Pumzika mtumishi wa Mungu umenifanya nihame kwenye ukatoriki kwa kujua ukweli bwana wa mbinguni akupokee
@Gesareh-v4d
2 жыл бұрын
Wasiosoma kitabu cha revalation, ndo wapingaji wakuu hapa, mungu awafungue macho na roho, Asante kanyererere kwa kuleta Gaya wasi
@SaaS-Guide
Жыл бұрын
Sasa tuko 2023, wako wengi hawajachanchwa. Na hakuna ajuaye Yesu atarudi lini. Asemaye anajua, basi anapinga habari ambayo alisema kua, hakuna ajuaye saa wala siku, ila Mungu baba. Huyu alitaka kuuza kitabu tu.
@monicabh1668
2 жыл бұрын
Muache utani hii kitu ni kweli kabisaa,mpende mkatae yapoooooo.
@Mazoea
2 жыл бұрын
Waambie hao awataki kuamini
@brendajadevera9597
2 жыл бұрын
Thanks Davistar for bringing him back . We have questions for him
@melisahakatu2512
2 жыл бұрын
Mtumish wa.mungu akufiche akufunika na dam ya yesu
@presenttruthloudcryforthel5338
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mwalimu,,leteni part two tunapojiandaa miaka imebaki less than 10 dunia iishe
@starluzenja9861
2 жыл бұрын
Sababu ya kumuumba shetani ni Kuwa.Mfano simba akiwa anefungwa ni mpole lakini akifunguliwa ni balaa.Hivyo basi tumepewa uhuru wa kuchagua kumfwata nani.Shetani asingekuwepo sote tungekuwa wakamilifu.So this is the greatest form of worship. Yani in your own umemchagua yeye.Mungu ni mkamilifu ajua mwisho kabla ya mwanzo.Kwa hiyo alimuumba shetani kwa maksuudi.Kwa hivyo ukimchagua yeye Mungu bila kulazimishwa basi ni upend mkuu.
@melisahakatu2512
2 жыл бұрын
Amina amina amina umenifungua masikio na macho ubafjkiwe sanaa na bwana akutie ngufu
@scolasticakaduma9027
2 жыл бұрын
Ubarikiwe Baba. Sema tupone. Uishi milele.
@designdesign4426
Жыл бұрын
Umo kichwani kuna dablekiki n'a faru john
@odhiaodhia9898
2 жыл бұрын
Mungu ni mwema miaka tisa tutakuwepo hayo mashetani yatafel
@elizanzula8375
2 жыл бұрын
BWANA yesu tushindanie sisi ni viumbe dhaifu wewe ni MUNGU usieshindwa milele tuokoe na yote yehova mipango yote Ya ibilisi ishindwe ka jina la yesu.
@liliankemuma9475
2 жыл бұрын
Amina
@macamezunguzungu5584
2 жыл бұрын
Kanyerere karibu Tena🙏
@rebeccamsami1597
2 жыл бұрын
Asnante Kwa chakula hiki adimu.kitabu cha agenda tunanunulia wapi?
