JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@trillhappybeautypoint9874
7 ай бұрын
My dady Mwamposa tunabarikiwa na tunazidi kubarikiwa in Jesus name 🙏🏼
@AishaOman-qz7tn
7 ай бұрын
Hallelujah hallelujah 🙌 nimefurah kusikia huu ushuhuda barikiwa Dr kumbuka 🙏
@florabuzoya3948
7 ай бұрын
Ushuhuda Mzito Sana Huu🙏🏿Nimefurahi Mwamposa is truly man of God.
@gladistaemanueliy6336
7 ай бұрын
Asante Dr kumbuka, mimi mwenyewe Nina ushuhuda jamani mkubwa sana mungu amuweke mwamposa miaka mingi
@mwanduelizabeth2282
6 ай бұрын
Kupitia madhabahu ya Mwamposa nimepokea vitu vingi Sana ikiwemo uponyaji, nyumba na mengine mengi,Ooooh haleluya Mungu aendelee kumbariki mtumishi wa Mungu Mwamposa Namuombea kwa Mungu Aishi miaka mingi 🙏🏼
@KennethMgona-jy4vc
6 ай бұрын
Umefungwa
@mwanduelizabeth2282
6 ай бұрын
@@KennethMgona-jy4vcIsaya 54:17 kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako utahukumiwa Kuwa mkosa.Niwe nimefunga wewe inakuhusu Nini mfyuuuu!
@kekiplus1andonly
7 ай бұрын
Our lady Lilian is onpoint,ni kweli lazima ujiulize wanaume mahitaji yao hayaishi,umfanye mtoto,lakini mwanamke pia ni mtu na yeye anatamani kufanywa mtoto,nani atamfanya yeye mtoto... Ndo maana baadi ya wanawake waliolewa ndiyo the most sad/depressed people sbb wanajitoa sana lkn mmmh🙄🙄 Lakini ukiwa dada wa mjini unatenda au unakuwa kahaba mara 5 mshahara wako ni matunzo😂😂😂😂ulipiwe kodi,ununuliwe kila upendacho na utakacho,upewe pesa hata kama huitaji.. Kwaiyo kazi kwako,chagua kunyoa au usuke😂😂😂😂 Ushauri wangu zingatia maokoto😂😂😂
@RevinaPastoryBirungo
6 ай бұрын
Aisee
@PaulinaSemindu-ob3de
7 ай бұрын
Hakika mm hunambii kitu kuhusu madhabahu ya inuka uangaze kawe imenitendea mambo makubwa mnoooo ubarikiwe mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa🙏
@rithadonatus8110
7 ай бұрын
Nilikuwa Sina kazi ndani ya miezi mitatu lakini nipoenda kwenye ibada kwa Imani mpaka Leo hii Nina interview kibao ❤❤❤
@Bless-sk8uv
7 ай бұрын
Mm hapa baada ya upako wa mwamposa nimepata mke sahihi na baba yangu mzazi alinitamkia sitoowa maishani mwangu na niliaangaika but after kufika kwa huyo mchungaji miezi miwili tu sio ushabiki
@ittybitty-bp1cl
6 ай бұрын
Nisaidie jinsi ya kufika 😣
@Bless-sk8uv
6 ай бұрын
@@ittybitty-bp1cl kufika wapi?
@FridaMwageni
6 ай бұрын
@ittybitty-bp1cl anapatkana kawe dar es salaam Tanganyika peackers
@blaciachiunga8271
7 ай бұрын
Dr. Kumbuka uko vzr Baraka za Mungu ziambatane nawe ck zote,,,Big up Lilian Mwasha
@marymwaya9685
7 ай бұрын
Kwa kweli nilivyokuwa nakuona sivyo mungu akubariki sana
@SalmaBakar-z4c
3 күн бұрын
Yaan mungu anatenda nimesumbiliwa na operation mpk nikawa kama mdudu siwez kumsahau jirani yang alinipeleka kwamwamposa jmn mungu alijua kunitendea kwa wakati
@doricekamara3631
3 ай бұрын
Kumbuka nakuelewaga sana unachokisikia moyoni ni kweli kbs una point sana barikiwa zaid
@ephraimkabeya9648
7 ай бұрын
With this kind of talk Dr kumbuka I'm in your support
@ruckyaarabi4030
7 ай бұрын
Chawa ni mtu mvivu. Nimekupenda sana kaka Kumbuka big up sana
@gracekiondo2541
6 ай бұрын
Chawa sio mvivu tu,bali ni mtu ambaye ameshikwa na roho za mapepo na kichawi.shetani hataki ufanikiwe na kumbuka mwanadamu hajaumbwa amtawale mwanadamu mwenziwe.akifanya hivyo hiyo ni kufuru kwa Mungu.
