Mwenzenu nimelia 😭😭😭😭 Yesu Kristo unikumbuke na mimi 😭😭😭 naitaji wokovu mimi naitaji niwe mkristo wa ukweli
@اماحمد-ض4ه
3 жыл бұрын
Ameen kama imetoka kwenye kilindi chamoyo wako basi yesu akuone
@اماحمد-ض4ه
3 жыл бұрын
Barikiwa jacktan kwa kazinzuri n mebarikiwa kwa ushuhuda,na mtumishi wa mungu yesu akuzidishie
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen,asanteni kwa maombi yenu
@langistany6811
3 жыл бұрын
Nime vutia sana na mahombi yako, Una hitaji kua mkristo wa kweli, haya ndio matunda ya kazi ya Jacktan, Sasa Dada yangu Mungu ana penda sana watu kama wewe, watu wanao itaji kua wakristu wa kweli, Mungu ana haja kubwa sana ya kua na wewe, Sasa usi subiri, Mpaka Mungu Aku tokee kama alivyo fanya kwa mchungaji ktk shuhuda hii, hapana, wewe hanza sasa kuishi kama mkristu, Huo njaa ulio nayo ndio wito wa Mungu kwako, Hakikisha kila jambo unalo lifanya ktk maisha yako liko sawasawa na maandiko, soma biblia sana na uwe na mda wa mahombi, na hakikisha kila uli fanyalo ktk maisha yako una lipima kwanza kwenye neno, uki likuta lina pingana na Neno ( Biblia) usi lifanye, lakini uki kuta jambo hilo liko sabamba na Maandiko basi usi site kuli tenda, Usi subiri mpaka Mungu Aku tokea kama alivyo fanya kwa ndugu ktk shuhuda hii, sio hote ambao Mungu ata wa tokea kwa style hii. Kwa upande wako wewe fanya tu haya ninayo ku helekekeza mengi zaidi Roho Mtakatifu ata kuja kuku hongoza
@syliviakalenzi844
3 жыл бұрын
Mungu atakusaidia ndugu yangu
@fefedordjuma7093
3 жыл бұрын
Ameeeeeena Ameeeeeena 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 ushuhuda umenijenga sana tena sana ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu pia ubarikiwe kaka Jacktan Msafiri
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen, ubarikiwe pia
@hajiaslam2405
3 жыл бұрын
Mtumishi mungu akubaliki naishi south africa na kwetu ni dampo kalibu na chanika na sasa nimepata kanisa la kuabudu ninapoludi tanzania
@winfridahaule4364
3 жыл бұрын
Hongera sana Mungu wetu anatupenda sana
@paulmsamuli4615
Жыл бұрын
Mtumishi Mungu anakupenda sana.Zidi kumtumikia na naomba uniombee ni zidi kumfahamu bwana wetu Yesu Kristo kwa wingi.Amen.
@sheillahwairai4691
3 жыл бұрын
Shalom shalom, Jesus is Lord all Glory be to God forever and ever for your salvation. God be with you mtumishi
@mahomamahoma775
3 жыл бұрын
Jacktan unajua kuuliza maswalii ya msingi sana nimeliona hili kwa clip nying sana Mungu akubariki
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Ubarkiwe sana wajina Wa Baba Angu Mr Medard Akina Medard niwatumish wazur sana Baba angu anampenda sana Yesu hongra kwa kuokoka
@ellyitete938
3 жыл бұрын
Yesu ni Bwana na ni Mungu anaokoa yoyote ....... barikiwa sna
@kishingokishingo1840
3 жыл бұрын
Angejiokowa na kifo cha madhalim Kama unavyoamini
@fridahjerop8637
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji,kwa yesu kuna upendo mkubwa sana,kuna amani ipitayo akili za binadamu,wale wanaompinga yesu,onjeni muone mambo makuu msiyoyajua.
@happynesslucas7388
3 жыл бұрын
Ushuhuda Mzuri sana mtumishi wa Bwana, barikiwa sana.
