@@khaalidcheo5383 Hana u Haji wowot🙄. Kavurugwa na mashetani yake, eti mfalme anasujudiwa na majini.😏
@farhadhassansaid1297
4 жыл бұрын
Ni kweli kk Haji, manake ukiwa nao wanaeza kukuheshimu na kukuogopa
@beatricekweka6683
4 жыл бұрын
Duuhh...Duniani kuna mamboo....💥
@brianfave6092
4 жыл бұрын
How r you mr facts,,,,love your show fr 254
@salmadalaquimane2364
4 жыл бұрын
Mwambie atuonyeshe iko kibumbutu na ayo maziwa 4😀😀
@jutinemathias2502
4 жыл бұрын
Namba 150
@pilimusa7770
4 жыл бұрын
Namba 152😄😄😄
@naomiakoth2958
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 davista hapo kwa chuchu mbona umecheka sana
@karrolleschon3986
4 жыл бұрын
🇰🇪🙌
@salumali3281
4 жыл бұрын
Huyu jamaa ana mashaka sio siri tumsikilizeni. Atuvungevunge (atudanganye) mwanzo mwisho 🤣🤣🤣
@hamidaalhabsi8568
4 жыл бұрын
Subhanaallah kweli kuna mambo mengi duniani
@mohamedngoshani5913
4 жыл бұрын
Dav now umekuwa mzito sana kulusha vpind by the way umefanya sana ila komaa
@ayushsaeed1051
4 жыл бұрын
Wa 10
@qelseykenya3933
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂davistar Jameni ati kwa hivyo una mkia???😂made my day aki
@azizahamis8009
4 жыл бұрын
Leo nimewahi jmn
@bahatijeffar6899
4 жыл бұрын
Azusa mambo
@wilsonmatunda4937
4 жыл бұрын
Tuonyeshe hizo chuchu!
@salmasalma8203
4 жыл бұрын
Makin davistar
@deofred1517
4 жыл бұрын
Pamoja sana
@yushuaissa467
3 жыл бұрын
Ndio na anza kuona interview, hope nita ona hizo viungo. Tuonyeshe mkia.😎
@munnawwary757
4 жыл бұрын
Sio mbya Leo maan cjachelew sana
@salumbunga240
4 жыл бұрын
Davistar mtu wako hpa mtu mwenyew utu wang respect 👊
@abbyadams8691
4 жыл бұрын
Urefu wa Mwl.7cm ?😳😳😳
@sadiqmwafrica6759
4 жыл бұрын
Duugh cm7 au futi7?
@ashasiri2720
4 жыл бұрын
A town 👍mwenga jini😂
@ayushsaeed1051
4 жыл бұрын
🇹🇿Nasikiliza nitakuja
@swaumujuma6333
4 жыл бұрын
Atali sana daa
@shenjamamzingi7950
4 жыл бұрын
"Hivi ukiwahi unapata nini vileee"
@kalssambaboo9705
4 жыл бұрын
😁😁😁😁
@ayushsaeed1051
4 жыл бұрын
❤️Unapata
@zaitunijuma7831
4 жыл бұрын
Mb Bure
@rosecruiz4348
4 жыл бұрын
Mtoto mtifuu
@neemaabdallah3567
4 жыл бұрын
Unapata sifa nzuri na unapongezwa na unapewa ZAWADI 🤗🤗
@dorcaskidoti249
4 жыл бұрын
Unamanisha una mkia ?? 🤣🤣🤣🤣🤣
@Blackie_blackie9327
4 жыл бұрын
Mmmmh
@eshuukigomba9347
4 жыл бұрын
Nimewahi piaaa
@hebronsdaughter1661
4 жыл бұрын
Mmh dunia jamani ina mambo mengi ya ajabu,watu wengi bado wako gizani na hawajui eti Mungu hujalia mtu majini kwanza majini walimuasi Mungu tunapaswa kuwakataa majini kwa maisha yetu sio kuwapa nafasi ya kutumikisha
@rosecruiz4348
4 жыл бұрын
Amen na vile yana nitesa nikilala ya shindwe kwa jina kuu la jesu
@dorcaskidoti249
4 жыл бұрын
@@rosecruiz4348 huwa yanakuamshaa
@dorcaskidoti249
4 жыл бұрын
Mungu hana masharti endapo ukiamua kumfuata...Majini yanatesa watu na masharti magumu sana ila binadamu yuko tayari kumtiii jiniii...
