Dada yangu Rachel kweli sasa Mungu kakubadilisha, ndugu zangu kati ya watu walioishi na huyu dada na mimi pia na kusukwa rasta kwa mkono wake tukiwa mbeya kwa Mch. Mwakasanga pamoja nami Mungu alinifungua niliacha vyote nipo kiasili nimefurahi kukuona katika hali hii ya mabadiliko ❤ Tumeimba sana kwaya na praise kumbe tulimchukiza Mungu bila kujua, Jina la Yesu Kristo litukuzwe sana ❤❤❤
@MecktridaAntony-xk6dl
Жыл бұрын
Amee♥️♥️
@RebecaMaloda-xx2qm
8 ай бұрын
Mungu awabarki hii chanel mm pia nimebadilika nimeacha mapambo yote nikachoma namshukuru Mungu kwa jumbe hizi zinabadilisha watu
@Daniella2014-r9n
Жыл бұрын
Ubarikiwe dada,ata mimi nimeacha kabisa,nilipo sikiliza ushuhuda wa watumishi kazaa,nika take decision nikatupa wigi zote ,sikujali pesa nilizo tumia kuzinunua nilikubali kuingia hasara nimpate kristo maishani mwangu nisije nikabaki siku ya unyakuo ju ya makorokoro yenye haina maana mbele za Mwenyezi Mungu.nashukuru kwakuwa ameniwezesha,
@veronicakasaka8815
Жыл бұрын
KUSUKA PIA MUNGU ATAKI MIMI NILIKATAZWA KWA SAUTI UNATAKIWA UBAKI NA NYWELE NATURAL HATA KAMA NI NDEFU LAKINI USIZISUKE UKISHINDWA NI BORA MTU UONYOE UWE SALAMA NA MUNGU. UBARIKIWE SANAAA DADA
@regnethmtemanyongo2237
Жыл бұрын
Na mm namshukuru Mungu kwa hili kwani nilikuwa nikienda saloon najijajisi kabisa nashindwa kutunza utakatifu na kichwa kilikuwa kinauma vibaya ila baada ya kunyoa ninayo amani ya moyo ipitayo akili za kibinadamu Asante Yesu
@rhodachanangula7734
Жыл бұрын
Upo sahihi sanaa dadaVeronica
@annachachage4931
Жыл бұрын
Nilimpeleka binti yangu kujifunza mambo ya saloon,baadae alivoanza tu Roho ikaniuma sana,nikamwambia funga ukajifunze kunyoa akakubali sasa binti yangu ni kinyozi sikupenda asuke watu,ingekua sijakwepa chochote, binti huyu ni mnyenyekevu ubarikiwe sana.
@angelibrahim5539
Жыл бұрын
Nimependa ushuuda was recho nami kwazia Sasa nitaaza kumuriza mungu
@dadaz4653
Жыл бұрын
Hakika unajenga kiroho sana. Pia Mungu anajibu kwa wakati
@deog-r5888
Жыл бұрын
Kabisa....mtafute Mungu kwa kina....yeye ni mwaminifu
@danielngogo4692
Жыл бұрын
Hata mimi. Hongera kwa kupata ujumbe huu.
@pudensianamhasi5364
Жыл бұрын
Muda wa Mungu ni sahihi kkabisa ,barikiwa sana umekuwa balozi mzuri kabisa Mungu akubariki sana mwenye masikio nadhan amesikia jamani kina tomaso endeleen kutokuamni
@estherwamuyu2121
Жыл бұрын
Ahsante Recho Kwa kutii roho mtakatifu. Umejawa na hekima ya Mungu. Ubarikiwe, umeninenea kweli.