@mercyblessedke
Жыл бұрын
Wow!!! Your testimony is great!!! May God continue lifting you
@tabithajeremiah2657
3 жыл бұрын
Asante kwa ushuhuda mfupi na mzuri wenye kujenga
@husseinjohn532
Жыл бұрын
Amen mchungaji MUNGU akubari na atusaidiye tuhione mbingu
@cyprianchale602
3 жыл бұрын
Ushuhuda mtamu sana huu ubalikiwe sana man of God
@adventinandyanabo9358
Жыл бұрын
Mimi mwenyewe namjua baba yako amenifundisha, hongera Umempata yesu umepata vyote
@sarahmichael7538
3 жыл бұрын
Mungu ni mwenye Rehema na Neema! Asante Yesu kwa wokovu huu mkuu ulioufanya kwa ndugu huyu. Asante sana kwa kumtoa ndg huyu ktk ufalme wa giza na kumuingiza ktk ufalme wa Mwana wa Pendo Lako. Tunaomba uendelee kuwaokoa na ndg wengine pia kama hawa
@Shalom2018
3 жыл бұрын
Mungu ni mwema ubarikiwe mtumishi wa Mungu,sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu Kristo
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen, ubarikiwe pia
@jackiemaggy2484
2 жыл бұрын
Ameeeeeeeeen nimebarikiwa sana thanks man of GOD
@optimamarenda7082
3 жыл бұрын
Mmkumbe ndowanavosemaga hakuna pepo ya ukirsto wakati Yesu ndio njia yauzima naukweli. Huwezikumuona Mungu bila kupitia Yesu.
@sekigosi4902
2 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri sana umeshiba haswaa nimefurahi sana leo.🙏
@paschalndarokulwijila546
3 жыл бұрын
Yesu anabadilisha, ukimpokea utapata kila kitu.....
@fatumaminyeko1875
2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana mungu amuwezeshe
@jovinjones4777
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi. Nitamkiri Yesu Kristu bwana na mwokozi wangu siku zote za maisha yangu.
@jacquelineyona2247
3 жыл бұрын
Mfalme YESU aishi milele na milele. Kweli MUNGU wetu asifiwe Sana yeye ambaye aliupenda ulimwengu hata akamutuwa kwana wake wapekee ili kila amwamainie asipotee ili awe na Uzima wa milele. Yohana 3:16. YESU KRISTO MWOKOZI wetu ni MUNGU wa Kweli umwamini tu ili Uishi milele.
@jacklinemakobella5223
Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu
@valenakomba9218
2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana.
@nazarenajoseph2695
3 жыл бұрын
Ushuhuda ni mzuri sana Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu.
@sophiamakani6133
2 жыл бұрын
AMEN AND AMEN AKI UBARIKIWE SANA HII USHUHUDA UMENIJENGA SANAA NAOMBA NO YA HUYO MUTUMISHI WA MUNGU
@marianachriss2444
3 жыл бұрын
Haleluyaaaa, Haleluyaaaa, Haleluyaaaa, litukuzwe milele Jina la BWANA wetu YESU KRISTO, milele na milele Utukufu na heshima ni kwa BWANA YESU KRISTO, Ameeen
@sheillahwairai4691
3 жыл бұрын
Jacktan mungu akubariki sana mpaka ushangae.
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen, ubarikiwe pia
@emmanuelmweu2615
2 жыл бұрын
Ushuhuda wenye baraka nyingi ume nipa nguvu ya kiroho sana Mungu atubariki sote
@honeydaniel6692
3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana, barikiwa mtumishi wa BWANA. Kuokoka ni rahaaaa.
@user-me3ee4fu8w
3 жыл бұрын
Glory to Jesus hakika wewe ni mwema
@suleimansamweli7316
3 жыл бұрын
Ndugu zangu waislamu hii ni saa y ufufuo na uzima
@marianachriss2444
3 жыл бұрын
Ameeen, wampokee YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine
@josephatjoseph1755
3 жыл бұрын
eti alioga haraka tarak asije mungu akamtokea nmcheka sana ndugu yangu
@annambezi6226
3 жыл бұрын
Ahsante sana Brother Islams wengi wanamkataa sana Bwana Yesu. Na shida ni wamefungwa uwezo wa kutafuta huu ufahamu. Wamefungwa na hayo majini wanayoyatetea kuwa ni viumbe vyao wema.
