Mungu azidi kumlinda na kumpa ujuzi kilaaa kukicha ally salumu katoro 🤲🏿🤲🏿🤲🏿💯 pia na wachezaji wetu wa Simba nguvu moja 🔥🔥🙏🙏
@protaspeter5371
Жыл бұрын
Alieona baada ya onana kufunga penat yake alitud na kumwambia baleke asijifikirie Sana mpaka kipa ajipange kamwambia akifika chagua angle we piga tu na kweli baleke hakujifikiria sana
@Shemu199
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ Ali salim apewe mauayake liki zakutosha
@joshuakitunzi9500
Жыл бұрын
Simba Sc ni Taifa kubwa ndani ya Taifa kubwa jingune🦁💪🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@Nufaila442
Жыл бұрын
Yaani tayar iko namba 1 on TRENDING .. simba mnasifa
Kwakweli Mimi binafsi Sina wa kumlaumu❤ ❤ Yanga ilicheza Vizuri Saana Wanampira mzuri saaana❤n❤❤❤
@atupelemsyani7411
Жыл бұрын
Ndo ngao kucheza vizuri siyo?
@CoradaAndrea-vf9kd
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤ nitaipenda Simba mpaka kufa 🎉🎉🎉
@aminahhuawei1133
Жыл бұрын
Wanasimbaaaaaaaa hataharingiiii❤❤❤❤❤❤
@hamisisalumu5388
Жыл бұрын
Shukran sana, ila bidii zinahitajik
@amosemmanuel3528
Жыл бұрын
Mimi ni Yanga yaani namanisha utoporo asante simba kwa kutukanda😅
@StelaAsukilekilalakherisimba
Жыл бұрын
Ali salimu umejua kutufulaisha. Pambana mdogo wangu.❤❤❤❤❤❤❤
@RevinaMomo-nw2zh
Жыл бұрын
Huyu kipa ni kiboko wa majini
@theobaldngobya7740
Жыл бұрын
simba sc wananipa raha kumoyo,simba nguvu moja
@Kevin_davi
Жыл бұрын
Huyu ally salim ni Tanzania one unyama mwingi❤
@yasintakahamba1320
Жыл бұрын
Ali salimu , ulaya inakuita kaka angu tuna kushukulu sana
@user-fh8kn8ll3r
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ unyama mwingi nguvu moja
@ukhutfatumah1154
Жыл бұрын
Mgunda baba yangu nimeshakumis Kwa kweli huyu Mzungu kichefu chefu tu hapo
@CeciliaIssa-wv1rg
Жыл бұрын
Hongera simba yangu mm nawe forever❤❤❤😂😂
@user-un2yr6zh1i
Жыл бұрын
Golikipa wa simba sio professional....penati zote ameanza kuruka yaani ametoka nje ya mstari kabla mchezaji hajapiga. sio ushindi mzuri huo. Golikipa kaiba zote Na Golikipa wa yanga hongera sana very professional. big up. Simba waende wamfunze golikipa wao na pia refa alioko mstarini kule hajielewi na hajui.
@charleschao9809
Жыл бұрын
Tuyafute
@user-iz9nw6vy5w
Жыл бұрын
😂😅😅
@salamasaidi6620
Жыл бұрын
Acha maneno mengi ww
@user-wl1hg3sz9y
Жыл бұрын
Chukuen ngao bas
@franktweve7560
Жыл бұрын
Katafute bwana acha kufatilia vya wanaume
@johnmogha4842
Жыл бұрын
Love ue simba huu n mwanzo tu thanks God
@user-vu9gr8ml3q
Жыл бұрын
Simba hatuna kocha anazingua sana
@suzypaul4559
Жыл бұрын
Simba yangu nakupenda Sana Ila kocha anamasiara Sana tuache utani
@SonieSaid-wy5uo
Жыл бұрын
Kaz nzur xna simbaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
@malkavoice2570
Жыл бұрын
Mbona hata dr aliruka kama ali salimu kudaka penalt y saidoo?!