@joycerwechungura3182
Жыл бұрын
Ameen Recho,nami uwa inantokea hii hali ya kukatazwa,but niko km wewe siamin kwa ushuhuda huu naanza kutii sauti ya Mungu
@husseinjohn532
Жыл бұрын
Amen dada hacha MUNGU akubariki na akupenguvu Amen Amen
@tabithajeremiah4589
Жыл бұрын
Tusiwasingizie mama Wachungaji,safari ya mbinguni niya mtu binafsi hautakiwi kuwekewa sheria ndio umtii Mungu,mama mchungaji au mchungajisiyo njia yako ya kwenda Mbinguni,hata kama kanisani kwako hujawahi kuhubiriwa jambo hili na umelisikia kwa watumishi wengine kama umedhamilia kumpendeza Mungu utachukua hatua tu,wanawake wengi sana wamepata jumbe kama hizi hata wa mama wachungaji wamezisikia.kinachakwamisha wakiristo wengi kumtii Munguni roho ya udhehebu.watu wana maswali; je aliyetoa ujumbe ni dhehebu gani,je ni TAG? EAGT? FPCT ? Je kwa nini mchungaji wangu hajawahi kusema kanisani? Na maswali mengine mengi.Ninachoamini walio wa Mungu watatii.wewe mwanamke uliyeamini na kutii Mungu akubariki.
@isayanyingi6387
Жыл бұрын
Promover tv Mungu azidi kuwabaliki ktk kazi za mikono yenu amina promover tv
@annachachage4931
Жыл бұрын
Ubarikiwe mdogo wangu Rachel,ushuhuda wako umenifanya nilie,kwa uchungu,wa Roho mtakatifu,kuna kitu kimeongezeka kwangu pia,,kwa pamoja tutafanya makuu,hii ni miaka 13 ya uamsho, mbarikiwe promover,tangu, Rachel na Zipolah shuhuda zile ndio nilianza kuamini kuwa ni sauti ya MUNGU hataki tulivobadilika, Ahsanteeni sana.
@deog-r5888
Жыл бұрын
Asante Jacktan Kuendelea kutuletea shuhuda na mafundisho ya usafi wa Roho na Mwili Sio Yule mchungaji/Askofu uliyetuletea last time anauesema kanisani mapAmbo sio dhambi
@deog-r5888
Жыл бұрын
Bora wewe umeamimi hizi shuhuda...utapona
@beatricemalle4422
Жыл бұрын
MUNGU akubariki sana dada Recho binafsi nimebarikiwa kwa ushuhuda wako naamini MUNGU atatubadilisha wengi
@HappinessElisha-b6x
Жыл бұрын
Mungu akubaliki dad umetubaliki ubalikiwee sanaaa mungu akuzidishie
@julianawanjala6495
Жыл бұрын
Ubarike sanaa dada Rancho kwa ushuhuda wako
@amimurajabu1327
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana dada Mungu azidi kukupa maono ili watu wasikie na kugeuka.
@naftalimutahi5591
Жыл бұрын
Mungu akubariki dada.keep pressing on.
@lydiamichael5509
Жыл бұрын
Asante kwa ushuhuda huu mzuri barikiwa dada Rachael pamoja promover tv jumla
@elymarytakhaoya5225
Жыл бұрын
Namshukuru Mungu sana kwa huu ushuhuda maana dada wengi husema eti Mungu huona moyo sio vile mtu amevaa.
@alainmuhigirwa5151
Жыл бұрын
Asante sana dada. Sifa kwa Mwenyezi Mungu ❤
@Farijimvela-fp8jy
Жыл бұрын
Barikiwa Sana mpendwa, umeongea ukweli wote.
