i have noticed with concern that women are very patient. if a man brings reconciliation here women take time to listen and talk, on the side if a woman brings reconciliation issue against a man they tend to cancel calls and switch off their phones.
@agneswanjihia1383
5 жыл бұрын
Kuchelewa nayo wapi likes za ngu🏃♀️🏃♀️
@nancynjogu4
5 жыл бұрын
Uyo mzee amenibore sana,, respect your age mzee,,,, nikiwa mimi siwezi rudi,,,, juu ya respect ya watoi rudi ukaagalie watoi
@mithletlwoyelo6044
5 жыл бұрын
Thank you guys! U make us who are in diaspora feel at home !! But that woman she is stubborn hata kama yeye ni mtoto wa pst yawa
@queenessiekenya6869
5 жыл бұрын
Gidi na Ghost u guys always make my day 🔥🔥🔥
@bafaello2619
5 жыл бұрын
Kumbe ww uko ndani ya channel 😘😘😘😘
@queenessiekenya6869
5 жыл бұрын
@@bafaello2619 niko ndani kabisa 😘😘😘😘
@bafaello2619
5 жыл бұрын
@@queenessiekenya6869 pamoja
@judithadhiambo5719
3 жыл бұрын
0
@ebbykanaiza9675
4 жыл бұрын
Napenda sana patanisho
@evansnyams
3 жыл бұрын
Aki hii kazi ni ngumu
@kareembashir4064
5 жыл бұрын
Sisemi ndoa yangu iko perfect lakini hawa watu sioni.
@chrissmutanga8909
5 жыл бұрын
Shida ni kuolewa na mzee wakati umri wako unahitaji mapenzi
@jacksonleonard311
5 жыл бұрын
Duh ni noma sana
@naomynambafu2156
3 жыл бұрын
You are too young dear,,, utapata Bwana,,,wah ata huyo n mzeee saaaana na anaring wah😱😱😱😱😱
@quinncordelia4902
5 жыл бұрын
Dont date bcxe he or she loves u..date because she or he cares u....heshima in both sides kwa familia. Mwanaume si kurusha mdomo.. yawa..ndoa ni panda na shuka.....above all God first
@annemuoria0893
5 жыл бұрын
I 😍 Ghost's laughter... I find myself 😁 too...
@aggycherry9400
5 жыл бұрын
Welcome back Ghost missed your kicheko
@ibugharib389
3 жыл бұрын
Poooowwww Gigi usichoke waafrika Ndio tulivyo matuendi mpaka magongo kila mmoja anajiona yeye Ndio yuko sawa
@mwendapoleee
5 жыл бұрын
Aaaaaiiih Gidi aogezwe mshahara!
@lucybakayoko6039
5 жыл бұрын
Eish!!! Siku izi wanaeka video,,,congrats👏👏👏👏
@perkinsmachine1521
5 жыл бұрын
Mzee miaka yako nyingi Sana wachana na mtoto akule raha kwanza
@jessshiku3084
2 жыл бұрын
Mwanaume ana umama na kiburi sana
@maurinekhasila3326
5 жыл бұрын
Niko ndani ndani kusikiza patanisho
@dalmahngoni5697
4 жыл бұрын
Wanaume wakisii ni moto wa kuotea mbali
@ledyaledya8061
5 жыл бұрын
Judge maraga tatuwa iyo case corg gid and ghost muongeshewe surely hapo sawa..
@aminanzavi4267
5 жыл бұрын
Nitajiamulia
@fridahkimilu7626
5 жыл бұрын
Wah!!! Aki ndoa zingine n balaa sana.
@martinnganga8306
4 жыл бұрын
hay
@herbertmoriangoakaraurau8203
5 жыл бұрын
Abagusii tiga mbatebie. Tiga konywoma abana bare emiaka emeke. John ako over qualified kwa hii marriage. Abagusii tiga toumerane togambe about interracial marriage. Fortune utarudi kisii kuna mashamba kubwa na wewe utakuwa unaleta biashara ya omena na mbuta. Hii marriage iko na underlying issues that needs to be addressed by pastors na local elders. God be with them.
