Ya ALLAH YA KARIM Tuepusha na kila Shari ya binaadamu na ya pepo .Mr Facts love your show from Kenya bigz up 👏 Kwa Kweli inaogopesha Wallahi saa zingine mimi huota hizi ndoto hadi na shindwa Kulala then l tell my self l won't watch the show anymore then l find my self watching it's addictive.
@enestinajosephat1269
3 жыл бұрын
Huyu kaka hajielezi vizuri Kam wengine anaanza mwisho anarud mwanzo Ila big up davista pole kwa kazi Ila Asante kwa stori
@halimamangala6731
3 жыл бұрын
Story haielewi yaani nimemaliza my bundle mtu mwenyewe bado anawatii majini instead of mungu Shem on you kijana
@mwesigwaannte1658
3 жыл бұрын
Davistar mata Thanks Bro Lakini sasa watu tujifunze kusimama na Mungu sawa sawa ju ukiwa na nguvu za Mungu uwezi kuchukuliwa hata ukikutana na Shetani na watendakazi wake wenyewe wanatoroka tu JINA LA YESU LIKUE SILAHA YETU NA NGAO YETU
@rahimjuma7293
3 жыл бұрын
mr.davista story zako zinabamba sana ndio maana watu tunaifuatilia sana hii chanel,story na mikasa kwa 100% ni kweli🙏🙏 endelea kutuletea mastory
@ashasudi8802
3 жыл бұрын
Ne kaombewe ndugu na utoe sadaka uachane na hayo mambo,usharudi duniani fanya ibada kwa wingi Mungu atakusaidia.
@SaidSaid-sl8ct
3 жыл бұрын
Davistar mata. Hakika nakupongeza sana kwa juhudi zako za kutuwezesha kusikia na kuona mambo ambayo kwame tulikua tukisikia tu kama fununu. Leo.tuona na kusikia mambo ya hatari na kutisha ukweli hongera sana kwa juhudi hizo.
@pendopeter1790
3 жыл бұрын
Eee Mwenyezi Mungu tunusuru Baba na majanga ya hapa duniani.
@frankthadeo9167
3 жыл бұрын
Itabid ututaftie na Jini sikumoja litupe story
@aprilking8250
2 жыл бұрын
Utakufa hivi hivi wewe to save your life liitie Jina la Yesu kwa haraka bila ivo shauri yako
@salmamohammed5623
3 жыл бұрын
Kwanini hujatuonesha hiyo alama wakati alikuwa tayari anataka kutuonesha
@davidsolomon5240
3 жыл бұрын
Kijana!!Halo Majini wamekuongopea!Hakuna Jini hata mmoja aliye mzuri,wote ni wabaya ni Mashetani wamelaniwa na Mungu!!
@butondodavid2105
3 жыл бұрын
HV tanga kuna nini mbona mambo ya ajabu ajabu ya mejaa, majini wao,wachawi, uvivu, maisha ya short cut wao, limbwata
@is-hakayussuf9981
3 жыл бұрын
Davistar Mata uko juu
@petermwamwaja2745
3 жыл бұрын
Mko wapi?
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
Hakunaga jini mzuri,majini wote ni wabaya. Hicho ndicho wengi hawakijui.
@carrenchigulu5712
3 жыл бұрын
Huyu jamaa anahitaji maombi coz alinusurika kifo but anahofu na kumilikiwa bado
@abdulhalimhumud1917
3 жыл бұрын
Dah Habari Izi Ndio hua nazitaka kuskiliza Kwa makini Kabisa mana huu ni mkasa wa kipekee hongera Mr Facts tulete vitu kama Ivi
@kolaasaid3336
3 жыл бұрын
Kiukweli davistar huyu jamaa ajui ata kujielezea vizuri.
@mwatimeabdallah7945
3 жыл бұрын
Achana nao hao majini mtegemee mungu akuna litakalo kupata
Пікірлер: 209