@hebronsdaughter1661
4 жыл бұрын
Yashindwe kwa jina la Yesu na yakuwachilie ww ni mali ya Mungu si mali yao
@hebronsdaughter1661
4 жыл бұрын
@@dorcaskidoti249 imagine watu wamependa giza kuliko nuru
@nuraabdi1379
4 жыл бұрын
Pat2
@qudratv9169
4 жыл бұрын
limekunya juu ya muembe😅😅😅
@hurremjudith6043
4 жыл бұрын
Davistar you’re missed bother
@mickeytv3691
4 жыл бұрын
Cm7
@fatmafatoom6553
4 жыл бұрын
Swadat hii ndiyo stor
@bellahyuzzomylife4428
4 жыл бұрын
atuonyeshe bac
@ayushsaeed1051
4 жыл бұрын
Utakimbia😂
@umpump8472
4 жыл бұрын
Ushaiyona hiyo mkia ama. Aisha binti saeed
@ayushsaeed1051
4 жыл бұрын
MI najua lazima mkia a ao Kwan jinsi a yake inaruhusu🙈
@alexjos7625
4 жыл бұрын
Kila mtu ana mkia
@bebebebe5677
4 жыл бұрын
Duuuh mung ni waajabu part 2 tafadhar davrstar
@jamilaally3172
4 жыл бұрын
Huyu wizard tu hana rolote😂😂
@emmanelly6864
4 жыл бұрын
Mambo nasikiaga huku jamani Mungu tu anajua ukweli wake
@alimzee
4 жыл бұрын
Ulimweng kweli balaa
@africandarling6925
4 жыл бұрын
Duh mungu Hana majabu yake
@rukundoibrahim807
4 жыл бұрын
😊👍
@bahatiabdillah5307
4 жыл бұрын
Mr fact nipo moshi naomba namba ya huyu ustadhi nimpeleke bibi angu nasumbuliwa sn na maradhi
@roseuwambe8089
4 жыл бұрын
Chawi hili
@jutinemathias2502
4 жыл бұрын
😃
@twaibumikidadi7377
4 жыл бұрын
sentmita 7 mbona hata kikombe cha chai kirefu hahahaaa
@ericklukumay1777
4 жыл бұрын
Naona leo uko pande za home kwa vijana wa R chuga
@naomiakoth2958
4 жыл бұрын
Wah today I'm late
@aishamustapha7381
4 жыл бұрын
Iyo sio kalama uo ni uchawi.na hakuna majiini wazur apa dunia asikudanganye mtu.wale saiv ndio wanatawala dunia nakutesa watu
@ayshamahariq6665
4 жыл бұрын
Wamwishoooooooooooooooooooo
@janetnadauson2988
4 жыл бұрын
Nami nipo nisichelewe jaman
@farhadhassansaid1297
4 жыл бұрын
Yani wazee wakikupenda kukupa uganga ndio shida yenyewe hiyo manake ukisema unakataa wanakupa changamoto nyingi na pia wanaeza kupa ugonjwa mpaka ukubali ndio uwe sawa
@zamzamhassan4159
4 жыл бұрын
Wa39
@nurafedrick378
4 жыл бұрын
🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️darasa la pili barua ya mapezi wewe nikama haikuwa akili yako kabisaaaaaaa
@arasaummy7141
4 жыл бұрын
🤣
@gablielsamwely1081
4 жыл бұрын
Dunia ina mambo iii
@husseinkonz5192
4 жыл бұрын
Mwenga jin ndio uliokusababishia yote hayo
@nurafedrick378
4 жыл бұрын
Visu va mbao tulixikuta sahii ziko lkn moja moja sio mob vilee
@frankmnyela510
4 жыл бұрын
Oya pima storry zako davistar hz nyingne hazivutii tunachofanya tunapray kdogo baada ya kusoma title tukiona ya mizinguo tunatoka.. Bt tunachoshukuru ni kwamba tunakuwa tumeshaview yan tushakuingizia mpunga wako kuonesha kwmba tunakusaport mzee mwenzetu hata zikiwa mbovu bt kiukwer hz nyingne hatumalizii tuna log out mapemaa n mbovu yan..
