Hi davista. I'm Kenyan but I like your series. They are very interesting though kiswahili at times chanichanga 😂the swahili is so deep but I still enjoy
@euniceeunice7680
3 жыл бұрын
Sijawah ona jini anasalimia bwana Yesu asifiwe wala kwenda ktk maombi sijawah ona..naona wanaenda msikitini tuuu🙌🙌🙌
@adamnasango
3 жыл бұрын
Ukipanua Akili utaona
@euniceeunice7680
3 жыл бұрын
@@adamnasango ata apa ktk history sijawah ona mtu anasema jini nikaenda nae kanisani ila naona jini kwenda msikitini madras na kusalimia kwa kiarabu na majini wote ni washombe kama waarabu ivi 😂😂😂😂😂😂😂jini nae anaenda msikitini 🙌🙌🙌
@hajimnzava3423
3 жыл бұрын
Hatamimi sijawahi kusikia mini akisalimia bwana yesu asifiwe sijui kwanini
@euniceeunice7680
3 жыл бұрын
@@hajimnzava3423 nisaidie wewe...maana mda mwingine ukweli usemwe apa ktk story zote sijawah ona mtu anasimulia eti jini kamsalimia bwana asifiwe ..si apa apa kila siku tunasikiliza story za kweli kbs
@abuu_khaki4120
3 жыл бұрын
@@hajimnzava3423 huwenda ukusikiliza juma wa julieth au yule mchungaji alietokewa na watu watatu kanixani na kumfanya apoteze ibada
@ummusulaish5586
3 жыл бұрын
Shukran sana bro kwa kaz yako hii unayofanya tunajifunza sana
@omaryally198
3 жыл бұрын
Show show safi Musa mpaka jini kaelewa show ilikuwa sio ya kitoto 😀😁👊👊🤙🤙
@mwamurekadenge2161
3 жыл бұрын
Perfect story divester mata that🔥🔥🔥👊👊
@jamilaally3172
3 жыл бұрын
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up 🙏
@iamfadhili
3 жыл бұрын
Very interesting stories Davista 👌
@fredichaki4868
3 жыл бұрын
Pa moja
@Oseanlife-y7h
3 жыл бұрын
before you watch the interview like share and comment guys👊👊Mata
@beatricekweka6683
3 жыл бұрын
Mmmh..Mambo hayo..pamoja Sana Davii Davii.....Mungu akutunze.. 💪
@hebronsdaughter1661
3 жыл бұрын
Amen
@farhathamdansalum9725
3 жыл бұрын
Dhuuu, noma sana aisee
@jasminjuma6390
3 жыл бұрын
Hii stori inafanana Kama Ile ya juma na juliet ..... Ila pole Sana brother
@stivenmgonja5908
3 жыл бұрын
Leo mapema sanaaa
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Hongera
@mariamripiti2137
3 жыл бұрын
Pamoja sana brother
@allyiddakizimana7103
3 жыл бұрын
Yeah wa pili 👏👏🍻
@nurusalim846
3 жыл бұрын
Hongera
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Hongera
@kibibi7826
3 жыл бұрын
Wakwanza leo mnipe likes zangu
@suleymanally4729
3 жыл бұрын
Hupat like kwakua ww nikibibi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Hongera
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
@@suleymanally4729 nilitaka kusema hivyo hivyo😂😂😂😂😂
@kibibi7826
3 жыл бұрын
@@suleymanally4729 sema unawivu tu
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
@@suleymanally4729 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ramadyzo5587
3 жыл бұрын
Nipe n like zangu
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Nishakupa
@nurusalim846
3 жыл бұрын
Asante davista sijachelewa sanaa tunaelimika sanaa kaka . Pili musa uko wapii
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Ndiyo nimeingia sasa😂😂😂. Asante saana Nuru wangu
@nurusalim846
3 жыл бұрын
Karibu kipenzi nimefurahi
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
@@nurusalim846 asante
@jamesmuhia1047
3 жыл бұрын
254 tupo duh! Leo nimewai..
