha kuwatapeli watu kupitia ushuhuda wako.
@abassmchonjo6635
4 жыл бұрын
Misikuamini
@lilianluhasi5053
4 жыл бұрын
Amini katika jina la Yesu Kristo asingejirusha duniani
@myself4128
4 жыл бұрын
Utakuwa mchawi
@myself4128
4 жыл бұрын
Halafu wee ni muislamu utaachaje kupinga habari za wokovu na wkt kila muislamu ni roho ya mpinga Kristo? Mtu kasema vitu vilichomwa chini ya ulinzi wa polisi kwanini usiende polisi kazura mimba ukaangalie kama anadanganya au kweli??
Пікірлер: 34