@maryamoman1370
4 жыл бұрын
Haswaa
@neemaabdallah3567
4 жыл бұрын
Story inachekesha Kama ya uongo 🤣🤣eeeh🤣!!??
@stephennzioki7128
4 жыл бұрын
Umemsoma
@allykibabe8182
4 жыл бұрын
Una mkia au hauna
@zaitunijuma7831
4 жыл бұрын
mm namin Majin yp kabisa ten yan tesa sn binadamu
@zeboytv7043
4 жыл бұрын
Macho yamekuwa mekund😀😀😀
@kalssambaboo9705
4 жыл бұрын
Mmmh
@alexjos7625
4 жыл бұрын
Hahahah duh..balaa zito
@mercikatate9033
4 жыл бұрын
Part inayofata kk
@romanuskayanda4613
4 жыл бұрын
Chawi hilo lilikuwa halipendi shule
@shanyabdul2386
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@roseuwambe8089
4 жыл бұрын
Kweli lisitu ongopee🤣🤣🤣🤣🤣
@neemaabdallah3567
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣coment zinafrahisha
@fatmaalrshdii7615
4 жыл бұрын
@@neemaabdallah3567 nikweli mpendwa kama unamawazo yako ukipitia comet fulani utajikuta unacheka tu siku iende
@jamilaally3172
4 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣
@zabiyafahmikhamis4873
4 жыл бұрын
Huyu nae mchawi asituzuge hapa alaaa😡😡
@raymondrichard4622
4 жыл бұрын
Upo home chugga
@ayushsaeed1051
4 жыл бұрын
Wa chuga eti kweli anamanyonyo na mikia miwili au🤔
@ayushsaeed1051
4 жыл бұрын
Au anatupiga changa LA macho
@Laila-lz4ij
4 жыл бұрын
Maajabu ya Dunia 😁
@hildaernest1090
4 жыл бұрын
Ahahahahahaha ivi uyu jamaa anajua sm kwel nimecheka kifala sana
@rachelmsekena603
4 жыл бұрын
Mzee cm unaijuaaaa au unaitamka tu.
@mariamripiti2137
4 жыл бұрын
Mimi mtoto wangu na baba ake na shangazi yake na baba mkwe wangu wana matiti 2
@wantangosaimon5295
4 жыл бұрын
Huyo ni mchawi ila kaluka kipengele hicho au ndo x man wa arusha nn?
@beatricearon6439
4 жыл бұрын
Uchawi tu huo
@moreenmbatha1147
4 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@qudratv9169
4 жыл бұрын
sijawah ona mwal mfupi km huyoo🤣🤣🤣 cm7
@nusaebahkeis6774
4 жыл бұрын
Sasa davister umeonyeshwa yy hayo matt na mkiaaaa
@funnystuffhunter2618
3 жыл бұрын
Huyu jamaa anamtumia mungu kuficha mauchafu yake ....na anakwepe maswali kila akiulizwa kilichokuwa kina mpa nguvu ni nini hasemi Mara karama ya mungu Mara majini 🙄🙄
@wantangosaimon5295
4 жыл бұрын
Mganga wa instalgram huyo
@florakawau5615
4 жыл бұрын
Huo uchawi tu.
