Style yako ya muhadhara ni superb hutoi maandiko mengi😅😅😅 machache lakini kinaeleweka
@fardoshnassor7847
Жыл бұрын
Mashalla Allah ❤
@alyumar4657
Жыл бұрын
Uislam raha sana hakuna mkiristo anaeweza kuitetea iman yake mbele ya masheikh wa kiislam pigen kz mashekh zetu mungu atawasaidia
@chiefmkalikibz1503
Жыл бұрын
Karanga huyooooo😅😅😅😅😅
@AhmedMwaipopomazinge
Жыл бұрын
Raha duniani lakini jehanam kwa allah kesho!! Usife ukiwa muislamu!! يَوْمَ نَقُولُ لِجَهَنَّمَ هَلِ امْتَلَأْتِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ Q.50:30
@faridbashuu
Жыл бұрын
Assalam aleikum Yani Pastor anapoteza wakati... Amekuja kupoteza wakati na kuzuia watu kujuwa ukweli.
@maryamyusuf-t6c
Жыл бұрын
Ibilisi alipomtokea muhammad akiwa amevalia sura ya jibril...ndio upingaji Mungu na Kristo ukaanzia hapo!! IPO SIKU!! Dakika ya 16:40" unauliza uambiwe "Kitu kimoja Yesu alichokifanya kanisani nakifanya kama mimi ni mfuasi wa Yesu ??? Jibu = ni kusoma Biblia kama Yesu!! umepata watu hawelewi maandiko vzr....utakuja Eldoret lini nikuelimisha Biblia???
@ambarnelly6071
Жыл бұрын
Asante kwa maoni ,pia ushauri tu hii akili usijaribu kuvukia bara bara mana ysu bibliya haijuwi sasa sijui kaisomea wapi nakukumbusha tu yesu kapewa injili si bibya ya paulo
@maryamyusuf-t6c
Жыл бұрын
@@ambarnelly6071 Asante kwa kudhihirisha upumbavu wako...sikulaumu naelewa ni majini yaliyo ndani yako yanaongea....nilikuwa na tatizo hilo nikiwa muislamu kabla sijamjua Mwenyezi Mungu. "ysu bibliya haijuw" ni mafunzo yenu ya majini ya uongo ya msikitini hata mwalimu wenu amejua kapatikana ndo kakaa kimya!! Yesu atakosaje kujua Biblia na kutoka mwanzo hadi mwisho (Ufunuo) ni kumhusu??? Mpumbavu sana.....na sio matusi.....ni mtu aliye pumbazwa na majini!!
@ambarnelly6071
Жыл бұрын
@@maryamyusuf-t6c asante ndugu yangu kwa kuniita mpumbavu ila nashukuru Mungu pia upumbavu wangu ni bora kuliko werevu wako ,et ulikuwa muislamu wewe hujawahi kuwa muislamu na kama ulikuwa basi ni muislamu jina tu ,Alafu hujui unalo liongea iyo ndo shida yako na mazali umeingia mwenyew bs tuanze hapa kama kweli ulikuwa muislamu ni nni kilikutoa kwenye uslamu kwa maandiko ,sio maneno yako na uko uliko enda kama unavyo sema naomba unipe pia faida yake na ukifa utaenda wapi kama wewe ni mkiristo kweli na unadiriki Kuwaita watu wapumbavu?
@alsamali6964
Жыл бұрын
Tuanzie hapo 1.wapi yesu kaingia kanisani ? 2.Yesu anahusika na biblia au injili ?
@maryamyusuf-t6c
Жыл бұрын
Asalam aluikum @@alsamali6964 Unauliza maswali ambayo wewe mwenyewe huyaelewi 🤣🤣🤣🤣🤣 Wacha nikuelimishe bro. 1.wapi yesu kaingia kanisani ? Inategemea unamaanisha Yesu Yupi?? Yesu Kristo wa Biblia au issa bin maryam wa koran?? 2.Yesu anahusika na biblia au injili ? kuna Agano la Kale na Agano jipya kwa Biblia - Injili iko kwa Agano jipya = Marko, Luka. matayo na Yohana. Yesu anahusika na Biblia kuanzia Mwanzo hadi ufunuo!!