@zenamwaisaka
7 ай бұрын
Glory to God. Jesus is real
@beatricecherdiel9299
6 ай бұрын
Kumbuka you are a good person
@RosemaryLema
6 ай бұрын
Amen ukiamini Mungu anatenda
@hosianaeliud243
7 ай бұрын
God is good
@fatihiyadossa375
7 ай бұрын
Asante kakangh kumbuka kwa unumbe wko mzuri
@vero57
7 ай бұрын
Wanawake kazi tunayo. Lakini kuna wanaume wengine hawasikii ata uwaoshe na olive oil 😂😂😂
@ambocornely
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@Hawaa-cw6fl
6 ай бұрын
Jamani hata wakisema nn mwamposa ametutoa mbali ila wengine atutoi ushuhuda
@monikamasasi7582
6 ай бұрын
Ushuhuda umenipa nguvu kubwa jamani,Mungu na Mimi naomba watoto mapacha mea Imani nipate
@marylutengano1555
6 ай бұрын
Tuko pamoja mama Mungu atupe mapacha
@ElizabethJoshua-op5fz
7 ай бұрын
Asante kwa ushuhuda huu
@hadijamadina6101
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@imanimwakinga4934
7 ай бұрын
Kumbe huyu jamaa ni mstaarabu aseee na ana madini sana, mi navyomuonaga na uswahili wake nikajua sijui wa wapi 😂😂😂 aisee ni mstaarabu basi tu ni hustles za maisha
@maryamadam5622
4 ай бұрын
Kweli kabisa na mie nakuunga mkono. Dr ana kipaji mno
@kekiplus1andonly
7 ай бұрын
Chawa kama chawa😂😂😂😂😂sio mchezo😂😂😂imebidi umejipanga😂😂😂😂😂
@magrethmbuma3045
6 ай бұрын
Mungu anasikiia sanaa tena kwa sikio la wepesi sana
@JohanithaMugango
7 ай бұрын
Amina
@edinalihedule7609
6 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@sophiankwera9020
7 ай бұрын
Unamaneno ya hekima sana Mungu akupe kuliishi kusudi lake
@rosemwakyoma8371
7 ай бұрын
Barikiwa sana Dr kunbuka
@nabwikekyokyo4906
6 ай бұрын
Amen
@gildopitapita1383
7 ай бұрын
Asante brother
@saraphinalupondo1115
7 ай бұрын
Kuna kit nimkipataaa ubarikiwe weela sitakutafuta bali wewe,pesa utanitafuta mimi aminaaa sanaaaa
@mamaziada134
7 ай бұрын
Napokea namimi ushuhuda huu mungu nisikie baba napata tabu baba naomba hiyo sauti ije na kwangu
@vickysteven1172
7 ай бұрын
Kweli kabisa
@VeledianaKalolo
6 ай бұрын
Dada liliani nabarikiwa sana na kipindi chako
@habibajumahabiba6730
6 ай бұрын
❤❤
@eunicesaimon9125
6 ай бұрын
Mungu abaliki hikii kipindiii🙏🏿
@loveneskasanga4186
7 ай бұрын
Ameni❤❤❤
@Hanifa4-d4q
7 ай бұрын
Mpenda sanaaa dr
@Alexbenon-ow5lh
4 ай бұрын
Mwasha ndo huyu duh😮😮
@juliethkatabwa5306
7 ай бұрын
Dr. Wanafanya ushirikina. Bwana. Kuna wanawake ni watendaji wazurii lkn hakuna kitu.
@Siti_maroneit
6 ай бұрын
Datario kumbuka kaongea big point.malaya awanaga aibuu hata kama nyonyooo limetepekaa wanajiachiaaa yaani awqnaga aibu wale ...
@giftgeza3662
7 ай бұрын
Aamen
@gfydfdf8869
7 ай бұрын
Ameeni Mungu aliyee hai awabariki watumishi,wa Mungu kwa shuda nzito , barikiwa kwa ushuda, nzito ..
@jankenkasambala7687
7 ай бұрын
Ila huyu dada Mwasha kweli msanii. Eti Halleluya Amina
@Mina.15
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@upendogreutert199
7 ай бұрын
Jamani uchawi upooo khaa
@salumlehani3952
17 күн бұрын
Kipindi kizuri kasoro ni kukosa maswali yenye mtiririko mzuri .
