Assalam aleikum,musikubali midahalo kama hii mnpoteza mda wa wale watakao silimu, kama kweli wanataka kukuru kakara ndio itakua njian nzuri ya kuelimisha.hao wamekuja kuvuruga
@samxx411
Жыл бұрын
XP Ibrahim hata mimi namkubali sana lakini ukweli nyote wahubiri nakukubalini sana na mnafanyakazi kubwa sana, kwasababu hao watu mnaowafundisha tayari mioyo yao imeshapigwa chapa na kuifuta inakuwa ngumu sana, inshallah Mungu atakulipeni ajira mkubwa siku ya kiama.
Пікірлер: 6