Stori ya ukwelii utaijuwa tu msimuliaji anavyo simulya jamanii mpeni Maua yake🎉🎉🎉
@geofreymulei5695
9 ай бұрын
Avoid using this hii si mauwa bali ikona chapa ya shetani 666
@Saidiebengotv-gf7nu
9 ай бұрын
Waarabu wenye sura za paka na mbwa😂😂😂😂😂😂 iyo kaliii
@catherineangaufoo2530
9 ай бұрын
😂😂 eti pori liko serious.. dunia ina mambo hii
@damarisnjerichege100
9 ай бұрын
Tuned in from kenya 🇰🇪
@user-eo1iq2su5g
9 ай бұрын
Pole kwa changamoto DV MATA ..naomba nitoe maoni yangu simulizi nyingi zipo vizuri ! Kwa nini hazina muendelezo na hata kama upo ni wakusuasua. Naomba lifanyie kazi hilo
@DavistarMataMediaDM
9 ай бұрын
Story ambayo haijamalizwa shida inakuwa kwa mtu anaesimulia
@JaneDoe-hf3zy
9 ай бұрын
Atafutwe hata kama ni kamba afungwe huku akitusimulia
@sophsoph4740
3 ай бұрын
😂😂😂😂 kwenye huondo haiwezekani hapoteee@@JaneDoe-hf3zy
@josephmuchiri3180
9 ай бұрын
Mr facts
@esterabonga7947
5 ай бұрын
Kama mapera yalikuwa kama ma papai 😂je papai litakuwa kama nin 😂😂😂
@monicambuva529
9 ай бұрын
Aongeze Saudi bhna Wengine tunasikiliza story huku tupo busy na kazi so bila sauti kubwa inatupa tabu....
@evachuwa3809
9 ай бұрын
Pamoja sana
@samwelmwigicho3092
9 ай бұрын
Davista Mata 🎉🎉,nakupata nikiwa Norway kongsberg
@ochidovictor9531
9 ай бұрын
Better late than never. Nimefika kaka
@awadhlema
9 ай бұрын
❤
@sukisa1234
9 ай бұрын
Dah !!!!Bora ajifiche sura hivo hivo tutafika tu😂
@donathamwangobe2776
9 ай бұрын
Davista mm nilikuwa nawazo mwisho huu wa mwaka tupige kura katika story zako tuchangue story nzr kali kuliko zote
@rashidchigamba4818
9 ай бұрын
Mzee wa bakora za mkakati na mwenyekiti wa wachawi Omar mnyeshani hizo stori ni noma
@danrevelian
9 ай бұрын
Story ya Wamayo kiboko😂😂😂😂
@RobertO-dj1fy
7 ай бұрын
Kanyerere
@ceciliagilbert973
8 ай бұрын
Acha uongo kijana
@furahaedmundi2302
5 ай бұрын
Baada ya kusoma msg za wadau nimeacha kusikiliza😂😂😂
@nurumasha
9 ай бұрын
Huo msitu unatisha kweli
@albertmillinga2269
9 ай бұрын
Story unazotuletea zinakuwa za ukweli but hazina mwendelezo zinaishia hewani. Jitafakari
@mgalulamatongo4079
9 ай бұрын
Huyu jamaa story yake ya uongo
@rosemarykipesha3898
4 ай бұрын
Mkristo anamdogo anaitwa mwajuma cdhani mdogo wetu
@user-oc2fi8qc6b
9 ай бұрын
Pamoja sana Mr davsita heshima kwako
@jkkim3848
9 ай бұрын
Tumefikemo 😊
@ASALABOY
9 ай бұрын
💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐
@cocotz1892
9 ай бұрын
Leo wa kwanza 🎉
@user-oc2fi8qc6b
9 ай бұрын
Kama wewe wa kwanza mmi wa ngapi ssa
@cocotz1892
9 ай бұрын
@@user-oc2fi8qc6b basi tufanye ww ndo wa kwanza haya umepata nini ?
@onesmokapugi5875
9 ай бұрын
Wewe sio wa kwanza😅
@kiehbhzh7044
9 ай бұрын
Wakwanzamo kaka aangu dasta stori zinaishia kati kwann
@marryjoely8091
9 ай бұрын
Majina na uhusika mmefucha kaka ndauli😅
@margaretwangoi6814
9 ай бұрын
Davistar you are doing a good job ila siku hizi story nyingi ziko unfinished zinaishia katikati mbona jamani hope wako salama wahusika ..e.g dada wa tarakea na huyu ndugu mwingine wa kukaa na jini
@DavistarMataMediaDM
9 ай бұрын
Matatizo huwa yapo kwa watu wanaotoa story wao ndio wanatukwamisha
@wazomyakinifu2301
9 ай бұрын
Afadhali ya stori za Davistar mwenyewe huwa zinamwendelezo kuliko za yule jamaa yako Shebby.
@margaretwangoi6814
9 ай бұрын
@@DavistarMataMediaDM ok hope watakua sawa kwa muendelezo
@sahilrahil561
6 ай бұрын
Jamani mnatuvunja moyo mtu hujaanza kuiskiliza story ukisoma comment inavunja moyo
@adamsafari7657
9 ай бұрын
ananiitaje huyu
@adamsafari7657
9 ай бұрын
ANAJUA MAKADIRIO KUNI ZILIZIMWA LINI, ANA KITU HUYU, KWELI PORI LIPO SERIOUS
@sukisa1234
9 ай бұрын
Tuko pamoja davista
@onesmokapugi5875
9 ай бұрын
Namba moyaaaaaa
@happymchomvu6766
9 ай бұрын
😂😂😂mpaka kunya tenaa 😅😅😅pole
@edithaeugeni9695
9 ай бұрын
Mindonafika kwani kanya nini tena😂😂😂😂
@happymchomvu6766
9 ай бұрын
@@edithaeugeni9695 mavi kwaajili ya uoga 😆😆😆dunia ina mambo
Davista uje utafute mtu Alie wai kuwa mnyonya damu
@joycekaphevemba7215
9 ай бұрын
😂😂😂😂
@motelutula3380
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@deodatusmaliti7790
9 ай бұрын
Uarabu una uhusiano mkubwa na mashetani mbona story zote za haya mambo zinaonesha ni hao watu?
@wazomyakinifu2301
9 ай бұрын
Huko ndio majini yanawakilishwa nao hapa duniani pamoja na dini yao. Ni km siye huku kwetu dini za jadi na mizimu yetu. Na kule pia uislamu na majini ni damu damu tu. Ni haki yao
@MawaddaKhamis-zh3kc
9 ай бұрын
@@wazomyakinifu2301wacha kuongea kitu usicho kijuwa Uisilamu umeingiaje hapa na majini .wakati huko kanisani ndo kuna majini na viongozi wenu wote unatumia nguvu za kichawi illuminati
Пікірлер: 59