@mursallusinde9189
3 жыл бұрын
Wakenya 🇰🇪😂 mnatupenda wabongo 🇹🇿 ila kuna wakt mnajifanyaga wabishi ila one love Corona ilitaka kuvuruga udugu wetu ila tupo p1🤣😂🙏🏻
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Hongera
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
@@mursallusinde9189 Hongera
@josephmuchiri3180
3 жыл бұрын
Brother safi sana akyamungu
@roseuwambe8089
3 жыл бұрын
Majini yana vishawishi sana
@fatmaalrshdii7615
3 жыл бұрын
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli ulipo Nipo
@naomiakoth2958
3 жыл бұрын
Wah part two plz
@nurusalim846
3 жыл бұрын
Tunaisubiri kwa hamu
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
@@nurusalim846 sanaa
@violinenyakara5028
3 жыл бұрын
Nawasili, part 2 ndugu davista
@cheptooemma238
3 жыл бұрын
MR. Facts nakuelewa sana from 254 city
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
Wewe pia ulikuwa ushauxwaaa kimawazo tayari nb umepeana hukuumempendaaa mtapendaaa majini
@somoeawadh7774
3 жыл бұрын
Pamoja sana Davistar 🤝
@ramadyzo5587
3 жыл бұрын
Wakwanzaa
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Hongera
@pauloabtwah4215
3 жыл бұрын
Namimi nilikuwa mchawi,njoo nikusimulie
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Kawasimulie bibizako huko hatukutaki
@lydiaingolo1678
3 жыл бұрын
Huna picha ya huyo jini na Mimi nimuone jamani 😜
@alfambaga9823
3 жыл бұрын
Davistarmata umetisha mkulungwaaaa
@alitoufik5477
3 жыл бұрын
Davister Bhana
@mwishojamary5928
3 жыл бұрын
Wa kwanza
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Hongera
@fadhiliswalehe9286
3 жыл бұрын
Kwani yuwapata nn ukiwa wa kwanza badilika
@amaradiombera2198
3 жыл бұрын
Ashanti sana sumulizi taamu
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Akanikumbatia mtoto 😘😘😘😘😅
@tonywambua9505
3 жыл бұрын
Kama kawa bro from 254 much love
@tracyirene8917
3 жыл бұрын
🇰🇪👍
@tonywambua9505
3 жыл бұрын
@@tracyirene8917 vp mrembo
@jeffmulei8895
3 жыл бұрын
Walisema mechak anadanganya sasa sikia hii majini wanaenda msikiti mapepo hao
@pili3750
3 жыл бұрын
Kafanana na rayvany
@rebeccapmashauli2648
3 жыл бұрын
Leo nimekuwa wa zero 🤣🤣😂
@ineix-ug5oo
3 жыл бұрын
#Mtu makini there are my top stories I claim are still a little temporary bro😓
@gmdecoration6044
3 жыл бұрын
Binadamu wanabalaa kijana kampiga jini show show mpaka jini kamtumiya meseji kakubali show ilikuwa kali binadamu. siwaezi🏃🏃🏃🏃
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 binaadamu nuksi
@gmdecoration6044
3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 hatari sana mpaka jini anajuta kwenda🤣🤣🤣
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
@@gmdecoration6044 😂😂😂😂😂😂 chezea Musa we.
@gmdecoration6044
3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 musa katisha
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
@@gmdecoration6044 simuona mwenyewe 😂😂😂😂
@mereeilanzeee1232
3 жыл бұрын
Hizo ndizo zinazo tupa vunzo kweny maish
@mfilaunimgululi5403
3 жыл бұрын
Daaa
@jeaninemugisha6395
3 жыл бұрын
Jamani
@acruxe5810
3 жыл бұрын
Zalbia ni pisi kali 😁🖐️ shombe shombe
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Ila jini
@emmanelly6864
3 жыл бұрын
Kaliii
@zabiyafahmikhamis4873
3 жыл бұрын
Nilipote kidogo kwenye nyumba hii
@zaynabakary5200
3 жыл бұрын
Duuh hatar Allah hatuifadhi
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Njia4 zenyewe zinasemaje
@butondodavid2105
3 жыл бұрын
Hizi ndoninazo zitaka na za utajir cyo wale waganga wanaojigamba hatackuwaelewa kabisa
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Mimi pia
@eshalibaba1195
3 жыл бұрын
😂😂😂mm saivi za waganga wala sisikilizii
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
@@eshalibaba1195 unangoja za majini tuuu 😀😀😀
@eshalibaba1195
3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 😂😂😂😂wale wengine wanatangaza biashara tuu uongo kibao
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
@@eshalibaba1195 kabisaa. Za majini ndiyo zangu. 😂😂😂😂😂
@onesmojohn7845
3 жыл бұрын
Hatar sana
@hajiabdalla5772
3 жыл бұрын
Huyo zimwi alikuwa haingii msikitin wala madrasa . Alikuwa anakuzuga kiini macho to uwone kama anaingia. Mana majina wanao muabudu mungu hawafanyi mapenz na binadamu wala hafany zinaa . Huyo ni jini mahaba afirit au ameasi .