@tabithajeremiah2657
3 жыл бұрын
Tusiwahukumu ndugu zetu waislamu kwani neema ya Mungu bado ipo waliochaguliwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu wataijua tu njia iliyo ya kweli.Tukumbuke kuwa sio waislamu wasiomkiri kirsto bali hata tunaojiita wakristo bado hatujabadilika kama kirsto mwenyewa hivyo ndugu kama wewe umepata neema hii endelea kufunga na kuomba kwa ajili ya wengine ili nao waipate hii neema. Sote hatujakamilika ndiyo maana neno linasema tunapandishwa utukufu hadi utukufu Mungu atusaidie sana
@gracegesare5313
7 ай бұрын
Glory to GOD 🙏🙏🙏
@dianewilondja120
3 жыл бұрын
Amen amen. Bwana na mkozi wangu Jesu Kristo apewe sifa, anastahili milele na milele🙏
@fatumaminyeko1875
2 жыл бұрын
Mungu nimwema akika kwa yesu kunaraha
@sharnamoreen8195
2 жыл бұрын
Kuna wale walikua wanasema paul Hussein Mubaraka ni nabii wa uongo, akihubiri Yesu baada ya yeye kutoka katika dini la Islamic, sioni tofauti ya hawa wote, let God be God and Christ to make for us a way to heaven.
@edinambaga776
3 жыл бұрын
Hongera mtumishi wa mungu tumika ulipoteza muda uko ulikotoka
@valenakomba9218
2 жыл бұрын
Ameni,na wewe ubarikuwe Sanaa. Mungu azidi kukuinua.
@vickiemerere4056
3 жыл бұрын
Amen! Ushuhuda huu umenipandisha kiimani👏👏👏
@annambezi6226
3 жыл бұрын
Mungu awasaidie waislamu jamani wafunguliwe. Mungu awavushe kutoka dhiki kuu, na moto wa milele
@zawadimalecela3448
Жыл бұрын
Ameeen
@اماحمد-ض4ه
3 жыл бұрын
Barikiwa jacktan, n mebarikiwa kwa ushuhuda mzuri barikiwa mutumishi
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen, ubarikiwe pia
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen, ubarikiwe pia
@emmamakweta2073
3 жыл бұрын
Amen barikiwa
@dadapechi
3 жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristo. Nimesikiza shuhuda zakoo. Naomba sim naomba yako
@mercykariithi7919
3 жыл бұрын
Mchungaji huu ushuhuda ni mzuri muno lakini unachelewa sana😭😭😭😭
@janetjanet8669
3 жыл бұрын
Amina amina ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa ushuhuda huu 🔥🔥🔥🔥
@dodoted5033
3 жыл бұрын
Shalom WWOW! Ushuhuda kweli kweli! Ubarikiwe sana na ukomboe wengi kutoka Islam.
@justinendizeye714
3 жыл бұрын
Amen bwana asifiwe 👏👏
@vickiemerere4056
3 жыл бұрын
YESU NDIYE NJIA...
@damas5665
3 жыл бұрын
Na sio kwa ubaya Muhammad ndio nani sasa juu mie mwezangu nikisema yesu alikufa kwa kwajili ya dambi zetu waisilamu wanakatalia mbali zana but wath i can say YESU NDIYE jia ya kweli na UZIMA AMEN
@marianachriss2444
3 жыл бұрын
Mohamed ni roho ya uasi iliyoibuliwa kuzimu kuja kuudanganya ulimwengu na kuwa kinyume na neno la kweli la YESU KRISTO,kwa YESU KRISTO ndio sehemu sahihi kuliko zote duniani, tujitahidi ndugu yangu tukamlaki KRISTO mbinguni
@alhaddajmohammed4768
3 жыл бұрын
Kama Yesu kafa kwaajili ya kufuta dhambi zenu Wakristo kwanini mnaenda kusali na kwanini msiombe kufa muende Paradiso mkaishi kwa raha ! Mbona wanawake mnazaa/wanazaa kwa uchungu na wanaume wanatafuta riziki kwa jasho?!
@marianachriss2444
3 жыл бұрын
@@alhaddajmohammed4768 YESU KRISTO hajafa kwa ajili ya wakristo alitoa maisha yake kwa ajili ya ulimwenguni mzima,ikuwemo na wewe usidharau haya, Kuna siku inakuja utatamani umjue YESU KRISTO lkn utakuwa umeshachelewa tubu kabla haujachelewa Mpokee YESU KRISTO ni Nuru ya ulimwenguni wote, Kuna nafsi moja tu ya rehema ukiwa duniani nayo ndio hiyo ya kumjua YESU KRISTO na kumuamini, kuwa ndio BWANA na mwokozi na ni Mungu wa kweli.amini hilo upate okolewa
@navokisembo
3 жыл бұрын
Barikiwa saana mtumishi wa Mungu kweli wewe umechaguliwa.