@khadijajuma7142
2 жыл бұрын
Kwa hiyo 2030 na dead 😭😭😭😭 Mi sifi kwa mipango ya shetani, nitakufa kwa ahadi ya M/Mungu tu. Mchungaji usitutishe na ratiba za shetani ameshindwa kwa jina la Allah, tumechanja na kufa hatufi mpk tutimize ahadi za kuumbwa kwetu 🤓😎
@presenttruthloudcryforthel5338
2 жыл бұрын
Mbona mna matusi wenzangu waislamu,,mnasema mnamwabudu Mungu,matusi anawafunza huyo Mungu wenu,,kama mnataka kuokolewa jisalimisheni kwa Yesu 2030-2031 dunia itakua inaelekea kuisha
@meisme7540
2 жыл бұрын
@@presenttruthloudcryforthel5338 Ndo Mungu wako alivyokwambia dunia inaisha 2030 na 2031🤪Kwa hiyo na wew ukifanya kosa umefundishwa na ukristo na mungu wa kikristo. Una Poor thinking capacity
@ilhamswaleh3428
2 жыл бұрын
Kama ww muisilam achana na kuamini hizi hadithi za uongo hata bibilia imesema hakuna ajuae ajapo mwana wa adamu (yesu)
@ilhamswaleh3428
2 жыл бұрын
@@presenttruthloudcryforthel5338 mtakufa nyinyi hiyo miaka 9 ijayo sisi waisilam mtatuacha endeleeni kuamini manabii wa uongo ,anaejua siku ya mwisho Ni aloumba mwanzo
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@happynesskimt6249
2 жыл бұрын
Mmmmh! Jaman ikali we mzee kanyerere🤭🤣🤣 Miaka 9 kweli ngoja niingie kikaoni utantambua
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lynkaku472
2 жыл бұрын
It's true the black Pope is more powerful than the white pope who is just the face of the papacy. The current black Pope is called Arturo Sosa
@valentinandukuvalentinandu4779
2 жыл бұрын
big up Mr facts kwa maswali mazuri
@emelivaly1720
2 жыл бұрын
Hi. Kitabu. Iko. Kenya. Am. Tanzania. Tu. Kamas. Iko. Kenya. Upande. Gani
@happyoshea
2 жыл бұрын
Shetani na wafuasi wake walianza kucontrol watu muda mrefu sana . Sunday law ni kitu kirahisi sana maana walisha badilisha calendar walisha confuse watu muda mrefu tu , walishabadilisha tarehe aliyozaliwa Yesu , watakachofanya ni kuweka sheria tu kuwa sunday ni siku ya kuabudu na mapumziko. Watakaopinga ni wachache kama Sabbatical church Kuhusu kucontrol watu , kuanzia passport uliyonayo tayari you are controlled, biometric cards , bank cards and account. Chochote kitakachopata details zako kinaweza kutumika kukucontrol. Corona, volcanoes, mabadiliko ya hali ya hewa ni dalili za kurudi kwa Bwana Yesu . Someni Ufunuo 8 au ufunuo yote
@starluzenja9861
2 жыл бұрын
Jamani hakuna ajue Yesu yuarudi lini.Ata Yesu mwenyewe alisema atarudi kama mwizi.Ajue tu ni babake ambaye ni Mungu. Mungu nifikishe 2032.I will get back to this comment.
@achsahcharles6728
2 жыл бұрын
Nabii wa kwanza kuumbuka huwa ni yule anayedai kuujua mwisho wa dunia.
@Fm-MornStar2014
2 жыл бұрын
🤣😂😅 Danganya wasio na Elimu ya Kimungu na Elimu Dunia. Mtakoma kwa tabiri za kisabato.
@r14kgroup68
2 жыл бұрын
Kweli
@presenttruthloudcryforthel5338
2 жыл бұрын
Sio tabiri wanafuata kilichoandikwa kwenye Biblia ,,tulia utakipata ata Nuhu aliambia watu watu waingie kwenye safina wakaona kama ni mjinga vivyo hivyo ndivyo ilivyo
@michaelbengesi6550
2 жыл бұрын
hata mimi hapo kwenye Yesu kurudi 2030 mmmh sijakubar bado, kajuaje anarudi 2030?
@Fm-MornStar2014
2 жыл бұрын
@@presenttruthloudcryforthel5338 nilikuwepo 1985 na namshukuru Mungu nilikuwepo 2000, angalau sidanganyiki tena. Soma Mathayo 24:36, ndio utuambie nyinyi wasabato ni nani sasa?
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
@@michaelbengesi6550 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ElihrJonesministries
2 жыл бұрын
Wasabato wanamikwara hawa, walishatoa unabii mwisho wa dunia mala nyingi tu na bado wamekosea sasa hivi wamehamia 2030
@josephinewluis8871
2 жыл бұрын
Hehe hapo kwa Yesu anarudi 2030 2031,Neno linasema Hakuna anayejua wakati wake wa kurudi. Ata Yesu mwenye hajui🤔. Matthew 24
@rafoursamiol5244
2 жыл бұрын
Kuna mambo juu ya mpinga kristo ndio yanatuonesha mambo hivyo ili tuingie kwenye dhiki kuu
@heritier5119
2 жыл бұрын
Leo ni kumbukumbu
@jotafungo4622
2 жыл бұрын
Aisee!
