Amen Amen Amen Mungu awabariki sana... Jambo nimejua nikwamba mahali panapo ukweli wa Mungu washirika hawapo...
@theatushafamily4977
2 жыл бұрын
So true.
@sheillahwairai4691
2 жыл бұрын
@@theatushafamily4977 yes dear, they are guided by flesh and not spirit..
@sheillahwairai4691
2 жыл бұрын
Ubarikiwe Babu kwa kufundisha juu ya kusuka...Amen Amen 🙏🙏 Mungu tuwezeshe
@tatumluv6054
2 жыл бұрын
Nilisubiri mwendelezo wa mzee wetu Mungu akubariki zaidi mtumishi wake
@maggyirene110
2 жыл бұрын
Amen amen Mtumishi, Mungu akubariki mchu
@rizikimarie6765
2 жыл бұрын
Amen Amen Amen ubarikiwe sana pastor mungu azidi kukutumia.
@joycemuhoja4729
Жыл бұрын
Barikiwa Sanà Mtumishi Palipo Na. Kweli Kondoo ni Wachache
@leonardanzurunipombi2499
2 жыл бұрын
Amen Amen asante kwa shuhuda nzuri zimenibariki
@sarahsarai8690
2 жыл бұрын
Amina barikiwa sana mtumishi
@evelynekomba7216
Жыл бұрын
Kipindi Cha baridi hapo itakuwa ngumu sana, promover tupeni mipango mikakati ya kanisa Hilo. Tuwachangie, hata wakati Baba akimaliza kazi ajue alikuwa akimtumikia Mungu wa maongezeko.
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Kabsa nikweli
@evelynekomba7216
Жыл бұрын
Promover hongereni Kwa kazi njema.
@IdahNambelasiwala-qs3su
7 ай бұрын
Amen 🙏
@josephgeorge4756
2 жыл бұрын
Onesmo mwakajila hongela Sana kwa kuhakikisha kazi ya KRISTO isiwe bule
@nyimbozakuabudu7749
2 жыл бұрын
Amina Amina kamanda George , tunaendelea tu kupambana kufanikisha kuwafikishia watu wengi kote Duniani , Shuhuda za wazee wetu Hawa wa IMANI ,Tuko pamoja kamanda Jose
@اماحمد-ض4ه
2 жыл бұрын
Ameen n mebarikiwa èeBwana yesu nakuomba uniwezeshe kushinda
@rozyderose
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana. Mungu na apewe sifa
@mariamngowa2882
2 жыл бұрын
Amen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@tatumluv6054
2 жыл бұрын
Amen kwa shuhuda nzuri 🙏🙏🙏
@reginanduku3746
2 жыл бұрын
Nligoja sana ushuhuda huu,,kutoka APA Kenya ,,natamani nimfuate Yesu kama uyu mzee
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Yes yaani hawa wazee hawa ndo tunawataka Wana HAZINA ya neno la MUNGU
@lutufyodixon9997
2 жыл бұрын
@@geitandelwa299 Afrika Kusini kuna watu wanaitwa Ndelwa.
@lordanswers9373
2 жыл бұрын
Amen Muchungaji Mungu Iko pamoja nawe
@flm1530
2 жыл бұрын
Ameen be blessed
@bazuriyaido6616
2 жыл бұрын
Mungu Wetu ni mwaminifu
@ngwanafabian4612
2 жыл бұрын
Ndiyo maana mimi nasema sauti ya wengi siyo sauti ya Mungu.
@florianruttahindurwa1189
Жыл бұрын
Uko sahihi kabisa ndugu!
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Yes tunamuhitaji YESU SIO WATU WENGI
@fatumaminyeko1875
2 жыл бұрын
Mahali panapo mungu watu awapataki kweli shetani ameteka watu wengi kwenye kanisa zauongo urumasana 😭🙏
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Yani watu wamejaza kwenye uongo hadi huruma 😭😭
@lilymwashumbe4890
Жыл бұрын
Amina mchungaji
@rehemaabinelynyagawa2878
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
@CliffordKimani
2 жыл бұрын
Yesu nisaidie kukufwata kama huyu mkuu! Hakika jemedari katika imani.