@nellynellyy3167
3 жыл бұрын
Praise jesus🙌
@bahatishitindi3842
2 жыл бұрын
Ameni yesu ni Mfalme mkuu
@sarahmdindile4301
3 жыл бұрын
Amen, nimebarikiwa sana.
@drnow1528
3 жыл бұрын
Amen tunabarikiwa
@daudilazaro5551
3 жыл бұрын
Kwa kuwa unatamani Mungu akusaidie
@Emmanuela_pius
3 жыл бұрын
Bwana Yesu hoyeee
@annambezi6226
3 жыл бұрын
Ameeen
@redeemed5380
3 жыл бұрын
Sijawahi kuwaelewa waislam hivi wanapata faida gani wakiendaga kubishana na watu kuhusu dini na Biblia ? Yaani unamkuta mtu jasho Linamtoka anatembea na biblia angali yeye muislam ili akabishane tuu
@mwanaishamande8880
3 жыл бұрын
Nyie mnapata faida gani kupotosha watu zaidi yakutaka sadaka zawaumini
@redeemed5380
3 жыл бұрын
@@mwanaishamande8880 hilo ndio linalokukera? Wewe umeibiwa kiasi gani cha sadaka?
@monicabh1668
3 жыл бұрын
Hawa watu wanaubishi tuu sana eti dini ya haki na wanaabudu majini but sio kupenda kwao ni kukosa ufahamu wa kiroho
@anneafrica939
3 жыл бұрын
@@mwanaishamande8880 neno Hilo utalikumbuka Kwa machozi siku ukipata neema ya wokovu utafunguliwa macho na moyo utasema nilichelewa ila Nimepata neema mpya Mungu akutie nguvu katika vita ya Imani huwe na mwisho mwema na akubariki Mungu.
@anneafrica939
3 жыл бұрын
@@mohdbest5859 Asante Kwa maoni yako .
@editarichard1967
3 жыл бұрын
Ameen mtumishi
@sarahmwakagugu6663
2 жыл бұрын
Wonders🙌
@tunusanga4701
3 жыл бұрын
JESUS Christ,King of the kings....
@balbinamwanyika8267
3 жыл бұрын
Hakika Mungu anaweza akikuita huwezi bisha
@josephmutemi7494
3 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA
@lilianluhasi5053
3 жыл бұрын
Jina la Bwana Yesu Kristo lihimidiwe
@jofreykyando1241
2 жыл бұрын
Nataman na Mimi niokoke nikiwa na huyo mtumishi lakn.niko mbal
@malaikamedia8323
3 жыл бұрын
Amen to that
@baya7067
2 жыл бұрын
Yesu ni bwana na anayaweza yote
@neemanyasary7104
3 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe sana Tafadhali namba yako ya cm mtumishi
@peninahkariuki4679
3 жыл бұрын
Amen and Amen 🇰🇪🙏
@upendokaduma6632
3 жыл бұрын
Balikiw San mtumishi
@biblianenolaukweli5616
3 жыл бұрын
Sasa kaka jacktani sisi wenye atujuwi iyo number sijuwi sabini, samanini atujuwi sisi miss kongo tutafanya je kupata number yake juu kusikiya tunasikiya anataja number lakini atujuwi iyo samanini
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
+255655788965
@biblianenolaukweli5616
3 жыл бұрын
Asante kaka
@harunigaitani338
2 жыл бұрын
Hakika yesukristo n bwana
@malaikamedia8323
3 жыл бұрын
Amen amen
@verenapastory9118
3 жыл бұрын
Ameeni Ameen🙏🙏🙏
@sophiajohn8707
3 жыл бұрын
Whatsup yupo
@monicahnguta8225
3 жыл бұрын
MUNGU akupandishe katika viwango vya juu zaidi ukawafikie mataifa balibali
@dorcaskarago2876
3 жыл бұрын
Glory be to God
@abisairobert5098
2 жыл бұрын
Bwana asifiwe sana na umenipa fundisho kupitia wewe.
