Pastor jamaa was makalio kaokoka nani anakubali hii WOW pastor kicheche leta like
@user-fs6vp7sm8n
11 ай бұрын
Bana kicheche tulikumiss sana❤❤, much ❤from kenya
@user-qw5hk8dz3e
5 ай бұрын
Iam smile by myself like crazy because kicheche mwamba from Tanzania ❤❤❤
@HapyQueen
11 ай бұрын
Huyu dada idaya nampenda jameni bora aombe kazi kwenye bongo movie
@CharoSanta-tz1sf
10 ай бұрын
For the farst time a man is honest 💯 congratulations to kicheche show loves from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wap like za kicheche
@indexchitanda4477
11 ай бұрын
Safi sana mzee kicheche
@user-in6sj5ir4k
11 ай бұрын
Kali sana hi hakika kicheche we ni king 👑 of new generation
@4karimu_
11 ай бұрын
Kazi nzuri sauti ila sauti imekuangusha ,inakelele sana
@babylonemabreka8700
11 ай бұрын
Kicheche is back.... Huyo dada anajua sana umechagua mdada anayeweza katika hii kazi daah... Hongereni sana all the way from South Africa
@cally-wise
11 ай бұрын
Huyo dada uliye mchagua anajua Sanaa big up🙌🙌🙌 nimemkubalii🔥🔥🔥
@lilianalmas5911
11 ай бұрын
Pastor Saimon Nimecheka hapo aliposema Dada umeangusha Hela zako afu mke wake anazitamani😂😂😂
@FilbertMaragalila
11 ай бұрын
Safi sana Kwa kutambua Uwepo wa MUNGU Kwa Kwa Hili MUNGU Akubariki First God.
@aronpaul2331
11 ай бұрын
Umeyavagaaa mtot na baba pipaa na.mfunikoooo😅😅😅😅😅😅
@redockbracard9455
11 ай бұрын
Kicheche mimi nakupenda sana alakini chukuwa ata kitabu kingine acha kuweka baibole kwenye mchezo wa comedy
@MesheckMalik
11 ай бұрын
Ww kicheche na uyo mwanamke kuwa makini sana na maneno kaa hayo kwa mungu hivi mungu unamwona kama mwanadamu
@user-vf1wl6ru6n
11 ай бұрын
Kicheche hii season umetisha mwamba utauza hatari kuliko zote mwamba wangu mungu abaliki kazi za mikono yako tu
@boasfred8175
11 ай бұрын
❤
@rubymichael-yd2jf
11 ай бұрын
Kicheche atapata nguvu za kichawi ataskilizwa ataponyesha kichawi atakuwa tajiri 😂😂 Okay Lets go baba ❤️
@rev.musabalalarogersmusabalala
11 ай бұрын
Umefundiaha jamii Haya mambo yanatokea sana, Kicheche bahati mbaya jina lako halisi silijui, Mungu asaidie jamii
@KIPUDA2021
11 ай бұрын
Mwenzako vevo anaanzisha anamalizia anaanzisha tena hivo ndo tunapenda❤ lifanyie kazi hili tunaitaji kujua mwisho wa shot ya lambalamba na hand sam wa kijiji penzi la jini latifa ndo tumezipenda sana
@rajabushedafa6397
11 ай бұрын
Pumbafuuu kicheche usijisahaulishe na lambalamba muendelezo wake 😂😂😂😂❤❤
@nyotajules1732
11 ай бұрын
Huyu dada mke wakicheche ni mpakano kwakweli pastor kicheche eeeeeh anatoa mapepo eeeeeh anponya magonjwa eeeeeh anahokowa wapakani imeheenda ya ni leo mpaka msemee 😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤😊
@issasanga8509
11 ай бұрын
Lewo wakwanza ku like naku comment 😂😂😂❤Kama you love kicheche Nipeni like basi🔥🔥
@YaGa60
11 ай бұрын
Wewe like unazipeleka wap kila mala unaomba like ndugu yangu
@jameskilasa759
11 ай бұрын
Hiki ni niseme huwa sipend watu wanaocoment hv
@tiqgeq-us8th
11 ай бұрын
Hhh
@MASTORI_TV
11 ай бұрын
Mambo
@user-zi2em2xk2h
11 ай бұрын
Hayaaa like zako hizo hapooooo😂😂😂😂😂
@andreangweshemi7706
11 ай бұрын
Kazi hii inaonyesha ukomavu. Uko kwenye mwelekeo mzuri.