@nasibubalonzizubusa3449
3 жыл бұрын
Majini wanamuabudu mungu pia wanamshimu Sana mungu na wanafanya mapenzi na binadamu wanamapungufu pia nao Kama sisi
@deelissa2746
3 жыл бұрын
😂😂😂😂Davi et nyie si mulikuwa munasoma madrasa na Mambo Kama Yale VIP😂
@marysteven605
3 жыл бұрын
Kumbe Dav naye alikua uko?
@deelissa2746
3 жыл бұрын
@@marysteven605 mmmmmmmh mwana kulifind jmn hp nilikuwa namnukuu tu davistar alivyosem bwan 😅
@alfambaga9823
3 жыл бұрын
Nikaona sms ya Asanteee sanaaa kwa show ya jana usikuu🤣🤣🤣🤣
@shodristvtv6121
3 жыл бұрын
😂😂
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
Hii str yafanana nayulekijana alikuwakutana najini msikitini kama sijakosea😨😨😨😨mm hata sikujui mm kushoto wewe kulia
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
Nmewahi leo🇪🇭🇪🇭
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Hongera
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 shkuran
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 karibu
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
@@pilimusa7770shkuran daa 😍😍
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
Karbu sana daa 😍😍
@hebronsdaughter1661
3 жыл бұрын
Huku kupenda bila kumjua mtu kiundani ni hatari sana
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Sanaa
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Alafu kenyewe kadogo
@saidabdalla8996
3 жыл бұрын
Mei wa kwanza leo
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Hongera saana
@alexjos7625
3 жыл бұрын
Inafanana na ya yule wa ntoto mariamu
@fredmwankaja9323
3 жыл бұрын
Ntoto mamu
@hamisihassan2620
3 жыл бұрын
Wacha ni comment kabla sijasikiza simulizi
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Mimi pia. 😂😂😂
@macamezungu2741
3 жыл бұрын
Asante dvsmtr🙄
@jangombeboys4536
3 жыл бұрын
jangombeboys1999 sah
@iranangole7007
3 жыл бұрын
Nina karbia miez 2 cjasikilza mikasa nilkuwa nasubr story za majin Leo nimefurah
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Jini irana shikamo
@ismailmasoud6001
2 жыл бұрын
Huyu kuhadithia hajui..!
@nasibubalonzizubusa3449
3 жыл бұрын
Majini ni wenzetu maana aliyewaumba ni mungu pia ila wananguvu na uwezo zaidi ndo maana jini ukimukosea
@linazuke5838
3 жыл бұрын
Leo nimewahi
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Hongera
@momyusuf7731
3 жыл бұрын
Duhhhhh mitihani
@farhathamdansalum9725
3 жыл бұрын
Kk Davi, namba ya Bakari Said wa Kelinde upo nayo ama
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
Hakox
@ssds7781
3 жыл бұрын
Jamani mm namtamani huyo jini hata ciku moja tu🤪🤪
@RahmaRahma-xp9jr
3 жыл бұрын
Duuh
@videozaaj1069
3 жыл бұрын
Hahahahahahah 14.21 eti akanikumbatia mtoto hahah kijana ana hatari huyu anasema jini ni mtoto
@wantangosaimon5295
3 жыл бұрын
Hivi naombeni niulize kitu jamani tangia nimeanza kumfuatilia Davis cjawahi sikia mkristo kapendana na jini why isilamic only?
@dripboy2026
3 жыл бұрын
Sababu waisilaam mnaamin sana majin wakat majin ni malaika waliomkana mungu nakua wafuas wa shetan alafu mnasema et kuna majin wazur na wabaya mm nachoamin majin wote niwabaya ila wakija kwa binadam wanakuja kama wema ila kumfanganya binadam amuamin
@wantangosaimon5295
3 жыл бұрын
@@dripboy2026 ok nimekwelewa
@fadhiliswalehe9286
3 жыл бұрын
Wanafuatwa na majini mabaya ili wawapoteze hawawezi kufuata makafiri sababu wamepotea ni kuni za motoni
@wantangosaimon5295
3 жыл бұрын
@@fadhiliswalehe9286 huyo ni muislam na huyo jini aliyenae anaeua ni mzuri ama na navyojua hakuna jini mzuri bro
@wantangosaimon5295
3 жыл бұрын
@@fadhiliswalehe9286 na tunaamini jini ni shetani sasa iweje ukalibishe xhetani na huku unamuomba Allah?
