Jux bado ana true love maskini May Allah grant him the best wife he deserves🙏🏼❤️
@salomewandya7257
4 ай бұрын
Wewe dada Mtangazaji unajua sana❤❤❤
@jamilaathumani5481
4 ай бұрын
Hali aliyopitia jux namuelewa sana hata mimi nilipitiaga iyo situeshen kumuomba mtu msamaha hadi nilichanganyikiwa kimapenzi bila kusamehewa mpaka leo..kiukwer mapenzi nikitu kibaya sana yani nimewahi kufanya nakukiri kitu ambacho sijawahi kufanya katika maisha yng hata mala moja
@salamafair1169
4 ай бұрын
Pole sana habibty
@hamiszali1434
4 ай бұрын
Ww fala sana ,,
@Mina.15
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂nakupa pole kama inauma naku pole 😂😂😂
@Mohaa4309
4 ай бұрын
Ila Karen mzuri kwakweli Maa Shaa Allah,, lazma bro aumie kweli 😢❤
@Mina.15
4 ай бұрын
@@hamiszali1434😂😂
@hanifamziray277
4 ай бұрын
Mungu atakupa mke mwema piga dua
@Babygirl758
4 ай бұрын
Huyu jamaa ana trauma na ptsd, aliona after kum treat vmoney kishkaji jinsi vanessa moved on less thn 6 months akawa na rotimi and in 2 years after their breakup akazaa nae…. so kwa karen sio kwamba labda alimpenda sanaaaaaaa ila aliona mfano kwa vmapesa akaogopa mara hii pia itakua hivyo ndo kisa cha kujirekebisha na kujishusha kiasi hicho staki kuamini kwamba alimpenda karen kiasi hicho after 2 years nae while vanessa alikua nae miaka sita na kuna vitu vingi walipitia and love grows w time.. he just didn’t want to repeat the same mistakes, he was redeeming himself to a different woman
@damydee9665
16 күн бұрын
Unawez ukasema hvy lakn for me Jux is the Victim labd ujuw hzi ni za ndani.. Jux kuachana n Karen Ommy is 100% involved.. matter of fact he fckd karen and was given 5mill.. at first demu aligoma bcz ommy went as a nobody looking for sex and chill... chick akakubal bila kujuw whos the person behind so they booked a hotel in details ilikua Mwanza kufika kumuona its Ommy(shemej) things went on the drinks the wines mwamba akapiga afu akavujisha sex tape kwa close ppos wa Jux and boom jux akaja ziona...😂 NB it was a payback when jux took Vanessa from Ommy thats a 10 year revenge
@Babygirl758
16 күн бұрын
@@damydee9665 ah 😳😲😮 haya makubwa
@Babygirl758
15 күн бұрын
@@damydee9665 kha jamani jux alivyo kua anapasuka kumpeleka paris kuangalia basketball 😀 mbona million 5 ilikua sio shida, angemuomba jux angempa kwasababu sio kwa expenditures zile za kumzungusha europe
@Babygirl758
15 күн бұрын
@@damydee9665 this sounds like a conspiracy theory
@MoviesAde
4 ай бұрын
Jux bado anampenda Karen🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@Dje-ru9wd
4 ай бұрын
jux nimwanaume ambae anasitahili kuwa na mtu mtulivu mwenye akili na kiongozi wa familiy sijui anaitwaje mwanamke mwenye wanaume zaidi ya wawili sijui tunamuitaje??
@Dje-ru9wd
4 ай бұрын
pretty sure hampendi wanaume tunajijua tyu
@MzeeKigogo_
4 ай бұрын
Frida yupo vizuri kwenye maswali ❤
@Zenny89
4 ай бұрын
Baba Jux alitwisha Mabomuu!!! Yaani msichana wa kibongo unampa hiyo power halafu mambo yawesalama ni kitu hakiwezekani
@kudadeki00007
4 ай бұрын
Safi sana frida unambana mtu hadi aseme kitu anachozuia tusisikie
@jamilaathumani5481
4 ай бұрын
Nikwer
@mtutulaclassic6207
4 ай бұрын
kwanza wametulia mpaka anaehojiwa anajihisi yuko huru kufunguka
@fakihichitanda2864
4 ай бұрын
Big up kwa frida kwa kumbana
@katumabiyan5090
4 ай бұрын
Careen kazaliwa 1994 , so she is almost 30 years
@bintimkitosi6187
4 ай бұрын
Jux ndiye msanii wa kwanza kujibu swali la mziki wa Nigeria sahihi. Kabla ya 2000 for every five blacks in the world one was Nigerian. Baada ya hapo ndio wengine tumeongezeka sasa ni for every eight bkacks one is Nigerian. Halafu baada ya biafra war walianza kutoka Nigeria na wako kwa all the commercial capitals.
