nampenda sana Mungu aliyewatoa wana wa islael misri na kuwapeleka kanani kwa ushindi wa kicheko na furaha ya milele....Mungu azidi kukaa ndani yenu ili injili hii izidi kuwaokoa watoto wa Mungu.
@estermadoro6127
4 жыл бұрын
Amen
@zilipajohn3633
4 жыл бұрын
marion steven Amina
@farajagilbert6859
4 жыл бұрын
Emeen
@paschaljoseph9504
Жыл бұрын
Wimbo pendwa unafariji Kila mda kazi nzuri bro wetu Paul Mungu akupandishe viwango na viwango 🙏🙏🙏
@samrecordvwawa9133
5 жыл бұрын
MUNGU HAWEZI KUKUACHA NJIANI HATA WEWE USOMAYE HAPA ANAJUA ASINGE TAKA ANGEKUACHA NJIANI
@kelvinnachy7462
5 жыл бұрын
Amen
@promisjohnson3382
5 жыл бұрын
Ameen my lovel broo
@caritasmushi6408
4 жыл бұрын
Nampenda sana Mungu wangu yupo nami wakati wote. Asante Yesu
@pendokesi3977
4 жыл бұрын
Ameeeen
@khadijahamis5326
4 жыл бұрын
Amen
@erneuskago1903
9 ай бұрын
MUNGU HAWEZI KUKUACHA NJIANI
@marthamagoda704
3 жыл бұрын
Amen. I beliv dah God hawezi kuniacha njian
@user-hf4ol9hn9y
5 ай бұрын
Mungu hawezi kuniacha njian naamin ntashinda❤
@SteveWorshipsOfficial
5 жыл бұрын
These guys are returning the picture of Gospel Music. It once lost shape.
@skymusicentertainment7692
5 жыл бұрын
oooooh God bless your people since they inspire us your way
@vestinavedasto9083
5 жыл бұрын
Kweli mungu hawezi kukuacha nimebarikiwa hongera sana
@deborahlutobola8672
4 жыл бұрын
Mungu hawezi kukuacha njiani ,lazima akufikishe uendako
@nellymtumishi3717
3 жыл бұрын
Mungu, hawezi kukusahauuu Master Joel na Paul Clement, mmekutana m'barikiwe sana
@mwangifaith
4 жыл бұрын
Amen amen amen amen.... Mwenye safari ataitimiza.... Aliye niita ni Mungu si binadamu. Hallelujah!
@meshackmagoko
7 ай бұрын
My favorite song 🔥
@remijajohnson2593
5 жыл бұрын
mungu hawezi kiniacha njian anajua shida zang machoz yng am blessed with this song aliyeniita ni mungu na c mwanadamu anajua mwanzo na mwisho
@goodluckleonard1581
4 жыл бұрын
Yayayayayayayayayyaa the kingdom is observing all these Mtalipwa ujira wenu mbinguni kuna mtu anakombolewa mahali na huduma hii
@manenojohn2327
4 жыл бұрын
Mae
@deogratiusthadeo6706
3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana .MUNGU azidi kuwainua zaid na zaid AMINA
@lelomellowtz
4 жыл бұрын
HERE IS WHERE REAL GOSPEL IS...MUNGU AWABARIKI HAWA WATU AISEE I LOVE THEM A LOT
@agneskayange2804
4 жыл бұрын
Bwana Yesu awazidishe na kuwaongeza zaidi katika karama hii ya uimbaji aliyoweka ndani yenu. Mbarikiwe sanaaa
@venancenaomi3786
5 жыл бұрын
Mpaka nimelia asee,,,nahisi kubarikiwa,,i know hawez niacha baba 🙏
@jacquesein2718
3 жыл бұрын
Men of God 🔥who are crazy of the gospel 🔥🔥 God bless you Paul and Joel . More grace
@eliarichard9218
5 жыл бұрын
nime barikiwa na hii nyimbo mungu awabariki sana watumishi wa mungu.
@salumubarangi44
5 жыл бұрын
Mungu ameweka vitu katika vijana wa mbeya...vitumieni mbarikiwe
@anithajaphet4587
3 жыл бұрын
Mungu hawezi kuniacha njiani
@isackmgondaisackmgonda2869
4 жыл бұрын
Anaye angalia tena hii gonga like kwa nguvuuu
@alfinafuraha4052
4 жыл бұрын
Hii nyimbo n nzuri yatia moyo n yanitoa machozi na wakati mgumu ninaopitia,naamini Safari yangu ataikamilisha
@winniejames9217
Жыл бұрын
Amen. I'm convinced and confident that God, who began a good work in me is faithful to complete it.