@agripinaapolinary1362
Жыл бұрын
Simba nguvu MOJA❤❤❤
@allydaruweshi3417
Жыл бұрын
Kazii nzuri kwa Ally salimu🎉🎉🎉
@godfreyfussy8360
Жыл бұрын
Sawa anawahi kutoka ndo mupige penalt zote kulekule 😂
@vumiliarichard9347
Жыл бұрын
#simbaaa nguv moja🦁🦁💪🏾💪🏾💪🏾
@MarietaMkwizu-pf2ki
Жыл бұрын
Ushamba
@khairatkhamis5845
Жыл бұрын
Heeeeeee wakwanza mm leo jamni simba ulaya pasi milioni simba sports club simba nguvu moja
@rithadonatus8110
Жыл бұрын
Kawaida sana honestly simba mmeshambuliwa kinomaaa usinitukane lakini
@liboriusbabile1197
Жыл бұрын
Simba wanaitani kufanya jambo Ili waendelee kuwa salama.
@ProvinaMwailaph-en7bd
Жыл бұрын
@@rithadonatus8110 si ajabu kwani kombe lilopita yanga walishambuliwa sana then wakashinda ajabu nini apo
@KS-iw7qv
Жыл бұрын
Tuwe wakweli Hamna kitu.... Timu nyepesi saaana... Yanga wameenea kila eneo leo.... Penalty kawaida haina ufundi.... Tusitegemee kwenda kwa Penalty huko mbele kuzito.... Timu nyepesi kocha mwepesi jamani tusitiane ndimu.... Musitukane lakini huu ndo ukweli na kila mmoja wetu anajua hata ukitukana....
@Phat-23
Жыл бұрын
UWANJA WA MIKOANI SIMBA HATUWEZI KWASAB HAIKO STABLE, SIMBA MPIRA WA PASI WA CHINI NDO TUNACHEZA SAS MKOANI UWANJA MPIRA UNADUNDA SANA TATZO UWANJA SIO KOCHA , SIMBA 🔥
@ABELVILTV
Жыл бұрын
Sababu ya kiwanja sahihi na kocha ni sahihi.. Kocha hawezi kupanga wachezaji na kufanya mabadiliko mapema pia hawezi... Inaonekana wazi kocha anampango wa kuprove baadhi ya wachezaji hawafai kwa kulazimisha kwanini chama asimpange na onana + phiri/ baleke
@ramadhanmahongole9293
Жыл бұрын
Miii nakataa tatizo lipo kwa kocha wetu wa simba hawezi kumiliki mpira ndomana tumezidiwa umiliki wa mpira na yanga yeye anajua kushambulia kwa kasi tu lakini kukaba na kukaa na mpira hawezi
@user-pu3iz8oj2f
Жыл бұрын
Safi sana ali salimu 🎉
@franccoz94
Жыл бұрын
TUNAOMBA MGUNDA APEWE TEAM YAKE
@user-gr9wc7bc2m
Жыл бұрын
Mgunda wenu alitukoshesha ubingwa sale kibao
@omarmussa3482
Жыл бұрын
Yaan mashabiki bana, hebu tuacheni mpira wa kizamani kama mnafikiri mnaweza kuwa makocha hebu muuvae huo uhusika kocha amefanya anachoona yeye kwake ni sahihi na sio nyinyi wa kumuelekeza, mchezo tumeshinda tuendelee kuipa moyo timu ili waweze kuchukua makombe zaidi na siyo kumponda kocha.
@mbaruksaid5775
Жыл бұрын
Simba kama Simba👏👏👏
@herijuma2717
Жыл бұрын
Hii sio sawa kipa anatoka kabla sio sawa marefa hawaoni au kusudi
@francisdaud7986
Жыл бұрын
Kweli kuna miluko miwili anaifanya hapo
@barikimollel7890
Жыл бұрын
Cheki penalty aloidaka Diara hazina tofauti
@thehustlerafrica4368
Жыл бұрын
Hii siku nililia Kwa furaha
@Zalhathamohdsaid
11 ай бұрын
Pamoja❤❤❤
@babyvicky8418
10 ай бұрын
Eeh
@user-lf2sw3vh8f
9 ай бұрын
Nilichokigundua hapa yanga walichokikosea nikudaka penati ya saido alisoma dua hapa😅😅
@dickykategile1162
8 ай бұрын
😊
@user-ri7ev5up9d
7 ай бұрын
Hata me nililala Kwa furaha San
@user-zg8df9zn3e
Жыл бұрын
Ali Salim kipa kweli kweli
@kishimbaboy5403
Жыл бұрын
Kocha sio level ya Simba,Tumeshinda lkn tumecheza mpira m'bov sana,iv kwa kiwango icho tutatoboa club bingwa
@Mbarakamkopi-jc1kk
Жыл бұрын
we yanga nn??
