Ahsante promover TV kwa kuletwa na MUNGU MBARIKIWE ninashukuru sana mtumishi wa BWANA kwa huduma hii
@JaneKuyokwa
Жыл бұрын
Mungu akulinde Tena natena amieli katekela Asante kwakutu fungua macho yakilo Toka malawi
@daudigabriel9860
11 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu unaeleweka vzr
@stephanomakoye6936
Жыл бұрын
A blessed pastor,, you are a gift from heaven,, you designed to preach the secret of darkness kingdom,, don't dispise your way of teaching
@Priska247
Жыл бұрын
Amena Mutumishi wa Mungu tumepokeya zaidi na zaidi, ubarikiwe na team yote.
@anneokari3184
Жыл бұрын
Amen.maagano yote kwa maisha yangu yamevunjika kwa jina la Yesu...
@MaryestherAlphonce
9 ай бұрын
Amen mtumishi wa MUNGU naimani kila kitu changu kimerudi🙏🙏
@VictoriaMachozi
Жыл бұрын
Amen Amen Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana Asante sana kwa mafundisho mazuri
@silyvianekesa4689
Жыл бұрын
Thank u so much mchungaji kutufunza maisha ya hii duniani
@owenomwanawayesu6961
Жыл бұрын
Mchungaji wa kweli kabisa.YESU ni BWANA.
@marthaumazi2197
Жыл бұрын
Ni mambo ya kweli kabisa Mungu atusaidie sana .
@jerusalemsuccess4562
Жыл бұрын
Nimemtukuza Mungu, kwamba utakuja kutueleza zile sura ya kitabu Cha kichawi. Asante Kristo Yesu kumuelekeza mtumishi wako Katekela aeleze yote kama ulivyo muagiza. Barikiweni sana
@lidamudy2842
2 ай бұрын
Mungu akubaliki mutumishi wa Mungu
@suzanakiwele1832
Жыл бұрын
ASANTE SANA YESU KWA AJILI YA MTUMISHI WAKO,NIMEFUNGILIWA SAA HII,
@KomboSyengo
2 ай бұрын
Mungu akubariki na akuinue kiwango kingine Amina
@rachaelmuema2052
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumish, watching from kenya.
@KomboSyengo
2 ай бұрын
Highly Supportive , God Bless You
@gracemutono5023
Жыл бұрын
Amen Asante pastor mafudisho masuri nabarikiwa sana
@emelivaly1720
Жыл бұрын
Ubarikiwe muchungaji am waching from oman be blessed katekera
@AzAz-sy6zp
Жыл бұрын
Ubarikiwe san mtumishi kwa maombi ya kuniombea kukombollewa
@annjohn194
Жыл бұрын
Ameen nimefunguliwa kwa damu ya yesu kristo
@victorianchimbi8640
8 ай бұрын
Glory to God kwa upendo wake sisi wanadamu
@happinessmwenda2773
Жыл бұрын
YAANI MTUMISHI MAFUNDISHO YAKO KAMA YA MTUMISHI WETU MAHANAHIMU CHURCH.UBARIKIWE SIJAPOTEA❤❤❤
@DoreenMwakibinga
11 ай бұрын
Asante yesu
@gladnesssomi6663
Жыл бұрын
Amen Mungu tusaidie
@kwagalarebecca9858
Жыл бұрын
Amen thanks for this eye opening
@estheraruba1828
Жыл бұрын
Mtumishi Amiel mungu akuinue daima
@fabricenindagiye1143
11 ай бұрын
Warundi tunakufuata 5/5. Ubarikiwe sana mchungaji
@lucylyale7169
Жыл бұрын
Ujumbe wako unatuponya mch ubarikiwe sana karbu pia mkoa wa Simiyu ili nasi tuokolewe🙏
@JoshuaKagobera
2 ай бұрын
Je tuombeje ili tutoke kwenye laana za ukooo,? Ubarikiwe. Sana
@maryojiema4591
Жыл бұрын
