Kweli YESU anatupenda na kuamua kuvujisha mtiani wa sili za kuzimue na shetani, Asante BWANA YESU KIRISTO.
@gradyskamwela6163
Жыл бұрын
Asante Yesu anayetufichulia yaliyosirini ili tujue kupambana,,.mbarikiwe watumishi ambao Yesu amewatumia kuleta Jumbe hizi
@user-ji8tf9mf4m
5 ай бұрын
Ni muhimu sana kufahamu mbuni za shetani ni.ejif I nxa moll
@leahenockmrina5381
2 жыл бұрын
Nashukuru sana Mtumishi wa Bwana wetu Yesu Kristo kwa ushuhuda huu umetupa namna ya kupambana na adui shetani na kumshinda
@jeremiambeho1977
2 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi ninabarikiwa sana nakupenda pia
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
@hassankombo4475
4 жыл бұрын
Hakika mungu ni mwema nabarikiwa na huu ushuhuda ubarikiwe mtumishi
@maryamayitsa6181
2 жыл бұрын
Kwa jina la Bwana Yesu tutawashinda🙏.
@ivonaevarista4654
4 жыл бұрын
Nilkua naisubiria kwa hamu,,barikiwa sana mtumishi wa Mungu alie haiiii
@blessingmapazia9545
Жыл бұрын
Yesu tunaomba utusaidie peke yetu hatuwezi
@barnabasmboya7688
4 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri sana wenye mafunzo mengi. Ubarikiwe Mtumishi
@janengaga2928
Жыл бұрын
Maombi,utakatifu,bidii ya kumtumikia Mungu,UPENDO KWA MUNGU na wenzetu na msamaha,KUSOMA BIBLIA na kutendea kazi kutazima mishale na mikakati yao.Mungu tusaidie tufike Mbinguni.
@saramss7262
2 жыл бұрын
Barikiwaa SANA mtumishii barikiwaa SANA mtumishii akutunzee baba wa Mbinguni akulinde Akupiganiye SANA Mungu nimwema Hallelujah
@SimaoromaojoseSimaoromao
2 ай бұрын
Obrigado pela nome de Jesus Cristo
@thehopetv6299
4 жыл бұрын
Namshukuru sanaa MUNGU maana nilikua nimejisahau ila nimeamshwa tenaa kwa ushuhudaa huu, ubarikiwe mtumishi wa MUNGU kaka Jacktan
@byboytrezor5339
2 жыл бұрын
Mungu atusaidiye
@Aidahkiliaki
4 жыл бұрын
Yesu atusaidie, nmesikiliza kwa uchungu sana nimetoa blich na sivai hereni tena
@salimajosephine1673
3 жыл бұрын
ubarikiwe towa kabisa hayo mambo ya mapepo na usirudi tena
@sarahmdindile4301
3 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nilinyoa na nywele na mapambo yote niliacha toka nilipouona ushuhuda wa Mchungaji Margaret na ushuhuda wa ziara ya mbinguni
@pastorjustinedamian6704
2 жыл бұрын
Barikiwa mtu wa Mungu Bwana akuinuae Mimi nimelewa sana .katka utumishi wangu nimekutana na Mauti alliyepanda nafasi , mala ya mwisho nikakutana na mapepo hatari yanayotoa roho yakashindwa akaitwa Rusifa akafungua mlango hila Roho Mt.alininisaisia
@dokasa9176
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi,mkono wa Mungu uwe juu yako daima unapoendelea kuokoa roho nyingi ambazo zimepotea bila kujua,hata mm mwenyewe nimejifunza vitu vingi sana sikuwa najua tena hizi shuhuda zimeinua imani yangu kiwango kingine
@MrpZozo-us1gq
Жыл бұрын
Jesus Christ is very merciful
@VioletAteku
6 ай бұрын
Mungu atatugomboa na huyu pepo.
@rozinamaleka214
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka Jacktani kwa shuhuda hizi tunajifunza mengi sana Mungu atusaidie sana
@eleonorandole9244
4 жыл бұрын
Mmmh inaogopesha. Yani katika yote yaliyosema naona kama sijakwepa ata moja. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Asante sana mtumishi........umenipa mwanga. Barikiwa sana sanaaa na Bwana Yesu (yule mwenye haki)
@austineouma4270
2 жыл бұрын
Yesu Kristo ni Mtakatifu Sana atatusadia sisi Wateule wake
@mackynicky5832
4 жыл бұрын
Mungu tusaidie kwa maisha majaribu haya
@FurahaMeckson
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Jacktan kwa ushuhuda huu. Kazi unayo ifanya ni kubwa saana. Maana naendelea kukomaa kiroho ninapo endelea kufuatilia promover tv. Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Amen
@ennamongi9812
4 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@isayanyingi6622
2 жыл бұрын
Be blessed the team of promover tv
@bethwelltarus1120
4 жыл бұрын
Thanks so much brother mungu akubariki na ukulinde.
@tigerchristmas5491
4 жыл бұрын
Si kwa nguvu wala uweza wetu bali kwa nguvu za Roho mtakatifu.Amen
@sophiajonas8618
3 жыл бұрын
Mungu wangu bila kudumu maombini haitawezekana
@richardkiri1656
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi nimejifunza mengi sana lkn tutavuka haya kwa neema ya Mungu tu
@mhinajohn1224
3 жыл бұрын
Mungu atusaidie tusimame kwenye kweli take maana mambo gaya yanatisha lakini ndiyo kweli.Yesu atusaidie,Mimi najitia nguvu katika Bwana Yesu niyashike tote ya Mungu.