@danielswale9554
3 жыл бұрын
Amen Mungu awabariki watumishi
@magdalenajoel4409
Жыл бұрын
Mungu mwema Kila wakati🤲🥰
@kellenkavirondo6106
5 жыл бұрын
hakika hata na haya MUNGU hawezi kuniacha kamwe hacngetaka angeniacha njiani 🙏🙏🙏
@yasintamartin3426
5 жыл бұрын
Amen nimelia Mimi huyu mungu ni mkuu sana nikitafakari ukuuu wake aaa Simalizi acha nilie kwa furah
@esthersalimin6672
5 жыл бұрын
Mungu najua uwez kuniacha njiani Nafarijika nikiusikiliza huu wimbo maaana unanibariki sanaaa
@agathakatumba4736
5 жыл бұрын
Mungu anajua unyonge wangu, ipo siku yote yatakwisha, m'barkiwe sana watumishi wa mungu.
@elishaedward7557
5 жыл бұрын
well done na mungu awainue ktk viwango vngine.Nikweli bwana anajua
@eliudbilokasagala3745
4 жыл бұрын
Mungu tuoneshe njia ya kwel tufike mbinguni
@aisimborobby691
3 жыл бұрын
Nakupendaaa bure maan unanifarijibsana
@bernicetunda9051
3 жыл бұрын
Aminaa mungu ni ngome himaraa
@balozibalozi5257
3 жыл бұрын
Nabarikiwa sana ninapokwenda anajua
@fransavinhonacmela827
3 жыл бұрын
Yes nabarikiwa na wimbo Huu Kwani nilipo usikia Nilikuwa katika Imani ya juu. Nilipata tumaini kubwa kumwamini kristo Kwani nilikuwa mwasilika wa madawa ya kulevya bangi sigara pombe na wizi pia Ameni
@wisdombarikiel7899
2 жыл бұрын
Is a good guys am blessed with that song
@ezekiels8371
5 жыл бұрын
Toka ndani ya mioyo katika roho na kweli, Mungu awazidishe sana Mr Lwaga na Mr Clement.
@veronicadaniel1122
3 жыл бұрын
Mbarikiwe Sana watumishi
@boscobayatv4415
5 жыл бұрын
Tunawapenda sana huu upako mmh lovely and powerful.
@balozibalozi5257
3 жыл бұрын
Nimejibiwa Na hii nyimbo namshukuru mungu nilipa sana moyo ipo siku
@ruthjmkombozi5990
5 жыл бұрын
I love song too much, Mungu awezi niacha..yeye anajua napokwenda
@neemasambo6707
5 жыл бұрын
Mungu hawez kukuacha njian there z power in name of Jesus
@alistidesbruno837
4 жыл бұрын
Mungu akutetee kila uendapo maana unanibariki sana maneno ni mengi lkn mwenye safar ni mungu tu alieanzisha si mwanadamu atatimiza kwangu hata kwako
@roselayson4246
5 жыл бұрын
Amen mungu kweli hawezi kuniacha njiani nimebarikiwa sana na huu wimbo
@asaphboaz6563
5 жыл бұрын
Kama mtu akienda kwa Mganga anapewa kijiti tu kusema kitamsaidia. Muda mwingine wanepewa mfupa tu wa kuku aliyeliwa na huyo Mganga je Huyu Mungu aliyefanya njia kwenye bahari ya Shamu ukimuomba hawezi kufanya? Mungu hawezi kukuacha njiani kwani alipokua akipita mahali na kumkuta yule kipofu hakumuacha akiwa kipofu. Barikiwa sana
@herumencemariki5389
5 жыл бұрын
Mungu aweza kukuacha njiani unanipa Aman Mungu awabariki sana
@doricasedward3066
5 жыл бұрын
Ni kweli Mungu hataniacha kamwe, kwa maana Yeye ndiye aliyenipenda kwanza , aliko nitoa ni mbali Sana, amenipigania katika vita kubwa Sana, na bado namwamini kuwa hauwez kuniacha kwenye vita ninayokutana nayo, kama aliweza kuniokoa awali na Sasa ataniokoa.mbarikiwe Sana kwa kuniganga moyo
@PauloMuwakilishi
Жыл бұрын
Amen mbarikiwe sana
@peresiraymondi3913
4 жыл бұрын
Oooh anointed song, God bless you all, it's really God knows everything, Amen
@luganohezron9881
5 жыл бұрын
Akika MUNGU hawezi kuniacha njiani safari yangu aliianzisha mwenyewe
@joshuacosmas1178
5 жыл бұрын
Bro joel lwaga hayo maneno yamenigusa sana amina
@irenemrombo40
2 жыл бұрын
Its really God knows evefything
@shimwelagodbless5561
5 жыл бұрын
Anajua hakika, Hajawahi muacha mtu hata mmoja, Awesome Jesus our Lord
@bestnamon2582
5 жыл бұрын
Barikiwa Sanaa wapendwaaa hakika mungu anajua Joel mungu azidi kukutumia jaman
@alexlusaka1315
5 жыл бұрын
Mungu awabariki mno kazi yenu n bora mno kwa utukufu wa Mungu
@maryangela107
5 жыл бұрын
nimepokea upako wa juu Sana amina
@matridajaily9164
5 жыл бұрын
Mungu hawez kuniacha.. Mana yy Ndo ananijua vilivyo
@danielswale9554
3 жыл бұрын
I like this song nawapenda Sana watumishi wa Mungu
@salomegoogle7207
4 жыл бұрын
mungu hawezi kuni acha yeye ana jua shinda zangu 🙏🙏
@lameckchunda5763
5 жыл бұрын
Mungu hawezi niacha njiani!in jesus a live
@damarisondiek5414
5 жыл бұрын
MUNGU wangu najuwa huwezi niacha njiani
@pendokesi3977
4 жыл бұрын
Barikiwa ndugu
@yohanagugu6273
5 жыл бұрын
N kwel kabx,may God bless yweh pple
@babuujoshua7072
4 жыл бұрын
Asante yesu wangu umesema nami kupitia hapa aman
@elizabethbeja6550
4 жыл бұрын
I know God is there for me .
