YESU NAKUPENDA sn karibu kwangu unifinyange unifanye wewe upendavyo nakuamini ❤
@solangenelly4326
2 жыл бұрын
DRC tuna enjoy kabisa (lubumbashi)
@athumanmakale8221
2 жыл бұрын
No.3 Leo 💃💃💃 Wadau Karibu mukuje kwa babaa angu.. mm nimeshamaliza. Nasubiria part 4.. Davista baba Lao Davista baba Lao💃💃💃
@erikimethod6246
2 жыл бұрын
# baba angu
@erickderick608
2 жыл бұрын
Davi yaani hii story uwe unaturushia kwa siku hata vipande saba tukate kiu vizuri mkuu, tunaomba plzzzz
@davidochieng7055
2 жыл бұрын
stori mbona hujaianza mwanzo vzr pale anafundishwa uchawi na bibi kaburini mmeruka hadi ukubwani
@paulgoodluck5553
2 жыл бұрын
Asante Kwa simulinzi nzuri na yakujenga samahani kidogo davister nilikua naomba umuulize mtumishi kuhusu meditation Iko aje katika Imani
@theblackandrew4119
2 жыл бұрын
Medatation ni nzuri sana embu kwanza nipe chimbo ka med lilipo kaka nitashukuru sana
@robsondalink6206
2 жыл бұрын
Daaah noma san
@chaseborgia
2 жыл бұрын
Tuangalie matangazo hadi mwisho ili Davistar alipwe vizuri na KZitem. Mie nafanya hivyo kumsupport
@nurudaud3993
2 жыл бұрын
🙏 tuombe sana hii dunia heee
@danieljoseph1610
2 жыл бұрын
Ninavyo jua mimi, Sedekia hakufia tanzania, Pia siami kama alizikwa tanzania! Uongo mwingine muweni mnakuwa makini nao!
@judiehance1736
2 жыл бұрын
Kweli hakufia tz
@litylowlancemdekwa3684
2 жыл бұрын
Hakufia Tz lakin alizikwa hapahapa bongo
@isackyombe8410
2 жыл бұрын
Safi elimu Iko nzur....Sasa uje uwakitanishe uyo jamaa na shehk mnyeshani pamoja na kanyerere,na mussa chessa Wanaweza fahamiana na tukapata elimu zaid
Anaongea vizuri ila hapo kwenye kubaki na mali amabayo ameipata kwa njia ya giza na damu zakuuwa watu. Eti Mungu amezitakasa sija kubaliana napo hapakai sawa huwezi kubaki na mali yashetani.
@redpromediat.o.tstrongteam1679
2 жыл бұрын
Point sana… na hii ndo inanipa wasi wasi kwa watu kama hawa kusema wameokoka. Labda nikubali kusema Mungu ni mwenye hekima na busara nyingi sana kiasi kwamba hakosi uwezo wa kumuwekea ulinzi kwenye Mali alizopata kwa kumwaga Damu, ila napata wasi wasi kuamini kuwa Mungu wetu wa Mbinguni aliye juu juu zaidi a naweza kufanya hivyo.
@castrokassoga7271
2 жыл бұрын
Zaburi 90;18 mwanadamu kaumbiwa kuishi miaka 70 na akiwa na neema ni miaka 80 lakini wakati wa ujio wa pili wale walio na bwana katika mlima sayuni wataishi milele na wakati huo ni sasa
@judiehance1736
2 жыл бұрын
🏆
@castrokassoga7271
2 жыл бұрын
@@judiehance1736 yes washindi
@husnaseph9476
2 жыл бұрын
Usinirushe roho Nina miaka 40 naona kama imebaki kidogo uwii
Hakika mtakufa sababu ya dhambi nguvu ya kifo ni mauti davista nguvu ya Mungu ni uzima
@strongweakpriceactiontradi9761
2 жыл бұрын
Safi Sana MR DAVISTAR Hii ipendelee Mara nyingi nyingi.
