Ee Mola wa muumba wa mbingu na ardhi munyanyue darja mja huyu aendelee kuwatumikia waislam mjaalie kusikilizwa na mkinge na maadui pande zote nne na jicho la husda inshaallah
@kalamuMedia
5 ай бұрын
Aamin
@mariammzee-u5v
Ай бұрын
Allahumma aamiin
@Serengeti-iu4qv
13 күн бұрын
Ameen
@SimonpaulMayunga
Жыл бұрын
Mimi sio muhislam lkn anacho fundisha shekhe ni sahihi kabisa uwaminifu ni kitu muhimu uwaminifu kwa MUNGU na kwa wanadamu. Me nitakufatilia sana shekhe ili nipate maarifa
@mohdloushmoney9994
Жыл бұрын
Mfuate akusomeshe uujue uislam
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukuongoza
@jafarinauma6798
11 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akupe hidaya inshaallah
@abdizoseyyid633
5 ай бұрын
Allah akuonyeshe kheri na njia iliyosahihi na akupe nguvu ya kuiendea inshaAllah
@salhidsalhida4151
5 ай бұрын
Karib katika uislam
@shakirally3899
Жыл бұрын
Mashallah
@AndulHida-hs5py
Жыл бұрын
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
@Manyohu.tv1
6 ай бұрын
mimi ni mkristo , ila kwa haya aliyoyafundisha huyu shehe nitaenda kuyafundisha kanisani.
FANYA IBADA KUTAFUTA RADHI ZA ALLAAH SIO KUPATA THAWABU , HAYO MENGINE MUACHIE ALLAAH
@MasiziaKari-lh6wc
Жыл бұрын
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏
@hamisimtemi3803
4 ай бұрын
Allahu Akbar
@munaissa2529
Жыл бұрын
Mashaallah
@MIRAJIMSURI
5 ай бұрын
Ni muda sasa wa kufunguliwa mlango mwingine wa kheri zaidi ya ileee ya mwanzo
@MesalimRashid
Жыл бұрын
Usipo Shiba kwa jasho lako pia asema yasiyo yako ..😂😂kweli kabisaa na Watu w karni hii hawapendi kuondolea w2 shida wataka kuwacheka wenye shida Allah atuongoze yarabb.
@Malkiawanyuki1
5 ай бұрын
Maneno mashaallah
@DawsonKiwia-qt6zf
5 ай бұрын
Ukweli kwenye ahadi.
@bethwinfred4400
Ай бұрын
Amen amen kaka
@AmiriKudra
6 ай бұрын
Mashaalla
@mwanabayadola5476
11 ай бұрын
Assalamu alaikum mm nimefanya San ile ya kumswali mtume kwa siku 1570 n swala za usku lakini nimepta mtihani ,nimefutwa kazi😭 sah niko n miez 5 bila kibarua chocte nipo saud.😭😭😭😭 Inaniuma sanà
@rajabukipara3008
11 ай бұрын
MUNGU Atakusimamia Inshaallah
@abdulwaheedmzury351
11 ай бұрын
Ongeza jitihada kwenye ibada pia dunia ya sasa inahitaji saan kujitoa akili illaaa katika kila ulifanyalo omba msaada kwa allah pia usiache allah anatabia yakukujarib je utashkuru au utakufuru anapima nia yako lakn jua allah ndie kila kitu na anafanya anapoamua ila sio unapotarajia ww , hio hata mm ilinitokea lakin amka usiku lia kwake muelezee shida kidhat utapata zaid ya hio uskute ilikua na mtihani usioujua
@zubedarichard2311
11 ай бұрын
Mm Ile nlisoma na mama Yangu akanisaidia kuisoma Majini yamenitoka mwilini usiogope mitihani ya Allah 🙏
@fatmaabubakar5946
9 ай бұрын
Inawezekana hiyo ndio kheri,mm nimepata kheri kubwa baada ya kufukuzwa kazı.Alhamdulillahi rabbil a'lamiyna
@abdizoseyyid633
5 ай бұрын
Unatakiwa kumtegemea Allah na siyo kumtegea kwa unachokifanya
Swalatu awabin ni صلاة الأوابين هي صلاة الضحى إذا تأخرت حين ترمض الفصال، كما جاء في ذلك الحديث عن النبي صلى الله عليه وسلم في صحيح مسلم، وهي أيضاً صلاة الضحى إذا تأخرت إلى آخر الوقت، وليست تختلف عن غيرها فيما يقرأ فيها ويدع فيها، وليس لها حد؛ قد يصلي الإنسان ركعتين، وقد يصلي أربعة ركعات بسلامين، وقد يصلي ست ركعات بثلاثة ...