@sophiamakani6133
Жыл бұрын
Halleluyha sifa kwa Bwana YESU
@jesusismyking5292
2 жыл бұрын
Amina
@aminaally4163
2 жыл бұрын
Asant kwa mafundisho
@donatilakazinja4111
7 ай бұрын
Mtangazaji naomba uwe mbunifu ktk kazi yako, siku nyingine mmtafte mke wa mchungaji mumuhoji nadhani ana ushuhuda nzuri sana, mumuhoji kwa kinyakyusa na awepo mtu wa kumtafsili , tunatamani kusikia kutoka kwake.
@emmanuelrweikiza6117
Ай бұрын
Haya ya mchungaji kwanza anza nayo mama mchungaji ni sehemu ya mchungaji japo sio mbaya kuhojiwa
@rehemaabinelynyagawa2878
2 жыл бұрын
Eeeeh Mungu tuhurumie watoto wako ubarikiwe sana Mchungaji Mungu aendelee kukutunza
@salomealphonce-ev7ko
Жыл бұрын
Haleluya ameni
@josephmutemi7494
2 жыл бұрын
Ameeeen
@davidmpulumba4039
2 жыл бұрын
mungu akuongezee umri mchungaji amina
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Yaani haya NDO Mambo ya MUNGU Sio miujiza bila kutubu dhambI na kuacha na pia tusiipende dunia
@edwinmbwilo6128
Жыл бұрын
Bitrisi hakika dada umeshuhudia ushuhuda uliojaa uponyaji kwa wanaotumia vyombo vya uzuri Mwanzo 35 Kutoka:32:1-6 Kutoka 33:1-6 2kor7:1
@mirimbanyamuhirwa853
2 жыл бұрын
Mungu apewe sifa kwakazi anayofanya ndani ya mtumishi wake.
@lordanswers9373
2 жыл бұрын
Niombeye Baba Niko American natoka Congo Bukavu
@NaftariNelson
7 ай бұрын
Lakini Yale yalikuwa faida kwangu naliyahesabu kuwa hasara ili ni mpate Kristo (wafilipi3:7).
@christinamatai2408
2 жыл бұрын
Mungu atushike mpaka mwisho.. ASANTENI Promover Tv. Ipinda ndo kwetu IPINDA MPAKA DAR 😃 😀
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Asante
@josephgeorge4756
2 жыл бұрын
YESU NI UZIMA WA MILELE
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Amen
@oellyomondi
2 жыл бұрын
Je wale ambao wamechanga kwa lazima wanaweza samehewa na mungu
@amosjose3104
2 жыл бұрын
Mungu anitie nguvu niweze kushinda Ufunuo3:21
@yusufuassani2032
2 жыл бұрын
Nivigumu sana kanisa lakweli kupata watu wengi,hila tukiangalia makanisa machafu na yahongo najaa watu
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Ni kweli tunafalijika kuwa WENGI na madhambi yetu tunaenda nayo kanisani.
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Sana yani wamejaa huko wanadanganywa yani wamefungwa vikali sana
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Mmmmh na MUNGU ANIHURUMIE mm mwenye DHAMBI haya mapambo tunayalilia utadhani tunazikwa nayo
@josephmusagasa5566
2 жыл бұрын
Mimi sishangai kabisa,kwani Njia iendayo mbinguni ni nyembamba na imesonga sana,ila ile iendayo kuzimu ni pana na waiendeayo ni wengi. Ningekuwepo huko ningekuwa nasali katika kanisa hili. Hapo ndipo Mungu anapatikana
@nyimbozakuabudu7749
2 жыл бұрын
Upo wapi mtumishi
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Yes haya ndo maneno MATAMU ya MUNGU
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Hakika
@thumnathumna5946
2 жыл бұрын
Mchungaji angekuwa kijana wa kwenda kuzim, kondoo wangejaa kanisani.