Buana yesu apewe sifa mchungaji Mimi Niko Kenya nimekutana na ushuhuda wako sasa nimefutilia miezi mbili nimekua nikiomba kulingana navile unatufunza, kuanzia nianze kusikiza hushuhuda zako nimeamua kusimama Kwa yesu, Kwa ufupi nakuomba ukiona hi ujumbe wangu uniwieradhi unipee nafasi tuongee ili niweze kukusimulia hadithi ya familia ninayotoka, uniweke Mimi na familiar yangu Kwa maombi, familiar yangu Kwa maombi, yakufunguliwa, imagine mungu amemulinda mamangu Hadi sai ako na 86 years na Hana kiwanja ata nyumba iyo kitu inanisononesha moyoni kilasiku, na imagine tumezaliwa kumi na watatu ingwa wengine washa pumzika na kilamtu Amalia shida akuna awezae kusadia mwengine na masomo inaishiga njiani wenye wamefika kidato cha one akunakazi, ata sai wangu wawili moja aliachia darasa la tano akatoka mwengine akifika kidato cha tatu akatoroka sasaivi Niko namwenye ako kidato cha ine lakini afanyi vizuri na imagine amekua mwerevu akiwa primary ata ndio akifanya vizuri akaitwa kwenye anasomea naomba umuwdke Kwa maombi tafadhali mchungaji, na Mimi pia nakuombea mungu azidi kukutumia ili mungu yesu atufungue watu. wengi pamoja nawewe turned mbinguni AMEN 🙏
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
Nimejikuta nalia ase lkn yote hayo amesema jaribu halikuwapata ispokua kawaida bali yeye Mungu atafanya na mlango wa kutokea
@floramongi1410
Жыл бұрын
Bwana atakutetea Kwa kwake funga hata siku tatu Yuko mtu anatumia nyota zenu funga ndugu yangu ufunguliwe mengine hayawezekani mpaka kufunga na kuomba.
@stephanomaduhu5426
Жыл бұрын
Pole Sana mtumishi
@francisshekifu8020
9 ай бұрын
Mawasliano yako ni yapi!
@liesharehema5193
Жыл бұрын
Amina mtumishi WA MUNGU
@gilbertndayishimiye7808
Жыл бұрын
Amen ubarikiwe Mtumishi, watching from Belgium
@FelixTangu
Жыл бұрын
Amen sana
@upendomhagama3236
4 ай бұрын
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri mimi yamenigusa me nifanye nini ili watotongu wangu wakombolewe?watoto Watano hawana ajira na wamesoma mpaka chuo kikuu kila wakiomba hawafanikiwi sijui ni maagano ya kwa mume wangu au be mimi mama ?
@HappyLubida-zm6tf
10 ай бұрын
MUNGU akubariki sana
@paulinakiswaga7505
Жыл бұрын
Sahihi kabisa mchungaji
@Akinyisafi
Жыл бұрын
Amen Amen 🙏 🙌 ni kweli kabisaa yale umesema
@jescaapolinary4858
Жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia
@letisiabudabya4030
Жыл бұрын
Amen mtumishi
@Reginajohnson19884
Жыл бұрын
Yani na mie nipo humo kabla sijakoka, but tangu niokoke Namshukuru Mungu
@amandaangie4806
Жыл бұрын
Amen 🙏 MUNGU Akutunze
@letisiabudabya4030
Жыл бұрын
Ni kwel kabisa mchungaji watu wengi wametoka makanisan Kwa maneno ya uongo kisa ndoto
@jameskotte-endtimegospel
9 ай бұрын
Kweli kabisa
@ProsperBinmedad
Жыл бұрын
Amen
@akothchristine4752
Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏 glory glory glory hallelujah
@lydiamakenge5613
Жыл бұрын
Ameen
@dorcaswawira6096
Жыл бұрын
Natumia aje sadaka yangu kupitia m-pesa nikiwa Kenya?