@erickmsakuzi4999
Жыл бұрын
@@Mbarakamkopi-jc1kkkwani uhongo
@seciliamchalo5627
Жыл бұрын
@@Mbarakamkopi-jc1kk kasema ukweli subir mechi zijazo utasadiki anachokisema mpira wa hovyo san
@omarymuya142
Жыл бұрын
Lasana simba I love you simba ❤💪💪💪💪
@FranceChihongo-qu5nn
Жыл бұрын
Ila hawa wapiga penat wa yanga kwakweli hawajatumia akili ila wamepiga tu ilimladi . Penat nzuri niliyoipenda ni hiyo aliyopiga mzamilu
@evancefocus9215
Жыл бұрын
Tumeshinda lakini kocha sijamuelewa na BAdo simuelewi mgunda apewe timu haraka sana mbeleni tutaaaibika,phiri anaingia KWA ajili ya penati tu hii imeniuma sana kiukweli
@kulthummohamed101
Жыл бұрын
Na simba imebebw
@famaomosessozi-wp6ju
Жыл бұрын
Simba tunaomba mumwangalie kocha kwa jicho la tatu na amini na uwongoz mzr sana watazingatia😊
@adreagochrizo5918
9 ай бұрын
Katoro anatoroka sana b4 mpigaji wa penati hasa ile ya pacomee
@mdsaid1527
Жыл бұрын
❤❤❤ Alliy mungu azid kukupa mwanga
@AljuhaniAllyy-dg4ld
Жыл бұрын
Saido siku zote penati zake ni za kushikilia roho Sana kuna mtu juzi na singida kabla hajacheza nilimwambia saidoo hana ujuzi wa penati ipo siku atawaferisha baada ya kupiga tu yule jamaa alikubali maneno yangu yani penati zake zote zinafuatwa na kipa almanisura tu sasa na Leo aliko atakubali maneno yangu na pili simba hamna kocha pale
@frederickpatrick5966
Жыл бұрын
Sema Phiri alinishangaza 🤣🤣🤣
@signecha_
Жыл бұрын
Hata mimi ningepaisha, haiwezekani nitumike kwenye penalties tuuu
@samuelmwangu3301
Жыл бұрын
@@signecha_😂😂😂😂😂😂
@simonzelote5998
Жыл бұрын
Bocco awe anakataa kucheza jamani awe mshauri wa timu kocha hovyo kabisa viongozi muwe makini
@zafarmohamed9413
Жыл бұрын
mbona kipa wa simba anatoka kwenye line wakati inatakiwa hata mguu 1 ubaki ndani. zote alizodaka ni za kurudiwa
@salimmbarak618
Жыл бұрын
Ametoka Sanaa Tenaa
@charlesmashauri3704
Жыл бұрын
Mavi
@user-wv5pv2tu2u
Жыл бұрын
😅😅😅😅 hukosi kisingizioo
@mugayaazaria5187
Жыл бұрын
Haya zirudiwe basi , madako yako
@zafarmohamed9413
Жыл бұрын
Hahaha sawa madako na ww sio unayo madako so hatuchekani
@aminaabdalla-uo9zq
Ай бұрын
Nikiimiss simb nkuj apa❤❤❤
@RAYMONDKORNEL-gb8ty
Жыл бұрын
Jamani Yani Kwa Raha waliyonipa Simba Leo hata Dem sitaki
@seciliamchalo5627
Жыл бұрын
Hakun raha yoyote kwa hali hii tabu naiona mbele tuendako
@PrivaTesha
Жыл бұрын
I love you simba
@CeciliaTimotheo
2 ай бұрын
Vyuraaaaaaaaaaaa fc 😅😅😅🤣🤣🤣, big up Ally 💪😍
@nururajabu3450
Жыл бұрын
Chama langu miaka Mia ata iwejeeee🎉🎉🎉🎉❤
@neemacharles9848
Жыл бұрын
Jamani maua yake kwa ali salm
@user-tl4vz4gn5f
7 ай бұрын
Uyo ndo Aly Salim
@AllyMsimbe
Жыл бұрын
anadaka mpaka upepo
@CharlesWanyeche-er6rw
Жыл бұрын
Boko ametukost sana hongera kwa kipa kutusave otherwise tulizidiwa game
@oscarmwambungu932
Жыл бұрын
Mnakariri sana. Boko kafanya nn
@CharlesWanyeche-er6rw
Жыл бұрын
Sibishanagi na mishabiki maandazi
@mkunzimdugu6323
Жыл бұрын
Kweli bwana
@michaelyona2479
Жыл бұрын
("Boli itembeeee") Wapi mgundaaa come back.