@fauziahmiroya6330
3 жыл бұрын
Kisii men are a no going zone, anaongea kama radio mpya, mjinga yeye
@moreenmbatha1147
5 жыл бұрын
number 1 nipewe like huyu akiongea tu
@agneswanjihia1383
5 жыл бұрын
Chukuwa,kuchelewa nayo
@moreenmbatha1147
5 жыл бұрын
@@agneswanjihia1383 sio sana bora usikie
@agneswanjihia1383
5 жыл бұрын
@@moreenmbatha1147 aki😍
@nellypheans2248
5 жыл бұрын
Combination na kisiii na jaluo na wote wako juu hakuna ndoa huko
@harrietnjeru4310
4 жыл бұрын
Mimi nangojea Ile siku mwanamke atapiga simu apatanishwe na Gidi ama Ghost...chekeni tu🤣🤣🤣🤣
@juliaombayo-turner235
4 жыл бұрын
harriet njeru haha
@aggieaggie8444
4 жыл бұрын
Wangu amenishinda na 20 yrs but ni kerevu na nakapenda , hana hizi vituko
@benardpaul1247
2 жыл бұрын
Achana naye nikuwe wako
@lucysolomon6689
3 жыл бұрын
Mkisii na kelele
@pamelakonya545
4 жыл бұрын
Wah let me enjoy my space, nothing matters than a piece of mind,huyu Mzee anaongea kama typewriter wah mwanaume mdomo🤣🤣,Mimi wacheni nipeperushe flag ya independent woman and loving myself
@richardabongo9578
3 жыл бұрын
Yuh
@richardabongo9578
3 жыл бұрын
87. 80y. 7. 8 7. 87. Juu 8 8 uuy uuu89 8 9. H
@richardabongo9578
3 жыл бұрын
I'll uuu89 8 9. Hu8 v g08 g888 9 88889h. Yy to, d ya yy
@charlesmuriungi4547
5 жыл бұрын
Hizi patanisho za dakika 10 kweli ni genuine???? Then Gidi dost want tu listen only giving leading questions???
@susanjaniry1656
3 жыл бұрын
John is a type writer.. style up na kidomodomo eishhh
@kenyanbae9971
5 жыл бұрын
Mwanamke ni mdogo mwanaume ako mature so sometimes marrie you age mate
@ndaromungai2309
5 жыл бұрын
Age mate ladies hubadilika haraka kuliko men.
@chrissmutanga8909
5 жыл бұрын
True
@isaacochieng8648
5 жыл бұрын
kenyan bae mmmmh
@ferdnandnyongesa6734
5 жыл бұрын
Huyo mwanaume ana kiburi, pretender, matusi, mdomo hadi usiku halali nimemsoma ,defending himself,then "" anadharau wakwe sake"" Mimi wallahi siishi nawe....... Niende kwa nani nahuko hakuna nyumba..........wololo!!!!!!!!¡
@moreenmbatha1147
5 жыл бұрын
haki ndoa zingine ni shida amekufiwa na mke huyu wapili kinanuka
@brendagakii7466
5 жыл бұрын
Gidu ukona kibarua
@mamafrank4956
5 жыл бұрын
Wanaume Wakisii wacha hiyo hasira ya kurushia wake zenu maneno magumu hivo.... Hasira ya mkisii hiyo
@meseckabdul4341
5 жыл бұрын
That a very big gap
@christopherkyalobenson2437
4 жыл бұрын
Ai mzee jieshimu ,,,,tafathali
@saidahj2543
5 жыл бұрын
Woman remember your kids they need you...reconcile with your hubby or tafuta mbinu ukachukue watoto wako in peace...too young kulelewa na dad...mtoto huua mama
@angelatwist8085
10 ай бұрын
Fathers can do a better job than other women
@kinyajudykinya1454
4 жыл бұрын
Aki wakisii fala kabisa
@winnewayesu3099
5 жыл бұрын
Unaocha watoto na mama uko kwanini😎😎😎
@nabwilelinet7027
5 жыл бұрын
Ghost nimekumic na hio kicheko😂😂😂😂
@mariamfritsi9761
5 жыл бұрын
Wa kwanza.😁😁.