@isabilaisabila8722
Жыл бұрын
Ameeeen Ameeeen Ameeeen
@zadockmunala8778
4 ай бұрын
MCH. Katekela nashukuru kwa mafundiisho mazuri sana lakini unapata wachungaji wengi sana hawana neema hii ,hawajui mambo haya.....so ombi langu ni kwamba unisaidie niweze kuvunja haya madhabahu ya familia...sijui kama yawezekana kama niko Nairobi wewe uko Tanzania?
@salvinahassan8778
Жыл бұрын
Kwani mtumishi, Roho ya Moses Kulola hii juu Yako, Kuna mda nasikia unazungumza kama yeye, harafu inakuwa na nguvu zaidi
@Reginajohnson19884
Жыл бұрын
Nilishavishwa mie
@jackie4health
7 ай бұрын
Ukiwa wafu hawapumziki basi utaelezaje Muhibiri tisa?
@queenriziki5126
Жыл бұрын
🙏🙏
@neemataris3273
3 ай бұрын
Bikira Maria ni mtakatifu na alikibeba kitakatifu amcaye ni Yesu mwokozi ndo maana wakatoliki wanamtumia kama mwombezi tu hawamwabudu kamwe ila tunamtumia kutuombea kwa sababu yeye ni chanzo cha kumleta mwokozi na kuna wanaomwomba awaombee na wanapata majibu.
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
NAMBA6 NA7 NACHOMOKA KWA DAMU YA YESUKRISTO NA NENO LA USHUHUDA WANGU KATEKELA KATEKELA UMEJUA KUNIWEKA WAZI NIKO HURU SASA NAKUSHUKURU SANA SANA NAKUITA CHUMA, LKN PIA KWA ALIYEKUELEWA KAMA MIMI HAWEZ KUMCHUKIA MUISLAM TENA LABDA KUWAOMBEA WAKAKUTANA NA NENO AMBAYE NI KRISTO
@GraceRichard-fn3yk
8 ай бұрын
napenda caana kumsikiliza amieli katekela, maana napata mafundisho mazuri
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
Basi tufundishe kujitoa katika hizo laana ili tuwe salama mchungaji
@neemataris3273
3 ай бұрын
Hakuna mkatoliki anamwamini bikira Maria ila ni mwombezi tu, Yesu ni kila kitu kwa wakatoliki ndo maana pasaka inakuwaga hot sana kwa wakatoliki so usichanfanye
@RachelMlingwa
11 ай бұрын
Mimi mtumishi nasingiziwa uchawi na ndugu wa mume leo nimejua
@joannekesa1835
Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🇰🇪
@janethmwihumbo1289
Жыл бұрын
Kila maagano na laana zinazo fatilia zimeshindwa kwa jina la Yesu
@floramongi1410
Жыл бұрын
Kwani unachotaka ni sauti ya moses au kupona?
@Neema-c3r
Жыл бұрын
MUNGU atusaidie na familia zetu zipone
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
ila huyu mjamaa🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️tupate wapi tena mtu km huyu???? Manabii wa mchongo km nawaona wanavohaha kummaliza maana anazd kutufungua akili ase mm binafsi ni muhanga
@lydiamakenge5613
Жыл бұрын
Napokea kufunguliwa
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
@@lydiamakenge5613 amen
@MilkahMaritim
2 ай бұрын
Asifiwe yesu Niko Kenya nimefurahia ushuuda wako Niki taka kuja nitakupata aje ani wapi?
@jackswat
9 ай бұрын
Lakini hapo mchungaji sijakuelewa unapozungumzia dini manabii na mitume wengine kuwa nao ni wa Mungu. Mf. Uislamu, ukatoliki nk. Sidhani kama ni sahihi kwasababu kiimani tunaona maandiko yanatuasa kutokuwa shirika nao, sasa sijui kama sijakuelewa vizuri lakini nimeona kama unawazungumzia vyema. Na la pili ni pale umesema kwamba Yesu ni nabii/mtume mkuu - nadhani Yesu si mtume ila wanafunzi wake ndiyo mitume YESU NI MWANA WA MUNGU!!