@sapnaabdallah1084
3 жыл бұрын
Tuko pamojaaa
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
sanaaaaaaaaa
@johnassilvester1600
3 жыл бұрын
Haya tusikie
@bebebebe5677
3 жыл бұрын
Hahahaha nacheka kama mazuli
@sallo27.70
3 жыл бұрын
Chanel Bunifu East Africa. Mtu Makini Pamoja Sana.
@dorcaskarago2876
3 жыл бұрын
Mbona majini wapenda kwenda miskitini
@gmdecoration6044
3 жыл бұрын
Hivi ndio vitu vyetu sasa naomba wadada msiunguze mboga tunashindwa kuwapiga kwa heshima ya davista😂😂😂😂majini yote meupe
Mpenzi upoo na mie sijachelewa yuko wapi shoga angu pili
@fatmaalrshdii7615
3 жыл бұрын
Nimekuja japo amjaniita wadau wenzangu pamoja sana
@nurusalim846
3 жыл бұрын
Karibu mpenzi Fatma hatujakusahau
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Nimeingia sasa hivi😂😂😂😂. Asante
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
@@nurusalim846 nimeingia sasa Hivi. Asante shoga yangu Nura na Ayshaaa. Nimewasili😂😂😂😂
@zabiyafahmikhamis4873
3 жыл бұрын
Hodiiii
@AbdulAbdul-pr9qe
3 жыл бұрын
stori nzuri ila haina muhadithiaji tu
@husnaothuman1609
3 жыл бұрын
Tujuane Bandugu ±968🇴🇲
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Me zalbia
@tututz100
3 жыл бұрын
J.BOYS.F.C 1999
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
Yaani jini linaingia na kusali ndani ya nyumba ya ibada? Inhiiiiiiiii! Ivi inawezekana jini likaingia ndani ya kanisa na kutoka salama? Thubutuu! .Kubali kataa Jesus is Power beyond all powers
@limajblessed7132
3 жыл бұрын
Ndio majini yako na dini pia tena wao niwaumini kuliko binadamu
@nuraydasworld4431
3 жыл бұрын
Majini wanaingia popote wakitana, kuna majini ya aina mbalimbali
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
@@nuraydasworld4431 Toka uanze kusikiliza simulizi za majini,lini umewahi sikia jini likiingia kusali kanisani? Km ipo naomba ushahidi
@abuuhafsasaad9405
3 жыл бұрын
Uelewa ndio shida ,,,, kwani mwizi hawez kukimbilia msikitini? Kuingia msikitini kitu kiovu haina maana kwamba msikiti ni sehem ovu au dhaifu,,,, mbona tunaona makanisani watu wanadondoka na mkadai kuwa ni mapepo ambao ni mashaitwaan au wale ni malaika?
@abuuhafsasaad9405
3 жыл бұрын
Nlichokiona nikwamba akili zetu zinatofautiana sana katika kuyaelewa mambo
@karrolleschon3986
3 жыл бұрын
🇰🇪📣📣📣
@wardahzajly3149
3 жыл бұрын
Uongo huo mmmmh
@mariaalimasi4712
3 жыл бұрын
L..
@jasminjuma6390
3 жыл бұрын
Hatar
@euniceeunice7680
3 жыл бұрын
Alafu unakuta mjinga 1 ivi anasema wapo majini wazuri na wabaya 😂😂😂😂😂jini anaenda kuswali jini adi madrassa anaingia kwaiyo sheikh akujua kama uyu ni jini?sasa sheikh kama ana ata nguvu za Mungu apo madrassa anafundisha nn ikiwa mpaka jini anaingia na kushirikiana na wao....jamani eehh ni jina la Yesu pekee aliwezi tajwa na jini maana ndie kiboko yao kama amna jina la Yesu shetani atafanya atakavyo ktk mwili wako maana auna nguvu ya Mungu
@aminaismail4221
3 жыл бұрын
Wale mapastor watumia nguvu za giza kwani huwa wahubiria wapi c kanisani shetani hakuna pahali haezi ingia nikumuomba mungu akuepushe na wao
@mwana-isha4994
3 жыл бұрын
Jini yenyewe kuumbwa na Mungu kw ajili yakumuabudu yeye sasa kuingia madrasa ni wajibu wake na usimhusishe shehe .
Пікірлер: 249