Jamani nyiemnolala bilakuoga mpo je ayomengine mtayaweza mtaolewa nakuachwa tu kwasababu hamjitumi .
@RogatheJosiah
6 ай бұрын
Nilimfanyia nikaambiwa naanza kuwa Malaya mambo Gani nalenda ndani mwisho wa siku nikaondoka nikaipenda kazi kuliko mapenzi Na kuyachukia mapenzi milele am single 26years kwa kuchukia wanaume waonyo waongo Sana
@DennisAnthony-j5y
5 ай бұрын
Njoo uwe bi mdogo wangu
@angelalyimo2862
7 ай бұрын
Nimejifunza
@MohammedJaizan-yf5yt
7 ай бұрын
Heeeee yamekuwa hayo sasa
@saraphinalupondo1115
7 ай бұрын
Nakweli watu tunaombaa alafu hatumuamini yule tunaemuomba kweli ukiamini kweli utajibiwa chap ila imani yako ikiwa kma ya thomaso utakuwa unaona Mungu hawez
@queenmilan2024
7 ай бұрын
Mlete tena ili aongee kuhusu mapenzi. From Europe
@MTOTOWAvitoto
7 ай бұрын
Mambo vp ndugu???
@suzanmairy2638
6 ай бұрын
😅😅😅yaani wewe kumbuka mpaka iyovi unapajua uwiiih😂😂😂😂😂
@BeliBeli-n9h
6 ай бұрын
Umsifie adi ndugu zake walio kufa😂😂😂😂
@RamulaKabugho-bk8vk
7 ай бұрын
Nampenda huyu jama uwa mkweli sana😂
@gracelee565
7 ай бұрын
Handudu handada🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣 you have killed me swahili norma
@abdulllyhussein3224
6 ай бұрын
2016 mwamposa hakua kawe ..😂😂😂au n 19 maana imebid nirudie mara 2....KWAHIO IL TUAMIN VZUR SHUHUDA YAKO EB WEKA VZUR BAADH YA VITU MAANA N KAMA UNATUCHANGANYA....
@allenmlelwa7950
6 ай бұрын
Kuna kujichanganya kidogo bana kwenye tarehe.kikubwa ushuhuda umeeleweka.
@fidelitekarigirwamuyangwa973
6 ай бұрын
Kumbuka sikubar minanjua mudada anyafanya Hadi kumuogesha anamufanyia utundu ila anamufisha Hadi Mari tena mudada muzur anmpikia Hadi tinasema
@Gdhjgjk
7 ай бұрын
Jamani weekauzu.
@JerusaMkuyu-pw1zo
6 ай бұрын
😂😂😂😂kumbuka jaman
@dayana5513story
7 ай бұрын
Kwenye wanawake kushulika umeongea kweli kabisaaa 🤸
@gloriakawago6223
7 ай бұрын
😂😂😂😂 mnasifia hadi watu wa Kilolo, Iringa had walio kufa.
@hurumaanyisile1918
6 ай бұрын
Hahhaha mbn kilolo sjapenta
@Gdhjgjk
7 ай бұрын
Wee kaka napenda hataukiongea mambo ya Ibada badounaonekana kama unampasha mtu.
@HumphreykirutuKirutu
7 ай бұрын
Da ! Kwanza nimshukuru MUNGU kwa ajili ya DR.kumbuka nilikua namjugde vibaya hasa namna nilivyokua namsikia kwenye mitandao ya kijamii
@Bless-sk8uv
7 ай бұрын
Mimi nasema siri zetu ninyi wanawake hamtapata kamwe kama sisi tunavyoshindwa kugundua mnachokitaka usiwe na usiwe na nguvu za kiume bado tunaachwa tutasubiriana sana, hayo bra braa ni uongo tunatiana moyo tu
@katsuvakamatedaniel7893
7 ай бұрын
Si amini macho yangu 😂ni huyu kumbuka anaye chamba watu kueli
@Mkombozi255
7 ай бұрын
I dont know why but i dont like Lilian after katibu wa kanisa incident,I think she is fake😮
@MchagaUk
7 ай бұрын
Same
@OmegaThreads
7 ай бұрын
Dr. Kumbuuuuuuuuukaaaaaaa
@lucywilson5875
7 ай бұрын
Injili zamafanikio. Tunapaswa kuacha dhambi na sio kuhubiriwa pesa nautajiri au maendeleo. Tafuteni ufalme wa Mungu kwanza ( Utakatifu ) mengine huja kwaziada.
