Amina mtumishi MUNGU azidi kukutia nguvu tuko pamoja
@StevenNgowo
7 ай бұрын
Amina mtumishi MUNGU azidi kukutia nguvu
@josephomollo1451
8 ай бұрын
Amina mtumishi,Mungu akubariki na azidi kukupa hekima.
@rebeccacharles7992
8 ай бұрын
Amina Mtumishi
@jolemerci2155
7 ай бұрын
MUNGU asifiwe sana akutumie akuongoze sasa hata milele
@emmanuelmutuku7434
8 ай бұрын
Nashukuru Mungu kwa nuru ulio nayo,lazima ukweli usemwe mbila uongo na imani tutatetea kila mtu
@tubuninakuiaminiinjilituku3969
8 ай бұрын
Amen waefeso 1:3
@jolemerci2155
7 ай бұрын
Tena ana tafsiri bila hila ana tamani imani ya kweli iwe ndani ya watu MUNGU amufunulie mengine mengi tupone
@johnsinyinza7450
6 ай бұрын
Watu wote lazima wasome.
@CharlesMaganga-vy4lk
8 ай бұрын
Amen, the time has come, for the trumpet to give a certain sound. Isaiah 58:1.
@teddymuganda3158
7 ай бұрын
Umesema ukweli yesu hakusoma elimu Dunia kama Mzee likundayo anavyodai,kinabii huu nimwaka wa kupimwa ktk mzani wa Imani na kugongwa mhuri wa bwana yesu hicho ni kipimo tosha huenda upo ktk nafasi ya juu kama kiongozi unapoletewa changamoto unatoa majibu Kwa kufuata akili na Wala sio maongozi ya roho mtakatifu,je ni kweli Kwa umri wa huyo mtoto inamaana Hadi dhiki kuu ianze atakuwa kamaliza shule na kupata ajira ,je ni vijana wangapi wapo nje na hawana ajira wamemaliza vyuo,na hawana jinsia ya kusaidia wazazi kama DC anavyodai juu ya elimu na namna wazazi hao wazazi wanavyosakamwa na selikali,sasa yesu alisema nitampiga mchungaji na kondooo watatawantika,alisema pia yesu Petro kabla jogoo halijawika utanikana mara tatu,alisema pia nawatuma ktk ya mbwamwitu kueni werevu kama nyoka wapole kama hua,na pia yesu alisema jihadharini na makristo wa uongo waliojivuka ngozi ya kondooo ndani ni mbwa mwitu,mpanzi alipanda mbegu usiku wa manane akaja adui akapanda magugu,pia maandiko yaliuliza vema ni kitu Gani kitakachokutenga na kristo njaa ,kiu ,ugonjwa ,au dhiki,jibu lake uwe mwaminifu hata kufa NAMI nitakupa taji ya uzima, huyo muumini wasitishwe na hali ni kweli yesu Yu mlangoni,kama kiongozi mkuu amekukana waziwazi,ni dhahili mbele ktk kuitetea Imani ya kristo ni kujitwika msalaba wako wa Imani pasipo kuangalia Wala kumtegemea mwanadamu,simama na yesu,sauti hiyo ikusaidie usikengeuke,uko ktk kipimo hapo,kimbilia vijijini,roho wa kristo aliendani yako ndiye anayewindwa,usikubali kuikana Imani mungu akutie nguvu,Kwa upande wa selikali acheni kuingilia taasisi za dini na kuzikumbatia kumbuka mungu Hana ushirika na walio kinyume naye jitambueni ya kwamba mnapaswa kuruhusu Kila Imani iwe na elimu zake maadam hazivunji amanita nchi,na Wala kuingilia uhuru wa faragha ya Imani ya mtu,kama katiba inavyosema uhuru wa kuabudu ,kama msukumo wa huyo meinjiristi unampa hakika ya kesho yake basi asishurutishwe maana mnaingilia uhuru binafsi wa kuabudu.kuwepo na shauri selikali iweke mitaala mipya ya christian/religious education ambapo Shure hizo zirasimishwe rasmi Ili kutoa haki huru Kwa wote kusoma Toka ngazi ya awali Hadi vyuo,Ili specification hiyo itazaliza wanazuoni Bora,na watumishi bigwa wabobezi ktk nyanja zote za kiroho,Ili Kila mtu awe haki ya kupata elimu sahihi kulingana na Imani Bora,mfano vyuo vya manabii ,wainjiristi,maskofu ,wachungaji,karma tano,mf kunena Kwa lugha nk,hii mbeleni itazaa pia viongozi Bora wa kiroho,naowatazalisha nafasi za ajira,hivyo mtu akihitaji kusomea mambo ya kiroho afundishwe,iwe rasmi na wanaotaka mfumo wa elimu dunianao waendelee,na watakaohitaji elimu za vipaji ,ujuzi,nao wapate stadi Toka awali Hadi vyuo,hapo hakutakuwa na mgogoro iwe Kwa waislam ,Hindu au wakristo,maana mzazi atachagua wapi ampeleke mtoto wake kulingana na Imani yake
@tridaxprocumbens6079
7 ай бұрын
Jamaa hata sikuelewi. Nakuombea uelewe maandiko vizuri.