@alexjos7625
2 жыл бұрын
ukweli ni mambo yote mabaya chini ya jua kuna mkono wa shetani umehusika..tuache kusema ni "Mpango wa mungu jambo baya kutokea"
@lizzybeth6344
2 жыл бұрын
Amina baba
@tanjaniyoman3160
2 жыл бұрын
Hivi mbona mmeshikililia neno kanisa ndoninii?..hata yesu hakuingia kanisani aliingia katika sinagogi ambapo sinagogi ni msikiti wa mayahudi..wapi andiko yesu aliingia kanisani jmni?
@magnusmichael7052
2 жыл бұрын
Kaka ni vema kumuelimisha ajue.. usimcrush na kumuattack Sifa ya mkristo ni mwalimu kwa wasio amini
@judywarui8237
Жыл бұрын
Davista tuletee kanyerere Tena...alikua na stori poa ..Kuna maswali mengi hakujibu
@castrokassoga7271
2 жыл бұрын
Mathayo 24 kutakuwa na njaa in unabii Amosi 8:11 siku zinakuja ambazo nitaleta njaa si njaa ya kukosa chakula wala kiu ya kukosa maji Bali ya kuyasikia maneno ya Bwana,
@debbohkawaka9222
2 жыл бұрын
Ameen.. hakika umenena vema.. maana watu wanatafsiri bibilia kibinadamu ndo shida ..
@ksamastrio6246
2 жыл бұрын
Huku saudi Arabia kila mtu mzima amechangwa sasa ni watoto kati ya miaka 5 hadi 11 ndio wako kuchangwa kama mimi niko na hofu lakini nilazima uchangwe ndio uweze kusafiri mungu tuu aniongoze
@ksamastrio6246
2 жыл бұрын
Kutoka Saudi Arabia
@kenyanniggar357
2 жыл бұрын
KILE KILEMBA NI CHA UISLAMU MBONA KAVAA?
@hellendiana625
2 жыл бұрын
Davister muulize, je mtu akikataa kuchanjwa chanjo ya Corona atafanywaje?
@rikekikonyo2265
2 жыл бұрын
Mungu kama hakutaka kuua Dunia ingeshajaa watu
@omarsultan7195
2 жыл бұрын
Jamaa muongo kinyamaa
@hellendiana625
2 жыл бұрын
Nyie huu si utani, msidhatau, biblia inatuambia ktk vitabu cha ufunuo
@omarsultan7195
2 жыл бұрын
@@hellendiana625 hellen hakuna kitu icho icho kipindi cha zaman sisi hatukuzaliwa watu walisema dunia ikifika mwaka flan itaisha mpk leo tupo ayo ni mambo ya mungu hakuna anaejua ata mitume hawaijui siri iyo ya kwmba dunia ikifika mwaka flan ndo mwisho
@samueljohn4569
2 жыл бұрын
Aiseee
@candyberger5097
2 жыл бұрын
GOD BLESSING
@johnwanuma7209
2 жыл бұрын
Number 1
@jobmuchiri7514
2 жыл бұрын
Congrats
@kenyanniggar357
2 жыл бұрын
HAYA SASA KANYERERE KAYATOA WAPIII?
@tamylee1790
2 жыл бұрын
Naomba namba ya kanyerere
@winifrida8641
2 жыл бұрын
Mungu wangu ndiyo chanjo yangu
@credo7837
2 жыл бұрын
Hahhaa
@thegospelmessage5039
2 жыл бұрын
ninahicho kitabu cha agenda 2020-2031 soft copy anaekitaka aseme
@daisymuthoni675
2 жыл бұрын
Pliz i want the book
@rebeccamsami1597
2 жыл бұрын
Please I need this book and the price as well
@thegospelmessage5039
2 жыл бұрын
daisy muthoni ..leta number nikupee WhatsApp rabeca ikiwa uko tz naweza kueleza pahali utakipata
@damianandrew3074
2 жыл бұрын
Nakitaka nitakipata vp?