@NABIIMUSAMWANISENGA-ht1cj
11 ай бұрын
Waooooooooooooooooooooooo pastor simon nimeipenda hii. Huyo mama nae ameigiza vyema sana huyo ni actress mzuri sana
@paulwilliam6053
11 ай бұрын
Kicheche umekuja juu sana nakukubali sana ❤❤❤❤
@nigerian_4736
11 ай бұрын
Huyo mdada anamachooo😮 nmempenda bure bureeee she is sooooooo talented, anafanya body gesture and moves kwa ujuzi mkubwa anaonyesha uhalisia
@fzlcomrajabu9514
11 ай бұрын
Kicheche never disappointed 💥
@kekeboy9768
11 ай бұрын
Hapa umepata mtu na nusu hadija boli nakubali snan mm huyo demu❤❤❤❤
@JafarMsekwa
11 ай бұрын
Kicheche hii Kali asikudanganye mtuu Clam ananz vizur finishing hamna kituu,,
@emanuelgrevazi3483
11 ай бұрын
Kicheche uko vizuli ila ongeza wachungaji Ili inoge sana picha ongeza namapanby utatkamata sana
@QueenLabrunedephilBoy
11 ай бұрын
Wewe unaongeya tu alafu ujuwi unasema nini nyooo
@personpeter2221
11 ай бұрын
Clam vevo ninae mjua mm?? Hyu bado sana kwa clam best friend kaua tmpen maua yake
@evansmasicia6753
11 ай бұрын
Kicheche amerudi...tuko pamoja🇰🇪🇰🇪
@baudouinsenga7810
11 ай бұрын
Pastor saimon umbwa Pastor pumbavu zako najuwa uta tu chekesha tu kulembe twende tu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂
@majalaworldwide
11 ай бұрын
Huyu mke wa kicheche ANAJUA KUPITA KUJUA YENYEWE
@husnabilali3099
10 ай бұрын
Pamoja sana pastor simon
@justinembogoro
11 ай бұрын
Nilikua nataka nishangae mbwa uyu tokalini ameaza kuwa serious😂😂
@mbwelamedia3469
11 ай бұрын
Kaz nzr aidia nzr wasanii wazur hongereni sana namuona Hidaya boli fundi mmoja hajawahi kukosea nawakubal
@shakilabakari6928
10 ай бұрын
Yaan ni hatarii huyu dada anajuwa sanaaaaa❤
@JoshuaDavid-gl7hv
10 ай бұрын
Imani isiyo dhaifu lakn ukimpata mwanamke kama huyo anaweza kukurudisha nyuma kiuduma
@jamesminja1510
11 ай бұрын
saf ila sauti kidog aangalie volum inakwaruza cm but very nice mkitaka kujua mwanamke ni nyoka fwatilia hii movie
@smartlady6898
11 ай бұрын
Nyie sio kwa upole huu alionao kicheche huku hadi nimemuonea huruma ujuee...I love you kicheche kazi nzuri❤
@Jofuboy
11 ай бұрын
Ubwa kicheche ameanza kuwakimbiza kama Bata 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
@IbelieveTumaini-ho1qn
11 ай бұрын
sema leo umetisha sana Mungu yuko pamoja na ww injili iwe juu yako
@Ronnieibrahim-yk1mz
11 ай бұрын
Kicheche hapo umekua rafikiangu naomba uhubiri vzur
@zulfarashid5060
11 ай бұрын
Dah kwenye msungo uliitendea haki na huku pia hongera sana kicheche na mimi pia jaman
@user-cy4hm9ds4q
11 ай бұрын
Nikwli kabisa watumishi wanapitia mengi sana hasa juu ya family zao hasa mama wa ndan
@BenchnizeAndaboy
11 ай бұрын
Kicheche is the king of New generation.... Nipenii likes zangu from Kenya
@monia_nduwimana
11 ай бұрын
Dhaaaa😂😂😂😂😂 kwasauti iyo kheeee😂😂
@jacquesroza7255
11 ай бұрын
😂😂aki uyu dada anajuwa kucheza sana kanifuraisha ❤❤
@jumaferezayamungu1872
11 ай бұрын
Chukua kura yangu hiyo ni zaidi ya zote ulizowahi igiza
@MiriamSanga-gm1hb
11 ай бұрын
Much love from Tanzania 🎉🎉 love kicheche
@user-zn7by4qz2x
11 ай бұрын
Waooh huyo mdada namkubaligi sana
@vitusmtepelasichone
11 ай бұрын
Uko vzr kicheche
@AnithaErnest
11 ай бұрын
Mungu aibariki kazi ya mikono yako!
