Tukiwa tunaendelea na mfululizo wa somo la itifaki ya mamlaka kwenye ufalme wa Mungu, Sehemu ya pili leo tutaangalia juu ya mamlaka iliyopo ndani ya JINA LA YESU.
Kuna mambo makubwa sana yamefichika kwenye kweli hii, lakini kwa sababu hatukujua kuna wakati tumekosa baraka / matokeo yanayotokana na mamlaka iliyopo katika jina .
-Ki itifaki jina la Yesu limebeba mambo gani ?
-Kwanini tunatakiwa kuomba kupitia jina na si kitu kingine?
- Je nikiomba kwa Damu ya Yesu ninakosea ?
SOMO HILI LITAKUJIBU MASWALI YOTE HAYA
To remain connected with the sermons and teachings of Pastor Fred, access is provided via various platforms that include TV, Podcasts, radio, and social media. To access this content, please follow the link provided below.
linktr.ee/fredmsungu
#destinycitychurch #fredmsungu #kairos
Негізгі бет Pastor Fred Msungu - Mamlaka ya jina la Yesu
Пікірлер: 13