@missti1612
2 жыл бұрын
👋 @Counteth Cost. I sent you my email requesting for the soft copy. Thanks 🙏
@henryosoro7696
2 жыл бұрын
Kuna wakati niliota ndoto, nikaona watu wanamsubiri pope, kwa uwanja fulani.. Kisha nikaona njia I naelekea underground. Wakati tuliingia hapo ground kulikuwa na giza. Ndio nikaona watu wanaingia wamevaa magwanda wanaingia bila kuongea.wakati huo nilikuwa nimeota moshi unapaa angani, moshi mweusi mno, kisha nikaona ndege kama ya kivita ikipaa angani wakati corona ilianza.
@blancajohn2300
2 жыл бұрын
Mmmhh mbona naihisi mavi yananibana mmm tuludi kwa mungu Sasa
@geraldrobert1801
2 жыл бұрын
Anatudanganya, Hakuna ajuwaye siku saa ya kuja kwake Yesu Kristo, Kanyerere anatuingiza chaka 🤣🤣 Eti Jristo atalidi mwaka 2031 🤣🤣🏃🏃🏃🏃
@amazngsam6854
2 жыл бұрын
No 2
@rosecruiz4348
2 жыл бұрын
Ameen
@abangaabanga4677
Жыл бұрын
Na Swali hivi huyu ni Sheikh (Muislam) au? 🤔
@trendstz4743
2 жыл бұрын
we mzee acha uwongo . mimi Muislamu safi ila hakuna mahala kwenye bible Yesu smetaja neno kanisa 😁
@hikmajeyz5072
2 жыл бұрын
Kama ni yye basi anastahiki kufunguliwa mashtaka ya jinai, aeleze vizuri
@abdimohamed3953
2 жыл бұрын
Nia yenu aangamizwe ili kweli isiongelewe, hayo anayoyasema kayasema sana mahala tofauti wapo wenye namlaka na wasio na namlaka wte wameaikia na hakuna hatua zimechukuliwa kwake kifupi kashatoka gizani hayo nimapito yalishapita
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
@@abdimohamed3953 kuingia ukristo ndiyo kwenda kwenye mwanga?
@abdimohamed3953
2 жыл бұрын
@@nuswemwaipopo9558 uwe unaelewa basi nakama uko gizani tafuta Nuru ilipo
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
@@abdimohamed3953 niambie Nuru ilipo niende.
@abdimohamed3953
2 жыл бұрын
@@nuswemwaipopo9558 ni kuacha maovu nakumrudia MUNGU muumba mbingu na nchi pamoja nakuishi katika Sheria na misingi yake anayotaka wanadam tuishi
@alexjos7625
2 жыл бұрын
bro davi tuoe kaka mapemaaa kabla hakujakucha
@josephmaganga1931
2 жыл бұрын
Naona soko la mwenge nalo limewaka
@ricoofficiel12
2 жыл бұрын
Duu djama Mongo Davista kwa makini bro nakazi yako for really
@valentinandukuvalentinandu4779
2 жыл бұрын
hakuna aijuae siku wala saa ya kuja kwake mwana wa Adamu
@pettiecranwel7588
2 жыл бұрын
Kabisaa
@jonathanntare4787
2 жыл бұрын
Kuna Uongo Mwingi Kwa kanyere
@nelsonpatricioestanislaus7144
2 жыл бұрын
Apo mzee umedaganha 2030?😄😄😄
@filibertanton3924
2 жыл бұрын
Bunge,la,,umoja,wa,mataifa
@rosemaryismaily001
2 жыл бұрын
Oky wacha nisubir iyo mwez WA 6😂😂
@babumrisha
2 жыл бұрын
Eeh what!
@benjaminkiteleke8458
2 жыл бұрын
Eti miaka 6000 ya shetani. ( shetani yupo katika dunia toka inaumbwa, dunia ina miaka billions kadhaa)
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
Dunia haina miaka billion apo unasema science nq sio neno la Mungu
@benjaminkiteleke8458
2 жыл бұрын
@@blueeyes5952 kwa hiyo neno la mungu linasema dunia ina miaka mingapi? Na katika maandiko yapi@ weka sura au aya. Kuthibitisha
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
@@benjaminkiteleke8458 enda ukajisomee mwenye biblia si una akili bhana?? Kila kitu kimeandikwa wazi. Au unataka ubishi bila maarifa????
