Sema ndg msimuliaji yuko smart sana story haichoshiii
@andrewmhagama9816
7 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi ndio maana tunawaambia wale wasio okoka na wasio Amini Yesu Kristo yupo na anatenda kazi wakati wote.Sema wanamchukulia kama mtu tu na wanasoma biblia kama gazeti na kushindwa kuamini.
@CosmasHamis-e4i
7 ай бұрын
Ubarikiwe
@yvettekyalika907
7 ай бұрын
❤Bwana Yesu asifiwe !...Stay blessed bro Davista...
@tonitodd1922
7 ай бұрын
Shetani hana chochote kizuri. Bora tu nipambane na hali yangu 😂😂😂
@frankvianey2438
7 ай бұрын
Yes sure
@lokadi254
7 ай бұрын
Amen
@phinescah7353
7 ай бұрын
Kuokoka ni kukutana na yesu kristo kibinafsi na kuishi maisha yanayo ambatana na neno lake, ambayo ni bibilia.
@frankvianey2438
7 ай бұрын
Shukran mtumish kwa kuendelea kutufungua
@linvi_chemutai
7 ай бұрын
Jesus is the way the truth and the life ❤
@HellenDana
7 ай бұрын
Mungu ni mkubwa, Yesu anatoa watu mbali, mtumikie Mungu ndugu maisha yako yaliyo baki.
@josephkelvin3376
7 ай бұрын
Mr dm 🎉
@markmwaghogho9226
7 ай бұрын
Twende nalo braza✌
@KennethMgona-jy4vc
7 ай бұрын
Bapa tu bapa tusipoe davistar
@joventjohansenmushwaimi1988
6 ай бұрын
Namuelewa sanaa anaposema Chuma ulete kwa Wakristo peke yao nilishaexperience hilo jamboo
@User92.invisible
7 ай бұрын
Hii ni story ya ukweli kabisa.
@remigimtenga7608
7 ай бұрын
Amen mtumishi!
@damarisnjerichege100
7 ай бұрын
❤❤
@lisawilliam2491
6 ай бұрын
Yesu atukuzwe
@thomasrodriguez7684
7 ай бұрын
Omba kibali cha kuonana na waziri mkuu umpe ushuhuda huo, pengine naye ataokoka nakuwa mkristo kwasababu mkewake ni mkristo
@joventjohansenmushwaimi1988
6 ай бұрын
Achana nao wanaishi vema TU hawaitaji msaada wako
@zulekhasaud483
7 ай бұрын
Mie nataka namba ya mzee wako 😂😂😂
@Monika-cp2gk
7 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nimefikamo vipi wamayo😂
@markmwaghogho9226
7 ай бұрын
tuliamo usikizemo kipindi, nipo 254 pia😂😂
@zulekhasaud483
7 ай бұрын
Hahaha wamayo sijui anaendeleaje?😂
@Fm-MornStar2014
7 ай бұрын
Wokovu ni kitu endelevu sio swala la mara moja: Atakayevumilia MPAKA MWISHO ndiye ATAKAYEOKOKA. Dumisha wokovu kwa matendo ya Upendo kwa Mungu na Jirani.
@rosemassawe1979
5 ай бұрын
People take it personal,Yesu Kristo niwa watu wote namaanisha WOTE..Yesu sio wa dini ya kikristo Yesu Ni KRISTO..wadini zote ata ya wasio Na dini.
@arifosman3500
7 ай бұрын
uyu mzee muongo sana na ni laghai. sasa anawaibia wakristo kwa kujiaminisha kaokoka... dunia imeisha😂😂😂
@jkkim3848
7 ай бұрын
Kwani kuna ubaya ya kuwa mkiristo kama ulikuwa muisilamu....hata wakristo wengine huslim na kuwa waisilamu
@shadyadavid9292
7 ай бұрын
Povu linakutoka kwasababu tu huyu bwana ameritadi. Muda wako ukifika na ukapata hiyo neema ya kuokolewa alafu ukaiacha utajutia hilo kosa. Ujanja ni kumtumainia Yesu kwani huyo ndio ataokoa dunia na kusamehe dhambi kama hutaki imekula kwako.
@rerisamba
7 ай бұрын
Huyu mama niwale wanao ona ndotoni kwa hivyo usiku aliona kila kitu
@tututz100
7 ай бұрын
J.B.B.1999
@VeronicaAmosi-pz3wi
7 ай бұрын
MUNGU Naomba unionyeshe Uyu MTU ni Wa aina Gani asije tupoteza Davista Matar Wetu Mazingira yasiyo julikana🙏
@LovelyBoatLake-fw4yz
7 ай бұрын
Yesu ni mwana wa Mungu sio Mungu mwana
@saidali-xv8yh
7 ай бұрын
Wewe umepotea.
@NursamiaKiligaliga
7 ай бұрын
Kira ck m nasemaga stori zako ww za udini t kusifia
@peterkitsao9429
7 ай бұрын
Zinakukera?
@shadyadavid9292
7 ай бұрын
Acha kufatilia ukiona hivyo jua haikuhusu, wengine hatuwezi kusali na Majini nyie mnaweza sikilizeni story za waganga endelevu ndio zitawafaa
@emmanuelkatono7676
7 ай бұрын
😂
@saidali-xv8yh
7 ай бұрын
Hakuna kuokoka hapa duniani, yesu ni mtume tu hana uwezo wowote .wala sio mtoto wa mungu.
@shadyadavid9292
7 ай бұрын
Usimfananishe Yesu na utume muulize Muhammad ndio atakwambia Yesu ni nani. Kama hujui maandiko au uelewi basi Acha mihemko. Issa bin Mariam ndio mtume wa Allah lakini Yesu kama Yesu hamjui huyo Allah wa waarabu au waislam.
Пікірлер: 42