Hongereni sana waimbaji na Mungu awaepushe na kila jaribu za mwovu shetani. Ni mimi Mwinjilisti Emmanuel Rajabu kaka yake na Mwalimu huyo anayetuma wimbo nikiwa Marekani.
@williamkirway4620
3 жыл бұрын
Waimbaji wimbo wenye ujumbe mzuri mbarikiwe,toka Haydom-manyara William cresent kirway,27/1/2021 Tanzania.
Пікірлер: 3