@lucymtuka6393
4 ай бұрын
Nime enjoy Sana ila Frida I love you
@sendisteve7981
4 ай бұрын
Jux ulikosea.Mwanamke mgombane leo kesho umkute na mwanaume mwingine halafu uendelee kumwomba msamaha kwa miezi minane😮..Hapo ulijizima tu data Jux.La kuvunda hhalina ubani..
@sumaiyabakary2692
4 ай бұрын
Jux ni mwanaume mzuri sana na hafai kudate wanawake wa tz hatuko hvyo kama yy anavyowekeza we are selfsh na kama tukimpenda mtu sana ujue ana zaid which money sasa yy jux hajui anamapnz ya kzungu Pole sana sana Jux ila ucrudie tena kudate na caren hakufai anakujua sn na anaweza tumia vby madhaifu yako lakin you re best boyfrnd ever Pole sana
@Mshuta
4 ай бұрын
Mapenzi shikamoo
@ireneimbuhira7759
4 ай бұрын
😂😂😂😂
@Mina.15
4 ай бұрын
Marhaba 😂
@gloryprotas1043
4 ай бұрын
Jux njoo kwangu ninambegu za mapacha utafurahi😂❤
@einsteinmboje4730
4 ай бұрын
Jux Alichokosea Ni Kukubali Kuishi Kwa sheria Na Masharti Kutoka Kwa Mwanamke , Naturally Mwanamke Anatkiwa Kuwa Obidient Sio Mtunga Sheria , Na Ukiona sheria Nyingi Kutoka Kwa Mwanamke Wako Ujue Hakupendi kiivyo (anakuchukulia Poa Tu) For Granted , Jux alifumbwa Na Mapenz , Mapenz Yalimzidi, aliruhusu Mdada Awe Contoller
@jumalihumbo5314
4 ай бұрын
It’s True
@user-pu6pr5jt4n
4 ай бұрын
Caren ka cuteeeeeee afu bado teenager . Umri huo acha kbsaaa. Jux ww unaichungulia 40 unatakiwa upate mdada aloshiba relationship 😂.mapensi mapens
@jumalihumbo5314
4 ай бұрын
ii situation naijua vzr sn ila nlichojifunza mwanaume hauitajik kumpa uhuru au siri zko zote mwanamke lazma ataku disappoint ata kama unampenda vipi usiruhusu kumpa simu yako kila anapotaka atakuchukulia poa hasa hawa wanaojiona wazuri kwa shape zao🙌
@bintimkitosi6187
4 ай бұрын
Mtu ako.palepale. anatumia WiFi ya kazi halagi ana skip ads kwa video. Nkt. Jux alijaribu sana lakini caren alijua hayuko tayari kuwa mke wa mtu tena kubadili dini.
@user-pu6pr5jt4n
4 ай бұрын
Jux still is loving caren😂😂😂pole❤❤❤❤Ila caren ataumizwa nae
@msakadoobongeladada-uh3sk
4 ай бұрын
mapenzi shikamoo 🙌🙌 yalonikuta sisemi niliomba msamaha mwaka kwa mtu alonikosea na nisisamehewe ila nilivyomaliza kupona depression saiv naenjoy alaf jamaa hoiiiii saiv anaomba msamaha kila saa
@monicacyprian9137
4 ай бұрын
Nyota yake mashuke na tabia ya mashuke si rahisi kumpenda mtu huwaga ni wazito ila wakikuamini na wakiona vile wanavyovitaka kwako huwa wanaangukaa kama trenii na inawachukua mda sana kupona na wakishakutoa moyoni huwa hawarudi nyuma 🚶🚶 anyway we are so honest
@leaherasto929
4 ай бұрын
Jux bado anampenda Karen ile pisi kali sana
@ElifitiaLyimo
4 ай бұрын
Kwasasa mshirikishe mungu akupe mwanamke sahihi wa maisha yako ❤usiumie kwa maneno yawatu 😮
@righitkileo
4 ай бұрын
Jamn kama uukitaka kuenjoy maisha achana na hao mastar hawanaqa mapenzi ya kweli.tafuta mlalahoi mwenzako enjoy
@user-pu6pr5jt4n
4 ай бұрын
Dada uko na questions good walah😂😂😂😂😂sometimes age is a problem in love. Don't say age is like a number... Think twice
@samirbenito
4 ай бұрын
Jux is the problem, he lost his frame and little did he knew that, genuine desire cannot be negotiated. The price of a simp is dust.