@marieamodoi4097
2 жыл бұрын
Mambo Davistar,ni amkuje kutoka Kenya,uliza mchungaji,ashawahi kuonana na Musa chess kanyerere na wengine sababu pia wao walikua huko?(kuzimu)
@macamezunguzungu241
2 жыл бұрын
Pamoja saana mr everything 💪
@heritier5119
2 жыл бұрын
Davistar we ni zaidi ya mtumishi barikiwa sana
@heritier5119
2 жыл бұрын
Msukule anaombewa anarudi
@jkkim3848
2 жыл бұрын
Zaburi 90:12
@marieamodoi4097
2 жыл бұрын
Ni Marie kutoka Kenya,akipeana majibu naomba ajibu kwenye simulizi,cz nakutazama Sana plz.atujibu kwenye part 5 plz
@MteuleMabuku
2 жыл бұрын
Ni kweli Mungu anaweza kumjulisha mtu siku za mwisho wa uhai wake(ukikaa vzr na Mungu) Mimi nimejulishwa. Usitake nikwambie ni lini maana hatujuani,so haitakusaidia kitu. Maandiko zaburi 90:12 Zaburi 39:4 Kama unahitaji kujua simamia hayo maandiko omba kwa uhitaji utajulishwa.
@kakajoss2464
2 жыл бұрын
Alafu atutajie nchi zote alizotembea kufanya dagu na ilikuwa vipi
@mercyelahuya9522
2 жыл бұрын
Kumbe kweli Siri ya maisha baada ya kifo Mungu ndiye ajuaye
@kakajoss2464
2 жыл бұрын
Na makubaliano yanalegezwa au kubadilishwa baada ya mda gani kama itawezekana?
@lucyjoseph4216
2 жыл бұрын
Leo davista umefanya nikacheka kaa chizi tu😂😂
@chaseborgia
2 жыл бұрын
Grado, Ezekiel ana umri wa miaka mingapi?
@mohamedmuhina7744
2 жыл бұрын
Wakwanza leo 😁😁
@davidochieng7055
2 жыл бұрын
jamaa anasimulia vizuri sana ila stori ni kama hamjaipanga tokea anakua mpaka hatua ya kua mkubwa na kukabidhiwa madaraka mmeenda mbali mpaka ukubwani so maana ya stori inapotea
@sharonwalubengo7628
2 жыл бұрын
Part 4
@christianmtei7449
7 ай бұрын
Jaman hii Ina maanisha mtumishi yupo pale alipo stahili
@achsahcharles6728
2 жыл бұрын
Huwa unaambiwa Davistar siku alizobakiza mgonjwa, labda wakati wa counseling kama mtaonekana kutopokea ndio hamtaambiwa lakini kwa uzoefu wengi wanaambiwa
@ajuahaoowbw3230
2 жыл бұрын
Uyu kak nataka no yake
@kimsamespa8490
2 жыл бұрын
Kwa ufupi huwa wanawaekea gogo mtu kamili wako nao
@womanofsteel1402
2 жыл бұрын
Mmm Kuna vitu vimenichanganya ,mbona wengine wakitoka kwa shetani Mali zote zinachukuliwa mashuhuda wengi wameshuhudia Sasa ilikuwaje kwako Wewe kukaa nazo hizo Mali
@butondodavid2105
2 жыл бұрын
Huyu hajatoka amin hvyo
@davidchesco1150
2 жыл бұрын
Kama kweli ametoka zitachukuliwa tu kama hajatoka atabakinazo. simple like that
@strongweakpriceactiontradi9761
2 жыл бұрын
Part 04 DAVISTAR Part 04 kipande kimeisha fasta
@ayushsaeed1051
2 жыл бұрын
Tupo pamoja ya4 please Mr d
@mkuluwaukae2221
2 жыл бұрын
Ulivosema paul nkashtuka mm
@dotosalim5090
2 жыл бұрын
Wa kwanza leo kwakua ayupo waiguru
@yussufomar2168
2 жыл бұрын
hakuna anae jua siri za mungu kwa hiyo hakuna mtu anae jua siku ya kufa
@jamesmbogela4710
2 жыл бұрын
Mbona nahis kama uyu jamaa bado yupo kwa devil
@kakajoss2464
2 жыл бұрын
Huyo Paul ni pope wa kitambo?
