Duuh tumekula vingi dunia hii, unaweza kusema sijawahi kula mifupa na damu za wanadamu kumbe ulishalishwa siku nyingi tena kwa wingi tu.
@husseingabo5497
2 жыл бұрын
Pamoja sana Mr every thing story Kali ilikuwa ya zabroni yule jamaa noma alitisha sana
@husseingabo5497
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows we nini bwana
@janethhendry6734
2 жыл бұрын
Story nyingi unaachia njiani ,unaanza nyingine sio vizuri maliza Kwanza story ndio inapendeza
@edithaeugeni9695
2 жыл бұрын
Waoooo leo I've been number one
@josephatjoseph1755
2 жыл бұрын
Hongera kwa kutimiza ndoto zako
@edithaeugeni9695
2 жыл бұрын
😂😂😂😂Khaaa jamanii
@Minpresident5684
2 жыл бұрын
@@josephatjoseph1755 🤣🤣🤣🤣🤣
@mungatanamedia5157
2 жыл бұрын
Story ilikua ya zabron
@Patience.67
2 жыл бұрын
Nowdays Mimi usema whether tule sumu aita tudhuru maana hivyo ndo bibilia imesema Marko 16:18
@inongee1141
2 жыл бұрын
Nimesoma. Watashika nyoka hata wakinywa kitu chakufisha hakita wadhuru kabisa wataweka mikono yao juu ya wagonjwa nao watapata afya. Asante kwa neno la Mungu zuri🙏🙏
@Patience.67
2 жыл бұрын
@@inongee1141 ameeeen
@paulkibenzi3242
2 жыл бұрын
Mr Davi zipo story nyingi unazianza humalizi unatukata stimu sana!
@AgreyAckim-pt3wv
Ай бұрын
Mnazungumziaa dawa tuu adi story inakosa mvutoo
@chazp6436
2 жыл бұрын
Yaaaaa nipo hapa kwenye chuo hichi cha NTC kwa kazi maalum na huyu ni jamaa yangu anayehojiwa
@suzanadeimamo7726
2 жыл бұрын
Duniani
@cyantess8423
2 жыл бұрын
navile napenda kula zile free tropical sweets kwa maduka za wahindi kenya🤔 the end
@africandarling6925
2 жыл бұрын
Duuhh AISSEH nimecheka Kuna maduka kama mawili Hivi nikienda kununua kitu uwa napewa sana jojo🤣🤣🤣🤣nikikata ananipa tende
Пікірлер: 19