@carolinederi5690
7 ай бұрын
Am surprised hakuna mtu anae sema nlikua mzinzi nkahubiriwa nikaacha,nlikua najichua nkaacha, nlikua na hasira au nlikua siez kufunga nakuomba sa hii naeza hakuna anae shuhudia nliacha kunywa pombe ila ni kazi na ndoa😢what a pity shetani ameroga amewapofusha akili na macho they don't see
@PrudencePaul-fj5sm
7 ай бұрын
Tumehaidiwa kufanywa vichwa na sio mikia tutakuwa wa kwanza sio wa mwisho shuhuda ni nyingi watu tumepona kupitia maombi SEMA nyie hamjui
@jenipherkamugisha4687
6 ай бұрын
Nifanye hayo yote na kazini naenda saa ngapi😅😅
@magiehermess9949
7 ай бұрын
Nikajuaga ni Muslim, ila anakaa kama mhubiri,ana kitu flani cha kimungu.Tuache kuwa judge watu for sure
@vickysteven1172
7 ай бұрын
Siku moja dkt kumbuka ataokoka haki vile 😂😂
@optimumafrica1243
7 ай бұрын
Walokole wana alama gani kwani?
@MchagaUk
7 ай бұрын
Mungu wangu anajibu Ivo Ivo kama wa Dr Kumbuka
@MagrethCharles-ne2ts
7 ай бұрын
Very soon !😂
@AlphaBlessing-qx7ep
6 ай бұрын
Tayari YESU anashuhulika na3
@LilianeShindano
7 ай бұрын
Dr kumbuka mwana muke naye anapashwa kupendwa tumeumizw
@nehemia397
7 ай бұрын
dokta kivipi?
@MchagaUk
7 ай бұрын
Uchawi upo
@ROZITHOMAS-y4q
7 ай бұрын
Mwamposa ni mtumishi
@MkoaniMkoani
6 ай бұрын
Saaa mbovu😅😅😅
@nyandichearts
7 ай бұрын
Kwani hawezi kuongea bila kulegeza mdomo pumbuka she looking like anashonwaaa😅
@malianonicass7029
7 ай бұрын
Yani kwenye mambo ya msingi unaleta ushoga kuku wewe
@vickysteven1172
7 ай бұрын
😂baba, junior 😂😂
@Gdhjgjk
7 ай бұрын
Weedada nawe usiwekama niangusage usichoelewa nini sisi tupo kwaajili Yao .
@Mpakauseme
7 ай бұрын
Sisi wanaume ni watoto katika wanawake ila jambo ilo wanawake wa leo hawalijui , big mistake
@elizabethgeorge2197
7 ай бұрын
Kbsaa upo sahihi sanaa kaka angu
@zenamwaisaka
7 ай бұрын
Jesus is real
@lulurubby2235
7 ай бұрын
Huyu mchawiiiiii na mwamposa wake
@claudiajames2003
7 ай бұрын
Basi ukiwa haujawahi kuhudumiwa na mchungaji yule basi usimtolee ushahidi wa uongo,tuliofanikiwa kwake tuna ushuhuda
@lulurubby2235
7 ай бұрын
@@claudiajames2003 wachungaji wote waganga wa kienyeji tuu ,hakuna mzinifu au mtoa kafara anaweza kufanya miujiza hao ni waganga wanatumia makanisa kujifanya eti wachungaji mmfyuu acha upuuzi
@PaulinaSemindu-ob3de
7 ай бұрын
Siku yakikukuta utamimbilia Ile madhabahu na utaomba msamaha lulirubby 2235
@lulurubby2235
7 ай бұрын
@@PaulinaSemindu-ob3de mungu wangu ni mkubwa kuliko mwamposa nikaombewe kwa mchawi si bora niende kwenye mizimu najua kabisa hakuna unafiki huyo ni child abuser analala na mabinti wadogo eti ndio nabii nabii wa wapi ? Yesu hakua mbakaji au mtoa kafara na ndio maana miujiza aliopewa na mungu ilikua inafanya kazi
@lulurubby2235
7 ай бұрын
@@claudiajames2003 mwamposa mchawi tuu mganga wa kienyeji tuu hana tofauti na manyaunyau
@zoab2699
7 ай бұрын
We kumbuka ww ni mwislam hakuna mtume bada ya mtume mohamed aleye salaam
Пікірлер: 141