Jeshi la polisi kupitia kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya kinawashikilia watu watatu wanaodaiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya. Mkuu wa Kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, Salim Kabaleke ameeleza mbele waaandishi kuwa walipokea taarifa kutoka kwa raia wema kuwa huko maeneo ya Mbezi Kwember Dar es salaam kuna nyumba ambayo imehifadhi mzigo wa dawa za kulevya zinazosambazwa katika maeneo mbalimbali ambapo baada ya kuweka mtego waliwakamata watu watatu akiwemo mlinzi wa nyumba hiyo.
- Күн бұрын
POLISI DSM YAWANASA WAUZAJI WA DAWA ZA KULEVYA DSM
- Рет қаралды 127,360
Пікірлер: 256