Muheshimiwa DM umefanya vizuri sana kutoa/kupunguza sauti ya piano, asante sana 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@UsafiMichael-mc8kt
11 ай бұрын
Shetani hana shukurani
@imhotepheru436
11 ай бұрын
@@UsafiMichael-mc8kt Nani shetani? Je unamjua shetani?
@UsafiMichael-mc8kt
11 ай бұрын
@@imhotepheru436 simjuhi kwani yukoje?
@imhotepheru436
11 ай бұрын
@@UsafiMichael-mc8ktMimi sijui wewe ndie ulimtaja, Kama umjui sawa...
@gideonmaganga1522
11 ай бұрын
Jamaa anakua kijieleza na story yake nzuri sana
@UsafiMichael-mc8kt
11 ай бұрын
Shetani hana shukurani
@UsafiMichael-mc8kt
11 ай бұрын
Shetani hana shukurani
@mazonaone7708
11 ай бұрын
Karibu tena mchungaji
@mariamfritsi4943
11 ай бұрын
Shukrani kwa muendelezo.
@florencerose859
11 ай бұрын
Mambo ya mali ya Jerumani himetesa sana watu TZ na pia wajafaulu
@josephatjoseph1755
11 ай бұрын
Ebana hii imekaaja nan aliziweka huko
@magdalenapeter6106
11 ай бұрын
Kabisa mie shuhuda sitak kusikia tena huo upuuz wa mali za kijeruman aisee
@nancyjohnson6620
10 ай бұрын
@@magdalenapeter6106uje kwa davista utusimulie
@kilogreekachananawatuwasio4054
11 ай бұрын
Hiyo sehemu Hao marafiki zako walifamishwa nanani??? Uliwai kuwauliza icho kitu????
@mercykariithi7919
11 ай бұрын
Huyu mchungaji kama haja kombolele lazima hiyo tamaa ya pesa ipo ndani yaka hata kanisani anawakamua washirika kabisa kabisa
@UsafiMichael-mc8kt
11 ай бұрын
Kwanini unakuwa unayo imani ndogo? Kwahyo kama mume wako alikuwa anagonga bia akaokoka utakuwa unaamini kwamba atarudia pombe
@mildredakinyi9855
11 ай бұрын
Mbona unamkashifu??
@mercykariithi7919
11 ай бұрын
@@mildredakinyi9855 it's the naked truth I said if he is not delivered from the spirit of too much greed for money, and he runs a church he will definitely swindle his congregation money endlessly it's happening in many churches it's no secret
@magdalenapeter6106
11 ай бұрын
😂😂😂usihukumu bhana pengine ameshabadilika kuna kipindi MUNGU anakuacha ujaribu kitu unachoona sawa kwako ili majanga utakayokutana nayo yawe funzo
@danielmakelemo2395
10 ай бұрын
Vitu vya kale ni habari za uongo matapeli wanatengeneza tamthilia mwisho wake unawatamanisha watu kujiingiza kwenye huo mpango na wengi wanauzishwa hata nyumba zao wanakuwa maskini .hata huyu ni nawasi wasi nae hapo hamnaga kitu kama ni jasiri Toa ushuhuda ukiwa wazi walioko nuruni Huwa hawajifichi .
@bongobongo3882
11 ай бұрын
Ngoja tuendelee
@josephatjoseph1755
11 ай бұрын
Ni Yesu tu alikuwa anakuokoa na kumtumia huyo mganga ili aje awatoe la sivyo ungekuwa kuzim
@mazonaone7708
11 ай бұрын
Mzigo huu apa tena
@willisokello
11 ай бұрын
Eeehee!
@LoFi_120
11 ай бұрын
Hii ije mara x2 kwa siku
@King_Of_Everything
11 ай бұрын
👊👍✌️。
@MadenaIphone
11 ай бұрын
Muendelezo
@UsafiMichael-mc8kt
11 ай бұрын
Shetani hana shukurani
@onesmokapugi5875
11 ай бұрын
Namba moya leo 😅
@nantaembanusurupia5674
11 ай бұрын
😮Jamani sikulikuwa na giza, tochi inawezaje kumuona mrembo na ubwabwa?
@bongobongo3882
11 ай бұрын
Ukakutana na jini na likiwa linakufanyia vitu lazima litafanya ulione hata kama kuna giza
@nantaembanusurupia5674
11 ай бұрын
@@bongobongo3882 ahaaa kumbe, ndio maana nimeshangaaa! Wewe ulishawahi kukutana nalo labda?
@odhiaodhia9898
11 ай бұрын
Story tam saaana
@tututz100
11 ай бұрын
J.boys 1999
@GloriaMillinga
11 ай бұрын
J.boys 1999 hii manaake ni nini? mbona kila post unacoment hivi?
@annkim2690
11 ай бұрын
Haki vijana hamsikiagi kabisa na hizi taama zenu
@Bonilove-s2w
11 ай бұрын
Uyu jamaa nna wasi wasi nae na story yake Mana alisema hilizi zao zitaisha nguvu ya masaa matatu vip Hadi siku tatu wapo kwenye pango
Пікірлер: 39