@benjaminkiteleke8458
2 жыл бұрын
@@blueeyes5952 kwa hiyo nikaisome biblia yote?. Ndo nataka elimu. Sema nikasome kifungu gani.
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
@@benjaminkiteleke8458 soma yote ndio utakuwa na ufahamu wote na sio vipengele
@Deedee88110
2 жыл бұрын
Davii sasa alimtaja Kanumba bila wasi so anaweza tupa story vizur juu yake ata kwa kifup tu anayoyajua khs yeye Na Babu wa loliondo alimtaja pia anaweza kutupa pia story ya mzee yule nini hasa alitumwa kwa jamii kubwa ya watu vile kuwanywesha ile dawa?! Na ilikua ninini tulikunywa?! Na kwakujua kua alikua mshirikina babu yule kwa imani je tunatoaje uchafu alotunywesha?!
@daisymuthoni675
2 жыл бұрын
Huu ushuda unafanana na mwingine niliusikiliza nikama walifanya kazi pamoja ya kichawi just search Aliyekuwa chifu wa wachawi though in another media
@r14kgroup68
2 жыл бұрын
Mbona sasa bado anavaa kofia ya dini ingine
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
Anaficha kipara chake.
@hikmajeyz5072
2 жыл бұрын
Aje kenya aongee ufala kama huo 😅 atajua hajui, vile atafinywa atatamani dunia iishe😅
@marianachriss2444
2 жыл бұрын
Ndio maana hamkombolewi kwa kupenda uongo na kukataa kweli,
@videozaaj1069
2 жыл бұрын
Majinga majinga ndo mnakufaga kifala fala nyie
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Yusufu940
2 жыл бұрын
Amen
@melisahakatu2512
2 жыл бұрын
Hakika uyu mtumishi ako sawa kapsaa nimeona kwa film ya nigeria
@nasimiyusarai326
2 жыл бұрын
Filamu ipi is a na mimi nio watch?
@jesusislord9190
2 жыл бұрын
Kumbuka.. imeandikwa unibii watu akisema unabii usikamilike basi mtu huyo ni nabii wa uongo amesema kwa kujikinai kwahiyo ikifika mawaka huo.. ikapita na nwisho haujafika basi utakuwa umenena kwa kujikinai mwenyewe
@r14kgroup68
2 жыл бұрын
Inabidi nicheke kweli
@ladyt1471
2 жыл бұрын
Tuliambiagwa kwamba mwisho wa dunia ni 2000 leo tunaambiwa 2031
@scolasticakaduma9027
2 жыл бұрын
Je, huyu Mtumishi anavyokiri kwamba ni yeye. Ndiye aliyesababisha ajali ya MV. Bukoba na tren ya Dodoma. Haogopi polisi wanaweza kumkamata
@jamesswai6583
2 жыл бұрын
Mambo ya kuchaw nani atakukamata?
@valentinandukuvalentinandu4779
2 жыл бұрын
pamoja fm
@TheSalma1999
2 жыл бұрын
Pay attention guys he is right
@happyfihavango4151
2 жыл бұрын
Mmmmmm huyu nae
@capteinchuimchafu7894
2 жыл бұрын
Mzee wa kusababisha amerudi tena
@reisezone4574
2 жыл бұрын
MBONA MASWALI YETU HUJAMUULIZA AJIBU?
@reenesa
2 жыл бұрын
Kwenye 24:00 wasomi wa hali ya juu watakao idanganya dunia kwa elimu yao, hapo ni kina Dr. Fauci. Maana ana contradictions nyingi.
