Amen mtumishi tuambie vitu tujifunze maana haya makanisa mengi yanauchawi hakuna Mungu hapo, tuambia tumjue Mungu wa kweli mwenye ameumba hii dunia😢
@JoyfulGod
Жыл бұрын
Very true man of God be bless i wish all people could hear this...more grace part 2 please.
@DavistarMataMediaDM
Жыл бұрын
Share
@ayoubmwangonji2357
Жыл бұрын
Nimefikamo 😁😁amina mtumishi
@bobkariz5663
Жыл бұрын
Good message
@pettiecranwel7588
Жыл бұрын
Tuletee muendelezo barikiwa sana mtumishi🙏
@ezekielphilemon7343
Жыл бұрын
Nakuona mtumishi , Mungu akubariki pasta
@mildredakinyi9855
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi. Mungu wangu zidi kutufungua macho . Nakufwatilia toka Kenya
@user-uw8zb7dv1u
Жыл бұрын
Mtumishi inaelezea vizuri sana lakin ukikutana na watu wanapenda kwa hao manabii ni wabishi akuna mfano😂😂❤❤
@mackfasonmoshi4629
Жыл бұрын
A. V Wametekwa ufahamu....Mungu awafungue...
@tarimowakweli
Жыл бұрын
Safi sana mtumishi, Waeleze ukweli
@Deedee88110
Жыл бұрын
Davista napenda kazi yako
@mamamwajei8789
Жыл бұрын
amen amen watumishi
@peterrulagora7403
Жыл бұрын
Mungu akubariki kwa kusema kwel
@JaneDoe-hf3zy
Жыл бұрын
Naomba hio plan ya mjengo
@user-hi9xd9ok1e
Жыл бұрын
Amen
@josephmusagasa5566
Жыл бұрын
Nimeipenda hiyo "hao watu ni wachawi" na kweli ni wachawi. Piga kabisa hao na ikibidi wataje majina hao
@josephm4233
Жыл бұрын
NONDO za maana, episode two please
@abbyadams8691
Жыл бұрын
2Corith3:6
@nereaheyinda
Жыл бұрын
Mimi siendi hata kanisa,lakini hua nawahurumia Hawa wanaojiita waamini.hata hawajielewi aki.mi ni nereah kutoka kitale,kenya
@dianaobanda5114
Жыл бұрын
Davista nashukuru sana kutoka Qatar 🇧🇭🇶🇦
@marianchamba3898
Жыл бұрын
Kweli kabisa mtumishi
@nereaheyinda
Жыл бұрын
Haya mambo ya upako ni ya kishetani sana...Sasa kama una akili nzuri davister,kweli utajua TU kuwa ili usaidike,Yesu alisema omba ,bisha,tafuta...Sasa wewe unachukua mafuta unanyunyiza alafu unaenda.huo si ni short cut which means ni uchawi.asante sana mchungaji Kwa kutuelewesha zaidi
@magnuslukoma5795
Жыл бұрын
Nakupata mtumishi Yani unapiga mulemule UBALIKIWE SANA🙏
@Yusufu940
Жыл бұрын
Mungu akubariki Mahana wapinga Christo wanaendelea kupotasha watu Kila kuchapo
@JosephineApporinary-cg5wl
11 ай бұрын
Damu ya Yesu ikuatamie maana Hawa ndugu zetu ni hatari sana.
@rerisamba
Жыл бұрын
Wachawi wametoka kuzimu wakajitengezea makanisa na kutoa elimu ya giza
@conqueror4107
Жыл бұрын
huyu ni pastor ezekieli wa kenya kabisa... jiunge na madhabau
@conniemuthini259
Жыл бұрын
But yesu alisema munaweza fanya hii na makuu kushinda haya.miracle
@josephmusagasa5566
Жыл бұрын
Davistar, uje tufanye mahojiano ili nami nisaidie kuwaumbua hao wanaojiita manabii na mitume dhidi ya mafundisho yao ya uongo. Yaani nina hamu nao kwelikweli na nina hamu ya kushusha nondo pia juu wale wanaojiita walokole kumbe ni wavivu wa kufikiri na ni watu wa mapokeo. Tuonane lini?
@zaidiissa3714
Жыл бұрын
Nduguzangu wakristo jiulizeni swali Mojatu kama huu ukristo nidini yakweli mbona makanisa nitufauti sana hapaduniani nakila kanisa linajia zake zakuabudu kuna wengine wanamuona yesu nimungu wengine ni mtume wengine ni mwana wamungu wengine niroho mtakatifu wengine wakulangurue wengine ngurue kwao niharamu wengine hawaruhusiwi kuoa wengine hawaolewi wengine ndoa zajinsia Moja nihalali mfano kanisa la angrikana wengine hata wamemshau mungu aliye waumba wanamuomba yesu kama munguwao wamesahao kwamba hatayesu kaumbwa namungu mfano katoric wanaabudu sanamu lamalia nayesu naukisoma bible inasema tusiabudu masanamu vyote hivyotehivyo nibiasharatu ya wanadamu Dini yakweli ni uslamutu kamaunaipenda nafisi yako ni kuslimu nakuwa musilamu ili umuabudu mungu mmojatu nakuamini mitumewake namalaika zake basi inshallah kwarehma zake Allah iposiku mtaujua ukwelitu mungu tujalie sisi na wazazi wetu na vizazivyetu tufe haliyakua niwaislamu kamili👏👏👏
@yhwh353
Жыл бұрын
Hivi ndo wanavyotumia Waislamu dawa Wakina Sheikh. Mazinge kwenye midaalo kudanganya wakristo kuwa Yesu Kristo ✝️ hakufa na hakusulubishwa na YESU KRISTO sio Mungu.
@MimiMuislam
Жыл бұрын
1.Ndiyo ni kweli Yesu hakufa na wala hakusurubiwa hata kwenye biblia Yesu mwenyewe alisema hatokufa. 2. Yesu siyo Mungu kwa ushahidi wake yeye mwenyewe na katika biblia hakuna andiko hata moja Yesu anasema yeye ni Mungu au anasema Aabudiwe na kama unalo Toa
@alimatambwe3402
Жыл бұрын
I can feel you for sure,you are 💯/100 fact.
@King_Of_Everything
Жыл бұрын
👊✌️🙏.
@paschalmayunga749
Жыл бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@joyprecious8822
Жыл бұрын
Eti prophetic materials,Hapa Uganda niliona kanisa fulani ya nabii wa uongo kuna,holy rice, calendars ,pens, T-shirts,maji,mafuta, picha za huyo nabii etc, We're ignorant that's why they take us for a ride
@pascalmwalyenga3468
Жыл бұрын
Ushauri wa Bure; Ingependeza iwapo Davista ungekaa nyuma ya camera (off camera) ili source wako aielekee kamera i.e azungumze na viewers/audience.
@DavistarMataMediaDM
Жыл бұрын
Sio lazima iwe hivyo na ndio maana hata vipindi vya Tv haziko hivyo na hata hapa kwenye channel hii mara nyingi huwa naonekana isipokuwa kama nikiwa sina Cameraman ndio huwa sionekani kwani huwa nakaa nyuma ya Camera
@lululivingstone8298
Жыл бұрын
Wachawi kweli tena wezi mbwa wale
@rerisamba
Жыл бұрын
Sasa mbona hatujamalizana kukata mikono umeleta pastor
Пікірлер: 44