Faida ya kutumia PHOSPRO 17
✅️ Huzuia mifugo kula vyakula ambavyo sio malisho kama mbao, chupa, nylon n.k
✅️ Huongeza hamu ya kula
✅️Huongeza uzito
✅️Husaidia kuondoa ugonjwa wa kwato
✅️Huchochea joto la kupandwa na kuongeza uwezo wa kuzaliana.
✅️ Huzuia kunyonyoka kwa nywele.
#MifugoBoraNaYara #Yara #knowlegegrows #LisheBoraNaYara
Негізгі бет PHOSPRO 17: Huongeza uzito na hamu ya kula kwa ng'ombe, mbuzi na kondoo.
Пікірлер: 1