Mungu nisaidie niwe mmoja wapo siku hiyo ya unyakuo mungu wangu ubarikiwe dada yangu mungu azid kukupa ufahamu
@vumiliawambula1716
Жыл бұрын
Naomba neema yako na mwisho mzuri Bwana Yesu
@SafiAkinyi8361
Жыл бұрын
MUNGU NISAIDIE HIYI SIKU YA UNYAKUO NIWE MIONGONI MWA WATAKAO KULAKI Ee MUNGU NISAIDIE 🧎♀️🧎♀️🧎♀️🧎♀️🧎♀️🤲🤲🤲🙏🙏🙏
@RichardMlaguzi
Жыл бұрын
Mungu atujalie mwisho mwema
@lillianwakesho258
10 ай бұрын
Ee Yesu nisaidie
@TizlaEze-xe3hw
Жыл бұрын
YESU NISAIDIE
@doricemrema2177
Жыл бұрын
BWANA YESU KRISTO, nisaidie, unyakuo usinipiteee.
@lydiabenjaminmgalula6189
Ай бұрын
Amen 😔🙌
@rebeccamaunde4085
Жыл бұрын
Powerful testimony..mungu pamoja nawe dada
@Geofrey-Martin-Kaputa
Жыл бұрын
Amen amen ubarikiwe sana mama yangu kwa kuendelea kutoa ushuhuda
@maryandason1815
Жыл бұрын
Blessed my lovely sister the power of testimony
@zablonfesto5216
Жыл бұрын
Amina Mungu aturehemu pia tunaomba kanisa Sasa Musoma mjini
@donatamsoka5449
Жыл бұрын
Bwana Yesu atuepushe na taabu hii
@amandaangie4806
Жыл бұрын
YESU TUSAIDIE AMEN 🙏
@carolinenkatha8485
Жыл бұрын
Amen mercy upon us
@jesusismyking5292
Жыл бұрын
Wana haturehemu
@maryandason1815
Жыл бұрын
YESU anisaidie niingie mbinguni nikumbuke kuish maisha matakatifu Kila sku.😢
@sabdiduwil8436
Жыл бұрын
Qur-anni surat 56 :Al- waaqiah
@alexanderbarnaba7647
Жыл бұрын
Ombi langu kwa yesu nishinde thambi sasa
@damasmayanja2930
Жыл бұрын
Dhambi ni kutomwamini KRISTO YESU na hii ndio HUKUMU
@damasmayanja2930
Жыл бұрын
Mpinga KRISTO namba Moja ni dini hiyo tangu mwanzo ilimkataa na kumpinga na KWELI yake YOTE, ikamtumainia Musa na Torati yake, ikafundisha na kuaminisha Watoto wa Mungu ufarisayo na usadukayo ikijua ndio NJIA ya kwenda Kwa Baba kumbe imefanya hayo Kwa faida yake ya kiuchumi huku ikipotosha kweli YOTE ya KRISTO yesu aliye NJIA KWELI na UZIMA.
@stellaelias8174
Жыл бұрын
Naomba ushauli ndugu yangu niko kwenye kikundi nauliza naweza kutoka kwenye hivyo vikundivya hisa yaani nistishe ili nismame kwenye kweli yaMungu I nipate mda wa BWANA naomba ushauli
@shuhudazakweli3406
Жыл бұрын
Kikundi gani?
@stellaelias8174
Жыл бұрын
@@shuhudazakweli3406nNipokwenye kwenye vikundi vya hisa zile zavikundi vyakuzalisha nakukopesha yani kama vikoba huwa tunagawana mwisho wa mwaka nilikua naomba ushauli nitoke au niendelee maana mdamwingi natumia kuwaza kutafta hela yakupeleka mda wamaombi nakosa naninahisi mkosaji mbele za MUNGU
@shuhudazakweli3406
Жыл бұрын
Fanya uonavyo moyoni mwako
@carolinederi5690
Жыл бұрын
@@stellaelias8174 Mhimu ujue kujipanga Mambo ya Mungu yahitaji sana muda mfano kuamka mapema ili uwe na mda na Mungu,wakat wa mchana lazima utenge muda wako pia,jion ukimaliza kazi kama ivo... siku ya sabato usikose kukusanyana na wenzako, kuomba sana kufunga pia
@maryandason1815
Жыл бұрын
@@stellaelias8174 ukimuweka YESU no 1 utakuwa na samahan au sababu yoyote ile mbele za MUNGU wako...Roho yako n muhimu Sana kulko hivo pesaa Mana n za mda tu..at piya n Mali zake ye anaekuwezesha kupata angalia Sana ole wa kanisa
Пікірлер: 28