@KatanaCharo-q5f
6 ай бұрын
Wewe ni muongo sana na utandanganya wapumbavu
@NellyMhagama-jj1zo
8 ай бұрын
Aloo Hii ni kesiii Nzito...
@tubuninakuiaminiinjilituku3969
8 ай бұрын
Kiaje??
@NellyMhagama-jj1zo
8 ай бұрын
@@tubuninakuiaminiinjilituku3969 Mm Kwa upande wangu Naona Kwa upande wa kanisa lipo sahii kusema hatuzuii watu kwenda shule lakini pia muhusika naye kutompeleja mtoto shule naye yupo sahihi
@jolemerci2155
7 ай бұрын
Una maanisha nini kuwa kesi nzito
@NellyMhagama-jj1zo
7 ай бұрын
@@jolemerci2155 Namaanisha Hilo jambo kote linamvuto
@StevenNgowo
7 ай бұрын
Amina mtumishi MUNGU azidi kukutia nguvu tuko pamoja
@JacobMsuya-e2p
6 ай бұрын
Happy nakukubali, usabato SIKU hizi ni shida
@StevenNgowo
7 ай бұрын
Amina mtumishi MUNGU azidi kukutia nguvu tuko pamoja
@KatanaCharo-q5f
6 ай бұрын
Kwani hakukua na shule za manabii.yesu kama nabii alikwenda kwa shule zao za kinabii
@KatanaCharo-q5f
6 ай бұрын
Manabii wote walienda shule
@MatokeoMajonge
7 ай бұрын
Hakika kwakuwa ni Bwana aliyesema
@AyubuAlam-xm3eu
8 ай бұрын
Balikiwa ukweli usemwe hatakama itagharimu.
@deussasi9285
8 ай бұрын
Angalieni nitawaletea Eliya kabla haijaja ile siku kuu
@ayubusukari
7 ай бұрын
Uko sahihi hata sisi tunakubali huo ndiyo utaratibu wa Mungu Muumbaji, lakini ...👇 Ezra 4 : 13-14 Na sisi, kwa kuwa tunakula chumvi ya nyumba ya mfalme, wala si wajibu wetu kumwona mfalme akivunjiwa heshima, ... 👤naomba Mungu anipe ujasiri na uelewa wa kweli kama wa huyu kijana, nimejifunza kitu nikubwa.
@ElizabethAthanas-j9o
8 ай бұрын
Rudia kweli.
@ElizabethAthanas-j9o
8 ай бұрын
unapotosha Munngu akusaidie,we ni masalio.
@deussasi9285
7 ай бұрын
Amepotosha nn
@TheStraightTestimonyMinistry
7 ай бұрын
Unawezakusema tu hivyo kama wewe si msabato,,,amenukuu vitabu vya wasabato,,,labda useme vitabu hivyo ni vya uongo
Пікірлер: 32