@chainbre275
5 жыл бұрын
Sasa kama hutami kurudi kwako enda uchukuwe watoto basi coz watoto ivyema walelewe na mama
@charlesmuriungi4547
5 жыл бұрын
Huyu jamaa ni kierere sana ata mimi simtaki....alituzi baba ya bibi ...bure kabisa
@sarahyvonne4580
5 жыл бұрын
Hi gidi and ghos
@chrissmutanga8909
5 жыл бұрын
Shida ya kuolewa na mzee sio kwamba hawa watu wanakosania samaki ila ni mambo mengi. Please vijana oa mke anayekufaa..au mme anaye kufaa
@RoroRoserororo
5 жыл бұрын
Waa mbala
@agneswanjihia1383
5 жыл бұрын
Aki
@lydiaaruba6670
5 жыл бұрын
Mtu aniambie dawa ya kumeza ku avoid mariage stress. ndo nirudi 254....28 vs 50yrs km hutaki kuenda kwa kina bibi kanyaga kubwa kubwa
@Nims643
4 жыл бұрын
22years 🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️
@fauziahmiroya6330
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@stargal906
4 жыл бұрын
Ila hata hivo jamani we msichana mdogo unaolekea kibabu jamani mimi stella nijikute weeee
@tabithakamau2608
5 жыл бұрын
Wewe mwanaume unajisikia sukari Sana. No wonder ndio uliachwa na Bibi. Sipendi dume linamadharau mimi
@evemoraa2443
5 жыл бұрын
Miaka 50 na hawezi bembeleza msichana mdogo 🤔
@bafaello2619
5 жыл бұрын
Limit your thoughts john,age nayo toba 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@herbertmoriangoakaraurau8203
5 жыл бұрын
John akanyora akanyaroka gakomominyokia mono. John emiaka yaye huyu dame ni daughter wake.
@bafaello2619
5 жыл бұрын
Kabisa hata nashindwa nn mbaya na yy
@annaj7157
5 жыл бұрын
😂😂😂🤣nambar one
@moreenmbatha1147
5 жыл бұрын
tumengogana vichwa leo
@poulapoula6354
4 жыл бұрын
Nlifikiri mtu mature anajua kutreat mke vizuri kumbe hata afadhali vijana
@소송소송
5 жыл бұрын
Go for your children woman. Children belong to the mother.
@ezekielyeyey7781
5 жыл бұрын
Mkisii wa Nyamira mambo mbaya
@noushaddammam8805
Жыл бұрын
sasa nyinyi muko hapa kusaidia watu ama kucheka watu ww ghost acha kucheka wenzako iyo sio poa
@jamilaomar9860
5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 nasaidia ghost kucheka tu 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@josephonyango2128
2 жыл бұрын
Huyo ndio mwanaume hakuna kubembeleza
@magdalinemuyeka2637
5 жыл бұрын
Hehehe wakisii ni vichwa ngumu wacha huyo mwanaume akae
@judymoraaasuma258
3 жыл бұрын
Mzee relax ajana n huyu dada
@neemakoka599
4 жыл бұрын
Huyu mwanaume mtu mzima Lakini hajielewi Kumbe watu wazima wana taabu sanaaa siwataki kabisa. Wana migogoro mingi sanaa hawafai kuishi pamoja.
@sherineatieno4196
5 жыл бұрын
Miaka 50 ni mbala👌👌
@bettyoluoch9774
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 mkisii na mjaka kali
@jshahshsh2383
3 жыл бұрын
Wakisii n mdomo 😂
@gibraltargk3739
5 жыл бұрын
Alisema anapasua kuni ama anapiga kuni?
