Thayu; eti nabii? Leo hii hakuna nabii,kazi ya manabii iliisha,hakuna pahali yasu alisema nyuma yangu kutakua na nabii, ila wa uongo; leo tuko na roho ya unabii yani mtu wa kutafsiri unabii uliotabiliwa; na kama kuna nabii leo atatabili nini!? Mtu kama yohana wa ufunuo alitabiri, je alijiita nabii? NO, juu mambo aliotabiri yalionyeswa nabii danieli,yohana akaja kuyafunua;
Пікірлер: 2