@DaudiElisha-wj8qt
3 ай бұрын
Dah simba tamu wazeee
@KhadijahAlly-jz7rl
Жыл бұрын
Hongera mnyama
@josephvenus3259
Жыл бұрын
Aliye Kula Kala 😂😂😂 Utopolo vip pale 😂😂😂 inauma eeh🤪🤪🤪
@shehanimzee9953
Жыл бұрын
Vzr kipa ila coach anakazi ngumu kwenye kiungo pale kati tunayumba sana
@Phat-23
Жыл бұрын
HAPO ANAESEMA KOCHA HAFAI NA YULE ANAESEMA SIMBA MBOVU WOTE WALEMAVU WA AKILI AMBAO HAWAJUI MPIRA WASHAZOEA KUSHANGILIA LEDE , SIMBA INACHEZA MPIRA WA PASI WA CHINI SAS UTASKIA CHOKO MMOJA AMBAE HAJUI MPIRA ANABWABWAJA 2 UWANJA MPIRA UNADUNDA HAUTULII CHINI KABISA MASHABIKI JIELEWENI BASI KHAAAA , SIMBA 🔥
@WilliamElisa-xt7nx
Жыл бұрын
Hamna kocha hapo
@shaffihsiraji3141
Жыл бұрын
We nae kocha hamna tuna mpira gani sasa wakutisha kwa sasa timu inacheza ovyo tu
@medyaziz4806
Жыл бұрын
Kwa hiyo mpira una dunda tu kwa simba?? Mbona yanga wamecheza mpira mzuri na haudundi kwa hiyo fact yako ya uwanja!!😂😂
@seciliamchalo5627
Жыл бұрын
@@medyaziz4806 😂😂😂
@TumainielKitundu
Жыл бұрын
Hatuna marefa asee!! Huyu sindo alifeli mitihani CAF? anashindwa kutafsiri sheria? Kipa anatoka miguu yote kabla ya mpigaji kupiga
@jamesnkanga3107
11 ай бұрын
Nenda katfusr ww unae jua
@subiraaddo864
Жыл бұрын
Kwa kweli mgunda arudi tu kwa kocha huyu hatufiki popote club bingwa, anatuchanganya tu
@amosnnko7792
Жыл бұрын
Simba ni dude kuuuuuuubwaaaa 🦁🦁🦁🦁😂😊😁🙂😀
@jordanmathayo799
9 ай бұрын
Napenda sana stail ya kushangilia ya diara
@hottie3621
Жыл бұрын
We are simba
@terrybenjamini1368
Жыл бұрын
🔥🔥❤❤❤🦁💪1🌹🌹🌹🌹🌹🌹Ally salim🔥
@omaryhamza6008
Жыл бұрын
Mnyama
@user-tl4vz4gn5f
7 ай бұрын
Simba waooooooooooooooo
@amosmahona433
Жыл бұрын
Kwa hiyo kiwango cha yanga ni sawa na singida
@erickchitumbi1308
Жыл бұрын
bado kipa siyo bora sana kwenye penalty na wapigaji wa yanga hawajui kuchagua angle nzuri kwa kipa anavyoruka sana upande mmoja.
@mpajibinaisa7238
Жыл бұрын
Ayo niyakwako
@azizanzori4931
Жыл бұрын
Kocha hatumtakiiiiiiiii,bora tubaki na Mgunda yuleyule.
@suzansherali2938
Жыл бұрын
Ally salim❤
@Washya13Mwembe-vh4mk
Жыл бұрын
Leo ndio simba
@moodykassim4029
Жыл бұрын
Tuliwaambia huyu kocha sio kitu watu wakabsha, hivi kocha gani anaomba asijiliwe wachezaji lakn hata kufanya substitution anashindwa
@samwellaizer859
Жыл бұрын
Kumbe kipa wa kolo Alikuwa anatoka kabla ya mpira kupigwa......🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rithadonatus8110
Жыл бұрын
Honestly huyu kocha wa simba ni hanithi samahani sana wanasimba huu si kocha kabisa nawaambia mpuuzi huyu .. kudos to Ally salimu
@chondecannibal6108
Жыл бұрын
Kwanini?