@daudichoghoghwe5035
4 ай бұрын
Jux unajua kujieleza nakujibu nenosijui limekaapoa sana
@ramseychobaliko1002
4 ай бұрын
I have never do that in my life 😅😅😅 na alisoma chuo china ..... I HAVE NEVER DONE THAT sio DO😅😅😅😅
@annytahadrehem3819
4 ай бұрын
Ukijua wewe inatosha bhana😂😂😂😂
@rebbywealth9869
4 ай бұрын
Mbwa kama nyie mnafanyaga nini mtandaoni.... Interview nzima umeona hicho tu? Ukijua wewe na kizazi chako inatosha
@rosejulius7756
4 ай бұрын
Kwani China wanafundisha kingereza??
@bintimkitosi6187
4 ай бұрын
China alijifunza kichina
@user-io3wz1ky5v
4 ай бұрын
China na kiingereza wapi na wapi
@user-dx8fs8mn4w
2 күн бұрын
Jux ni falaaaaaa😂😂
@user-dx8fs8mn4w
2 күн бұрын
Wewe ni falaaaaaaaaa😂😂😂
@HawaSaid-ru4zq
4 ай бұрын
Pole juma 😊
@EmmanuelPaulo-zf1xk
4 ай бұрын
Jux Kama kasepa pw tuu mama Shazii awaridhikii hao uwa njoo R mama shazii
@seiphomary834
4 ай бұрын
Ww ukiachana na mtu umpendae ujue umemuacha huru na yoyote yupo huru kumuoa au kuwa naye kimahusiano # hapo kitu cha kujifunza n faida ya ndoa kwenye jamii # 1. Ina kuweka huru na uhasama na watu kwa njia ya shetan # Muhimu jiulize je mtu ameingia kwenye mahusiano yako wakat gan awe rafk au nan katika kuharibu mahusiano yenu wakat wa ndoa au nje ya ndoa . Penda kutengeneza stress zenye uhusiano na allah jitahd kukimbia stress zenye husiano na shetan #
@zainabkazige7388
4 ай бұрын
Kweli kabisa 🫡
@rebbywealth9869
4 ай бұрын
Anaehojiwa na wanaoohoji wote mmetisha... noma sana
@richkaja3317
3 ай бұрын
Jux umepoa sanaa
@catherinefrance3642
4 ай бұрын
Ni vile tu hizi ni stori tu, men haleluya mnajuua kuigiza muv nying ila majuto ndio mapenz yenu hushtuliwa afu , ukipimia maoenzi kijiko lazima ukome kuyajua😂
@ChenchiKing
4 ай бұрын
Frida Kwa Hili Umehuwa Kichizi Yaniii🔥✌️🔥
@Siasa-k7v
4 ай бұрын
Eeenh,lkn Jux banae? Yaani kudate kote haujai jua tu wanawake wakishachoka bloody Hata hiyo reason,alikupatia mzee baba... Shida unapenda sanaa,madem hupenda watu hawaeleweki kaka. Ww alikua anakuona kaa bwege flani tu vile.. Utakuja jinyonga ww kabogoro 😂😂😂
@maryamenities653
Күн бұрын
Assamalekun from u a e
@Its_Goodluck
4 ай бұрын
Tanzanian music ni worldwide now ila wasanii wapendane na wasaidiane kufika mbele
@bryanzeconfesor5476
4 ай бұрын
Jux wengi hawawezi kukuelewa lkn sisi wanyawezi wakali wa hizi kazi tunakuelewa hata Nengatronix lazima akuelewe
@Mohaa4309
4 ай бұрын
Dimpoz bana😢
@jumaorido2532
4 ай бұрын
Ondoa mazoea ya dem wako na watu wa industry tunza heshima yake nilijua hamtakaa sana kwa yale mazoea ya wasani na kumtumia kwenye ma promotion wasanii wanashinda nyumbani kwako . Mfiche Kama Kizz daniel
@augustfive5279
4 ай бұрын
Kifupi uyu jux aliekewa masheria mengi magumu ili ashindwe mahusiano yaishe
@godfreymushi6966
4 ай бұрын
Wasanii wa bongo ?