@rosecruiz4348
4 жыл бұрын
Wewe kwa lunga rahisi na yakueleweka wewe ni kijengoo
@umpump8472
4 жыл бұрын
Hiyo kisu ulitowa wapi
@jangombeboys4536
4 жыл бұрын
J,BOYS,F,C 1999
@happysalva9480
4 жыл бұрын
Sijaona mkia mbona 😂
@ayushsaeed1051
4 жыл бұрын
Mkia upo kauficha
@umpump8472
4 жыл бұрын
Asha binti saeed. Wewe uliona ama
@happysalva9480
4 жыл бұрын
Ump Ump sindo hapo
@ayushsaeed1051
4 жыл бұрын
Utopofuka macho 😂
@ayushsaeed1051
4 жыл бұрын
Jinsia yake lazima awe na mkia🙈
@bittebitte5431
4 жыл бұрын
😂😂😂😂 naisave ntaiplay sku nkiwa na mb za kutosha leo nmeskia kughair davistar
@nurafedrick378
4 жыл бұрын
, 82 mm nilikuwa na mwaka aisee😂😂😂😂hiyo karama kweli mana wakitoka watakutafutaa nauko hapo tuuuu yani ulikuwa mdogo mnoo
@sirlumdihinje4238
4 жыл бұрын
Uyo mwl alikua na cm 7 ? Jaman nisaidien mbona sijamulewa
@mercikatate9033
4 жыл бұрын
Jambo kk vipi hali
@maspro6294
4 жыл бұрын
Acha janja njanja wewe kutaka kutapeli watu
@radiIbrahimnuhu
4 жыл бұрын
Mwili wa 2pac ulichomwa na majivu yake yalisokotwa pamoja na bangi na kuvutwa ,fahamu zaidi ...bofya kzitem.info/news/bejne/uWNjp3lmjJ5khqA
@nurafedrick378
4 жыл бұрын
Yaonekana wewe hukutakiwa kusoma lkn ilibidi mana wazazi walikupeleka shule kama wazazi tuu Yani ulikuwa waajabu kweli juu ya mwembe Haja kubwaa lo huyo wako alikuwa akikucontrol vibayaa
@salehfarid1003
4 жыл бұрын
Huyu mgonjwa wa akili nahisi
@ayushsaeed1051
4 жыл бұрын
Kabisaaa
@zakiarama9909
4 жыл бұрын
Hahahaha
@euniceeunice7680
4 жыл бұрын
Yan uyu baba sio mzima 😂😂😂😂😂😂😂karma kua mganga?aiseee nimecheka...uganga ni ushetani sasa karma iyo vp?yan Mungu akujalie kua na majini 😥😥😥😥😥😥😥😥mimi nakesha kusali sitaki ata jini anione ktk ulimwengu wa kiroho alafu ww unasema ni baraka 😥😥😥😥mzee kapotea uyu....majini ni roho chafu jamani ni giza sio nuru omba Mungu akubariki kwa kutembelewa na malaika na sio majini daah. Apa story zote watu wanalalamika kwa ajili ya ayo majini mizimu waganga wotee aho ni nguvu za giza yan ushetani...sasa uyu anashangilia kua na majini. Binadamu sisi tumebarikiwa sana na tuna nguvu shetani anatuogopa ila atujaitambua nguvu ilio ndani yetu ilo ndilo shetani anataka kama ivi tunaona majini eti wana nguvu....awana nguvu Bali mbwembwe tuu za kuogopesha lkn amna kitu.sisi tumepewa mamlaka na Yesu ndio maana akaacha damu pale msalabani jini ukimkemea kwa jina la Yesu anakimbia neno moja tuu jini anatimua mbio sasa nguvu zke ziko wp mpaka apo?😂😂😂😂😂😂shetani kawafunga watu maharifa ndio maana Yesu kasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maharifa. ....ukiwa ndani ya Yesu jini awezi sogea maana utakua na nguvu za kweli na sio mapepo eti mnasema wana nguvu awana kitu mbwembwe tuu maana shetani kajua uzaifu wa wanadamu kwanza tamaa na uoga ndilo tulio nalo. ..ndo mana majini kwanza watakupa ela au ahadi za utajiri. Na ukikosea watakupa adhabu na utawalilia wakusamehe maana wanajua udhaifu wetu...sasa sehemu ya majini itakuaje patakatifu?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kumbe mama ako alikuingiza ktk majini wkt upo tumboni ndo mana .binadamu anaabudiwa vp?😂😂😂😂😂😂shetani mshezi kweli ukazaliwa na matiti4 huo sio uzalilishaji na mkia unao😂😂😂😂😂we sio binadamu
@rosemawia4239
4 жыл бұрын
Mbarikiwa sana Kwa kuwaambia ukweli, yesu tosha, majini azina ngufu Kwa mkristo WA kweli, amen.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Пікірлер: 171