@eunicemakau1607
4 жыл бұрын
Wee anapasua kuni
@mirriamninah6009
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mumblessed001
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣mm niokotwe kwa matuta tuokoke huyu mzee ana mdomo anyway bibi plz rudia watoi wako na uchunge usikatwe kichwa
@lucysimiyu9595
2 жыл бұрын
Huyu mwanaume Ako na mdomo sana ndio manaan alichelew kuowa at 50 mdomo hivyo
@jackiendambuki4788
4 жыл бұрын
5k yawa ....wacha nifanya kazi 😃😂😂😂😂😂
@catherinekemunto8826
4 жыл бұрын
But Giddy sometimes kuna mahali unaombeanga MTU msamaha wenye hawastahili...ingekuwa sister ako ungekubali arudi uko...sometimes hiyo msamaha Giddy akae.
@zuritash1295
4 жыл бұрын
Wewe Mammy endea watoto wako ukae nao
@zuritash1295
4 жыл бұрын
50 via 28😳😳😳
@naomynambafu2156
3 жыл бұрын
I can't date such like a pery
@dicksonkilupa2258
2 жыл бұрын
SAMAKI WANAFAA KWA SOUP HATA MIE NINGEWALA WOOTE, HUYO JAMAA AMEOKOKA ILA UJUE ANA MWILI KWA HIYO UMVUMILIE
@annaj7157
5 жыл бұрын
Nambar one +964
@gracewanjkim3433
5 жыл бұрын
Ghost😂😂😂😂😂😂😂waliokoka wote fujo nza nn sasa😂😂😂ndoa MUNGU saidia
@evelynesabina8168
3 жыл бұрын
Wanamme wetu u need to style up. No day wakisii wanamme wanaletwa huku watoke vizuri.. Upuzi tu ndio mnayo.
@octagonheros8979
4 жыл бұрын
Wakikuyu pigeni like hatupendi unjinga
@eliudlumwaji7897
5 жыл бұрын
Bwana anaosha watoto?
@celestineayush4012
5 жыл бұрын
50/29 kukaa pamoja inakuanga ngumu
@moreenmbatha1147
5 жыл бұрын
leo mja upload🤔🤔🤔
@cyberswiftnet7891
4 жыл бұрын
wee John acha mrembo kwanza aoje kina Brayo na Kevo .............
@muthonieunice5543
4 жыл бұрын
😂
@stellahmiles2369
5 жыл бұрын
Waha waha🤔
@martinnganga8306
4 жыл бұрын
X,GDF vrs
@martinnganga8306
4 жыл бұрын
Ea
@maxolum2494
4 жыл бұрын
Nimefika hapa kusaidia ghost kucheka
@antonyndirangu8613
5 жыл бұрын
50 na 28 surely
@annasannas6210
5 жыл бұрын
Ieo n leo ,,hahaa kimeuna
@agwalubifaridah7079
5 жыл бұрын
Jiamulie baba...!!
@lenniefei6710
5 жыл бұрын
Ukisii ni shida kweli.....
@ruthmidundo
4 жыл бұрын
A kisii man is a nooo🤦🏽♀️🤦🏽♀️
@susanoude1274
2 жыл бұрын
Wakisii wananiboh tu aki
@lastborn2044
5 жыл бұрын
Kuokoka my foot ...nkitokea Ni Ivo🤣🤣🤣🤣mtu akae na wokovu wake ...Mimi ntaokoka tena
@jesusislordrepentanceandho4432
5 жыл бұрын
Sipendi kina john
@georgymahi149
5 жыл бұрын
Mwanamke msumbufu ndo hufanya bwana afure kichwa.
@angelatwist8085
10 ай бұрын
Afure Tu kichwa ....si ata mama anaweza furaha kichwa😂😂
@소송소송
5 жыл бұрын
Gidi give men a break. Women can stressful at times. The man first wife died. The second wife seems to be stubborn.
@mwendapoleee
5 жыл бұрын
A Husband is the head or jogoo he leads by example and how to treat the wife with love.
@beckybeto3781
5 жыл бұрын
Ndio sababu marriage kwangu ni dreams
@godsfavour5665
5 жыл бұрын
Makasiriko sitaki....Hi ndoa.ni lukumbalukumba wakisii na kukasirika phooooo
@brilliannangila3328
5 жыл бұрын
Omosacha Oyo omutwe omukong'u
@fredakola3747
5 жыл бұрын
Limit your words MR..John ... Respect your age. Saitan
Пікірлер: 206