@mariajili6319
3 жыл бұрын
Amen 🙏
@malaikamedia8323
3 жыл бұрын
haleluyaaa
@njeriimvati2197
3 жыл бұрын
Naomba no za mchungaji
@keziaranga6329
3 жыл бұрын
YESU anaweza hilo tu linanipa nguvu kila siku
@biblianenolaukweli5616
3 жыл бұрын
Please
@tantinemwemendi8790
3 жыл бұрын
Yesu ni mwema kwetu
@karolshirima8935
3 жыл бұрын
Kweli huu ni uhitaji? Kuchanga $3000 ili kumleta mtu kwa ajili ya kujibu maswali yanayohusu ushuhuda wake? Kuna uhitaji mkubwa sana ambao ni muhimu ktk kazi ya Bwana...kuna watu wana uhitaji waweze kuwafikia watu kwa ajili ya injili..vyombo na wengine hawana mahala pazuri pa kuabudia...tuache utani wapendwa...huu ni usanii
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Sawa, asante kwa maoni
@juliethamisi7437
3 жыл бұрын
Anina
@biblianenolaukweli5616
3 жыл бұрын
Ututumiye kwenye message
@nazarenajoseph2695
3 жыл бұрын
Huduma yako iko wapi?
@jacklinyalay1170
3 жыл бұрын
🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿
@neemanyasary7104
3 жыл бұрын
Namba ya cm tafadhali
@yasintaraphael8334
3 жыл бұрын
Hakika MUNGU akitaka umtumikie utamtumikia tu. ubalikiwe sana
@forjesus1382
3 жыл бұрын
Tupe number ya mchungaji aliyemuombea
@medardissa6253
3 жыл бұрын
Mtafute ASKOFU SILVESTER GAMANYWA,NENDA KWA ASKOFU MICHAEL PETTER IMANI yuko BCIC TEMEKE. Ila hawawezi kukumbuka kila tukio maana wameombea wengi mno unajua ni miaka mingi Sana tangu 2005
@kudramalenda6782
3 жыл бұрын
Mwambieni atoe andiko yesu ni mungu
@brightonbujo5858
3 жыл бұрын
Mwite akudhihurishie..maandiko ni mengi lakini sidhani ni lengo laki kubwa maana ata tukikwambia hutokubali..weka moyo wako mweupe mwite Mungu atakuja na kujidhihirisha
@kudramalenda6782
3 жыл бұрын
@@brightonbujo5858 uwezo hana na hawezi
@roggatchristian8651
3 жыл бұрын
Yohana 1:1,14 ,itakufungua rafiki
@mshammazengo6272
Жыл бұрын
Ww ni motoni
@myself4128
3 жыл бұрын
JE SWALA5 ZIMO KATIKA QURAN? JE NI NANI ALIYELETA HIZO KUSWALI MARA5?
@salomekyamba1820
3 жыл бұрын
YESU ni MUNGU
@marianachriss2444
3 жыл бұрын
Tena Mungu wa kweli na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine,
@marianachriss2444
3 жыл бұрын
Litukuzwe milele Jina la BWANA wetu YESU KRISTO, Utukufu na heshima ni kwa BWANA YESU KRISTO
@eunicemsigo9677
3 жыл бұрын
Jesus is alive
@sarahmichael7538
3 жыл бұрын
Naomba pia mtumishi Jactani ktk suala la kumleta mtumishi wa Mungu Adamu Astoni Mbaya wa Congo, tunaomba kupata ushirika pia wa makanisa kadhaa kamavile KKKT NA TAG, maana naamini Mtumishi huyo wa Mungu atakapokuja hataishia tu ktk madhabahu ya Promover Tv, bali na makanisa mengine pia yatamuhitaji kwa huduma hiyo makanisani, kwa hiyo tunaomba mkono washirika kutoka huko pia
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen, tunawakaribisha watakaohitaji hilo
@mwanaishamande8880
3 жыл бұрын
Luga isiyoeleweka
@morrismghendi3475
3 жыл бұрын
Ole mtu yule asiya Ami Yesu kristo
@dianadomet1409
3 жыл бұрын
Mpendwa Mwanaisha, Yesu anakupenda. Mpaka uko hapa ukisikiliza, hakika unapendwa. Ukimjua, na hiyo lugha hutoishangaa.
Пікірлер: 213