@fifikabene5663
4 жыл бұрын
Amen mungu akubariki sana sana
@helmashimba7761
2 жыл бұрын
Tunavita
@richardesther6738
4 жыл бұрын
Haleluyaaa Nilikuwa naingoja sana
@philipokisuna1366
4 жыл бұрын
Mungu akubariki kwani kazi hii ni Kubwa
@leahenockmrina5381
2 жыл бұрын
Pia wasabato wanaabudu mizimu kwa kumwabudu Hellen G white
@Shalom2018
4 жыл бұрын
Kiukweli nilichojifunza ni kudumu kumuamini Bwana Yesu,kuomba na kusoma neno na kila ninachotumia kukiombea na kukifunika kwa damu ya Yesu maana ukiangalia karibu vitu vyoye tunavyotumia kwenye jamii shetani anaingiza uharibifu
@elizabethmambo6321
3 жыл бұрын
Kweli ad mafuta Sasa tuta shindwa kupakaa
@sophiajonas8618
3 жыл бұрын
Kabisaaaaaa
@lovenesswalter6650
4 жыл бұрын
Wooh kaka Jacktan ubarikiwe mimi shuhuda hiz zote na share to my WhatsApp status... Watu wanapokea ubarikiwe sana... Endelea kutujuza
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
Ameen barikiwa sana
@salimajosephine1673
3 жыл бұрын
asantu ubarikiwe mtumishi🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@mawazobayndulwa1909
4 жыл бұрын
Asant sana mtumishi na Mungu hakubariki
@ezekielmwasamboma9953
4 жыл бұрын
Hakika kila lililositirika litadhihirishwa! Barikiwa sana mtumishi wa Mungu aliye hai. Ee BWANA Mungu wetu, fufua kazi yako katikati ya miaka hii. Katika ghadhabu kumbuka rehema zako!
@mariachannelke9769
4 жыл бұрын
Asante sana,🇰🇪🇰🇪🇹🇿
@ipyanadanny7173
4 жыл бұрын
Mungu atusaidie kwa akili zetu hatuwezi
@dennismwenje7041
4 жыл бұрын
Thankz alot may GOD bless your more and more
@saviourkasekwa6436
4 жыл бұрын
Aminaaa mtumishi Mungu tu atutie nguvu
@jakelema6325
2 жыл бұрын
Ndg hilo jina la mwanzo ni lako ama
@saramichael9059
2 жыл бұрын
Kila shuhuda inanifungua zaid yaan kupitia hizi shuhuda za promover TV zimenibadilisha kwa kiasi kikubwa sana. Mbarikiwe saana kwa kuanzisha huduma hii.
@piusnkwale
4 жыл бұрын
Eheee Yesu utuokoe
@Hassan_Mengi
Жыл бұрын
Part 4 mtumishi…?
@ruthstephen2791
4 жыл бұрын
Asante sana nlikuwa nasubiria hii sehemu ya mwisho
@kersirukangika2440
3 жыл бұрын
Jameni tuna vita kweli kweli Yesu tushindiye•
@isaacedward1002
4 жыл бұрын
MUNGU atusaidie kwakwl
@benjamenshepa1000
4 жыл бұрын
Mh jamen
@brendabarton99
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@linuxlipawaga1696
3 жыл бұрын
Mungu atusaidie sanaa kwakwel
@zawadivumilia1752
4 жыл бұрын
Mungu huko upandewetu atatusaidia
@nemaodhiambo7274
4 жыл бұрын
God bless you more in the name of JESUS CHRIST.
@avierastevens5141
4 жыл бұрын
AMEN
@giftielinganga3128
4 жыл бұрын
MUNGU waMbinguni atusaidie.
@hebronsdaughter1661
4 жыл бұрын
Hakika wapendwa YESU anatupenda ndio maana amewafunulia watumishi wake, tuanzeni kufanya mapenzi ya Mungu ili tupate kimbilio najua wenyewe hatuwezi ila Mungu ni mwaminifu atatusaidia
@aminaally4163
4 жыл бұрын
MUNGU TUSAIDIE SOTE
@sayunicasmiry4365
3 жыл бұрын
Mtumishi unarikiwe, malkia was pwani anatutukana sisi NI wendawazimu,ashindwe
@mariaurio7470
3 жыл бұрын
Ameen Emanuel.an najua historia yake tangu 1994
@reagannkya9127
4 жыл бұрын
Amen
@hildajohn1223
4 жыл бұрын
Amen
@angelibrahim5539
2 жыл бұрын
Shetani afai ata kidongo
@davidmaina797
3 жыл бұрын
Nasikizah
@isayanyingi6622
2 жыл бұрын
Sorry vp ile ushuhuda wa plaster amiel katekela unaendelea?
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Ndio utaendelea
@richardkiri1656
3 жыл бұрын
Kwakweli kumbe kanisa sabato wako sawa kabisa nilikuwa najiuliza hawa wanawake wa ki sabato mbona wako iv kumbe kwa muonekano wa nje wako sawa hawasuki nywele bandia hawa jirembi wala kuvaa vipuri
@sarahmdindile4301
3 жыл бұрын
Ila baadhi ya wasabato sahizi wanaweka dawa nywele nawengine piko na wengine pia wanavaa mawigi
@leahenockmrina5381
2 жыл бұрын
Be careful wasabato wanafata yote ya agano la kale lakini wanakana matendo ya miujiza ya Bwana Yesu Kristo na nguvu za Roho Mtakatifu kunena kwa lugha mpya na karama za roho mtakatifu wamebaki kwenye kufuata sheria
Пікірлер: 81