@hasco4755
3 ай бұрын
mke wangu hebu kumbuka neno la mungu linasem....a.....,,,,,,,iiiiiiiiihehehee ;;;;kali sana🤣🤣🤣
@Jimson2000
11 ай бұрын
Mbwa Mimi😂😂😂 napiga sauti solo kumi na mbili😂😂😂😂
@EricKimani-hy1vn
11 ай бұрын
We missed you, kumbavu zangu, tupppeee bbaaaabbaaa,🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Jonathankaghese
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 Nipeni liké zangu
@anicetmpawenayo3046
11 ай бұрын
Aise noma sna yani walokole na majaribu ndo kwao vumilia bba kicheche yatapita na Mungu atakuinuwa
@RichardOwino-ep2yo
11 ай бұрын
jamani kicheche ameokona I like this 😂😂😂😂😂😂
@NevartNtagata-tj3nm
11 ай бұрын
Aiseeeee kicheche babaaaaaa umekuja na ki2 kikal ebwanaeee unakipaji❤❤ Amina 🙏🙏🙏🙏 sana
@aronpaul2331
11 ай бұрын
Sautiii ya 12 mpaka wa changanyikiwe😅😅😅😅
@esterkimalio8846
11 ай бұрын
Kazi nzurii sana nakupenda kicheche wangu
@stephenbiko3869
11 ай бұрын
Watching from Kenya. Congratulations pumbavu zako
@BAHATIKIBA-ul6wx
11 ай бұрын
The King Of Comedy Is Back.🎉🎉🎉🎉🎉 , No One Like You Kicheche Mbwa Wew Pumbav Zako🎉🎉🎉🎉
@emmamasika7586
11 ай бұрын
sana makini ila unadeni la penzi la jin latifa tunaitakaa
@mericobkenya.4653
11 ай бұрын
Aaah!,Hallelujah, kina phillipo wanasema hujui kuimba,Souti solo sauti ya 12...😂😂😂😂
@mourinependo8720
11 ай бұрын
Wow uyu mdada namkubali❤️❤️❤️
@BigZhumbe
11 ай бұрын
Character ya Pastor sioni kama imemkaa vizuri sasa nani ataongelea mitulinga 😂😂😂😂
@mamiesalim1840
11 ай бұрын
Huyo Mzee amefanana na marehem Adam kuambiana
@user-ps3cj8bl3h
11 ай бұрын
❤ uko juu sana kicheche
@user-oc7sx8nq6f
11 ай бұрын
😂😂😂 hiyo wana iita Sauti Soul
@roi2554
11 ай бұрын
😂😂
@johneverus-ep8nf
11 ай бұрын
Amen nimepend Ili neno👏 mtumishi saimon
@callmeog4786
11 ай бұрын
Kam unamkubali kicheche gonga liké hapa
@Jaydannychawaboy.
11 ай бұрын
Kicheche og _ tena hapa Kwa hio niwaombeni like hata tano basi ❤️😂😂😂😢😢😢... tulikumisi sanaaaaaaa❤❤❤ mbwa wewe 🤣💯
@BekaMcoast-yz4rs
11 ай бұрын
Kicheche uko na ubunifu mzuri lakini mbone nikama tafsiri yake nimbaya, mbone kukufuru Mungu tena
@lvanyDaniel_pw7kk
11 ай бұрын
Acha haraka kunywa mtori nyama zipo chini hakuna kitu chenye mazur tu hapa duniani...kwan kwenye maisha ya kawaida hakuna watu wanao kufuru Mungu??