@BerylSeer1
Жыл бұрын
Amen Recho, Mungu ni Mkuu Sana
@amandaangie4806
Жыл бұрын
UTUKUFU KWA YESU 🙏
@JudithElias-ig5nb
Жыл бұрын
Ubarikiwe sanaa
@esterlwanda9824
Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Sana Mtumishi wq Mungu
@kizandume3015
Жыл бұрын
Asante Dada mungu akubariki
@albertongubo8105
Жыл бұрын
GOOD WORD
@naftalimutahi5591
Жыл бұрын
Sawa mwamini wakawaida.amen
@masweto
Жыл бұрын
Mama wachungaji ndio wanaoharibu washirika wamama na wadada maana wanahasisha kusuka na kujirenba maana wao wakiacha na washirika nao wataacha mwamuzi ni parapanda itakapolia
@flourishing_wilderness6072
10 ай бұрын
Wale wanaosema Yesu ni wa moyoni tu si kweli. Tutajuaje kama mti huu unatoa matunda matamu au mabaya ,tutachimba tuangalie mizizi ndio hiyo kusema tuangalie moyo? Tutaangalia muonekano wa nnje na maneno yako na tabia zako ndio matunda yenyewe hayo. Ndio lile andiko linasema kwa midomo wanamkiri ila kwa matendo yao wanamkataa, utawajua kwa matunda yao
@amandaangie4806
Жыл бұрын
AMEN SANAAAA
@fatumaminyeko1875
Жыл бұрын
UPOSAII SANA MUNGU ANATAKA UTAKATIFU UBARIKIWESANA DADA
@josephmutemi7494
Жыл бұрын
Dadagu usiogope maana MUNGU amekuangiza upeleke ujumbe ,mwenye masikio asikie BWANA akubariki sana
@julianawairimu801
Жыл бұрын
Amen mwanangu,God bless u so much.
@rosepeter8996
Жыл бұрын
AMEN🙏
@faithmumbi8438
Жыл бұрын
Amen. nambali ya Simi tena
@سبحانالله-ف7م3ذ
Жыл бұрын
Niko na swali ..,mm nmesikia ujumbe nataka kubadilika je nimakosa nikiwasuka wenye wataka kusukwa??
@marynakatiyesunibwanawakua8244
Жыл бұрын
Nilikuwa napenda kujiremba lakini Roho mtakatifu alinikataza, namshukuru MUNGU aliniwezesha kuishinda zambi hii ya kujiremba kwa jitihada zangu mwenyewe nisingeweza mpendwa elewa hili urembo wa kutumia vitu bandia ni machukizo mbele za BWANA
@deog-r5888
Жыл бұрын
Bora ulitihi sauti ya Roho....utapona
@naftalimutahi5591
Жыл бұрын
Kuna wengi tunaamini hivyo. Endelea kutii neno/sauti ya mungu
@regnethmtemanyongo2237
Жыл бұрын
Mungu amekuamini na Mungu husema na mtu mmoja sio watu ndio maana kakutumia biblia unasema utii ni Bora kuliko dhabihu
@protuskakai83
Жыл бұрын
Wapi KZitem yake bwana Jaktan
@regnethmtemanyongo2237
Жыл бұрын
Kweli ukivaa vitu bandia hayo ni milango ya kipepo
@Victoriabaker-dh3ph
Жыл бұрын
Sipendi mtu anae tumia bilblia ya cm sijajua kwa nini sipendi
@helenongara1679
Жыл бұрын
Marko 8:36 Kwa kuwa itamfaidi mtu nini kuupata ulimwengu wote, akiipoteza nafsi yake? Mungu tusaidie tuitii sauti yako kwa hakika hakuna kisicho kitakatifu kitakachoingia kwako.
@carolinemwugusi8945
Жыл бұрын
Barikiwa sana kwa kusema nasi ukweli Mungu atusaidie turekebike
@rhodamaha1637
Жыл бұрын
kusuka dada nikweli ni machukizo kwa Mubgu
@trinasimiyu4034
Жыл бұрын
Nimeenda ushuhuda huu
@amimurajabu1327
Жыл бұрын
Naomba mawasiliano Mjakazi wa Bwana, basi mengi zaidi tuwasiliane kupitia Watsup nipe namba nipe namba tafadhali dada, ukitaka kuniona tumia KZitem andika Mahubiri ya Mwinjilisti Emmanuel Rajabu.
@amimurajabu1327
Жыл бұрын
Nimejaribu kukupigia kwa namba yako ya voda haipatikani! Nitumie namba yako ku watsup.
@amimurajabu1327
Жыл бұрын
Dada naomba namba yako ya Watsup tafadhali sana ufanye hivyo.
@moraarebecca3627
Жыл бұрын
Utukufu kwake YESU.kuna link? Tafadhali.
