Ndio maana bibilia inasema kwamba "Kama Mungu asipolinda mji walindao wanafanya kazi ya Bure". Ni Mungu tu pekee anayeweza kukupa maisha marefu,Kuna watu wanakula chakula Bora kujiepusha na magonjwa ila yule ambaye anakula ovyo ndiye buheri wa afya.Mungu tu ndiye anayeweza kukupa haja ya moyo wako
@martinahlighare6495
4 күн бұрын
Kwa mapenzi yako Mungu, naomba, unifanye niwe jasiri kwa kupitia neno lako kwa kuziweka siri zangu kwako. Uwe rafiki na mwalimu wangu kwa kila jambo. Shetani asipate nafasi ya kunijaribu ili nizifunue siri zangu kwake. Nikae nawe Mungu siku zote, nitokapo na niingiapo uwe pamoja nami. Nikutegemee siku zote za raha na huzuni uwe ngao yangu. Nisishawishika na yeyote nipitiapo magumu ili kuzifunua siri zangu kwake bali nikuone kwa kila hali. Nifanye kazi yako kwa nguvu na bidii bila manunguniko. Eeh Mungu nisaidie.
@godfreybuberwa1636
3 күн бұрын
Amen..🙏
@user-ii1qk9xn9z
4 күн бұрын
Mungu ndiye ulizi wetu. Yesu alipitia kifo, kwa hiyo ni Yeye pekee anaweza kutulinda na kutuongoza kupitia giza na siri isiyojulikana kwa maisha zaidi ya kaburi. Watu wengi duniania tunaona wako na walinzi lakini hawawezi kulinda roho zao. Mwanadamu hawezi kulinda roho yako ila ni Mungu pekee. Mungu kamwe hatasinzia kutulinda sisi. Nyakati zote Yeye hutulinda na kutufunika katika uvuli wake. Hata dhoruba iwe nyingi kiasi gani, tumtamani na kumwamini. Mtu Yeyote yule atakufa uwe tajiri au maskini. Kifo unatembea nacho kila wakati nikuomba Mungu akuongoze kwa shauri lake ndipo ukifa nafsi yako ikaribishwe kwenye utukufu wake. "Mwanaume ndiye aliletwa duniani wa kwanza na hivyo ndiye anafaa kujua chakula kitatoka wapi! Siku Hawa alileta chakula mezani hiyo siku hawakukaa bustanini tena walifukuzwa. Ogopa wanawake ukimruhusu kuleta chakula utajua mwenyewe😂
@nantaembanusurupia5674
4 күн бұрын
Ule mstari unaosema walindao ni bure na mauti ni kama mwivi huja muda usiotegemea
@user-tj8ds4iq5w
4 күн бұрын
Anae andikaga vichwa vya habari aende shule tena
@Miraclegospel
3 күн бұрын
Uyu nayeye atakuwa ni walewale tu ajahokoka uyu injili yake mmmmh?
@bejesedekia-gu1mw
2 күн бұрын
Amen
@user-tj8ds4iq5w
4 күн бұрын
JAMANI KICHWA CHA HABARI kingine na maongezi mengine dah hii hatari mala amemkumbuka rafiki ake kanumba mala michael JACkson hii kali
@amisaselemani1
2 күн бұрын
😂😂😂🤣
@amosngosso2966
Күн бұрын
We nae fuatilia maelez yanayosemwa na mtumishi wa Mungu basi, acha lawama zisizo na maana
@amosngosso2966
Күн бұрын
@@amisaselemani1 naona unacheka sana, unaungana na lawama zisizo na maana yoyote za huyo mwenzako?
@user-tj8ds4iq5w
23 сағат бұрын
MJINGA wewe
@amisaselemani1
10 сағат бұрын
@@amosngosso2966 😂😂🤣😂🤣
@Patricemcwise
21 сағат бұрын
AMA niwa congomani wale vifupi😂😂
@petromabulatutamwenda7243
3 күн бұрын
Ikwezeka mtumishi nipe namba zako nataka niongee na ww
@Pendopasilika
3 күн бұрын
Aah mwili kutudanganya na hasa mtu anapokuwa na fedha ya kutosha mwanadamu amesahau kuwa MUNGU alimlania kifo baada ya kukosa kutii maagizo ya MUNGU barikiwa mtumishi
Пікірлер: 22