@preciousmtui366
2 жыл бұрын
Sio kondoo Tena ni mbuzi wanakuwa wengi. Ee Mungu tusaidie kuishi vile utakavyo
@babumrisha
2 жыл бұрын
Duh
@shamim-shammy
2 жыл бұрын
Nimefurahi saaaaaana kumrudisha huyu mzee
@bonheurtoketoke
2 жыл бұрын
Natamani uyo mzee awe baba yangu wa kiroho
@bennymochiwa4800
2 жыл бұрын
Kipi kinakuzuia!!!!!?????
@bonheurtoketoke
2 жыл бұрын
Umbali na mawasiliano pia
@florianruttahindurwa1189
Жыл бұрын
Hata mimi
@HassanSaid-j7b
5 ай бұрын
Nitapataje namba yako baba
@bonheurtoketoke
2 жыл бұрын
Promover tv je! kuna namna ya kuwasiliana na mzee?
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
+255755968869 / +255652260743
@miltonjohn1402
2 жыл бұрын
Natamani kuwa kama huyo mzee.
@nyimbozakuabudu7749
2 жыл бұрын
Inawezekana
@bennymochiwa4800
2 жыл бұрын
Born again
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Mmmmh MUNGU YUPO Ni kujikana tu
@ngwanafabian4612
2 жыл бұрын
Tamani kuwa kama Yesu.
@bennymochiwa4800
2 жыл бұрын
Connection between 666 and covid 19 !?
@josephgeorge4756
2 жыл бұрын
Duniani kumbe KRISTO ANA FANYA KAZI USIKU MCHANA KUOKOA ILA NI UZEMBEWETU TUU WA KUFUATILIA KAZI ZA KRISTO
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Yaani YESU HANA MPINZANI IKA DHAMBI ZETU NDO TATIZO NA UBISHI WETU
@pamoles1303
2 жыл бұрын
Ukristo bwana kila mtu kashaenda mbinguni 😁😁😁ni gia tu ya kutafta wafuasi
@rehemaabinelynyagawa2878
2 жыл бұрын
PAMOLES: kama hujui utendaji kazi wa Mungu kaa kimya
@bennymochiwa4800
2 жыл бұрын
U never know
@ngwanafabian4612
2 жыл бұрын
Waislamu hawana mbingu sasa itakuwaje. Wakristo si kila mtu anaenda mbinguni ila baadhi wamepelekwa huko kuthibitisha yale tuliyoahidiwa na Yesu. Sasa waislamu mmeahidiwa nini na kama hamjawahi pelekwa hata mmoja wenu huoni ni utapeli.?
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
😀😀 alafu usilolijua sasa wanaosema wamepelekwa mbinguni na Yesu ni Waislamu wenzako walioamua kumpokea Yesu
@PCharlzy-rr2iv
7 ай бұрын
Mungu akusamehe
@rosendanshau2674
2 жыл бұрын
HUYU BABU AMEMJUA MUNGU 100%LAKINI ANAHITAJI PIA APATIE TV KUPATA HABARI ZA DUNIA ZINGEMSAIDIA SANA KWA HUDUMA YAKE.JAPO YEYE ANASIKIA TOKA MBINGUNI .UNGEMUULIZA WAHINDI MBONA WANA NYWELE NDEFU HAPO JE?
@mlowegb4097
2 жыл бұрын
Bwana Yesu apewe Sifa Mwana wa Mungu. Kuwa na nywele ndefu kama ndizo Mungu alikuumbia si tatizo. Tatizo ni pale Mungu alikuumbia nywele fupi, wewe ukazihangaikia kwa gharama uwezavyo ili ziwe ndefu. Hapo utakuwa unaficha uweza wa Mungu; Mungu angetuumba wote na nywele za aina moja; baadhi yetu wangeweza jua kuwa Mungu hawezi tengeneza nywele za aina tofauti tofauti. Amen.
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
@@mlowegb4097 ubarkiwe umefafanua vizur sana atakuwa amekuelewa
Пікірлер: 90