@regnethmtemanyongo2237
Жыл бұрын
Hofu na mashaka nivya shetani ukiwa na yesu tembea kifua mbele
@regnethmtemanyongo2237
Жыл бұрын
Sio jepesi vipaku sio mchezo
@pascopaul-o5k
Жыл бұрын
Natamani mama zangu wachungaji wote wawe kama huyu dada maana wao ndio mfano wa kuigwa na mabinti
@Victoriabaker-dh3ph
Жыл бұрын
Mama wachungajj wengi ni wakidunia kama kina mama masanja na pili pil wanavaa suluali. Nguo fupi
@flourishing_wilderness6072
10 ай бұрын
Ndio misingi imeshaharibika, mwenyehaki atafanywa nini?
@edmundmakoye7322
Жыл бұрын
1Tim2:9 naomba usome kipengele cha mwisho kinachosomeka; Wala si kwa mavazi ya thamani! Je ni kweli Mungu amekataza wanawake kuvaa mavazi ya thamani? Kumbuka ahadi mojawapo ya Mungu kwa mtoto wake ni baraka ya kiuchumi. Hebu fikiria kidogo,umebarikiwa na Mungu halafu hununui nguo za thamani! Tokea nianze kusikiliza wenye shuhuda hizi wanaongeleaga sehemu ya kwanza tu, ya kusuka nywele,hawaisemi hiyo ya mwisho ya mavazi ya thamani! Mungu alimàanisha kuwa" Kusuka nywele za mtindo wowote,kuvalia mikufu,pete za dhahabu na kuvalia mavazi ya thamani,hayo yote Mungu hayaoni kama ni mapambo ya kupendeza mbele zake! Mapambo ya kumpendezesha Mungu ni mavazi hata kama ni ya thamani,lazima yawe yanamsitiri na pamoja na adabu nzuri. Angalizo kwenye kusuka ni kutotumia nywele bandia na kujibadirisha rangi,kuvaa kucha,kope bandia
@neemameshack2758
Жыл бұрын
Kuwa makini usitoe final say kama huna uhakika utadaiws
@vumiliawambula1716
Жыл бұрын
Amen Amen barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
@annachachage4931
Жыл бұрын
Hapa Edmund yahitajika hekima,unaweza ukawa umebarikiwa nawe waishi eneo watu ni wa hali ya chini,usije ukawafanya kuwa duni machoni pako,watakuua kwa macho yao tu kwa kujiskia wanyonge kwako,mfano mtaa mzima watu 5000 peke yako una V8 utajiskiaje?na utakua unatafuta nini huko?kadharika na mavazi ndege wa rangi moja huruka pamoja,usiwe kwazo kwa mtu hata kama ni vyako,ukiwa na kanzu mbili mgawie asie nalo hata moja, Ameni, nahisi utakua umenielewa hata kama sina hakika kama nimejielezea vyema.
@edmundmakoye7322
Жыл бұрын
@@annachachage4931 haya tuachane na mfano wako wa kuishi mtaa wenye masikini. Tufanye Mungu kakubariki unaishi Ulaya, maana neno la Mungu ni kwa dunia nzima,huko nako mwanamke asivalie mavazi yenye kusetiri mwili wake,yaliyo ya thamani kwa maana ana uwezo mkubwa wa kifedha?
@edmundmakoye7322
Жыл бұрын
@@annachachage4931 Sikilizeni watu wa Mungu! 1Yoh4:1 ,Neno linatuambia tuzijaribu kila roho,tujue kama zinatokana na Mungu au la! Tunazijaribu kwa kulinganisha na NENO la Mungu kama vinaendana. Na ukiona haviendani achana na hiyo roho,itakupoteza.
@masweto
Жыл бұрын
Mama wachungaji ndio wanaoharibu washirika wamama na wadada maana wanahasisha kusuka na kujirenba maana wao wakiacha na washirika nao wataacha mwamuzi ni parapanda itakapolia
@masweto
Жыл бұрын
Mama wachungaji ndio wanaoharibu washirika wamama na wadada maana wanahasisha kusuka na kujirenba maana wao wakiacha na washirika nao wataacha mwamuzi ni parapanda itakapolia
Пікірлер: 77