@husseinmkanga7794
Жыл бұрын
Uwe uchumi halali sio fedha za dhuruma kutoka kwa wanasiasa.
@maftahramadhani2382
Жыл бұрын
Sahihi
@abdizoseyyid633
5 ай бұрын
Mtu mwema ni yule anayetafuta kasoro zake akazifanyia kazi,ukitafuta kasoro za watu hiwezi kizifanyia kazi...utaishia kugombanisha watu na kuongea usiyoyajua!Tuwe kusikiliza na kucjukua yaliyomazuri inshaAllah...
@abdizoseyyid633
5 ай бұрын
Usihukumu watu na kuwakhofisha watu kwa isiyoyajua bro
shekhe watu hao walikua mafukara sana enzi hizo sema walikua wanajitahidi kueneza wanacho kiamini ili wewe leo ule matunda ya biashara yao wao hawakuwaza pesa hata kidogo kulikua nabiashara za kubadilishana biashara kwa biashara
@husnaaboud2416
Жыл бұрын
Mashaallah
@Haarun-h4q
Жыл бұрын
Nauliza,mshahara wa sheikh wa mkoa unatoka wapi?
@nabillionairevevo5986
Жыл бұрын
Ili iweje
@jafarinauma6798
11 ай бұрын
Unautaka ushekhe wa mkoa endelea kupambana
@abdizoseyyid633
5 ай бұрын
Mkoani
@djumaassumani5169
6 ай бұрын
Mambo yana bana kila siku
@saidipara4134
9 ай бұрын
Yani huyu jamaa mpka wa din zingine wanampenda
@saloomidd1084
15 минут бұрын
Jamaa ana nyota sana huyu lakini pia ni muungwana sana hana ugomvi na mtu
@abdallahmsham-eb7jz
Жыл бұрын
hahahahaha
@mangofish9079
11 ай бұрын
Hivi nyie mashekhe munajua lkn kama hizi pesa za karatasi ni shirki na kinyume na quraan? Sawa hamuna power ya kubadilisha chochote kuhusiana na pesa lakini jee hata kulisemea hili jambo basi pia hamuwezi unless iwe hamuelewi.
@abdizoseyyid633
5 ай бұрын
Si kweli wala si sahihi pesa haina haramu yoyote ila shida unaipataje na kuitumia
@saloomidd1084
13 минут бұрын
Wewe ukienda dukani kununua mchele au sukari utalipiaje bila pesa?
@emilioadremaneadremane2706
Жыл бұрын
E preciso nos informar
@mobilespecialschool4216
Жыл бұрын
Amesahau kusema sehemu ya tano imejificha kwenye MAULIDI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Huu ugomvi sasa 😀
@hassanisihaka910
Жыл бұрын
Wewe bwana acha chuki usiwee mjinga sanaaa
@mobilespecialschool4216
Жыл бұрын
@@hassanisihaka910 ndio nikishakua mjinga ivo nielimishe
@abdizoseyyid633
5 ай бұрын
Isipotambua kwa elimu yako utazungumza kwa ujinga wako
Пікірлер: 130