@wilsonkakili2481
2 жыл бұрын
Rudisha hizo mari zisije zikawa makabuli mbele yako
@castrokassoga7271
2 жыл бұрын
Waebrania 2:14 nguvu ya kuua ni ya shetani davista
@deddyabdullah252
2 жыл бұрын
Don't joke with LUCIFER...MMH
@othmanmulendelwa9622
2 жыл бұрын
Nyie wote bado mnamtumikia shetani ila mnapitia makanisani kuwateka watu muwe wengi kwa shetani
@heritier5119
2 жыл бұрын
Siri za giza ni lazima ziwekwe wazi
@eddyjunior2881
2 жыл бұрын
Davistar muulize je, mtu aliyekufa kichawi na akazikwa tayari anaweza kuombewa akarudi???
@heritier5119
2 жыл бұрын
Anarudi
@eddyjunior2881
2 жыл бұрын
@@heritier5119 aisee naomba niunganishwe na huyo Mtumishi
Davister huyo jamaa ni muongo zanzibar haijatokea hivyo kabisa muulize mwaka gani amefufua mtu na sehemu gani ?
@heritier5119
2 жыл бұрын
Waislamu mnazika watu wengi hai, mtu akikatika asubui mchana mnazika je kama kazimia je
@shenjamamzingi7950
2 жыл бұрын
Twende kimsingi...
@charlesb.mwaipeta8415
2 жыл бұрын
huyu jamaa kweli alitoka huko!!? au mzee wa bakola za kimkakati alitudanganya? maana alisema pesa za majini zinapoteaga ukiachana nao
@husnaseph9476
2 жыл бұрын
Mzee wabakola hakudanganya wote wanao kuja kusimulia wamepokonywa mali wamechoka balaaa
@othmanmulendelwa9622
2 жыл бұрын
Nyie wote niwa ongo izo nguvu umezito wapi zakimiujiza wakati wwe umeokoka na apo kanisani auna miaka mingi angalao tungesema umefundishwa kumkemea ma pepo ume tumwa na lusfa uje kutafuta watu
@salma-fc4xc
2 жыл бұрын
Eti
@kimsamespa8490
2 жыл бұрын
Heri wewe umebaki na .mali
@shepherd1x84
2 жыл бұрын
Ninamaoni ..kama mali ulipata kwa shetani basi rudisha kaka don't brag about that ..huyu jamaa angetueleza je anapo safiri nchi zingine kama marekani alitumia nini..visa au kimazingara,kwasababu kuna sheria kali mno huku..kwanza kama hujui lugha ya kingeereza..naona hadithi hii ina utata kiasi mie..thats my opinion though!
@jesusislord9190
2 жыл бұрын
huyu nae ni muongo anatakiwa atueleze yy alifanyaje..sio anatumiambia unafanyika hivi au vile tunataka kusikia wewe ulifanyaje??
@heritier5119
2 жыл бұрын
Sikiliza vizuri
@jesusislord9190
2 жыл бұрын
@@heritier5119 najitahidi ila anaelezea wachawi wanafanya hivi sijui vile
@judiehance1736
2 жыл бұрын
@@jesusislord9190 at mimi kuna mahali nimesubir aelezee yy alivyofanya lakn badala yake anaelezea wengine
@azizimaliki4253
2 жыл бұрын
Huyu jamaa anaanza kuongea uongo uwezi kumfufua mtu kwa maombi shenzi sanaa
@heritier5119
2 жыл бұрын
Ujui kitu ubishi tu
@dianaalfredy3790
2 жыл бұрын
Hao watu waliokufa hawakufa kwa mapenzi ya Mungu,walikufa kichawi,hivyo ki uhalisia hawakufa kwenye macho ya kiroho,walikufa kwenye macho ya nyama
Пікірлер: 85