@juliusmushi6428
2 жыл бұрын
Kabisa Hilo swali la mv bukoba ndio muhimu
@christinabugomba4178
2 жыл бұрын
Bible prophecy unveiling
@brendajadevera9597
2 жыл бұрын
U mean tumebakisha only 9 yrs to go back home !!!🙆🏾♀️🙆🏾♀️🙆🏾♀️
@Laila-lz4ij
2 жыл бұрын
May be for him to go back to his Master 😁
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
@@Laila-lz4ij 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@credo7837
2 жыл бұрын
Kaja na jipya tena 😂😂huyu inafaa amuoe dada wa tarakea
@valentinandukuvalentinandu4779
2 жыл бұрын
tena wanaendana sana
@credo7837
2 жыл бұрын
@@valentinandukuvalentinandu4779 kabisaa
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rosecruiz4348
2 жыл бұрын
Ni nini maana ya freemason na illuminati naomba ufafanuzi
@pierremira
2 жыл бұрын
Hilo jina pope maanayake nini haswa!!!
@husseingabo5497
2 жыл бұрын
Kumbe huyu tangu mwanzo alikuwa anatudanganya
@johanesthobias8742
2 жыл бұрын
IENDELEEEEEEEEE
@linkreuben3108
2 жыл бұрын
Chanel gani inamuonyesha biden akibuu pete ya papa? Naomba munisaidie kujua, maana mzee amesema alibusu pete!
@Deedee88110
2 жыл бұрын
Anaongea ukweli Kuna nabii nyingi juu ya 2025-2027
@mahadgenius447
2 жыл бұрын
PUMBAAAAAAA
@babaluxe8626
2 жыл бұрын
Duuu hatari sana
@jonathanntare4787
2 жыл бұрын
Kuna muongo hapa kwa hiyo SHETANI TANGU ATUPWE DUNIANI Ni MIAKA 6000 Tangu kuubwa kwa Ulimwengu, hapa Kuna ujinga wa Wa Sabato tangu tudanganywe Mwaka2000 ni Mwisho wa Dunia.
@hassanfarouq922
2 жыл бұрын
Wewe siri za mungu utazijua wewe
@emojongtv3995
2 жыл бұрын
EU ndo iko na kiti 666 not UN.na mtu hukalia
@wewehehe6405
2 жыл бұрын
Nani aijue siku au mwaka wa kurudi kwa Yesu ? No one !! Hata Biblia inaeleza, sasa mbona unataja mwaka wakurudi Yesu 🤔🤔🤔
@rafoursamiol5244
2 жыл бұрын
Mwaka hakuna ajuaye ila Mpinga kristo ndio anachukua hatam dunian
@King_Of_Everything
2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
@karrolleschon3986
2 жыл бұрын
🇰🇪🇸🇪💕
@geraldrobert1801
2 жыл бұрын
Mathayo 24:36 (KJV) Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.
@hassanfarouq922
2 жыл бұрын
Hiyo siri anaijuaa mungu stupid kbs
@achsahcharles6728
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nyie nyie naomba mniache jamani!!ukisikia hadithi hadithi ndo hii!! Mzee nakataa narration yako ya kwanini Mungu hakumuua shetani kwa herufi kubwa, kwanza umeitoa wapi tuanzie hapo, kama Mungu hakutaka kuonekana muuaji mbona Adam na Hawa walitangaziwa ukomo wa maisha? Na je alimsamehe shetani sasa? Unadhani hukumu ya kifo na ya moto wa milele ipi ni bora? Kama Mungu angetaka ku prove point kwa malaika kwamba yeye ni mwema, basi angemsamehe shetani maana hukumu aliyompa bora kifo!! Na Mungu hayupo ku prove anything to anyone. Ni bora tu ukasema hekima na makusudi ya Mungu havichunguziki na kuna siri za mbingu ambazo hazijafunuliwa kwetu wanadamu
@r14kgroup68
2 жыл бұрын
Point nzuri , ila huyu jamaa anadanganya tu.hizi ni propaganda za kisabato tu maana kama ulivyosema inawezekana vp shetani asamehewe halafu aje avuruge dunia? Hizo ni hoja zisizo na mashiko, kwani Mungu. Hakuona tishio la mbele la shetani, hizo ni hoja potofu za kisabato,
@ilhamswaleh3428
2 жыл бұрын
Baba muongo huyu🤣
@marianachriss2444
2 жыл бұрын
Kwa Hiyo wewe ulitaka aseme ukweli gani ndio uamni
Пікірлер: 170