@joycebusungu7989
2 жыл бұрын
Nimebalikiwa sana na wimbo huu .Amina
@estherfaidamalkia4021
3 жыл бұрын
Amen hiyo ni kweli kabisa
@leahfanuel254
Жыл бұрын
Aminaaaaah nmebarikiwa sana
@baloziwilson7692
5 жыл бұрын
Watching here from cape town , May Lord God Bless you
@sophiatumbo6321
5 жыл бұрын
So powerful nawakubali ni kweli mungu anajua.
@samuelynuru6811
4 жыл бұрын
kazi Nzuri sana Mbarikiwe Sana
@ellypianoofficialnaman3267
3 жыл бұрын
MUNGU n mwema
@andrewyona2552
5 жыл бұрын
safi sana, nawapenda sana church boys Lwaga $ Clement
@beloyalbert543
3 жыл бұрын
Barkiwen sana
@rosemarymalechela5090
4 жыл бұрын
Some people is created very special for create people's happiness. Be blessed Paul n joel
@marianapeter4691
5 жыл бұрын
Naamini MUNGU utafanya jambo Juu ya maisha yangu
@kaminyogemwachelwa9884
5 жыл бұрын
Madogo mmefanya gossiple niifirahie ...mbarikiwe sana
@joyceanthony4382
4 жыл бұрын
Barikiwaaaàaa
@melodiesofreflection3246
3 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu kwa hakika!! #NikoHai
@alindasawe7073
5 жыл бұрын
Mungu awalinde,awafunike kwa damu yake
@bullesqgitz1573
4 жыл бұрын
I love this song it inspires me..
@chalesjr95
3 жыл бұрын
Lwaga una sauti yakipekee..
@daxlondenuxy2637
4 жыл бұрын
ubarikiwe sana
@robertmbisse8485
4 жыл бұрын
Mungu awabariki na kuwatunza watumish wa Mungu
@jackiejoshuantinyari4725
4 жыл бұрын
Aliyeanza safari nzuri ndani yangu atai kamilisha
@jilliankarisa544
5 жыл бұрын
Am blessed. Nikiwa Egypt
@johnrichard8050
5 жыл бұрын
Don't forget lyrics Its International now days
@amenipasanga2918
5 жыл бұрын
Mungu tusaidie
@jumachillo
5 жыл бұрын
These Guys need to do an Album together #theyareperfectgood
@josephnoel22
3 жыл бұрын
Nise
@berniepraize4358
4 жыл бұрын
I will never stop man of God
@DeeMukami
3 жыл бұрын
God is able to change every situation..He's a faithful God!
@imaninicholaus3664
5 жыл бұрын
Baraka za Mungu ziwe juu Yenu guyz,
@josephelisa3965
4 жыл бұрын
MUNGU awabariki sana watumishi!
@achiengcindy9721
4 жыл бұрын
It's true he can't neither leave you nor forsake though at times God take time to answer we have to keep on with the race ,God's timing is always th best
@jacklinemoshi2405
5 жыл бұрын
Nabarikiwa sana, Mungu azid kuwaongoza ktk Roho na kwel
@samwelochieng5650
5 жыл бұрын
Najisikia furaha sana nikiona vijawezangu wanatumikia mungu kwa nyimbo mbalimbali mungu azidi kuwatunze
@ngwacahnyagwaswa9979
5 жыл бұрын
Can't explain how much I love you guys nice collaboration
Пікірлер: 233