@AhmedMwaipopomazinge
Жыл бұрын
Ibrahim XP ....huyo pastor ako sawa kabisa amekulelemea...tatizo lake Yesu akiwa Dini hawezi kuwa tena Dini......😂😂😂 ....Maswali yako ndio ya kiujanja ujanja ya kuchanganya mtu siye kuwa makini....ni kama baba yako ibilisi allah...Yesu Kristo hawezi kuwa na dini kama muhammad.....Yeye mwenyewe ndio Dini/Njia ya kwenda mbinguni.....hakuna shortcut au mtume mwingine awe halal au haram!! Dini zote duniani zilianzishwa na binadamu...sio Ukristo!!! Unajaribu kujificha na Marko 12:14 lakini kama kawaida ya waislamu huielewi.....hao mafarisayo ni wanafiki sawa na waislamu kwa swali walilomuuliza Yesu... Lakini Yesu, mjanja kuliko binadamu >>>> 15 aliutambua unafiki wao na akawaambia, “Kwa nini mnanijaribu hivi? Mniletee moja ya sarafu ya fedha mnazotumia ili niweze kuiangalia.” 16 Hivyo wakamletea....... 😂😂😂😂😂😂
@AhmedMwaipopomazinge
Жыл бұрын
@@F.j84 Ukristo kuanzishwa sijui wapi ni mafunzo yenu potovu ya msikitini....Ukristo sio dini kama uislamu... Ni kuwa na imani kwa Yesu Kristo... Dini zote duniani zimeanzishwa na mwadamu kwa taarifa yako!!
@issajumamwinyi6191
Жыл бұрын
WEWE ULIKUWA XP KWELI NA HUJUI MAANDIKO YA BIBLIA???? ETI WAISLAMU WANAMFWATA YESU KRISTO KUSHINDA WAKRISTO WENYEWE???? KWELI YESU ALIWAJUA ALIPOSEMA ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami. Kuniabudu kwao ni bure, na mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu.” Matt 15:8-9 KWELI MWENYEZI MUNGU ALIWAJUA ALIPOSEMA “Watu hawa huja kuniabudu kwa maneno matupu, hali mioyo yao iko mbali nami. Wananiheshimu kulingana na mapokeo ya watu tu, jambo walilojifunza wao wenyewe - Isaya 29:13 Yesu Kristo kwa Waislamu > Yohana 14:7 "Kama mngekuwa mnajua mimi ni nani, mngemfahamu na Baba yangu" .>>>>> jambo ambalo shetani amewadanganya mpinge!! Kwa Wakristo 14:7 "kwa sababu mnanijua mimi, Tangu sasa mnamfahamu Baba yangu na mmemwona.” WAISLAMU TAFAKARINI SANA KABLA HAMJANITUSI!!!
@ibrahimxptv
Жыл бұрын
Point of correction sikuwa XP ndio nimekua XP kama huezi elewa hio sijui kama maandiko utaweza elewa
@AhmedMwaipopomazinge
Жыл бұрын
XP ukipata wakristo na waislamu maamuma huwa unasherekea sana....hiyo kazi unayo fanya ya kudanganya watu ni ya Mungu au shetani???? Koran 3:52 ni kuhusu yesu fake wa muhammad issa bin maryam...Sio Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai!! Wakristo ni wafuasi wa Kristo Yesu;....wenye imani kwa Yesu Kristo ni Wakristo > Ukristo >>> Waebrania 12:2 tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi katika mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.
@ibrahimxptv
Жыл бұрын
Hawa ni kulalamika tu kwa comment section ndio wanajua na majina yao fake. Kama wanasema kweli waseme wako wapi niende walete hoja zao mezani
@ibrahimxptv
Жыл бұрын
At leaat the more wana comment the more wanapokea ujumbe Alhamdulillah. Kama ni matusi hio ni kawaida ya wakina Abu Jahaal
@AhmedMwaipopomazinge
Жыл бұрын
@@F.j84 Wewe achana na ezekiel na mackenzie Mungu ata-deal nao kulingana na Matt 7:21 Vunja hoja nimeweka hapo kwa maandiko usitetee au kushabikiwa uongo!!!
@AhmedMwaipopomazinge
Жыл бұрын
@@ibrahimxptvWewe endelea kudanganya maamuma lakini siku yako itafika very soon usimame mbele ya Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai.... ambaye mumefunzwa kumkana mkamkubali yesu feki issa bin maryam....KWA SABABU HIYO WAILSMAU WOTE MOTONI!! Yohana 3: 36 Yeyote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele; asiyemtii Mwana hatauona uzima bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake daima.
@AhmedMwaipopomazinge
Жыл бұрын
Jidanganye @@ibrahimxptv Tulikuwa hapo kabla tumjue Mungu....hatuwezi pokea ujumbe wa mtu ambaye hajui atafanywa nini wala wafuasi wake siku ya kiama....Nyinyi ni vipofu mnafwata kipofu = quran 46:9 😥😟😟😟😟 Alafu mnakataa huyu Yesu Kristo anayempa Uzima??? - "Mimi nimekuja ili wapate uzima kisha wawe nao tele." WAISLAMU NANI ALIWAROGA HATA HAMUONI UKWELI,..... NA UKWELI HUO UWAWEKE HURU KUTOKA KWA MINYORORO YA IBILISI allah na wakala wake muhammad???? Machozi yananidondoka nikiona mnaingia jehanam na macho yenu yako wazi!!
Пікірлер: 65