@RamazaniMulongeca
4 ай бұрын
Jux?? That so cheap bro.. unasubiri demu toke kwenye mausiano ili uhingie??😂😂😂😂
@user-lq1yg9mk1i
4 ай бұрын
wasanii wakubwa sana bongo lakini bado mnasikitisha sana katika upande wa matumizi ya lugha ya kingereza ambayo mnaipenda kuitumia sana na nukuu "i have never do that"hivi huyu jamaa aijua kweli lugha ya watu au anaipenda kuitumia tu.jiongezeni INTERNATIONAL ARTIST SIO KWA NJIA YA KUPELEKANA PELEKANA KIBONGO BONGO
@calvinmushi6240
4 ай бұрын
Don't forget to subscribe.
@Mohaa4309
4 ай бұрын
Omy huyo bana wamtetea bure
@user-cd1sk5yv2f
4 ай бұрын
Frida i seee you😂
@katumabiyan5090
4 ай бұрын
Sikutegemea kuwa huyu dogo ni mwepesi kiasi hiki kwenye mapenzi kama nyoya.
@sabinibra3513
4 ай бұрын
3
@user-pu6pr5jt4n
4 ай бұрын
C uoe jux?
@user-yb1mv2nx6m
4 ай бұрын
Jux usikate tamaa wanawake wenye upendo bada wapo utapata tu mtu sahihi
@ALNAVSINKINDOLE-tr9qs
4 ай бұрын
Jux wape mimba mademu wew mchizi.
@mohamedswaleh6778
4 ай бұрын
Mpe dadako apewe mimba
@mohamedswaleh6778
4 ай бұрын
Hao ni dada w wenzako
@ConstanceKarisa-yq7qc
4 ай бұрын
Mjinga ndio anapeana mbegu kila mahali
@shubebunyesi542
4 ай бұрын
@@ConstanceKarisa-yq7qc😂😂Simba , kiba, wajinga
@Sarah-e1o9k
Күн бұрын
😂😂😂😂😂@@shubebunyesi542
@silverman6930
4 ай бұрын
Take them shades off man … where are the sun rays 😂
Kwani lazima ulazimishe mapenzi babu. Kwani wanawake ni huyu tu wewe Mtoto wa kiume unatakiwa ujiamini sio kudandia dandiaa tu. Kuwa mtu wa kujiamini as a Man Sasa kugombania mwanamke unajidhalilisha bwana. Wacha huo utoto.
@edisonbingu5660
4 ай бұрын
Kumbe Jux ni kinuthia
@bintimkitosi6187
4 ай бұрын
Kwanini kinuthia
@thierrybisimwa3312
4 ай бұрын
Tatizo unarudisha ball kwa kipa, weka ndani usafishe nyota dingi.
@Jassmin-media-official
4 ай бұрын
Ulichenje na ulituma pic unachezea dudu yako nasabuni yani unachukua sheria mkononi
@FrankMushi-cs5js
4 ай бұрын
Mnatesemaa na umarufuu wenu woteee bado mnaniginizwa tuu ndoman mnakula bangi sanaaa pumbavu wewe piga shoo za maana acha ujinga wee shoo zirooo unachwa Kila ckuuu
@user-lp5bj3vi3w
4 ай бұрын
True
@Hamidkaran
4 ай бұрын
Unashindwa kuelewa kuna videmu na demu unahisi huyo ni wa chpis kuku 😂😂😂
Пікірлер: 115