@user-px4dh3hr4z
Жыл бұрын
Na wewe ni nani sasa😢
@emmanuelmichael4508
Жыл бұрын
Na we ni shoga
@rithadonatus8110
Жыл бұрын
@@emmanuelmichael4508 sawa Mimi Nina k ..
@KS-iw7qv
Жыл бұрын
Yes... Na hafiki mbali...... Hamna kitu hapa...
@ibrahimalharthi4599
Жыл бұрын
Mgunda arudishwe katika baraza la ufundi
@shaffihsiraji3141
Жыл бұрын
Dogo Penalt zote alizotoa katoka kabla ya mpira kupigwa🤣
@abduldjay3034
Жыл бұрын
Kwaiyo zizudiwe au vp 😂😂 Poa mechi ya marudiano keshokutwa
@nigaaloys2711
Жыл бұрын
Umeona enh
@juliusmalunde9636
Жыл бұрын
Ndio imekula kwenu hivyo
@TumainielKitundu
Жыл бұрын
Asante sana kwa kujua sheria
@adelinadonald-nk6qf
Жыл бұрын
Waliferi kuangaliaaaa
@miangijunior4358
Жыл бұрын
Tunashukuru tumeshinda ila Hatuna Furaha na Ushindi kwamaana Hatukutegemea Kama Team yetu itacheza Vibaya Vile Kwa wachezaji tulionao hatukupaswa kucheza Mpira Mbovu vile Kukosa jitihada binafsi za wacheza Moja moja kama Malone, Mzamiru na Ally Salim Sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine COACH HATUMTAKI SIMBA IMESHA KUWA LIDUDE LIKUBWA COACH ROBERTINHO HAIWEZI.📌
@isacksimonmahungilo
Жыл бұрын
Bado mapema
@scollamwanisisi2739
Жыл бұрын
Hapana kocha kapanga tu ila pia uchezaj wa wachezaj binafs hawajajituma San kam wa yanga
@alexandermbijima7737
Жыл бұрын
Huna furaha wewe
@simonzelote5998
Жыл бұрын
Huyu kocha amshukuru salim
@reymondymwapule8514
Жыл бұрын
Simba nguvu moja
@NeemaNyoni-wc6lr
Жыл бұрын
jaman uyu boko anaisa Simba kwann au ndo undewa kila zama nakitabu chake akubali2 yaishe Simba I❤
@user-oo4um1qi8z
Жыл бұрын
Mujitaid kuwah kuweka haya mambo pale mpila unapoisha
@user-nf9bo2lm7v
Жыл бұрын
Ally Salim wanasimba tunaxhukur xan kwa mchango wako
@user-bl9xv6ri6z
Жыл бұрын
Eya Tanzania uy Ali salim kator
@user-uw7mx7oo2c
Жыл бұрын
Asant San Ali salim
@saumsaid1966
Жыл бұрын
Kwakweli tunamshukuru sana amevusha salama
@salimkaroyo1382
Жыл бұрын
Kuwakumbusha Robertinho hajawahi fungwa na Yanga 🤣
@seciliamchalo5627
Жыл бұрын
Atafungwa huyu siyo Nabi ligi kuu hachomoki utakuja kumbuk koment yangu
@sanjidambundamila-md4gy
Жыл бұрын
Mimi ni Simba but yuhu kocha wa Simba ni sawa na mavi ya chooni iv walienda uturuki kucha mavi au kufanya mazoez
@user-wv4hz4vj7m
7 ай бұрын
❤❤❤ simba nguvu moja
@husnmjuba4978
Жыл бұрын
Huyu refa kashidwa kuona kwamba Kipa Ali Salim Anadakia mbele ya mstari wa goli. Marefa wa namna hii hawakubaliki. Alf si wanaligi yao, huyu wamrudishe akawabebage wenzie huyu Queens.
@user-iz9nw6vy5w
Жыл бұрын
😅😅 kafute magoli
@salamasaidi6620
Жыл бұрын
Maneno mengi af huelewek unasema nn
@sanjidambundamila-md4gy
Жыл бұрын
Kwann huyu kocha kama anmyogopa sana saido na bocck
Пікірлер: 640