@AgnesKalinga-if3uf
Жыл бұрын
Mafundisho haya ni kioo kwangu najiona wapi nipo ila tufundishe namna ya kujinasua
@lifeinmiddleeast8179
Жыл бұрын
😢😢mi huota nawangiwa
@thomasmmoka4884
Жыл бұрын
Sakramenti ya Ubatizo,Ekaristi na Kipaimara huondoa Laana za dhambi.Sakramenti ya Ekaristi ni Damu na Mwili wa Yesu Kristo.
@mwavithaniyburana932
2 ай бұрын
Shukurani kwa mafunzo ss huyu aliye bebewa kizazi atafanyaje ili aolewe
@RoselineNyachwaya
5 ай бұрын
Mbona mtumishi unanisema mm haya mambo yote?? Naomba nikutane na wewe nisiwe next victim
@AzAz-sy6zp
Жыл бұрын
Sasa nifanye nn mpaka vinitoke hivi mtumishi
@yvonnewitandaye1873
Жыл бұрын
Sasa una wambiya wamuombeye Muhammed iweje ?asamehewe aene mbinguni
@estherwanjiku9278
Жыл бұрын
Naweza pata number ya huyu mchungaji?
@neemamatiko3745
Жыл бұрын
Tafuta no za promova tv ndio akuunganishe nae
@carolinederi5690
Жыл бұрын
😢 Waombezi wengi wamechkua sadaka za family wakidai wanavunja madhabahu na hakuna mabadliko yoyote tunayo ipata
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
Poleni sana Mungu awatetee
@kihilamasuke6976
Жыл бұрын
Mmepigwa pole sana
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
@@kihilamasuke6976 unakutana na mtu anakwambia leta nywele za utosn na kucha naww kwaakili zako unapeleka😅😅😅😅😅😅😅Mungu atusaidie sana
@carolinederi5690
Жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 Kule kwetu ni vikundi vya kina mama waombezi wanaomba alafu wanasema roho amewaonyesha tutoe sadaka ya kuvunja madhabahu Baada mwezi wakija wengine kuomba pia wanaonyweshwa tutoe sadaka ya kuvunja madhabahu I say wajiuliza kwan madhabahu zavunjwa mara ngapi 😊
@rerisamba
Жыл бұрын
Caroline Deri waa sasa umeshajua njia shukru Mungu
@AgnesKalinga-if3uf
Жыл бұрын
Mchungaji, kilingeni ndo nini sielewi
@joyprecious8822
Жыл бұрын
Kilinge/kilingeni ni chumba cha waganga wa Jadi/wachawi wanahifadhi tunguli zao na pia katika kilinge ndio wanatibia wanaotafuta usaidizi kwao, Chumba maalum cha waganga.Shrine in English
@floramongi1410
Жыл бұрын
Mchungaji katekela Mungu akubariki sana sana.
@kersirukangika2440
Жыл бұрын
Una ongeya vitu gani una Washauri wa Islam waendeleye kumu ombeya Muhammad;mbona una wadanganya hatuwezi kuombeya mutu ariye Kufa asamehewe.
@victorianchimbi8640
8 ай бұрын
Kaa chini utulie uelewe vizuri ❤
@mercykariithi7919
Жыл бұрын
Ndio mafundisho yako ni mazuri lakini Wacha kabisa kuongea lugha za kishetani siulishatoka huko??hizo lugha Zina bore sana
@rizikingena1149
Жыл бұрын
Amen 🙏
@salvinahassan8778
Жыл бұрын
Kwani mtumishi, Roho ya Moses Kulola hii juu Yako, Kuna mda nasikia unazungumza kama yeye, harafu inakuwa na nguvu zaidi
@salvinahassan8778
Жыл бұрын
Kwani mtumishi, Roho ya Moses Kulola hii juu Yako, Kuna mda nasikia unazungumza kama yeye, harafu inakuwa na nguvu zaidi
Пікірлер: 102