@nurafedrick378
11 ай бұрын
Woow hidaya ulipotelea wapi mwaya karibu anga za kicheche🤣🤣🤣
@SilasNdaisabha
11 ай бұрын
Baba weka kazi tmezisubiria sana umbwa ss
@erickmahona5357
11 ай бұрын
Dada anaweza san huyo
@magunila
11 ай бұрын
Daahhh noma sana hiiii imeenda
@aronpaul2331
11 ай бұрын
Baba na mtot washenziii😅😅😅😅😅
@user-tk9lm8np9e
11 ай бұрын
Nakukubali sana kicheche kazi nzuli sana
@nicholazkelly9982
11 ай бұрын
We mpuuzi umerudi kama pastor😅
@sportsnews423
11 ай бұрын
Mim huyo mzee kanifurahishaa daaah et bonge la move😂😂
@salomeblack0
11 ай бұрын
Ameniuzi kicheche kuhusu hela
@devislugano6464
11 ай бұрын
Kicheche hii nzuri kweli. Endelea na episode hii. nakufuatilia.
@CUTENEY_4217
11 ай бұрын
Kicheche baba waoneshe❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@proffesionalshublimited
11 ай бұрын
😊😊😊 Kazi nzuri sana
@user-wc6pc1jf6d
11 ай бұрын
Kicheche mwamba ❤ lakini na clam vevo njechi❤🎉
@lilianeerica3318
11 ай бұрын
Nyinyi wenyewe mrishindwa kufunga mlango sasa Mungu aje kuwa mlinzi wakati nyinyi wenyewe mnazubaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-gf9nc5zk3s
11 ай бұрын
Huyu Dem wa kawaina awe na heshima Kwa baba mkwe wake hiyo nguo sio yakuvaa mbele ya baba mkwe!!!!
@fasahakasoyasoya8792
11 ай бұрын
mkuuu uko vizuri ila vua hiyo kofia
@ramlabakari-dg4st
11 ай бұрын
Kumbe kicheche yuko vizuri ila ananikera anapojichetua .kazi nzuri mheshimiwa kicheche .unatakiwa utupe kazi iko strong
@MeshackNelisan-vi8fj
11 ай бұрын
Kam Mimi akijichetuaga ananikeraga
@MeshackNelisan-vi8fj
11 ай бұрын
Kam Mimi akijichetuaga ananikeraga
@claskaofficial5322
11 ай бұрын
Kicheche pumbavu zako proud of you 😊😊😊
@vannyplatinumz_ke
11 ай бұрын
Babaaa umbwaaaa mm 😅😅😅😅😅pamoja
@swalehemshana4684
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂 kicheche pastor umekuwa mpole sana
@fridaynyota4707
11 ай бұрын
Duuuuuuh eti sauti ya 12 inaitwa sauti sol😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@majeedmbarouk2457
11 ай бұрын
Mpuuzi amerudiiii
@modricseif1018
11 ай бұрын
Hii kazi ni sehemu ya majibu ya maswali ya wengi Miongoni mwetu, Mungu ana majaribu mengi ssana kiasi kwamba unaezakukufuru kama huyu mke wa kicheche, Hongera ssana bro 👏, I hope next episodes zitakua zamoto zaidi😊, kazi nzuri ssana👏👏
@hamzamakwega2659
11 ай бұрын
mwamba kalud kazinii 😘😘😘
@user-si4bl8ok2v
11 ай бұрын
Hahahahahahaha pastor kicheche kula chuma 🥰
@Evelinweek
11 ай бұрын
Kicheche tunakupenda sna ❤️🇹🇿
@aminaselemani2179
11 ай бұрын
😂😂😂 kicheche umekuwa pasta
@mwanashamwamaphuphe8290
11 ай бұрын
Msungo wa madebe lidai kaingia kwa kicheche..biggup sana binti mrembo
Пікірлер: 1 М.